Kwanza mwanaume yeyote ana hela hana hela kama hana mke ni msela. Pili wao wenye pesa ndiyo wanaopenda kula vyakula vya hovyohovyo. Mara chips mara baga mara soseji mwanaume Mbeba zege huwezi kumkuta anakula chips au baga. Na akikununulia chips bahati yani kaiga kwa hao wenye pesa maana mkiwanao ndiyo vyakula wanavyowalisha.
Asipo kuja kuolewa asije laumu😂cz kashajitabiria et haamini katika ndoa wakat ndoa n agano na kingne hata wazazi wake wamefunga ndoa ndio maana wakamzaa yeye asje sema haamini katka ndoa aseme kwa wakat huu sihitaj kuwa na ndoa ila wakat ukifka ntakuwa na ndoa
Nimekupenda sana we dd ulivowaongelea masela
Diva hajaondoka wasafi kumbe?
Daaah mwanamke wa aina hii mimi simuwezi kwakweli😮😮
Neila😂😂❤❤❤
❤
Dada umeua kinoma kuhus masela hakika una experience ha kutosha
Kwanza mwanaume yeyote ana hela hana hela kama hana mke ni msela. Pili wao wenye pesa ndiyo wanaopenda kula vyakula vya hovyohovyo. Mara chips mara baga mara soseji mwanaume Mbeba zege huwezi kumkuta anakula chips au baga. Na akikununulia chips bahati yani kaiga kwa hao wenye pesa maana mkiwanao ndiyo vyakula wanavyowalisha.
Km unaogopa ndoa utachezewa na kila mtu mpak manyonyo yaanguke
Wewe bado mshamba wa wanaume wao wenye pesa ndiyo wanaokula vyakula Chipsi.
Asipo kuja kuolewa asije laumu😂cz kashajitabiria et haamini katika ndoa wakat ndoa n agano na kingne hata wazazi wake wamefunga ndoa ndio maana wakamzaa yeye asje sema haamini katka ndoa aseme kwa wakat huu sihitaj kuwa na ndoa ila wakat ukifka ntakuwa na ndoa