Mshana hapo upande wa askari umenigusa sana hapa nchini kwangu Tanzania🇹🇿 niligombana na mpenzi wangu akaenda kunichukulia maaskari walikuja wawili wakanifunga pingu walinipiga sana mpaka nilikuwa nashindwa kula siku 3 yaani ilikuwa ni kama nimeiba hii ndo nchi yangu, Mungu tu anisaidie nipambane nifike huko U.S.A🇺🇸
Ubaguzi upo ata Africa kaka ...sisi tulikua tukiona mzungu kijijini tunakimbilia kumshangaa na hata kutaka kushika ngozi yake of which is some kind of racism
kaka nipo kwny process za kuja us unani inspire sana unanipa moyo sana kaka once i make it to come lazima nikutafute
u a great brother
Asante na I’m ready tu see you here in usa 🇺🇸
Mkuu🤞
Blessings bro
Mshana hapo upande wa askari umenigusa sana hapa nchini kwangu Tanzania🇹🇿 niligombana na mpenzi wangu akaenda kunichukulia maaskari walikuja wawili wakanifunga pingu walinipiga sana mpaka nilikuwa nashindwa kula siku 3 yaani ilikuwa ni kama nimeiba hii ndo nchi yangu, Mungu tu anisaidie nipambane nifike huko U.S.A🇺🇸
Ubaguzi upo ata Africa kaka ...sisi tulikua tukiona mzungu kijijini tunakimbilia kumshangaa na hata kutaka kushika ngozi yake of which is some kind of racism
Kabisa👌👍 huwezi kuukimbia hii dunia but just live your life
Nataka simu ya number yako