LATRA YAFUNGIA MABASI YA KATARAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Uthibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesitisha leseni ya safari ya mabasi ya Kampuni ya Katarama kwa kosa la kuchezea mifumo ya mwenendo ya mabasi yaliwekwa na Latra kwenye mabasi hayo ambayo kusitishwa kwake safari yanaanza kesho.
    Kusimamishwa kwa leseni hiyo ya usafirishaji ni hadi uchunguzi utakapofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Mamlaka hiyo.
    Hayo ameyasema Leo Mkurugenzi wa Latra Habibu Suluo Jijini Dar es salaam alipokutana na wamiliki wa mabasi ya BM Coach,Super Feo,Abood Bus na Katarama Bus
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Комментарии • 99

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 7 дней назад +7

    Maashaallaah umeongea kwa ustaarabu wa hali ya juu unastahili kuwa kwenye hiyo ofisi

  • @bonyngoyindengoyinde6139
    @bonyngoyindengoyinde6139 4 дня назад +5

    Mimi niltok mwanza saa8 mchan na KATALAMA 11 alfajil nikaingia Magufur stendi, wadhibit naul speed wamwachie mwenyez Mungu

    • @Mdenya
      @Mdenya 3 дня назад

      😂😂😂😂

  • @benjaminwerema8758
    @benjaminwerema8758 2 дня назад +2

    Dar live huyo mtu wenu wa production hajui kazi yake vizuri, inakuwaje muongeaji anaongea huku akionesha kifaa afu yeye anatuonesha barabarani huko.. ajirekebishe

  • @yohanaantony5774
    @yohanaantony5774 7 дней назад +11

    Mkurugenz tunaomba nauli ziangaliwe Kwan mafuta yamekuwa yakishuka Mara kwa mara Ila nauli bado ni kuwa wamilik wa mabasi wanaendelea kunufaika huku wananchi wakiendelea kuumia tunaomba nauli zishuke

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 7 дней назад

      Hapo nikweli maana yakipanda tena kidogo itaapanda zaid😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MgonjaFide
      @MgonjaFide 5 дней назад

      Wewe unaangalia mafuta tu tairi na vifaa vingine vya magari aaaaaa

    • @djhdscratchmaster4110
      @djhdscratchmaster4110 4 дня назад +1

      ​@@MgonjaFidekwani wao wanapandisha kisa matairi? Mbona mnajitoaga ufahamu kwenye vitu vya wazi

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 3 дня назад

      Kuna kitu bado hujakijua ukiona mafuta yameshuka shilingi mia kwa mwezi huu ujue mwezi unaokuja miatatu jaribu kufatilia kila jumatano ya mwanzo wa mwezi nilazima bei ya mafuta ibadirike kwa kushuka au kwa kupanda ila nilazima mabadiriko yapo fatalia iyo utajua kwanini naur hazishuki

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 6 дней назад +6

    ONGERENI SANA LATRA KULINDA USALAMA WA ABIRIA,

    • @isayakiluswa1521
      @isayakiluswa1521 2 дня назад

      Kufungia safari za kampuny Fulani? Ni matumizi mabovu ya maamzi!,Kuna vitu vingi vinawweza sabababisha ajari,pia onyo nalo ni funzo kuliko kufungia,wakumbuke hayo magari yanalipa marejesho,Kuna askr anasababisha ajari.wapeni ruhusa waendelee au hamtaki scania Tz sauli mlimfungia nae

  • @ChiaChia-k2w
    @ChiaChia-k2w 12 часов назад

    Madeleva. Wana zalau mabalabalani Wana ovateki bila kuangalia mbere anaekuja kama mmeliona hili pia hongeleni sana. Kisa katalama. Kweeeli

  • @user-hd7gs5by4s
    @user-hd7gs5by4s 7 дней назад +6

    Muna upendeleo bro new force PAMOJA na BM mumeacha wap

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 7 дней назад +6

    KWAKWELI, MABASI YOTE YANAFANANA TU, SIJAONA LA NAFUU ,

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 5 дней назад +2

    Mie Nakumbuka walianza kufunga speed gavana kwenye mabasi lakini haikuzuia watu kufwa Kwa ajali ajali zitokeazo huku kwe2 nisawa na wanao kufa kule gaza Kwa kupigwa bom Kwan ukiona bus lililo tolewa roof ni Zaid ya bom napia ukiona ajali ya coster na Lori babati nizaodi ya shambulizi huko gaza mungu atusaidie jamani 🙏🙏🙏 ahsante mungu

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 День назад +1

    Editor wa video mshamba sana unatuonesha picha za mitaaa wakati mtu anaonesha vitu vya maana alafu sauti zimepishana

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy 5 дней назад +3

    Watanzania tuache rohombaya yani baada kuona katarama katoa vyuma vipya bas mmeanza chokochoko hayosiomaisha niupotofu wa fikra

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 4 дня назад

      Ndugu wakipploteza maisha kwenye ajali ndo utaelewa

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l 3 дня назад +1

    Aya basisi ya usiku nihatari sana yaani basi rimejaaa lakini usiku wanabeba abiria ambao wanakariwa apo chini wanakuwa nimengi muno nihatari sana

  • @JustinMwakalukila
    @JustinMwakalukila 6 дней назад +4

    MADEREVA wa MABASI 75% wana RISK sna maisha ya ABIRIA alaf shda sio tyu namna wanavokimbia lkn pia atanamna Wanavochukua OVERTAKE yaan hawana tahdhar kabsaa,me huwa nasafir mara kwa mara najionea na nina video za ushaidi wa MABASI mengi tyu,alaf njian wanafosi kupakia wkt BUS limejaa baaz ya makampun wanaweka ndoo katikat ya kiti na kit mtuu anakaa yan ni shda HUKO BARABARAN

  • @VirianWere-n3v
    @VirianWere-n3v 15 часов назад

    Hakika

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 6 дней назад +2

    Nauli jaman nauli nauli mesahau kuzungumzia mnatukanyaga sana

  • @MorsadHamisi-nz4rd
    @MorsadHamisi-nz4rd 3 дня назад

    Kwa b.m tu iyo tuzo anastahiki kwa hakika

  • @kelvinnkaka5008
    @kelvinnkaka5008 4 дня назад

    And also check speed limiters kwa magari mengine ya Golden deer ambao yana safiri usiku kutoka Tunduma kwenda Dar es salaam.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 7 дней назад +3

    Duuuh kweli bongo hata waweke roboti wahuni watalichokonoa t mpaka lipoteze fahamu

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 6 дней назад +1

    Tatizo ni madreva nahuo wito mtoe kwa madreva lkn sio kwa matajili Katarama wakovizuli na ana watejawengi pia jinalake matajili wanalihofia linaweza kuwazidi hapobadae kwasababu Katarama anampango wa kumwaga basi nyingi mikoayote karama anapendwa sana naabilia ilaafuate Shelia zabarabarani

  • @norobo205
    @norobo205 6 дней назад +2

    Tatizo mkiyafungia wanakuja na majina mapya

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 7 дней назад +3

    Msameheni ni binadamu huyo amelipa kodi, apewe somo zaidi kuna watu wanapata riziki kwao

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 6 дней назад

      Unaongea kitu ambacho haukijui maana hayo mabasi aisee ni hatari niliwahi kusafiri na Moja wapo safari ya usku wanaovateki kuliko kawaida

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 День назад

      ​@@philemonmagesa5548waongezewe adhabu

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 5 дней назад +3

    Mmeshindwa kudhibiti Nauli mnafungia mabasi jitafakarini

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 5 дней назад +1

    Latra acheni ubabaishaji mngekuwa mnamiliki mabasi msingekuwa mnafanya mambo yenu ya kufungia magari......Jitafakarin utendaji wenu

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 2 дня назад

    MABAS 4 DRIVERS ROHO Z BINADAM JAMAN DESTANS

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5d 5 дней назад

    Hamna lolote ni mbwembwe tu za LATRA. Wakitoa kitu kidogo Kesho tutaiona Katarama barabarani.

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 6 дней назад +1

    ,MABASI yanayopakia abiria Stendi kuu ya Mabsi Dodoma,, hawatoi tiketi za kielectronik

  • @HashimMpenda
    @HashimMpenda Час назад

    Latila shusheni nauli

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 дня назад

    Ukiona hivi ujue SGR haina wateja😮

  • @johnluis35
    @johnluis35 7 дней назад +2

    Au la wekeni muda wa kufika kila sehemu mbona awamu ya Tano mliweza

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 6 дней назад +1

    Katarama mumemuonea kabisa

  • @paullluhanyapaullluhanya2446
    @paullluhanyapaullluhanya2446 6 дней назад +2

    Katarama mnamuonea jaman

  • @user-nn9ds7uf2r
    @user-nn9ds7uf2r 6 часов назад

    Na ally's je

  • @silvanussallu952
    @silvanussallu952 2 дня назад

    Gari za umma hyo mispeed

  • @JoshuaSama-gc5xm
    @JoshuaSama-gc5xm 13 часов назад

    Shida siyo katalama shida ni Ratra hawako makini nakazizao.

  • @Tee-King
    @Tee-King 7 дней назад +1

    KATARAMA vurugu lakini akuna ajali wasio na vurugu ndio ajari tatzo pia wajaribu kufatilia vizur mana lipo pia tatzo kubwa hasa uzembe wa madereva nakuto kufuata sheria za barabarani ivyo ni 70% ndio inasababisya ajali.

  • @mastidiawamara1264
    @mastidiawamara1264 6 дней назад

    Jamani Katarama mbona mnamuonea?

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 7 дней назад

    😢

  • @saltechnologiesco.ltd.2377
    @saltechnologiesco.ltd.2377 3 дня назад

    Hiyo kampuni ilipaswa kushtakiwa pia kufungiwa pekee haitoshi maana hawajali abiria wao pia mtu akiachwa(bus zao huwahi kabla ya muda rasmi wa kuindoka) wao husema abiria ndio kaacha bus!! Pia Green Line imulikwe

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 дня назад

    Agozeni wachina watengeneze magari ya speed 50. Sio kusumbua wamiliki mara govenor mara nini. Kingine mbavu za mbwa bolt zinalegea ajali zinatokea mnasema mwendo kasi

  • @browntv1119
    @browntv1119 6 дней назад

    WACHUNGUZENI NA ALLYS ZA DAR -KANDA YA ZIWA

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 7 дней назад +1

    shida si wamiliki wa mabasi,shida ni madereva,wabaneni madereva kwa sheria kali,akisababisha ajali faini alipe dereva,na akisababisha ajali mbaya anyang'anywe leseni yake!!mnawaonea wamiliki,maana wamiliki hawajawatuma kuendesha hovyo barabarani!!
    Mnawang'ang'ania wenye mabasi mnawacha waliobeba dhamana ya roho za abiria!!

    • @sundaynurdin2864
      @sundaynurdin2864 7 дней назад +1

      Mwenye basi ndo Kila kitu akisema gari yangu isikimbie dereva Hana mamlaka

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 дня назад

    Onyesha kifaa tuone, huna/umekosa umakini hapo

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 7 дней назад +1

    We mwandishi mbona Fala unahamisha kamera kwenye kikao unatuonyesha barabara

  • @PeterLoina-g1p
    @PeterLoina-g1p 4 дня назад

    Mimi ninawaambia msiwemnakimbizamagari hapana kwaiyo akiki mbiza fungia kampuni tumeonywa super feo naneweforce

  • @ShinagalaPaschal
    @ShinagalaPaschal День назад

    Hivi kwanini katarama tu au aliwapa Nini ally's huonionevu

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l 3 дня назад

    Unariipa nauri 55000 lakini uko kwenye watu wanakarishwa hapa chini kama wrote kama akitaka kulala anaanza kukuendemea kwenye miguu nihatari sana maasikari wewe wanakaguwa basi yanayofari usiku

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 5 дней назад

    Na kubwa Kwa nini hawatoi ticket za mitandao shida nini maana zile hazitambuliki kwa sasa fanyieni kazi kwenye ukaguzi wa tiketi

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 7 дней назад

    Abud na bm hawaheshimu sheria za barabarani kwenye taa hawasimami

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 дня назад

    Latra nunuen ma basi yenu tuyaone acheni kutisha raia,madereva ndoo awajbshwe

  • @charlesmajiwa6771
    @charlesmajiwa6771 5 дней назад

    Hii itakuwa chuki na njama za wenye mabasi wengine maana katarama ajaongeza nauli kama wengine afu ana wateja wengi. Cha apili auwez linganisha scania na hayo magar mengine, ata ukiweka spidi mwisho 80 katarama itakuwa mbele tu

  • @MurunguwetoshaDeheaven
    @MurunguwetoshaDeheaven 6 дней назад

    Katarama walinunua mabas wakapaka rangi yao, nilipanda likanifia dodoma

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vq 7 дней назад

    Msije mkaatumbia hizo fitna acheni makasiriko tafuteni Hela

  • @JacksonMahelo-dx2it
    @JacksonMahelo-dx2it 7 дней назад

    Mbona maneno yanayo tamkwa na yamdom nitofaut

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 5 дней назад

    Tanzania BONGO MOVIES 😅😅

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 6 дней назад

    Hakuna wa unafuu hapo meangalia
    Nani ana jina kubwa mjini ndicho nilichogundua
    Alafu mnazungumza mnaacha kuhusu nauli zimepanda sana kwani mafuta inamana mpaka sasa bado yamepanda 2 au ndo hivyo mafuta yanaza panda nakushuka nauli inabaki pale pale

  • @MohadiTv
    @MohadiTv 6 дней назад

    Hii nchi ni yahasara sana unafungiaje mtu biashara akati unatakiwa umuonye mtu ndo akikosea tena ndo mumuazibu kaka peleka basi zako ata mombasa achana na mchi yenye umasikini Adi wa akili

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or 7 дней назад

    Latra acheni makasiriko na katarama 😡😡😡

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 6 дней назад

    Latra mnataka pesa tu hapo ukisajiliwa Dereva ndio hupati ajali? Latra mnajifanya mahakimu .

  • @DevisMadath
    @DevisMadath 2 дня назад

    😅😅😅😅

  • @DanielKusongwa
    @DanielKusongwa 6 дней назад

    Nyie mmesahau new force za sumbawanga

  • @johnluis35
    @johnluis35 7 дней назад

    Wekeni speed limit za mabasi mbona shabiby kashawashauri mara nyingi , leteni basi za speed max 80kph

    • @2116-n
      @2116-n 7 дней назад +1

      Sasa si ndio hicho alichokilalamikia mkurugenzi, wamewekewa lkn wamekichokoza

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 6 дней назад

    Madereva wanaowaajiri ni macharii wadogo wanapenda kukimbizana hawajali roho za watu

  • @user-ut9zv7ft1g
    @user-ut9zv7ft1g 4 дня назад

    hawa nao ni kirusi sasa hawaeleweki wameshindwa kusimamia nauli kufungia tu .magari ya watu sasa kama katarama unamfungia je huyo Ally star vp hizi nazo ni rushwa kwa wawekezaji mjihadhali na hizo tama zenu

  • @Chamlola
    @Chamlola 7 дней назад +1

    Bora afungiwe huyo katarama amezidi kageuza kama serikali ya kwake bwanaaa

    • @Bonifaskagoma
      @Bonifaskagoma 7 дней назад +1

      Tafta hela upunguze chuki kwa waliofanikiwa.

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 7 дней назад +1

      Chawa wa Allys sio 😂😂😂 Kafie mbere huko

    • @Chamlola
      @Chamlola 7 дней назад

      @@hatibumohamedi3471 sio chawa mmetuchosha mitandaoni na Eliza zenu mbovu gari zimekuja zishatembea kilometa 15 milioni bado mnaleta vimaneno vya kwenye kanga nunueni polo mpya kama mna jeuri

    • @Chamlola
      @Chamlola 7 дней назад

      @@Bonifaskagoma anunue gar mpya kama kweli kafanikiwa sio magari mabovu used

    • @Bonifaskagoma
      @Bonifaskagoma 6 дней назад

      @@Chamlola hahhahahhaa aya bhn ila nadhan ni mpya maana kila gari pale kachukua kwa bil.4.3

  • @AlfaSaa-j4h
    @AlfaSaa-j4h 6 дней назад

    Viongozi hawa wa hovyo kabisa.
    Katalama mnawaonea tu wapuuzi mmepesa mlungula nini

  • @Worldunite
    @Worldunite 6 дней назад

    Tatizo, jee na nyie mnatumia usafiri wa umma????????

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 6 дней назад

    Na wewe mkulugenzi nunua basi uone ugumu wa biashara, biashara ni ngumu sana, kingine muishauri serikali iendelee kuboresha Barabara ikiwezekana ile miji yenye misongamano kuwe na barabara za basi ili kurahisisha abiria kufika kwa wakati, mfano Dodoma dar kuwe na njia ya mabasi tu, pia mtaleta ushindani wa kibishara, ukweli usio pingika abiria wengi wanapenda basi linalo kimbia ili wawahi mambo yao, Kwa hiyo hata nyie watendaji mnatakiwa kufikiria tofaufi ili msiwakwamishe wamiliki wa hayo mabasi kwani wamewekeza pesa nyingi, fikirieni sana ajali wakati mwingine Zina sababishwa na miundo mbinu, mfano ni kama pale wame Kila mara palikikua panaripotiwa ajali lakini kwa sasa hali imekua shwari, kwahiyo wakati mwingine msikimbilie madili ya kuwauzia watu hivyo vifaa wakati labda mngetengeneza miundo mbinu rafiki kwaajili ya usafiri kwa wananchi

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 6 дней назад

    Kampuni inayoongoza kuchukuwa abiria wasio na ticket ni ABOOD BUS sijui mana Kuna kampuni nyengine inayomuingia kwa kufanya hivyo.
    Ila pia yupo makini njiani haendi mbio anaendesha kistarabu sana hasa ikisafiri nae usiku.