Mazoezi kila siku halafu makali useme eti hawa wachunguzwe kwanini hawachoki utachoka wakati mwili umezoea sulubu mkipigwa nyingi oooh.wananunua kumbe zoezi pigeni kazi vijana Daima mbele nyuma mwiko
Kuna watu nimeona wamepostiwa et wako gym lakin wamekauka hao utadhani wametoka kulala na ni wako gym akf wakwetu huku wanapga mazoezi kweli kweli tena wengne wana had mazoezi yao binafsi kama wakna pacome alf wanatokea vichaa fulani hiv et wanasema wachezaji wetu wanatumia madawa ya kusisimua misuli ebu washindwe kabsa waache wachezaji wetu wanajituma sana
Sio kama makolo wanafanya mazoezi kwa kificho hata zile game zao za kirafiki Egypt walikuwa wanacheza kwa kificho chumbani halafu anatokeza tu Ahmed ally sebuleni kabana pua kutuambia huko chumbani kashinda mechi. Hii ni Young Africa bhana mazoezi nje nje na game za kujipima nje nje kila mtu anaona.
Timu kubwa mambo Makubwa, AMA HAKIKA MAZWAZWA utasikia hii yanga WANANUNUA MECHI WANADHANI USHINDI UNAPATIKANA KWA POROJO, KWA MAZOEZI HAYA TIMU IKIFUNGWA TANO USHANGAE?
Mazoezi kila siku halafu makali useme eti hawa wachunguzwe kwanini hawachoki utachoka wakati mwili umezoea sulubu mkipigwa nyingi oooh.wananunua kumbe zoezi pigeni kazi vijana Daima mbele nyuma mwiko
Hizi KAZI zinataka wanaume wavulana watupishe
Is true
Wasipo jipanga watakula nyingi tutao kutana nao katika kila mchezo
simba wanaona vivu litimu lao libov
Naunga mkono hoja
Mungu ni mwema. Dua kila hatua my team. Muwe na afya njema daima inshaalah 💚💛💚💛yanga Africans daima mbele nyuma mwiko. YangaSC. Oyeeeeeeeee
Chama la Wana wote wa inchi hii💪💪💪
Wa kwanza like zangu
🔥🔥🔥🔥🔥 Daima mbele Nyuma mwiko
Allaah Akbar
Mtu akipigwa 5 mnatafuta mchawi
Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda jmosi daima mbele nyuma mwiko
Vijana wanacheza mpira wakitabu hongereni sana mkifungwa huani kwa figisu sio kwa zoezi zuri km hilo💛💛💚👍
Hii yanga balaa wananchi km man city❤❤
Hii MIJITU sio POA kabisa...Ukikutana nayo ni NOMA
MAZOEZI YA FINAL YA CAF💪🙌
Kuna watu nimeona wamepostiwa et wako gym lakin wamekauka hao utadhani wametoka kulala na ni wako gym akf wakwetu huku wanapga mazoezi kweli kweli tena wengne wana had mazoezi yao binafsi kama wakna pacome alf wanatokea vichaa fulani hiv et wanasema wachezaji wetu wanatumia madawa ya kusisimua misuli ebu washindwe kabsa waache wachezaji wetu wanajituma sana
Hili bomu inatakiwa likilipuka mtu apigwe hata nane ili iwe fundisho vizazi na vizazi...
Kabisa kabisa 😂😂
😂😢😮 ah@@HousenAhmadi
Hapo Kuna team inaandaliwa dozi ya goli 5+
Mh ndo maana Yanga wanatengeneza spaces sana kumbe ni from the training ground hongera 🔥🔥🔥
Wachezaj wana umoja wa hali ya hatar
Kila la kheri chama langu 🙏🙏
Jicho la Aziz Ki kwenye kutoa pass ni balaa tupu💚💚💚💚💚
Ndo maana kwenye daby ile tarehe8 mliwatumia makolo kama con mpka mkaenda kufunga goli😂😂😂😂😂
Dah oyaweeee ,nakubali sana. Sema nn msionyeshe vitu dhahabu kama hvi makolo Wataiga😂😂
😂😂😂kweli
Young Africans💚💚💚💛
This is yanga sc💚💛
Yanga bingwa
Come on yanga
Tizi la machampion 🔥🔥💛💚
Madunduka mkiona hayo madawa ya Kuongeza nguvu hapo mseme...maana ligi ikianza ni Pumzi za Moto wa Volcano.
PASI IZI NI KAMA GORI TULIOWAKANDA COLOZDAD
❤❤❤❤ Nimeipenda hiii
Kila la kheli chama letu pendwa yanga African 💚💚💚💚💛💛💛
🎉🎉❤❤ I trust this team
Yanga noma
Uhuu
Wakwanza Mimi ku comment
Yaan ndani nchale,nje nchale watachagua wao wafungwe na kikosi gani
Kazi kazi
Halafu watu wengine wanaanza kutafuta nani hana furaha kwenye team na hali tunaona jinsi walivyo na umoja
YANGA BINGWA
Love yanga
😂😂😂yanga hii utaifungaje
Yani kama mvivu yanga hupati namba na kama mvivu ukifika yanga utachangamka fasta tu 🎉🎉🎉
Yanga tamu 🔥🔥
Sio kama makolo wanafanya mazoezi kwa kificho hata zile game zao za kirafiki Egypt walikuwa wanacheza kwa kificho chumbani halafu anatokeza tu Ahmed ally sebuleni kabana pua kutuambia huko chumbani kashinda mechi. Hii ni Young Africa bhana mazoezi nje nje na game za kujipima nje nje kila mtu anaona.
Izo zinaitwa one two pasi milioni a.k.a pasi 14 walizopigwa makolo
Huyu kocha wa viungo anajua sana
Kazi kazi acha waseme maneno ya watu walie shindwa
Please tugawe 10 kwa team kama tatu this season
Balaa ziitooh
Yana mabingwa🎉🎉
Chama langu 💚💚💚💛
Hawa watu ukute ni kizazi Cha Goliati Hawa. Majitu yakutisha sana
Yanga Daimaaaaaa
Wananchi 💚💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga Bingwa 100%
Muda umepigaje apo
Allaah Akbar
🎉🎉🎉🎉ao viato kaz wanayo wameutaka
Sii wanasema sisi ni wazee...angalia mazoezi Yao....!
Hongera yanga
Inabidi kumfunga vital 14 goals ili mdomo husiweze ata kuongea maana sio kwa kujitapa kule
Kuna bomu rinasukwa jmosi rinakufa jitu
Hawa jamaaa kumbe wanatesana hivi mazoezini
Wakiwa hawajameza madawa wa kawaida sana😮😢
❤❤❤❤❤❤
Hizi video wapimzani wanaziona
Camera man umezingua
Aziz ki yeye ni Kwa DUBE t😂😂😂😂haijalishi yukwapi
Baleke ni mvivu sana
Jmn kwn wakina kibwana wamepewa adhabu ama
Hao wanafundishwa falsafa ya timu
Hiii kubwa
Wageni lazima wajue timu inachezaje, vipengele tofauti , ukiwahi kuelewa twende tukakawafanye kwa uwanja😅😅😅
🤙🤙🤙
Mrundi kayatimbanga😂😂😂
Yanga bingwa mara 6 tena
Kwahyo hatuna kipa sasa😂😂😂😂
Ff u ao🎉🎉🎉
Hivyo vidude viwili vinavyozungukwa ndio wachezaji wa makolo
Jaman vp kuhusu lile bango mbona atulioni au mnataka kimsajili dada yake mo alietambulishwa Simba day ndio mtuwekee pale kariako
Mtu akipigwa 5 mnasema wamezamini Tim nyingi😅😅😅😅😅
Itoshe kusema vitalo kayatimba
Baleke ongeza usahihi wa pasi
Hii yanga itaua mtu jamani
Timu yet ni mazoez kwa wingi t hmn kuroga
Na tunataka timu zisije kabisa uwanjani
Halafu mtu akipigwa 10 museme Yanga inanunua mechi
Humutu humutu😅😅
Bingwa tena😂
Walisema Sasa kilio Chao wachunguzwe
Kwamazoezi haya kuna mtu atapigwa wiki kabisa
watu tumewekeza tuko sious sio masihara
Kuna watu wamesema wanakuja kututoa
😂😂
Timu kubwa mambo Makubwa, AMA HAKIKA MAZWAZWA utasikia hii yanga WANANUNUA MECHI WANADHANI USHINDI UNAPATIKANA KWA POROJO, KWA MAZOEZI HAYA TIMU IKIFUNGWA TANO USHANGAE?
Mnatengeneza nuclear BOM
🫡
The guy with jersey #12 is very lazy, you can tell from his body language. His mate are trying to be quicker but he is always slowing the pace...
He will see this and will rectify himself
thanks brother for the compliments
@@amaniomar1755 I wish he change...
IDARA YA HABARI MSIWE MNA ONYESHA MAZOEZI YOTE KWA KILA KITU KWA UREFU TOENI VIDEO FUPI SANA IWE SIRI YA KAMBI
Yanga bingwa