LATRA imesitisha leseni ya kampuni ya Mabasi ya Katarama Luxury
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imesitisha leseni ya kampuni ya Mabasi ya Katarama Luxury kwa kosa la kuondoa kifaa kilichofungwa kwenye mabasi yake na kufunga kifaa kingine kilichosababisha utumaji wa taarifa potofu katika mfumo wa VTS
Wanaokubali mwamba Katarama tujuwanehapa Katarama oyeeeeeee
Sheria ingerekebishwa..kwa sababu shida ya Basi moja sio sahihi ikaathiri mabasi yote ya Kampuni..kama kosa ni la wasimamizi wa Route husika unafingiaje mabasi yote kwa maana ya Kampuni..Mfano Katika Shule mwanafunzi mmoja akiacha shule ndio shule yote hakuna Kusoma😅😅😅
Latra mnatakiwa mjitafakar naul zinapanda kiholela huko hamuangalii mnaangalia mwendo hy haisaidii halaf angalien na hizo software zenu mnazotumia.....pia angalien magari yanayotoka Dar nairob na Mombasa Dar.........msimuumize katarama kawekeza pesa nyingi sana....Akihamisha gar zikapige kaz congo nch yetu inaonekana ya ajab
Chamsingi aende kongo akawaue uko hapa nikufuata sheria tu
Akili zingine jamani, sijui I afikiri kwa kutumia nini
WIVU TU mwenzenu ana SCANIA wengine mchina
Ata feo anazo scania
Kazi nzuri
Nyie jitafakarini bhana ......
Latra mnazingua sanaaa nyie aliowaambia abiria wanataka speed ndogo ni nan au mnajizima data kenge nyie
😂😂😂😂
Hebu acheni bhan
Natamani siku moja yule umpendae kwenye familia yako,afe Kwa ajali ya barabarani,halafu urudi tena hapa kutusimulia utamu ulioupata,na likupate Kwa jina la Shetani.😂
Ushindwe@@israelkisaila8401
😂😂😂😂
Yani kila nikisikia ajari ya mabasi uwa nakimbia kuangalia ni katarama lakini nakuta ni mchina au zile zinazokimbia speed ya 50 ila mwamba katarama simpati😢😢😢
Tatizo Sio mabasi bali Ni ushindani wa China Na Sweden. Uwanja wa Vita ni Tanzania. Scania ina nguvu kubwa ya msukumo kwenye engine kuliko yoetong ndiyo yanasababisha haya.
Simamieni ila msifungie watu watakosa ajira
Nyie Latra mnazingua, huwezi kulazimisha gari ya gia 7 mpaka 10, ikimbie speed 80, huo niupuuuzi,
Wivu wa maendereo huo nunua na ww yakwako
Mnazngua sana mtuachie ndegeyetu ya chini hayo siyanazungumzika?
Ihi nchi mungu atsaidie tu maana serekali iko fea kabisa inajali masilah yake binafisi nachuki zilizo kisili.. ukweli ivo vitu viko kila kampuni sio ktambara tu kila kampuni ivyo vitu vipo ila izo kampuni zingine zinazidiwa kwenye ushindani wakibiyashara kwaiyo apo nichuki tu inatmika yakibiyashala
Hiyo ni vita kati ya mchina na scania speed 80 ni mwendo mdogo sana ongezeni angalau hata 130km per h 80 ni mwendo wa kubembeleza yutong zisife sio scania
😂😂😂😂
Tatizo mnasumbuliwa na umasikini, juhudi za wenzenu mnazitolea macho wivu umewajaa hiyo kwanamna nyingine inaitwa uchawi, maendeleo ya wengine yamewatoa roho
Ninyi watanzania niwatu wa ajabu sana. Kazi yenu ni kulalamika tu. Watu wakipata ajali mnalalamika mnataka nini
Ajari ipo2 ata ukitembea na speed 30 kati ya katarama na izo zinazoenda mwendo mdogo ni zipi zinaongoza kwa kuuwa watu barabarani 😢😢@@AloneChuga
Mweu ww nyinyi ndiyo mmekariamawivu tu katarama anamatukio Gani kama arrys anauwa kira siku
Wanasumbua 2 wat wakat wao wanayumba
Hawa ndio vibaraka wa magari ya mchina, kisa wameona mawaziri wao majizi, wanamiliki mabasi ya mchina kwa wingi, ni mabovu sana.
Latra acheni roho ya ubinafsi katarama haijawahi kugonga hata kuku ila mnaifungia kila siku lengo kumbeba allys safari ya mwanza dar
Kabisa Hawa ni roho mbaya na wivu huo unawasumbua
Matatizo ya watu wa hesabu kusimamia sheria ndo haya.....Zinazopata ajali hazifungiwi ila zinazofika salama ndo zinafungiwa na uchunguzi juu
Yaani wanakera basi tu
Mnashindwa kutofautisha kati ya Mzungu na mchina acheni wivuuuu
Ajali
Mkuu boresheni barabara mbovu chuma zinauwezo mkubwa kuliko njia zenu kwann msianze na kutengenenza njia ... walio design waweke speed ya 80 mwisho, mbona misafara yenu mnaweka barabara nyeupe, hongelea miundo mbinu yenu wakuuuu huo ni ufunyu wa kufikilia au hajenge njia yake 😂
Spidi sioajali miundombinu yetu tupunguze matuta mashimo tutaona ajali zinakoma
Kama mume wafungia katarama umefaidika nn kama sio unazi tu muacheni apige kazi tren imewashinda mume hamia kweny mabasi haya juzi ili goma mbona hujachukua hatua za kuifungia
Aaaaa hivi nchi mbona mnakurupukaga tu. Kwani
Kyoma hongera pambana owatata
Kwanini mmeshindwa kusimamia tiketi mtandao kwa Mabasi?
Weledi mdogo, hakuna kingine
Usalama wa maisha ya binadamu ni muhimu, kwa hili naipongeza serikali
Acheni wivu nyie
Watu wanalinda maisha yako na ajali unasema wivu dah
Wenyewe niwakina mungu na kingine wanako enda nimbali huwezi kuweka speed ya 80 rabuda zakutoka dar na moro ndo ziwekewe 80 ila kwanziya dar to arusha mwanza bukoba kigoma mbeya inatakiwa ziende speed 120 inatosha haya munasema muna zuiya ajali na sauli alikufa kwa speed ajali ikiamua kuja inakuwa haina kinga sana so mabasi yanayo enda mbali mwingeyaruhusu kwa mwendo 120 isizidi hapo au hata 110 mimi nakuwaga kwenye mainchi jilani yani basi zinatembea sana nasijaona ajali hovyo hovyo kama za tz nakujifanya munazibiti mwendo
Tafuteni namna nyingine ya kudhibiti siyo kumfungia ama kusimamisha usafilishaji hizo Gari ni Gari ambazo ingekua sababu ya ushawishi kwa wawekezaji wengine ingekua vema kuona namna nyingine
Hakuna bus zilikuwa zinapendwa kama Katarama Mwanza to Dar bus Scania sio Youtong
Hiki kifaa cha naniiiii uliteuliwa na nani ujui hata kifaa kinaitwaje jaman
Uyo ni boss utakufa wewe
Ameshapata ajali ngapi hadi sasa hivi?
Hata Ally's wanachezeeaaa Sana na nyinyi hao hao latra mafundii wenu wanajuaaa
Tunasubiri majibu ya uchunguzi latra
Mruhusu asee hiyo ndege ya ardhini tunaihitaji.....
Ni ujinga acheni wivu wa kijinga watu wapige kazi…
Apewe Onyoo kari
Mmazngua
Hiyi ni ichi ya kinafki HAITAKI MAENDELEO WENGINE HAMUFAI KAZINI MUNA FANYA KAZI KWA SIFA HAPO UMEFRI UMEHALIBU SANA RUHUSU AENDELEE NAKAZI
Latra mjitafakari
Uyu atakua na Ubia na Heppy Nation ndiomaana anamualibia Mwezake ni Wivu tu
Hapo kuna wachawi
Kasababisha ajali acheni wivu weng wenu mmewekeza kweny mabus sasa kifaa kimechezewa si mboreshe kifaa af mmfungie
Achen ushamba gari mnaichunguza kama nibom lanyukilia Acha vyuma vitembee
Yule ally's na newforce kila siku wanauaa wala hamuangaiki nao ila huyu katarama hata siku moja wala hatujawah ona kaangusha gari ndo mnaangaika nae. Sio kila rushwa ni yakupokea
Wivu tu
Hata mpinzani wake mkuu naye anatembea speed zaid ya 80 , wiki iliyopita nilipanda anaenda hadi speed 118 so busara itumike wote waangaliwe kwa ukaribu.
Katarama hajawahi kupata ajali hata siku moja pamoja mwendo wake kuwa mkali ukilinganisha na wapinzani wake akina Allys.
Kama mmemfutia leseni katarama basi msiwaache na wapinzani wake kwasababu nao wanahatarisha vilevile maisha ya watu.
Wivu tu imewajaa kosa hata mm sioni
Mabasi mengi yanapata ajali katarama yuko makini lkn sijui nini latra mnachokitaka kwa katarama huo ni wivu tu wa ushindani barabarani
Hakuna sheriya huyu ni mjasilimali hajawahi kuangusha gari hebu tembeni mikoa yote Kuna mabasi Yana kimbia hovyo
Tz unapangiwa na mtu hata baiskeli hana 80 speed gani mpaka miguu inavimba
Umefanya vibaya huo niwivu wa maendeleo unasimamisha mabasi ya mtumumojatu mungempiga faini akaendelea nakazi hatujapenda hata kidogo unataka akoshwe abiria hizo nimichongo za matajiri wenzake
Changamoto n hizi sasa, mnafungia gari ambazo hazina historia za ajali kabisa but kuna kampun za usafirishaji ambazo hazikidhi hayo matakwa na bado zipo barabaran (n mtazamo wangu tu)
Et huo ni wivu wa maendereo imekaa miroho mbaya tu waone
Latra mnazingua huo ni wivu wa kiutaftaji
Wivu
lakin mkuu angalia mchina SCANIA. ata barans avifanani angali je mabas yake yana talifa za ajali na galizake zinauwezo mukubwa sana ata garama nimbingu nanchi
Kwanza nyiny mnamagari yenu mabasi yanawahus nn
Ally start amuioni ?. Mbona mabasi yanayo fanya fujo barabarani ni mengi?.
Hela mnayopewa kuifungia katarama siwazitunze nao wanunue gari kama za katarama waache majungu
Kabisa
Tatizo la wafanyakazi wa serikali ni hili, urasimu tupu ndio mnajua
😅😅 mm namini kuwa mwenye pesa ajawahi fungwa kizembe
Wakati mnaangalia anaekimbia kwa umakini mkubwa, hivyoivyo shugulikieni wenda pole wanaochelewa tena bila kua na umakini, Nashauli tu wala sipingi maamuzi yenu
Muda wako unahesabika huu mwaka hauishi utapigwa chini kwa fitna hizo nikisema nimesema kijukuu cha mtume tubili matokeo
Katarama kampa umaarufu nani alikuwa anamjua huyu!!!😅😅
Harafu tatizo la spidi sio gar zote hapo nikua nikuangaria namba ya gari na kumjua dereva ni nani haiwezekan dereva Mmoja asimamishe safari za kampuni yote mnamtia hasara mwenye kampuni yake na kukosesha kazi madereva wengine kwa kosa la mtu Mmoja mliangalie hilo
Sasa mbona kuna tochi njian, acheni ubaya mbona sgr ilikwma porin,
Ila bongo😅😅😅
MAMA SAMIA ANATAKA WAPEWE ELIMU ZAIDI NA SIYO KUFUNGA BIASHARA YA MTU.SAMIA OYEEEE!
duh kweli katarama ndo funga kazi uo ni wivu kisa katarama huduma yake ni bora kwa sasa Tanzania nzima mbona mabasi mengine amsemi yaani bongo kweli fitina tu
Kabisa wivu imewajaa nunueni na nyinyi
Chuk tu
Mbona Campuni nyingi zinakimbia, tumepanda hayo mabadi na tunaona wengine wanakimbia sana tu.
Huyu anazingua
Huu wiv tu m naona scanaia ni tofaut na yoetong
Kwan anaofukuzana nao huwa wanatumia ndege
Wivu tu ndio unawasumbua!!!!, hamna lolote jipya hapo zaidi ya wivu tu na roho mbaya TU. Hizo Scania Marco polo G7 na zile Irizar zinawauma sana
DUNIA NI SASA NI MWEND0 KASI HATA TRENI ZIPO NDEGE PIKIPIKI NA BAISKELI MELI ZANZIBAR KILIMANJARO EXPRESS LATRA VIPI?😮
huyo fungieni kabisa wanahatarisha maisha ya watanzania
Kosa ni kuwai. Kufika au kosa nini mbona hana ajali toka kaanza kazi
Kwani bei ya yutong ni bei gan😂😂😂
😮😮😮😮
huyu kiongozi kapewa rushwa na arrys mtu hayawai pata ajari mnamfungia nn kisaa kaleta iriza
Hii ndio shida ya Tanzania 🇹🇿 kutengenezeana vipindi tu 😂
Huo niuoga wamaboss wenye sauti nawavivu kukata vyuma vyauhakika
Sasa unasema ushafanya uchunguzi harafu unasema humfutii leseni hadi ufanye uchunguzi. Sasa huo uchunguzi upi tena?
Wanafki tu unawasumbua na roho mbaya na chuki mabasi mengi tu yanamichezo hio ila kwakua mmeamua kumchafulia jina panda gari yoyote ifike usiku uone inatembea speed ngapi ila na mkimfungulia pia mtangaze pia
Nonsense
Punguzeni ubabaishaji na nyinyi
Michina yenu inaua kilasiku haumfungi leo mnamfungia mtu kisa kifaa chakipuuzi etinjian anavurugu vuruguzipi mnazungumzia shida wabongo Rushwa zitawaua yani umamsitishia mtu leseni kwamasilai yako binafusi
Kenge huyo mawivu tuyamewajaa
Niwivu tuu
Wacha katalama
Mnakula ho zamakampuniya mabasi acheni wivu
Inawahusu nini sisi tunachotaka ni kufika roho ni zetu
Tuandamane gari irudi barabarani 😂😂😂
Msimuone
Hahahahahhahahahahhahaha daaaa ameiona ndege ya ardhi ina zizima za taichiiiiii hahahahahhahahahah
Nchi inatabu hii bac tu yani
HAKUNA BIFU KWELI?????