LATRA imesitisha leseni ya kampuni ya Mabasi ya Katarama Luxury

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imesitisha leseni ya kampuni ya Mabasi ya Katarama Luxury kwa kosa la kuondoa kifaa kilichofungwa kwenye mabasi yake na kufunga kifaa kingine kilichosababisha utumaji wa taarifa potofu katika mfumo wa VTS

Комментарии • 137

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 5 дней назад +14

    Wanaokubali mwamba Katarama tujuwanehapa Katarama oyeeeeeee

  • @Jayhood28
    @Jayhood28 5 дней назад +9

    Sheria ingerekebishwa..kwa sababu shida ya Basi moja sio sahihi ikaathiri mabasi yote ya Kampuni..kama kosa ni la wasimamizi wa Route husika unafingiaje mabasi yote kwa maana ya Kampuni..Mfano Katika Shule mwanafunzi mmoja akiacha shule ndio shule yote hakuna Kusoma😅😅😅

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 6 дней назад +9

    Latra mnatakiwa mjitafakar naul zinapanda kiholela huko hamuangalii mnaangalia mwendo hy haisaidii halaf angalien na hizo software zenu mnazotumia.....pia angalien magari yanayotoka Dar nairob na Mombasa Dar.........msimuumize katarama kawekeza pesa nyingi sana....Akihamisha gar zikapige kaz congo nch yetu inaonekana ya ajab

    • @ChristopherNyerenga
      @ChristopherNyerenga 5 дней назад +1

      Chamsingi aende kongo akawaue uko hapa nikufuata sheria tu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 дней назад +1

      Akili zingine jamani, sijui I afikiri kwa kutumia nini

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 5 дней назад +10

    WIVU TU mwenzenu ana SCANIA wengine mchina

  • @ramsdenjames9782
    @ramsdenjames9782 8 часов назад

    Kazi nzuri

  • @amosdesdery8482
    @amosdesdery8482 5 дней назад +6

    Nyie jitafakarini bhana ......

  • @JosephBaraka-db9sj
    @JosephBaraka-db9sj 5 дней назад +13

    Latra mnazingua sanaaa nyie aliowaambia abiria wanataka speed ndogo ni nan au mnajizima data kenge nyie

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 5 дней назад

      😂😂😂😂

    • @IllahRashid
      @IllahRashid 5 дней назад +1

      Hebu acheni bhan

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 5 дней назад +3

      Natamani siku moja yule umpendae kwenye familia yako,afe Kwa ajali ya barabarani,halafu urudi tena hapa kutusimulia utamu ulioupata,na likupate Kwa jina la Shetani.😂

    • @victorkauki8974
      @victorkauki8974 5 дней назад

      Ushindwe​@@israelkisaila8401

    • @brownsebastianmwibi5647
      @brownsebastianmwibi5647 6 часов назад

      😂😂😂😂

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke3153 5 дней назад +4

    Yani kila nikisikia ajari ya mabasi uwa nakimbia kuangalia ni katarama lakini nakuta ni mchina au zile zinazokimbia speed ya 50 ila mwamba katarama simpati😢😢😢

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 5 дней назад +2

    Tatizo Sio mabasi bali Ni ushindani wa China Na Sweden. Uwanja wa Vita ni Tanzania. Scania ina nguvu kubwa ya msukumo kwenye engine kuliko yoetong ndiyo yanasababisha haya.

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 5 дней назад +5

    Simamieni ila msifungie watu watakosa ajira

  • @rajjoshua7328
    @rajjoshua7328 6 дней назад +6

    Nyie Latra mnazingua, huwezi kulazimisha gari ya gia 7 mpaka 10, ikimbie speed 80, huo niupuuuzi,

    • @HappynessJapheth
      @HappynessJapheth 18 часов назад

      Wivu wa maendereo huo nunua na ww yakwako

  • @boboonesmo5431
    @boboonesmo5431 5 дней назад +4

    Mnazngua sana mtuachie ndegeyetu ya chini hayo siyanazungumzika?

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 5 дней назад +3

    Ihi nchi mungu atsaidie tu maana serekali iko fea kabisa inajali masilah yake binafisi nachuki zilizo kisili.. ukweli ivo vitu viko kila kampuni sio ktambara tu kila kampuni ivyo vitu vipo ila izo kampuni zingine zinazidiwa kwenye ushindani wakibiyashara kwaiyo apo nichuki tu inatmika yakibiyashala

  • @mussamapesa8863
    @mussamapesa8863 5 дней назад +4

    Hiyo ni vita kati ya mchina na scania speed 80 ni mwendo mdogo sana ongezeni angalau hata 130km per h 80 ni mwendo wa kubembeleza yutong zisife sio scania

  • @MaryKalunde
    @MaryKalunde 6 дней назад +4

    Tatizo mnasumbuliwa na umasikini, juhudi za wenzenu mnazitolea macho wivu umewajaa hiyo kwanamna nyingine inaitwa uchawi, maendeleo ya wengine yamewatoa roho

    • @AloneChuga
      @AloneChuga 5 дней назад

      Ninyi watanzania niwatu wa ajabu sana. Kazi yenu ni kulalamika tu. Watu wakipata ajali mnalalamika mnataka nini

    • @bonnymakuke3153
      @bonnymakuke3153 5 дней назад

      Ajari ipo2 ata ukitembea na speed 30 kati ya katarama na izo zinazoenda mwendo mdogo ni zipi zinaongoza kwa kuuwa watu barabarani 😢😢​@@AloneChuga

    • @HappynessJapheth
      @HappynessJapheth 18 часов назад

      Mweu ww nyinyi ndiyo mmekariamawivu tu katarama anamatukio Gani kama arrys anauwa kira siku

  • @SwidiyqDauda
    @SwidiyqDauda 5 дней назад +3

    Wanasumbua 2 wat wakat wao wanayumba

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 5 дней назад +2

    Hawa ndio vibaraka wa magari ya mchina, kisa wameona mawaziri wao majizi, wanamiliki mabasi ya mchina kwa wingi, ni mabovu sana.

  • @faridiathumani3114
    @faridiathumani3114 5 дней назад +2

    Latra acheni roho ya ubinafsi katarama haijawahi kugonga hata kuku ila mnaifungia kila siku lengo kumbeba allys safari ya mwanza dar

    • @HappynessJapheth
      @HappynessJapheth 18 часов назад

      Kabisa Hawa ni roho mbaya na wivu huo unawasumbua

  • @magesaanselim5753
    @magesaanselim5753 5 дней назад +2

    Matatizo ya watu wa hesabu kusimamia sheria ndo haya.....Zinazopata ajali hazifungiwi ila zinazofika salama ndo zinafungiwa na uchunguzi juu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 5 дней назад +1

    Mnashindwa kutofautisha kati ya Mzungu na mchina acheni wivuuuu

  • @gastonjohn537
    @gastonjohn537 3 дня назад

    Ajali

  • @damaspaul5357
    @damaspaul5357 5 дней назад +3

    Mkuu boresheni barabara mbovu chuma zinauwezo mkubwa kuliko njia zenu kwann msianze na kutengenenza njia ... walio design waweke speed ya 80 mwisho, mbona misafara yenu mnaweka barabara nyeupe, hongelea miundo mbinu yenu wakuuuu huo ni ufunyu wa kufikilia au hajenge njia yake 😂

  • @HildaMmary-p7h
    @HildaMmary-p7h 5 дней назад +2

    Spidi sioajali miundombinu yetu tupunguze matuta mashimo tutaona ajali zinakoma

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 5 дней назад +2

    Kama mume wafungia katarama umefaidika nn kama sio unazi tu muacheni apige kazi tren imewashinda mume hamia kweny mabasi haya juzi ili goma mbona hujachukua hatua za kuifungia

  • @frbm1729
    @frbm1729 5 дней назад +2

    Aaaaa hivi nchi mbona mnakurupukaga tu. Kwani

  • @EdsonMwijage
    @EdsonMwijage 4 дня назад

    Kyoma hongera pambana owatata

  • @sadocklundi5216
    @sadocklundi5216 6 дней назад +2

    Kwanini mmeshindwa kusimamia tiketi mtandao kwa Mabasi?

  • @albertmallya4192
    @albertmallya4192 5 дней назад +1

    Weledi mdogo, hakuna kingine

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 4 дня назад

    Usalama wa maisha ya binadamu ni muhimu, kwa hili naipongeza serikali

  • @oscarkalonga4772
    @oscarkalonga4772 6 дней назад +5

    Acheni wivu nyie

    • @ramadhanimpapalika7131
      @ramadhanimpapalika7131 6 дней назад +2

      Watu wanalinda maisha yako na ajali unasema wivu dah

    • @skylersamwelelias313
      @skylersamwelelias313 5 дней назад

      Wenyewe niwakina mungu na kingine wanako enda nimbali huwezi kuweka speed ya 80 rabuda zakutoka dar na moro ndo ziwekewe 80 ila kwanziya dar to arusha mwanza bukoba kigoma mbeya inatakiwa ziende speed 120 inatosha haya munasema muna zuiya ajali na sauli alikufa kwa speed ajali ikiamua kuja inakuwa haina kinga sana so mabasi yanayo enda mbali mwingeyaruhusu kwa mwendo 120 isizidi hapo au hata 110 mimi nakuwaga kwenye mainchi jilani yani basi zinatembea sana nasijaona ajali hovyo hovyo kama za tz nakujifanya munazibiti mwendo

  • @SamsonBharoma-le6hf
    @SamsonBharoma-le6hf 15 часов назад

    Tafuteni namna nyingine ya kudhibiti siyo kumfungia ama kusimamisha usafilishaji hizo Gari ni Gari ambazo ingekua sababu ya ushawishi kwa wawekezaji wengine ingekua vema kuona namna nyingine

  • @chiburendomi5267
    @chiburendomi5267 5 дней назад +1

    Hakuna bus zilikuwa zinapendwa kama Katarama Mwanza to Dar bus Scania sio Youtong

  • @japhetkatunziofficiallydon9587
    @japhetkatunziofficiallydon9587 5 дней назад +1

    Hiki kifaa cha naniiiii uliteuliwa na nani ujui hata kifaa kinaitwaje jaman

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk 5 дней назад +2

    Uyo ni boss utakufa wewe

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 5 дней назад +1

    Ameshapata ajali ngapi hadi sasa hivi?

  • @georgelusana2346
    @georgelusana2346 5 дней назад

    Hata Ally's wanachezeeaaa Sana na nyinyi hao hao latra mafundii wenu wanajuaaa

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 2 дня назад

    Tunasubiri majibu ya uchunguzi latra

  • @amosdesdery8482
    @amosdesdery8482 5 дней назад +1

    Mruhusu asee hiyo ndege ya ardhini tunaihitaji.....

  • @eyezarc1239
    @eyezarc1239 5 дней назад +2

    Ni ujinga acheni wivu wa kijinga watu wapige kazi…

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 дня назад

    Apewe Onyoo kari

  • @bignewscity4927
    @bignewscity4927 5 дней назад +2

    Mmazngua

  • @JOSEP490
    @JOSEP490 5 дней назад

    Hiyi ni ichi ya kinafki HAITAKI MAENDELEO WENGINE HAMUFAI KAZINI MUNA FANYA KAZI KWA SIFA HAPO UMEFRI UMEHALIBU SANA RUHUSU AENDELEE NAKAZI

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 6 дней назад +2

    Latra mjitafakari

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 5 часов назад

    Uyu atakua na Ubia na Heppy Nation ndiomaana anamualibia Mwezake ni Wivu tu

  • @AllyHashimu-d8p
    @AllyHashimu-d8p 5 дней назад +1

    Hapo kuna wachawi

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 7 часов назад

    Kasababisha ajali acheni wivu weng wenu mmewekeza kweny mabus sasa kifaa kimechezewa si mboreshe kifaa af mmfungie

  • @SwidiyqDauda
    @SwidiyqDauda 5 дней назад +1

    Achen ushamba gari mnaichunguza kama nibom lanyukilia Acha vyuma vitembee

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 5 дней назад

    Yule ally's na newforce kila siku wanauaa wala hamuangaiki nao ila huyu katarama hata siku moja wala hatujawah ona kaangusha gari ndo mnaangaika nae. Sio kila rushwa ni yakupokea

  • @NajimaA.R
    @NajimaA.R 5 дней назад +3

    Wivu tu

  • @davidmihambo9764
    @davidmihambo9764 4 дня назад

    Hata mpinzani wake mkuu naye anatembea speed zaid ya 80 , wiki iliyopita nilipanda anaenda hadi speed 118 so busara itumike wote waangaliwe kwa ukaribu.

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 5 дней назад

    Katarama hajawahi kupata ajali hata siku moja pamoja mwendo wake kuwa mkali ukilinganisha na wapinzani wake akina Allys.
    Kama mmemfutia leseni katarama basi msiwaache na wapinzani wake kwasababu nao wanahatarisha vilevile maisha ya watu.

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 3 дня назад

    Mabasi mengi yanapata ajali katarama yuko makini lkn sijui nini latra mnachokitaka kwa katarama huo ni wivu tu wa ushindani barabarani

  • @AmirNassoro-e6i
    @AmirNassoro-e6i День назад

    Hakuna sheriya huyu ni mjasilimali hajawahi kuangusha gari hebu tembeni mikoa yote Kuna mabasi Yana kimbia hovyo

  • @mussamapesa8863
    @mussamapesa8863 5 дней назад +1

    Tz unapangiwa na mtu hata baiskeli hana 80 speed gani mpaka miguu inavimba

  • @JOSEP490
    @JOSEP490 5 дней назад

    Umefanya vibaya huo niwivu wa maendeleo unasimamisha mabasi ya mtumumojatu mungempiga faini akaendelea nakazi hatujapenda hata kidogo unataka akoshwe abiria hizo nimichongo za matajiri wenzake

  • @davisbenny7259
    @davisbenny7259 3 дня назад

    Changamoto n hizi sasa, mnafungia gari ambazo hazina historia za ajali kabisa but kuna kampun za usafirishaji ambazo hazikidhi hayo matakwa na bado zipo barabaran (n mtazamo wangu tu)

    • @HappynessJapheth
      @HappynessJapheth 18 часов назад

      Et huo ni wivu wa maendereo imekaa miroho mbaya tu waone

  • @nkilatv6307
    @nkilatv6307 4 дня назад

    Latra mnazingua huo ni wivu wa kiutaftaji

  • @LuseAnderson
    @LuseAnderson 5 дней назад +1

    Wivu

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 День назад

    lakin mkuu angalia mchina SCANIA. ata barans avifanani angali je mabas yake yana talifa za ajali na galizake zinauwezo mukubwa sana ata garama nimbingu nanchi

  • @SwidiyqDauda
    @SwidiyqDauda 5 дней назад +1

    Kwanza nyiny mnamagari yenu mabasi yanawahus nn

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 4 дня назад

    Ally start amuioni ?. Mbona mabasi yanayo fanya fujo barabarani ni mengi?.

  • @faridiathumani3114
    @faridiathumani3114 5 дней назад +1

    Hela mnayopewa kuifungia katarama siwazitunze nao wanunue gari kama za katarama waache majungu

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 5 дней назад

    Tatizo la wafanyakazi wa serikali ni hili, urasimu tupu ndio mnajua

  • @kuyengamoris4140
    @kuyengamoris4140 2 дня назад

    😅😅 mm namini kuwa mwenye pesa ajawahi fungwa kizembe

  • @isacmaningo5618
    @isacmaningo5618 День назад

    Wakati mnaangalia anaekimbia kwa umakini mkubwa, hivyoivyo shugulikieni wenda pole wanaochelewa tena bila kua na umakini, Nashauli tu wala sipingi maamuzi yenu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 4 дня назад

    Muda wako unahesabika huu mwaka hauishi utapigwa chini kwa fitna hizo nikisema nimesema kijukuu cha mtume tubili matokeo

  • @EmanuelApollo-th1tp
    @EmanuelApollo-th1tp День назад

    Katarama kampa umaarufu nani alikuwa anamjua huyu!!!😅😅

  • @omarry-x1z
    @omarry-x1z 5 дней назад

    Harafu tatizo la spidi sio gar zote hapo nikua nikuangaria namba ya gari na kumjua dereva ni nani haiwezekan dereva Mmoja asimamishe safari za kampuni yote mnamtia hasara mwenye kampuni yake na kukosesha kazi madereva wengine kwa kosa la mtu Mmoja mliangalie hilo

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 дня назад

    Sasa mbona kuna tochi njian, acheni ubaya mbona sgr ilikwma porin,

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 дня назад +1

    Ila bongo😅😅😅

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 5 дней назад

    MAMA SAMIA ANATAKA WAPEWE ELIMU ZAIDI NA SIYO KUFUNGA BIASHARA YA MTU.SAMIA OYEEEE!

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 4 дня назад

    duh kweli katarama ndo funga kazi uo ni wivu kisa katarama huduma yake ni bora kwa sasa Tanzania nzima mbona mabasi mengine amsemi yaani bongo kweli fitina tu

  • @michaelnehemia4932
    @michaelnehemia4932 5 дней назад +2

    Chuk tu

  • @justinjasson7070
    @justinjasson7070 5 дней назад

    Mbona Campuni nyingi zinakimbia, tumepanda hayo mabadi na tunaona wengine wanakimbia sana tu.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 8 часов назад

    Huyu anazingua

  • @HamisiAhungu
    @HamisiAhungu 9 часов назад

    Huu wiv tu m naona scanaia ni tofaut na yoetong

  • @SamwelSimion-l5g
    @SamwelSimion-l5g 3 дня назад

    Kwan anaofukuzana nao huwa wanatumia ndege

  • @hamisimahenge5807
    @hamisimahenge5807 5 дней назад

    Wivu tu ndio unawasumbua!!!!, hamna lolote jipya hapo zaidi ya wivu tu na roho mbaya TU. Hizo Scania Marco polo G7 na zile Irizar zinawauma sana

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 5 дней назад

    DUNIA NI SASA NI MWEND0 KASI HATA TRENI ZIPO NDEGE PIKIPIKI NA BAISKELI MELI ZANZIBAR KILIMANJARO EXPRESS LATRA VIPI?😮

  • @jumamohamedi2086
    @jumamohamedi2086 5 дней назад

    huyo fungieni kabisa wanahatarisha maisha ya watanzania

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 3 дня назад

    Kosa ni kuwai. Kufika au kosa nini mbona hana ajali toka kaanza kazi

  • @lubogotv9811
    @lubogotv9811 4 дня назад

    Kwani bei ya yutong ni bei gan😂😂😂

  • @shabanimkumbo7794
    @shabanimkumbo7794 5 дней назад

    😮😮😮😮

  • @josephshayo5621
    @josephshayo5621 5 дней назад

    huyu kiongozi kapewa rushwa na arrys mtu hayawai pata ajari mnamfungia nn kisaa kaleta iriza

  • @suleimanabdalla5962
    @suleimanabdalla5962 5 дней назад

    Hii ndio shida ya Tanzania 🇹🇿 kutengenezeana vipindi tu 😂

  • @djsanga380
    @djsanga380 4 дня назад

    Huo niuoga wamaboss wenye sauti nawavivu kukata vyuma vyauhakika

  • @godfreygoyayi6576
    @godfreygoyayi6576 4 дня назад

    Sasa unasema ushafanya uchunguzi harafu unasema humfutii leseni hadi ufanye uchunguzi. Sasa huo uchunguzi upi tena?

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 5 дней назад

    Wanafki tu unawasumbua na roho mbaya na chuki mabasi mengi tu yanamichezo hio ila kwakua mmeamua kumchafulia jina panda gari yoyote ifike usiku uone inatembea speed ngapi ila na mkimfungulia pia mtangaze pia

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 3 дня назад +1

    Nonsense

  • @djsanga380
    @djsanga380 4 дня назад

    Punguzeni ubabaishaji na nyinyi

  • @djsanga380
    @djsanga380 4 дня назад

    Michina yenu inaua kilasiku haumfungi leo mnamfungia mtu kisa kifaa chakipuuzi etinjian anavurugu vuruguzipi mnazungumzia shida wabongo Rushwa zitawaua yani umamsitishia mtu leseni kwamasilai yako binafusi

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k 17 часов назад

    Niwivu tuu

  • @AsaniKaila
    @AsaniKaila 2 дня назад

    Wacha katalama

  • @JosephKalegea
    @JosephKalegea 5 дней назад

    Mnakula ho zamakampuniya mabasi acheni wivu

  • @christinapaul5614
    @christinapaul5614 5 дней назад

    Inawahusu nini sisi tunachotaka ni kufika roho ni zetu

  • @AllyGibu-cz2vo
    @AllyGibu-cz2vo 4 дня назад

    Tuandamane gari irudi barabarani 😂😂😂

  • @AmirNassoro-e6i
    @AmirNassoro-e6i День назад

    Msimuone

  • @AnordErio
    @AnordErio 5 дней назад

    Hahahahahhahahahahhahaha daaaa ameiona ndege ya ardhi ina zizima za taichiiiiii hahahahahhahahahah

  • @user-ri9kz2ej5j
    @user-ri9kz2ej5j 5 дней назад

    Nchi inatabu hii bac tu yani

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 5 дней назад

    HAKUNA BIFU KWELI?????