Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 64

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 6 лет назад +12

    kaka joel wewe mtu wa pekee sna kwenye dunia mungu azidi kukupa afya na maisha marefu natumaini utasaidia wengi BIG UP

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 5 лет назад +2

    Napenda sana mafundisho yako maana kila unachofundisha unagusa sehem fulani ya maisha yangu thenks sana brother.Mungu akupe maarifa zaidi.

  • @felixbakari4845
    @felixbakari4845 6 лет назад +3

    Daaaaa kaka nakuelewa sana nataka uwe life coach wangu and my mentor japo kwa sisi waajiriwa wa serikalini changamoto ni nyingi katika kujiongezea thamani

  • @DjaroArungu
    @DjaroArungu 5 лет назад +16

    Hii ya Utangazaji hata mim nliitumia sna.
    Nlikuwa natangaza Mwenyewe Geto wenzangu wakinicheka.
    Nasoma magazeti kwa sauti kama Mtangazaji, nasoma taarifa za Habari, nafanya vipindi vya burudani nk.
    Now ni Mtangazaji mkubwa mwenye Tuzo nyingi tu.

  • @priscilerehemasongolo7233
    @priscilerehemasongolo7233 6 лет назад +7

    Asante sana kwa mafundisho mazuri Mungu azidi kukutia nguvu na kukuongezea ujuzi ili uendelee kutufundisha

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 5 лет назад +2

    Asante sana kaka joel kwa ushauri mzuri,na kutufundisha njia ya mafanikio nakushukuru sana binafsi umenisaidia kwenye maisha yangu kimaisha kifkra na kiakili na ninayafanyia kazi,nimeona mwanga

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 5 лет назад +2

    Kama kuna BAADHI ya video za J.Nanauka unazirudia kuzicheck kama hii hapa gonga like kabisaaa!!!...Kaka Mungu aendelee kukuweka hai ili uendelee kuona mafanikio unayoyasababisha kwa vijana wanaojielewa #joelNanauka.

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 5 лет назад +1

    Nakukubali kiumbe we mwisho

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 6 лет назад +4

    Hii ni zaidi ya darasa big up Mr nanauka

  • @yohanaamos6860
    @yohanaamos6860 5 лет назад +1

    safi sana brother nimekusikiliza kwa makini sana unafundisha vizuri sana

  • @user-zb4fe8oj6e
    @user-zb4fe8oj6e 4 месяца назад

    Asante sana kaka najikutaga nakuelewa sana yaan

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 3 года назад

    Madarasa yako yamenibadilsha kwa Asilmia 100 , nashukuru sana Mwenyez Mungu akulinde daima uwe vyema.

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 6 лет назад +2

    Asantee San Kaka Joel Arthur nanauka Mungu akubariki na azidi kukupa ufaham wakutuletea mawazo mapya kila wakati....nasi tunapata Vitu muhimu kutoka kwako imladi Tuwe tunayafanyia kazi mawazo yako tutafanikiwa zaidi na zaidi

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 6 лет назад +1

    Yani nakubali sana kazi kako nimemaliza vitabu vyako viwili naitaji nifuate vingine hongera Sana kakaangu

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech 4 года назад

    Asliamia 90% ya maisha au maendleo nilionayo umesababisha ww kwa kukusikiliza na nazani napata wazo na fursa nzur kwa kukuskilza na kutimiza kwa vitendo Bless mr i wish

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 5 лет назад +2

    Habari brother, nimejifanza kitu katika Somo hili na nimebaki na swali nikaona nikuulize Je, nikitaka kutengenza marafiki wapya ambao naweza kushauriana nao maswala ya kimaendeleo napaswa kufanyaje

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    UBARIKIWE SANA

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 6 лет назад +4

    aise umesema uhakika sana mwalimu daahh hongre sana

  • @LSA-23
    @LSA-23 6 лет назад +4

    Asante bro

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 лет назад +1

    Asant sana mwalimu joel nanauka

  • @lucasdafyoso5263
    @lucasdafyoso5263 5 лет назад +1

    Bro Joel uko vzr unanpa motivation kubwa sana hi unaweza pata VP furaha ukiwa na maumiv

  • @hasanihamisi555
    @hasanihamisi555 3 года назад

    Nakukubal mwamba

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 3 года назад

    Madarasa yako yamenibadilsha kwa Asilmia 70 nashukuru sana Mwenyez Mungu akulinde daima uwe vyema.

  • @thomasboso3081
    @thomasboso3081 4 года назад

    Asante saaana Jo

  • @eliudikijuzi4909
    @eliudikijuzi4909 3 года назад

    Thanks my GOD BLESS YOU.

  • @biubwaahmadi40
    @biubwaahmadi40 6 лет назад +1

    Asante sana Joel.
    Nitayafanyia kazi
    Hakika ni zaidi ya darasa.

  • @hamisimgaya7889
    @hamisimgaya7889 5 лет назад +2

    Nakukubli xana nanauka

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 5 лет назад +1

    Kabisa bro

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut8144 5 лет назад +1

    Thanks, point ya pili imenigusaaa mnoo, God bless you much

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад

    Bless you always

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад +1

    From America tupo pamoja sana

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 6 лет назад +1

    Asante mwl nimekuelewa vzuri.

  • @alamnyopo9739
    @alamnyopo9739 6 лет назад

    Nmejifunza kitu,,,asante....

  • @boniphacemwakasanga2613
    @boniphacemwakasanga2613 5 лет назад +1

    Kaka nakukubali sana nahitaji kitabu chako ntapataje..

  • @yusuphmohamedy1316
    @yusuphmohamedy1316 6 лет назад +1

    Asante sana mungu akupe maisha marefu ndg

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 3 года назад

    Ahsante bro kwa masomo mazuri sana

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 5 лет назад +2

    nashukuru sana kwa somo,na ninaanza kufanyia kazi sasa hivi vitu,nilivyojifunza ila mm nimekuchagua wewe kaka joel uwe mentor wangu naomba sana na nitafurahi zaidi ombi langu likikubaliwa 0763 207124

  • @gosbertrutayega4546
    @gosbertrutayega4546 5 лет назад

    Nakuelewa sana kaka Joel, Mungu akubariki sana

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 года назад

    Asante kwa somo zuri maana kuna madini nyeti nimepata hapo

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 6 лет назад +2

    Thanks sana Brother.

  • @naomiuronu5328
    @naomiuronu5328 3 года назад

    My all time inspiration

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 4 года назад

    Mm nataka uniongoze broo, Baada ya mwaka moja tu naona nitakuwa taji

  • @mubamdetele6055
    @mubamdetele6055 5 лет назад

    Nimekuelewa sana

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 5 лет назад

    Asante

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 5 лет назад

    Ahsante sana kaka joel

  • @salumrwamlaza6622
    @salumrwamlaza6622 6 лет назад +1

    Nashukur mkuu 254

  • @jamil1547
    @jamil1547 6 лет назад

    ahsante

  • @mekujose8532
    @mekujose8532 4 года назад

    Broo uko vizuri.

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 6 лет назад +2

    But sometimes kujitolea nanauka unatumika vibaya sana maana watu hawafuanani ndiposa ufanikiwe unavyosema

  • @samirahassan3154
    @samirahassan3154 6 лет назад +1

    Asante KAKA

  • @mwajumamusa3352
    @mwajumamusa3352 4 года назад

    Mmwatu wengine utafanya vitu kwauwezo wako ulionao ila waohawatokuthamini nahata ujitolee utaambiwiwa unajipendekeza

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 6 лет назад +1

    Asante sana my brother

  • @esmabina8290
    @esmabina8290 2 года назад

    Jiamin Zaid ya hivyo bro

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 6 лет назад +9

    WATU KAMA HAWA NDIO WANATAKIWA WAWE WASHAULI WA MAGUFULI, BY DASH KOMBO

  • @bakarkingwaba5505
    @bakarkingwaba5505 5 лет назад +1

    Binafsi Naona Kuna Haja Serikali
    Kuajili Watu Kama Nyie Ili mtufikie
    Coz si Wote Wanatumia Smartphone

  • @alphaopenschool2249
    @alphaopenschool2249 5 лет назад +1

    nmekuelewa endelea kunisaidia nahitaji namba yako naipataje kuna ushaur binafc nataka

  • @priscilerehemasongolo7233
    @priscilerehemasongolo7233 6 лет назад +1

    Wewe ni mtaalu kabisa

  • @eliudwiston4206
    @eliudwiston4206 5 лет назад

    Yaani kaka unaongea mulemule ,,,,Mimi ni supervisor katika kampuni fulani na sina muda mwingi kwenye uongozi sasa bidhaa tunayoiuza ni 65000 kwa mtu mmoja sasa mabosi zangu walipokea oda ya watu 14 ila wanataka kwa shilingi 40000 kwa mtu mmojamabosi zangu wakawakatalia kwamba haiwezekani waliponiletea kwasababu ni kitengo nnachosimamia mimi nikawambia inawezeka na tutapata faida zaid nikakaa nao mezani nikawapigia hesabu ya cost na faida wakakubali kiukweli najivunia sana hii kwani ni wewe ndio uliyenibadilisha mara nyingi nakusikiliza sana