MAGOLI YA KIKATILI YALIVYOFUNGWA AVIC TOWN | KIKOSI KIKIJIANDAA MCHEZO DHIDI YA VITAL'O FC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 110

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 2 месяца назад +65

    Mazoezi kila siku halafu makali useme eti hawa wachunguzwe kwanini hawachoki utachoka wakati mwili umezoea sulubu mkipigwa nyingi oooh.wananunua kumbe zoezi pigeni kazi vijana Daima mbele nyuma mwiko

    • @IssaNdelwa-pz3zl
      @IssaNdelwa-pz3zl 2 месяца назад +2

      Hizi KAZI zinataka wanaume wavulana watupishe

    • @5googleuuu727
      @5googleuuu727 2 месяца назад +1

      Is true

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +1

      Wasipo jipanga watakula nyingi tutao kutana nao katika kila mchezo

    • @RDobeye
      @RDobeye 2 месяца назад +1

      simba wanaona vivu litimu lao libov

    • @charleskilian
      @charleskilian 2 месяца назад

      Naunga mkono hoja

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 2 месяца назад +5

    Mungu ni mwema. Dua kila hatua my team. Muwe na afya njema daima inshaalah 💚💛💚💛yanga Africans daima mbele nyuma mwiko. YangaSC. Oyeeeeeeeee

  • @GoodChombe
    @GoodChombe 2 месяца назад +15

    Chama la Wana wote wa inchi hii💪💪💪

  • @youngmbuzi3662
    @youngmbuzi3662 2 месяца назад +8

    Wa kwanza like zangu

  • @LukasChavala
    @LukasChavala 2 месяца назад +4

    🔥🔥🔥🔥🔥 Daima mbele Nyuma mwiko

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 месяца назад +8

    Allaah Akbar
    Mtu akipigwa 5 mnatafuta mchawi

  • @MagangaJuma-w9d
    @MagangaJuma-w9d 2 месяца назад +5

    Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda jmosi daima mbele nyuma mwiko

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 2 месяца назад +8

    Vijana wanacheza mpira wakitabu hongereni sana mkifungwa huani kwa figisu sio kwa zoezi zuri km hilo💛💛💚👍

  • @HamimSaid-g5p
    @HamimSaid-g5p 2 месяца назад +13

    Hii yanga balaa wananchi km man city❤❤

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 месяца назад +10

    Hii MIJITU sio POA kabisa...Ukikutana nayo ni NOMA

  • @MSIMBATIBoy-zd2rm
    @MSIMBATIBoy-zd2rm 2 месяца назад +6

    MAZOEZI YA FINAL YA CAF💪🙌

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад +3

    Kuna watu nimeona wamepostiwa et wako gym lakin wamekauka hao utadhani wametoka kulala na ni wako gym akf wakwetu huku wanapga mazoezi kweli kweli tena wengne wana had mazoezi yao binafsi kama wakna pacome alf wanatokea vichaa fulani hiv et wanasema wachezaji wetu wanatumia madawa ya kusisimua misuli ebu washindwe kabsa waache wachezaji wetu wanajituma sana

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 2 месяца назад +16

    Hili bomu inatakiwa likilipuka mtu apigwe hata nane ili iwe fundisho vizazi na vizazi...

    • @HousenAhmadi
      @HousenAhmadi 2 месяца назад +1

      Kabisa kabisa 😂😂

    • @JeniphaYeho
      @JeniphaYeho 2 месяца назад +1

      😂😢😮 ah​@@HousenAhmadi

  • @manasecharles894
    @manasecharles894 2 месяца назад +1

    Hapo Kuna team inaandaliwa dozi ya goli 5+

  • @joelmwanje2008
    @joelmwanje2008 2 месяца назад +2

    Mh ndo maana Yanga wanatengeneza spaces sana kumbe ni from the training ground hongera 🔥🔥🔥

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo 2 месяца назад +12

    Wachezaj wana umoja wa hali ya hatar

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 2 месяца назад +4

    Kila la kheri chama langu 🙏🙏

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 2 месяца назад +11

    Jicho la Aziz Ki kwenye kutoa pass ni balaa tupu💚💚💚💚💚

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад +3

    Ndo maana kwenye daby ile tarehe8 mliwatumia makolo kama con mpka mkaenda kufunga goli😂😂😂😂😂

  • @zanzibartour8256
    @zanzibartour8256 2 месяца назад +1

    Dah oyaweeee ,nakubali sana. Sema nn msionyeshe vitu dhahabu kama hvi makolo Wataiga😂😂

  • @OdiloMichael
    @OdiloMichael 2 месяца назад

    Young Africans💚💚💚💛

  • @PeterMlolere
    @PeterMlolere 2 месяца назад +6

    This is yanga sc💚💛

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 2 месяца назад +7

    Yanga bingwa

  • @sportinfo5
    @sportinfo5 2 месяца назад +5

    Come on yanga

  • @JohnJonasMuhini
    @JohnJonasMuhini 2 месяца назад +1

    Tizi la machampion 🔥🔥💛💚

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 месяца назад +4

    Madunduka mkiona hayo madawa ya Kuongeza nguvu hapo mseme...maana ligi ikianza ni Pumzi za Moto wa Volcano.

  • @MSIMBATIBoy-zd2rm
    @MSIMBATIBoy-zd2rm 2 месяца назад +3

    PASI IZI NI KAMA GORI TULIOWAKANDA COLOZDAD

  • @FrenkEliaKafene
    @FrenkEliaKafene 2 месяца назад

    ❤❤❤❤ Nimeipenda hiii

  • @IsackJackson-lc2lm
    @IsackJackson-lc2lm 2 месяца назад

    Kila la kheli chama letu pendwa yanga African 💚💚💚💚💛💛💛

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 2 месяца назад

    🎉🎉❤❤ I trust this team

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g 2 месяца назад +1

    Yanga noma

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 2 месяца назад +1

    Uhuu

  • @SaidiHemed
    @SaidiHemed 2 месяца назад +3

    Wakwanza Mimi ku comment

  • @musamagulu2023
    @musamagulu2023 2 месяца назад +1

    Yaan ndani nchale,nje nchale watachagua wao wafungwe na kikosi gani

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 2 месяца назад

    Kazi kazi

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +2

    Halafu watu wengine wanaanza kutafuta nani hana furaha kwenye team na hali tunaona jinsi walivyo na umoja

  • @Paris_onlineTv
    @Paris_onlineTv 2 месяца назад +6

    YANGA BINGWA

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 2 месяца назад

    Love yanga

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo 2 месяца назад +4

    😂😂😂yanga hii utaifungaje

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 2 месяца назад +1

    Yani kama mvivu yanga hupati namba na kama mvivu ukifika yanga utachangamka fasta tu 🎉🎉🎉

  • @arafatizuberi5307
    @arafatizuberi5307 2 месяца назад +6

    Yanga tamu 🔥🔥

  • @lwagamwakalinga8038
    @lwagamwakalinga8038 2 месяца назад +1

    Sio kama makolo wanafanya mazoezi kwa kificho hata zile game zao za kirafiki Egypt walikuwa wanacheza kwa kificho chumbani halafu anatokeza tu Ahmed ally sebuleni kabana pua kutuambia huko chumbani kashinda mechi. Hii ni Young Africa bhana mazoezi nje nje na game za kujipima nje nje kila mtu anaona.

  • @piufighter8380
    @piufighter8380 2 месяца назад +1

    Izo zinaitwa one two pasi milioni a.k.a pasi 14 walizopigwa makolo

  • @mwansasujonny3536
    @mwansasujonny3536 2 месяца назад +1

    Huyu kocha wa viungo anajua sana

  • @jonasichimosa9033
    @jonasichimosa9033 2 месяца назад +1

    Kazi kazi acha waseme maneno ya watu walie shindwa

  • @elardmassawe5513
    @elardmassawe5513 2 месяца назад +1

    Please tugawe 10 kwa team kama tatu this season

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 2 месяца назад +1

    Balaa ziitooh

  • @ModouTop-h3g
    @ModouTop-h3g 2 месяца назад +3

    Yana mabingwa🎉🎉

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 месяца назад

    Chama langu 💚💚💚💛

  • @erastonzogela1405
    @erastonzogela1405 2 месяца назад +1

    Hawa watu ukute ni kizazi Cha Goliati Hawa. Majitu yakutisha sana

  • @nseyantemi
    @nseyantemi 2 месяца назад

    Yanga Daimaaaaaa

  • @Dopa7MC
    @Dopa7MC 2 месяца назад

    Wananchi 💚💛💚🔥🔥🔥🔥🔥

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 2 месяца назад +1

    Yanga Bingwa 100%

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 2 месяца назад +1

    Muda umepigaje apo

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 месяца назад

    Allaah Akbar

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉ao viato kaz wanayo wameutaka

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 2 месяца назад +1

    Sii wanasema sisi ni wazee...angalia mazoezi Yao....!

  • @FabianiAllex-sz2yx
    @FabianiAllex-sz2yx 2 месяца назад

    Hongera yanga

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 2 месяца назад +1

    Inabidi kumfunga vital 14 goals ili mdomo husiweze ata kuongea maana sio kwa kujitapa kule

  • @MagangaJuma-w9d
    @MagangaJuma-w9d 2 месяца назад +2

    Kuna bomu rinasukwa jmosi rinakufa jitu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад +2

    Hawa jamaaa kumbe wanatesana hivi mazoezini

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 месяца назад

    Wakiwa hawajameza madawa wa kawaida sana😮😢

  • @DaniBoeeTz
    @DaniBoeeTz 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @PeterSevere
    @PeterSevere 2 месяца назад

    Hizi video wapimzani wanaziona

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 2 месяца назад

    Camera man umezingua

  • @chollejr_
    @chollejr_ 2 месяца назад

    Aziz ki yeye ni Kwa DUBE t😂😂😂😂haijalishi yukwapi

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere 2 месяца назад

    Baleke ni mvivu sana

  • @revocatusawadhi6550
    @revocatusawadhi6550 2 месяца назад +1

    Jmn kwn wakina kibwana wamepewa adhabu ama

    • @house_of_movie
      @house_of_movie 2 месяца назад

      Hao wanafundishwa falsafa ya timu

  • @shaibujuma6618
    @shaibujuma6618 2 месяца назад

    Hiii kubwa

  • @zuberihussein5761
    @zuberihussein5761 2 месяца назад

    Wageni lazima wajue timu inachezaje, vipengele tofauti , ukiwahi kuelewa twende tukakawafanye kwa uwanja😅😅😅

  • @philichalamila
    @philichalamila 2 месяца назад

    🤙🤙🤙

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 2 месяца назад

    Mrundi kayatimbanga😂😂😂

  • @ElishaKitomari-uz3on
    @ElishaKitomari-uz3on 2 месяца назад

    Yanga bingwa mara 6 tena

  • @TijoTiger
    @TijoTiger 2 месяца назад

    Kwahyo hatuna kipa sasa😂😂😂😂

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад

    Ff u ao🎉🎉🎉

  • @ShaabanKwenyula
    @ShaabanKwenyula 2 месяца назад

    Hivyo vidude viwili vinavyozungukwa ndio wachezaji wa makolo

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 2 месяца назад

    Jaman vp kuhusu lile bango mbona atulioni au mnataka kimsajili dada yake mo alietambulishwa Simba day ndio mtuwekee pale kariako

  • @jonasichimosa9033
    @jonasichimosa9033 2 месяца назад

    Mtu akipigwa 5 mnasema wamezamini Tim nyingi😅😅😅😅😅

  • @MethodkifokaMethodkifoka
    @MethodkifokaMethodkifoka 2 месяца назад

    Itoshe kusema vitalo kayatimba

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 2 месяца назад

    Baleke ongeza usahihi wa pasi

  • @ErastoChilanza
    @ErastoChilanza 2 месяца назад

    Hii yanga itaua mtu jamani

  • @WahidaKhamisi
    @WahidaKhamisi 2 месяца назад

    Timu yet ni mazoez kwa wingi t hmn kuroga

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 2 месяца назад

    Na tunataka timu zisije kabisa uwanjani

  • @ZuhuraOmar-x5t
    @ZuhuraOmar-x5t 2 месяца назад

    Halafu mtu akipigwa 10 museme Yanga inanunua mechi

  • @HASSANKAMGUNDA
    @HASSANKAMGUNDA 2 месяца назад

    Humutu humutu😅😅

  • @nickomdete7232
    @nickomdete7232 2 месяца назад

    Bingwa tena😂

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 2 месяца назад

    Walisema Sasa kilio Chao wachunguzwe

  • @jonasichimosa9033
    @jonasichimosa9033 2 месяца назад

    Kwamazoezi haya kuna mtu atapigwa wiki kabisa

  • @ChazJulias
    @ChazJulias 2 месяца назад

    watu tumewekeza tuko sious sio masihara

  • @chollejr_
    @chollejr_ 2 месяца назад

    Kuna watu wamesema wanakuja kututoa

  • @KasimSeif-w1y
    @KasimSeif-w1y 2 месяца назад +2

    😂😂

  • @seiflitonela494
    @seiflitonela494 2 месяца назад

    Timu kubwa mambo Makubwa, AMA HAKIKA MAZWAZWA utasikia hii yanga WANANUNUA MECHI WANADHANI USHINDI UNAPATIKANA KWA POROJO, KWA MAZOEZI HAYA TIMU IKIFUNGWA TANO USHANGAE?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 2 месяца назад

    Mnatengeneza nuclear BOM

  • @World_of_Fun255
    @World_of_Fun255 2 месяца назад +1

    🫡

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 2 месяца назад +1

    The guy with jersey #12 is very lazy, you can tell from his body language. His mate are trying to be quicker but he is always slowing the pace...

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад +1

      He will see this and will rectify himself

    • @khalfantepani890
      @khalfantepani890 2 месяца назад +2

      thanks brother for the compliments

    • @selemanmussa3459
      @selemanmussa3459 2 месяца назад +1

      @@amaniomar1755 I wish he change...

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 2 месяца назад

    IDARA YA HABARI MSIWE MNA ONYESHA MAZOEZI YOTE KWA KILA KITU KWA UREFU TOENI VIDEO FUPI SANA IWE SIRI YA KAMBI

  • @OctaJohn-ov9gc
    @OctaJohn-ov9gc 2 месяца назад

    Yanga bingwa