Jinsi nilivyopata mkopo wa 2.5 million kirahisi 🇺🇸 bila kwenda Bank| Great Bank system

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 14

  • @NIITE_BETWEL
    @NIITE_BETWEL 8 месяцев назад +1

    Kaka @mshanatheblacksmith umepata credit score ya $ 1000 , whats the interest in return?! And that last for how long? Mfano huku kwetu Tz, ukipewa mkopo bank unapewa interest kiasi Fulani au asilimia Fulani Na labda unaambiwa within a year or ahalf uwe umeshamalza kulipa, what's for u.s.a bank creditscore system

  • @blacksingapore
    @blacksingapore 8 месяцев назад +2

    Kazi nzuri 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  8 месяцев назад

      Asante kk 🫶🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 месяцев назад

    Dogo upo sawa mjomba hongera

  • @innoofficialtz8516
    @innoofficialtz8516 8 месяцев назад

    Pamoja mkuu

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 8 месяцев назад +1

    Bro Mshana hongera sn kw kazi nzuri unatusanua vzr sn kiukwl ss hapo wamekupa $1000 unatakiwa kurejesha kwa mda hswa limit time for return

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  8 месяцев назад

      Yaah ukipata hiyo pesa ya credit unakuwa unayoitumia ndio utayolipa mfano mwezi huu ukitumia $500 utalipa hiyo mwezi unaokuja kidogo kidogo au yote na watu wengi wanalipa yote because wanawez kulip

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 8 месяцев назад +1

    NIDA Mwaka wa pili huu card hazijatoka😂USA wapo vizuri

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  8 месяцев назад

      Dash it’s so stupid Ila ndo nchi yetu tutafika kwashida sana

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 8 месяцев назад +1

    Nakubaliana na wewe ili tatizo mifumo ya Afrika bado ,watu tu hawana kazi

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 8 месяцев назад +1

    Tuna card za £10,000 na bado makampuni mengine yanakubembeleza uchukue card zao 😂 hawana huruma hawa 😂

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 8 месяцев назад

    Kaka mil.2 dollars or ya kibongo