Mtazamo wangu hapa🇺🇸 mtu akinibagua | kizazi kipya 🇺🇸 kinapenda watu weusi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 8

  • @peterkaili9343
    @peterkaili9343 8 месяцев назад +1

    kaka nipo kwny process za kuja us unani inspire sana unanipa moyo sana kaka once i make it to come lazima nikutafute
    u a great brother

  • @michaelmichael1931
    @michaelmichael1931 8 месяцев назад +1

    Mkuu🤞

  • @innoofficialtz8516
    @innoofficialtz8516 8 месяцев назад

    Blessings bro

  • @imanienock4250
    @imanienock4250 8 месяцев назад +1

    Mshana hapo upande wa askari umenigusa sana hapa nchini kwangu Tanzania🇹🇿 niligombana na mpenzi wangu akaenda kunichukulia maaskari walikuja wawili wakanifunga pingu walinipiga sana mpaka nilikuwa nashindwa kula siku 3 yaani ilikuwa ni kama nimeiba hii ndo nchi yangu, Mungu tu anisaidie nipambane nifike huko U.S.A🇺🇸

  • @michaelmichael1931
    @michaelmichael1931 8 месяцев назад +1

    Ubaguzi upo ata Africa kaka ...sisi tulikua tukiona mzungu kijijini tunakimbilia kumshangaa na hata kutaka kushika ngozi yake of which is some kind of racism

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  8 месяцев назад +1

      Kabisa👌👍 huwezi kuukimbia hii dunia but just live your life

  • @MosesTembo-z1v
    @MosesTembo-z1v 8 месяцев назад

    Nataka simu ya number yako