HARMONIZE : DIAMOND PLATNUMZ KUSHINDANA KIBIASHARA / ALIKIBA NAMUHESHIMU SANA, ANANISHAURI KIMUZIKI
HTML-код
- Опубликовано: 26 ноя 2023
- #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #ProfessorJay #VanessaMdee
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio - Развлечения
Hii siku konde Ulinena mwanetu big up🎉
Team konde tujuane hapa kwa kudondosha like zenu
Ili litembo nikama limekua bwana saizi naona limejipata safi sana jeshi majibu yako yanaonesha kweli umekua baba👏👏
Kat ya msanii ambay ni bor huy achan na washamb wengnewengne hao mara yul mshenz diamond cjui nan Huy ambae ana pgo za kishoshti kondegang for everybody
Unaongea fact brother ,mungu akubarik sana kwa kazi zako
Harmonize has grown up, he is matured now. He is so calm and his responses are on point. ❤
Nakubali kond ..sana iyo niukweki
Kihukwel Konde Najuw Ushakuw Mtu Mzim Unahelew Nan Aduh Nan Rafiki Kikubw Allah Akujaliye Akupunguziy Mahaduhi🎉🎉🎉🎉🎉
Team harmonize %100
Fact tupu yani
Dogo amekuwa Sasa, mimi ni wcb damu Ila huyu Dogo siku izi ananifurahisha sn siku hizi
Ila harmonize mnafki sana, c angetokea kwenye wasafi festival kama anajua ilkua muhimu kutengeneza amani, mbona alienda mitandaoni kuchafua mwenzake kuhusu wasafi festival? Aache unafki bana
Mungekuwa munanyamaza kimya mashabiki wasinge gawanyika sema vijembe vingi mnapigiyana
Harmonize umekuwa very humble, hiki unachofanya sasa hivi ndo ulitakiwa uwe nacho toka umetoka wasafi, ungepunguza maadui ulionao sasa, concetrate on making good music, recognize mchango wa waliokusaidia na waliotangulia na ww concetrate kwenye good music basi, kama ulivyoona Single again imekupeleka mbali basi achana na mambo ya "Hawaniwezi" n.k coz zinazidi kukujengea maadui na si kukupeleka mbali, umeongea kikubwa sana, mi mwenyewe nilikuwa nakuona huna shukrani, huna fadhila lakini umeongea as a matured person, forget abt the past na focus kwenye malengo yako, kama unavyosema there is only one you, so keep on beeing you and nof compare with any one na the only you will make you reach where you want to be, Single again
Unamwambia konde ama unaiambia east Africa tv?
Asingetoboa apo alipo mabifu na kushindanishwa kumemkuza saana
An essay
Umejib kikubw sana hp.kuhus fela bg up sana ila Allah akuongez kila ki2 👏
Interview moja saafi saana konde unatema knowledge🎉❤
Konde boy jeshiii tembo harmonize he is very smart person
Mdogo mdogo tu atuna noma nao
Konde safi sana nakukubali sana
Team konde.forever💯💯
Napendaga Sana ma swali ya uyo mshikaji wa kofeya ya blue
Leo umeongea vzr sana konde nikuombee tulia na diamond mtafika mbali sana kka
Nakubali
Xema umesema Kwamb wahuni hatuishi Kwa mifano ❤
Praaah konde gang forever bless
Harmonizee❤❤🎉🎉
Jamaa mwenye kofia ya blue kauliza bonge moja la swali kuhusu Kumblock Ney 😂😂, Nice Qn. Dogo akili mingi sana. Bonge la presenter.
ukuma huo, swali linakusaidiaje kwenye maisha ya kawaida hilo zaidi ya kueneza na kuchochea chuki??
Mtangazaji,Alie va cap yupo makin sana!!hapendi uongo uongo.
Dogo umekuwa cool inteview
Harmonize carry on nice guy respect elders and believe in God as in Allah we Trust
Konde anajibu vzr
Yani hamuwezi kufanya interview bila kumtaja Diamond platnumz
Telling my own truth I came to like konde jeshi to me it seems its a very humble and honest guy my first name is Rajab wish u all the best never abuse the gift God has given to u otherwise?
Fact zinajieleza.wakubwa watakuelewa
Daimond ft chike collaboration ya kimataifa
Wedada nakukubali kinoma
Uyo janja mweupe anauliza maswali ya akiutuuzima sana sio uyo mweusi yeye anawaza maugonvi tu
😂
Konde apewe uongozi basata
Nakubal mzee wanguuu Kwa kuongea point napenda hiz chuki tuzimalize wote ni wtz
Nakuelewa sana rajab kuna kitu naget
Nampenda sana huyu mdada nani anisaidie niwasiliane nae
Nakuona mwanangu Melody
Akili kubwa
Konde saiv kaujua mchezo apo safi aya ndo maisha✊
Uyu dogo ata ajui kuhoj wasaani
Harmo kaspeak sense sanaaa
The way harmonize killed that boy with the hat his flows is awesome and matured !!... Boy was feeling shy
A boy is now grown up
Homeboy
Makini ❤❤❤
❤❤❤
Safi sana una ushauri mzuri kwa vijana sana na rika zote pia..napenda pia umavotufafanulia wenzetu wanavyoishi
❤
❤❤❤❤❤❤❤
27:42 "Bodyguard anachat kidogo." Sema janjaro mwenye kapelo alipiga msuli mwingi. Amemchimba sana KondeBoy 😂😂😂😂😂😂
napenda sn konde by 🇨🇩🇨🇩💪💪💪🫶🫶🫶👍👍👍🗽🗽🗽🗽
Jeshiii upo makini sana
🎉
Harmonize umeanza kuongea poent siku hizi hapo lazima uvune mashabiki wengiii🎉
HE IS ALWAYS POSTIVE VIBED BOY ALWAYS THINK EAST AFRICA MUSIC INDUSTRY
Oya huyo jamaa anajua kwel
Dah! huyu mwamb anajua kujielezea
Sauti sol are selling out arenas out there
Never give Up my bro
Konde JESHI Uko Sawa Salimia Munyama
Huyuu dada yupo vizur Sanaa
Interview kali sana
Mkubwa amep
Team konde your likes hear
👑👑👑👑🔥🔥🔥🔥
Are you number 1
uyo security alokunja mikono yuko vzr San, mud anahangaika tu kutafuta ukuta ajiegeshe UTI ishamaliza kiuno 😂😂😂😂
Jamaa mwenye kofia ya blue anauliza maswali yanayomuumiza kidogo akili harmonize, Dogo akili mingi sana. Bonge moja la presenter.😂😂,
ukuma huo, swali linakusaidiaje kwenye maisha ya kawaida hilo zaidi ya kueneza na kuchochea chuki??
Matuarity
Harmonize on toppp ❤❤
Sawa
Unyama mwingi
Hi ndugu zetu au niseme majirani zetu wa bongo mimi ni kijana wa uku Msumbiji ni nacho jiuliza ni ivii, kwanani munakuwa na biff sana wenyewe kwa wenyewe inafikia hatua zote social media munatangaza Vita zenu kwani mukoje?
Konde gang
Kuna bruce melody na shaggy
Uyo dogo mweusi mwenye kofia ya blue anauliza masuala ya Ugomvi tuu na Shari …. Ndo hayo anayoyasema konde tumewekeza sana kwenye uadui…. Dogo white hapo kati anauliza facts sana
Good bro!
So beut !
Alafu mwanangu konde unapiga xna mjani..unalepua xna mimoshi juu.......kma usemavyo mwenzenu jicho nyanya nmekula kijiti 😅😅😅
#harmonize 🪖🐘
Rich umerudia kofia leo kama wiki mbili zizopita ulivaa
😂
Vizur unaongea ukwer
Malipo ni hapa hapa uliposhuka airport na kuita waandishi wa habar ukimsema diamond vibya tena ya uwnongo leo yako yasemwa ya ukweli sote twavuta bangi lkn sifaa punguza zitakuponza
Achen ukuda mashabiki😉😉😉
Unaijua kololo ww imefnyika mwaka gan
By Joshua baraka
"Kuna watu katika dunia hii , hawahitaji pesa ili wawe na furaha .
Wala hawahitaji mali na vitu vya thamani . Bali mtu mmoja tu wa kuwasikiliza na kujali hisia zao "
Unakubaliana na mimi?
Sure ,100%
Harmonize ni mnafiki umehulizwa swali nzuri
#mashabiki wa diamond kuuzuriy kweny show yako au yeye mond kuwap attention ili mushambuliy kwa pa1 Kam Niagara
Unapo jibu generation au 10yrs ago sio la msingi uyo davido ana miak ngap kweny game
Hao mamichongo wanafanya nini ndini ya studio hamo una ushamba sana
Sasa Kama mkubwafela mwenyew anamsapoti diamond, wakati yeye ndiye alitakiwa anahakikisha Hawa wasanii wote wanakua kitu kimoja , unafikili Hawa wasanii wataungana ?? Ndio maana unakuta kila mmoja na maisha yake
Mwamba sio mtu mzuri anajua
Nyamwika kaongea kiutu uzima sn yaani uyu jamaa anaitwa NYAMWIKA..
Umemzima vizuri sana mkuda huyó mtangazaji!
😂😂😂😂
Maswali msumari mmakonde anahahaha😂😂 mwishwke kapaniki
Nipo nai team konde gang
Mmakonde kapaniki 😂😂 dogo kapero anapiga maswali msumari😂😂
furan ndo nn kiswahili gan icho
Dishi hili kaz tu kusifia watu wasio na mchango kweny mafanikio yako