JKT MTABILA MATUMIZI YA MKAA BASI TENA -NI MWENDO WA NISHATI YA GESI TU -

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • JKT MTABILA MATUMIZI YA MKAA BASI TENA - NI MWENDO WA NISHATI YA GESI TU - WAFUNGUKA...
    Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa Brigedia Generali Hassani Rashid Mabena Leo May 5, 2024 amezindua mfumo wa Nishati ya kupikia chakula kwenye Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 824 Mtabila kilichopo Wilaya ya Kasuru Mkoa wa Kigoma
    Jiko ilo la Gesi lenye uwezo wa kuhudumia zaidi ya vijana 100 wanaopata mafunzo katika kambi hiyo, ambapo ameongeza kuwa Jeshi la Kujenga Taifa mpaka kufikia mwaka 2025 vikosi vyake kote nchini vitakuwa vikitumia nishati ya Gesi kupikia, lengo likiwa ni kwenda sambamba na msimamo wa Serikali wa Kulinda mazingira
    Brigedia Generali Hassani Rashid Mabena amekuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mkoani Kigoma
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 1