Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MOTO UNAMEWAKA AVIC TOWN! WACHEZAJI WAKIFANYA MAZOEZI SIKU YA TATU - PRE SEASON

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 183

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Месяц назад +7

    Nakuomba M/Mungu wajaalie Kheir Viongozi wetu na benchi la ufundi na wachezaji Allah wazidishie uwezo wa utendaji wao na wachezaji wetu wajaalie nusra na wazidishie ujasiri wawepo uwanjani Inshaallah

  • @claratango9262
    @claratango9262 Месяц назад +10

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e Месяц назад +17

    Apa kazitu hakuna kupowa Jamani, mora awe na nyinyi nyakati zote aminaaaaaaaaa

  • @bminawandu
    @bminawandu Месяц назад +51

    Kila mtu wakwanza anaomba like wa mwisho Leo na Mimi naombeni like

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 Месяц назад +6

    Mimi sio wa kwanza wala wa mwisho ila nawapenda tu naombeni likes zenu 💚💚😂

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio Месяц назад +4

    Kosi utazani wanataka uefa bana 💚🖤💛😊

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 Месяц назад +7

    Ee Mungu Mkuu,,ikumbuke timu ambayo imekuwa ikitoa misaada kwa watu wasiojuweza,,ifanye iwe timu itakayoleta kombe la klabu bingwa la Afrika. Hakuna lisilowezekana

  • @AdamSadick-ik5jg
    @AdamSadick-ik5jg Месяц назад +13

    Wapi yanga dam dam🙌💚💚🔰🔰

  • @josephgwasa4577
    @josephgwasa4577 Месяц назад +15

    Always mwananchi✊🏽

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Месяц назад +4

    Nafurahi kuona mkude bado yupo

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x Месяц назад +3

    Allah atufanyie wpc Insha Allah

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад +4

    Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko pambaneni tuko nanyi kwa maombi

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Месяц назад +2

    ❤❤❤kila la kheri kwenye prisizoni yenu mashabiki tupo tunawaombea mzidi kufanya vinzuri mlete kombe na Africa nyumbani inshallah.❤❤

  • @DenisBegga
    @DenisBegga Месяц назад +2

    💚💚💛💛 naipenda sana

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Месяц назад +1

    Emwenyi mungu wabaliki wachezaji wetu wabaliki na benchi la ufundi wapatie nguvu

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho8050 Месяц назад +2

    The green and yellow Army 💚💛

  • @McbarakaeventsTz
    @McbarakaeventsTz Месяц назад +13

    Nani kacheka kama mimi hapo kwa Gamondi alivyoonyesha ishara ya mjegeje like tukuaje? 😅😅

  • @youngshilabebe8138
    @youngshilabebe8138 Месяц назад +2

    Kambi Ya Avic town Aina utofauti na walioendA Nje kuweka kambi Salute 🫡 kwake Alie ichaguA kambi hii tangiA Day GSM alivo ingiA

  • @hamisngoi2930
    @hamisngoi2930 Месяц назад +3

    Wananchi wenzangu tujisajili na tulipie kadi zetu ili kujenga uchumi wa timu. Naomba uongozi na timu nzima ya mauzo wazunguke mikoani hadi vijijini kisajili wanachama

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 Месяц назад +4

    Litakufa jituu nawambien kwa hii Tim 💚💚💚💚🔥🔥🔥🙏🙏

  • @YasriSaidiIddi
    @YasriSaidiIddi Месяц назад +7

    Yanga daima mbele 💚 💚 💚

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 Месяц назад +6

    Yanga raha 🧡🧡💛💛💛💛💛💛

  • @jenhudson269
    @jenhudson269 Месяц назад

    Mungu wabaliki wa chezaji wetu wa yanga

  • @Cutenaah
    @Cutenaah Месяц назад +23

    Wakwanza jani NAOMBENI likes💚💚💛💛

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Месяц назад +9

    Jaman tufanye kwl mpk mwz w 9 2fikish 1m yanga tv

  • @mwansasujonny3536
    @mwansasujonny3536 Месяц назад +7

    Kazi iendelee wanaume....

  • @user-pu3dn8hu2n
    @user-pu3dn8hu2n Месяц назад +15

    Wakwanza naombeni Like zangu 🎉🎉🎉

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад +8

    Naona watazamaji wengi kweli kwenye mazoezi.

  • @proudpoint7370
    @proudpoint7370 Месяц назад

    Nafurahi sana kuona club yetu pendwa ikifanya mazoezi serious kama haya. Mwenyezi Mungu tubariki mwaka huu tushinde mataji yote yatakayoshindaniwa msimu mpya unaokuja, hasa hasa taji la Klabu bingwa wa Africa, CAF Champions League.
    Amen 🙏

  • @ApolonalizachariaChama
    @ApolonalizachariaChama 28 дней назад

    Jitumeni Tim iposafi sana ubingwa was Africa razima uje

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад

    Mungu awe nanyi kwenye msimu mpya🙏👏🔰💚

  • @DannyMasuka-ut4oq
    @DannyMasuka-ut4oq Месяц назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Месяц назад +1

    My team

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Месяц назад +1

    Nice

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Месяц назад +2

    Mungu pamoja nasi

  • @user-ox3zp4he9d
    @user-ox3zp4he9d Месяц назад +1

    Kutazam mazoezi ni fursa ya kuingiza kipto sisi ni timu kubwa viongozi tuitumii hii

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +3

    Good,inapendeza sana

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b Месяц назад +3

    Dozi inaandaliwa

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 Месяц назад +3

    Wanachiiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉💚💛

  • @artlastking
    @artlastking Месяц назад +1

    Hilo tizi la golikipa🙌🏾

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc Месяц назад +4

    Kuna picha Zina sambaa nimemuona baleke kama nawew umemuona gonga like

  • @officialyoungdizo
    @officialyoungdizo Месяц назад +3

    DAIMA MBELEEE 💥💥

  • @princemhina5366
    @princemhina5366 Месяц назад +1

    🔥 🔥 🔥 🔥

  • @samsonngabahi6406
    @samsonngabahi6406 Месяц назад +2

    All the Best players

  • @agustinombawala5527
    @agustinombawala5527 Месяц назад +1

    Dah huyu kipa tumelamba dume anajua sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EmmanuelDAGNA
    @EmmanuelDAGNA Месяц назад +1

    hii yanga Raha sana kuwa yanga upate raha

  • @user-princs
    @user-princs Месяц назад +1

    Wapi Diara
    Aucho na musonda😮😮😮😮😢

  • @freefromhunger
    @freefromhunger Месяц назад +1

    Toyota tunarudi nalo🖤💛💚

  • @zamaradhassan
    @zamaradhassan Месяц назад +1

    Matege ya kwas na diara yananifurahishaga ila nawakubali sana aiseeee🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u Месяц назад +1

    Wananchiiiiii

  • @chollejr_
    @chollejr_ Месяц назад

    Mudathir anaishi msituni😊😊😊😊

  • @FrumenceBoniphaceMasero
    @FrumenceBoniphaceMasero Месяц назад +1

    Mambo ni moto

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Месяц назад +2

    Allaah Akbar

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Месяц назад +1

    Wa 153 naombeni like kulingana na namba yangu haya chap chap

  • @RooneyJames-me7lh
    @RooneyJames-me7lh Месяц назад +3

    💛💚💛💚💛💚💛

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Месяц назад +1

    Wachezaji wa club yangu bora nawaomba mkaishi kwa upendo wakati wote coz itawafanya mshikirikiane vzr ndani na nje ya uwanja hapo ndipo mnatengeza time bora

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Месяц назад +1

    Mashabiki wengi wamemic wachezaji wao uwanjani

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Месяц назад +1

    Nice yang africans

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 Месяц назад +1

    🔥🔥

  • @user-kh3pi9xu5k
    @user-kh3pi9xu5k Месяц назад +2

    Diara Musonda Aucho awapo kambini

  • @JaphetDaud-x7d
    @JaphetDaud-x7d Месяц назад

    Wanashiiiiiiiiiiiiiiii naomba mnipe maelekezo kadi ya wanachama

  • @MedyHamisi
    @MedyHamisi Месяц назад

    Kwa yanga hii mtakoma makolo poleni sana msimu kabla haujaanz chukueni pole yenu na usajili wenu wa vijana huo

  • @scratcharico6223
    @scratcharico6223 Месяц назад +1

    they started

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq Месяц назад +1

    Mm sitak kazi ya goalkeeper kha unaweza kata utumbo

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Месяц назад +1

    Nani kamuona nungunungu Master!!!! Hahahaha..... Moto utawaka. Tunawapiga ndani na nje ya uwanja.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Месяц назад

      Mimi pia nimemwona hiki kikosi mmmh naogopa mimi

  • @AmashaMchelemi-bq9yv
    @AmashaMchelemi-bq9yv Месяц назад +3

    Wakwanza leo

  • @jamessanga6768
    @jamessanga6768 Месяц назад +1

    Max haimbwi lakini hii ni mashine aisee

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @oswaldliberatus207
    @oswaldliberatus207 Месяц назад +2

    First🎉🎉🎉🎉🥳

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Месяц назад +1

    Hao watu Wanao chungulia sijapenda😅

  • @madibasenior412
    @madibasenior412 Месяц назад

    Kama umegundua GAMONDI kanenepa like hapa😂😂

  • @user-cx5nf1jv1l
    @user-cx5nf1jv1l Месяц назад +1

    Dauma mbele nyuma mwiko🎉

  • @DebabaJohn-fz4qg
    @DebabaJohn-fz4qg Месяц назад +1

    3:22 ❤😂

  • @lusekelomwakyembe57
    @lusekelomwakyembe57 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤

  • @Paris_onlineTv
    @Paris_onlineTv Месяц назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Месяц назад

    SIMBA HAPA KZ MNAYO

  • @mussasiraju7193
    @mussasiraju7193 Месяц назад +1

    Yanga Bingwa tena

  • @mwarabumsophe349
    @mwarabumsophe349 Месяц назад +1

    Mda mshale simuom

  • @user-qk8mh1hb6o
    @user-qk8mh1hb6o Месяц назад +2

    💪🙏🇹🇿

  • @princemhina5366
    @princemhina5366 Месяц назад

    Kama tunaipenda YANGA yetu naombeni sana tukajisajiri kwa wingi na kulipa ada zetu za uanachama kablu yetu ipate mapato izidi kufanya usajili wa wachezaji wazuri mwakani.

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan Месяц назад

    💛💛💛💛

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Месяц назад +1

    Mmh! Haya mazoezi ya Magolikipa,km umezoea kula Ugali na Korosho,lzm uzimie uwanjani 😂

    • @AbuuAbdilRahmaan
      @AbuuAbdilRahmaan Месяц назад

      Huyu kocha wa magolikipa ni hatari...anaandaa dozi nene...

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 Месяц назад +1

    Hivi mna malengo gani na mzize kuna dube, baleke musonda si bora angeenda watford tu

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 Месяц назад +1

      Hehe hapa ndio watford.. sote tunavaa njano😂😂😂

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад

    Uyu gol kipa ni muzuri ana uwezo mm nimeona ivo

  • @RamadhaniNgota
    @RamadhaniNgota Месяц назад +1

    Wakwanza like nyingi wananchiiii

  • @CheruVitus
    @CheruVitus Месяц назад +1

    Jaman tuombe sana makombe yote tuchukue

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @barakamlani
    @barakamlani Месяц назад

    Wananchiiiiiiiiiiii

  • @nancynana2818
    @nancynana2818 Месяц назад +1

    💚💛💚💛🔥🔥

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Месяц назад +1

    Good

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 Месяц назад +1

    Yanga Bingwa

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Месяц назад

    I miss Dr aucho 😊

  • @AnnaJayden-k4m
    @AnnaJayden-k4m Месяц назад

    Komaeni wazee nawaona bado sana

  • @michaelstephano5775
    @michaelstephano5775 Месяц назад

    ❤❤

  • @SarafinaPaskali
    @SarafinaPaskali Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joelympemba7912
    @joelympemba7912 Месяц назад

    Mbona Aucho, musonda na Diara hawajafika hadi Leo Kuna shida gani

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад

    Namtolea macho uyu kipa nikagundua cmjui😁😁😁😁😁

    • @FootballLaduma
      @FootballLaduma Месяц назад

      Aboubakar Khomeini alikuwa Singida black stars

  • @sajum-wm6yd
    @sajum-wm6yd Месяц назад +1

    Hiv jaman Dr yupo?

  • @amirkhantz1769
    @amirkhantz1769 Месяц назад

    Mbn aucho hatumuoni na taarifa zake hatuna wananchi na kenedy musonda kaachwa au

  • @shafiimohamedi311
    @shafiimohamedi311 Месяц назад

    Kos la.mauaji