JWTZ WATOA KAULI 'HATUTAANGALIA SURA YA MTU'
HTML-код
- Опубликовано: 26 июн 2019
- Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania 'JWTZ' limesema litaendesha upya shughuli ya uhakiki wa vijana wanaoomba kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa 'JKT' ili kuwabaini wale walioingia kwa njia isiyostahili kuondolewa huku waliohusika kuwaingiza wakichukuliwa hatua za kinidhamu
Kweli kabisaa mieh naungana mkono na hilo sie wewngine tumefanya usaili zaidi ya mara tatu na hatujapita anakuja mtu na watu wake anapitisha kiurahisi kwahiyo wanategemea sisi wazalendo tunazidi kuhartibikiwa sana huku mtaaani wanatunyonya sana hilo lizingatiwe haswa
Nchi nyingine mtu anaona bora afagie bara bara lakini sio kwenda jeshini
Mficha uchi azai ni kweli kbc kiongoz
Nataamani siku moja nikuutane na kiongozi haya niyaseme hakika tunaumia sisi wenye ndoto zetu kabisaaa
ushaur mrudishe mfumo wa zamani mtafauli sana kigezo cha sasa cha elimu kinatumika vibaya
Amene kakayangu kanziya musichinguwe Oote wa nyinyi ko munajenga tahifa mbila nyinyi akuna amani Asante kaka mungu akubariki akuongenzeye Balaka kwakuwa munalinda wtu 🔥🔥🔥🔥💃💃💃❌❌❌🇳🇱🇳🇱🇳🇱👍👍😍😍👏👏👏
WEWE MSUKUMA NINI MBONA HUJUI KUANDIKA
Apo sawa mkuu uku mbeya waliokua wanaandikisha wanachukua pesa nje nje akika mkija mbeya nakuonesha moja badala ya moja nilishangaa sana viongozi awapo wapo wenyewe na pesa wamechukua duuu
Nashukuru sana kwa kuliona hilo tulijua labda hamlifaham
Elimu in tatizo mungu tusaidie kila mtanzania anahaki ya kuitumikia nchi yake kwa ulinzi na ujenzi Wa taifa letu.kwahyo kama ni maarifa basi wangechukuliwa kuanzia kidato cha sita pengine watajitambua zaidi kuliko kuchukua kidato cha NNE.mwisho wanakosa maadili ya kazi
Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuyapa nguvu na umakini zaidi majeshi yetu yote
Utaratibu wa usajili Jeshini razima viogozi wa mitaa waxhilikixhe kwamana wanakaa na vijana mitaani.
Kwann hamkemei tatizo la kutupwa maombi ya vijana wasiokuwa na uwezo wa maisha
watu wameshapiga mpunga hapo tatizo mmebana sana we darasa la saba miaka 16 mpk18 majitu yanafoji 2 ilimladiyaingie2 unakuta jtu lina miaka 32 linafoj lina miaka 18 hii ndo tanzania
Ni kweli kabisa kamanda kuna baadhi ya wanajeshi kimuonekano amekaa kama hakupitia mafunzo wanakuwa na vurugu sana mtaani
Afadhari mana Mimi mwenyewe naisi jina langu linatumika huko mwenye jina hili halima abdallah ayubu jiandae mana mda umefika 842kj
kamanda vzr sana japo ni too late ila sio mbaya kubebana sio poa haki itendeke
Wazii afande
kanyaga upya kanyaga🔥🔥🔥🔥
Yani nitoe hela kwa ajili ya kujiunga na jwtz nimechawiwa ama!
Hahahhahahahhaaha
Huna marinda utaingiaje kwa mfano
Afya, ipo? Mtanzania? Akili timamu? Hahahaaaaa vzr +uzalendo.
Nakubali Jeshi
mungu tusaidie ambao hatuna hela yakuhonga ilitupite
Kwaza mungewatowa awo mlowaajiri walokuwa hawana cheti maana ayo mambo nazani hayakuaza leyo
Hilo nalo neno kweli kabisaaa maana kwa Siasa hizi za sasa na watu walivyokua na uchu Wa madaraka lazima watazalisha vikundi vya kijeshi ulio kwenye mafasi hizo za kupokea vijana muwachunguze zaidi ili tuepupe madhara wanayoyataka wengine maana Tanzania Maisha Amani ni muhimu kuliko watu Fulani
Ww umesaidia wangapi kwa njia hiyo
Tatizo lenu mlimsubiri magufuri aje na ninyi eti ndo mnajifanya kuongeaongea apa,hiko kipindi cha nyuma mlikuwa mnapiga pesa tu
Nikweli kabisa tumeonewa Sana hasa wilaya ya uyui mkoa wa tabora haikutendeka haki kabisa kunajamaa mmoja kachaguliwa kisa huwa anamfundisha mkuu wa wilaya pikipiki tena anaambiwa mbele yetu kuwa wew umepita uwa unanifundisha pikipiki hivi hiyo nihaki kweli usaili ungeludiwa katika ngazi ya Wilaya ili nasisi Watoto wa masikin tupate haki yetu
Watoto wamasikini Siku hiz hawapati nafas za jeshi kamanda sema, ukweli wote wototo wengi wenye nguvu nauzalendo wanasumbka sana shuka kwny kata navijiji ukusanye RARIFA.
sana pot wengine tumekosa nafasi wanachuliwa ambao awana afya
Kama wanaweza kazi wape kazi .
Haya mambo ya makundi mabaya isije tokea kama Uturuki jaribio la kuipindua nchi jamaa walitumia zaidi ya miaka 30 hadi 50 kutengeneza makundi ndani ya jeshi
Ebwana ehhh
Hii kazi ya mtu kuleta vija watatuingiza ktk MATATIZO ndani y nchi yetu
Hivi kweli nijeshi la wananchi
sio wao tu hata baadh waliomo jeshen wamefoji vyet
Leo iyo zama za uwazi
Na walioachwa na wanadocument kila kitu lakini wameachwa itakuwaje
ni sawa kabisa lakini waajiri na waliopo jeshini mnawapa mafunzo alafu kazi hakuna ninawaomba na hilo liangalie kwa jicho la tatu
Afande mficha uchi hazai Na mficha maradhi kifo kinamsubiri
Hapa tunapigwa changa la macho maana mwaka ule kila nikikumbuka hua nalia sana
Afande kunywa soda nitalipa🤣🤣uwiii umenikosha
Jeshi nalipenda san, nimetafuta nafasi lakini sikubaatika kuchaguliwa, Nalipenda cn jexhi.
Ndo hvo mkuu a
Jeshi lipi kiongozi magereza, Jwt, jkt au
@@peteradriano2353 ili uingie jwtz lazima uingie jkt kwanza ndio ukifuzu unaajiriwa jwtz lakin jkt haiajiri ni kitengo cha mafunzo wanajexh wote wameajiriwa jwtz
Lazima upite kitengo cha JKT, ndipo ukaajiriwe JWTZ, FIRE, UHAMIAJI, POLISI, MAGEREZA.
Nice
Nilitegemea jeshi kuwa makini zaidi kuliko vitengo vyote, hivyo nilitumaini pasingekua na press kama hii hapa, matumaini yangu jeshi lingefanya maamuzi kulingana na taratibu na msahafu wa jeshi huko huko. Kuja kuyaongea haya inaweza leta picha kwamba kuna vitu au watu wa namna hiyo walishapitishwa sana ndani ya jeshi na mpaka sasa ni wanajeshi. Ila anyway Mungu awaongoze na kuwapa hekima msije kengeuka ikawa balaa
Hahaha haya mabo anayo yaongea yalikuwepo siku nyingi sana. Sema tu kipindi hiki cha magufuli kila mtu anataka aonekena anafanya kazi sana publicity to the BOSS.
Kwakweli
huyu anatafta sifa kwa magu lkn hawez kupata
je mmefanya uhakiki wa wanajeshi wote kuwa wana vyeti halali?
Mimi naombatu waludie usahili upa maana kunavijana wameachwa na sifa zote vinakizi
Mmmh! Siku hz nao hawa wameanza ngojera!?, c mngefanya tu!, c tukaona Matokeo tu!, ama kwel yanayokuja.....!
mkitumbua mtumbue na op iliyopita mtakuta watu hawajatimiza vigezo vya miaka na elim pia tumbuuuuuaaaaaaaaaa
Jamaa mpemba ila kakomaa
Na ambao hawajapitishwa wilayan inawekwaje hapo
Kuna wengine ni majeshi kabisa ambao walibaina foji zao kwenye mchakato wa vitambulisho vya taifa inakuaje nao
2nawaomba muwe serius yastokee ya bashite
Sidhani kama ni sawa mambo ya jeshi kua public kila wakati, mnge solve tu likaisha mkafanya mambo mengine.
We nae mshamba flan issue ka hii ni serious so must be publicly so as people can be very far and fear to cheat , kimya kimya ni kupotezea watu muda badala ya kudili na mipangilio yenye weled unataka kila mwaka wawe wanafanya usaili na huku wanapitia vyeti fake Kaz ngapi hizo kupifia upya Mara kwa Mara, means kutangaziwa ndo fresh
Namna hiyo
Good sana 👏👏👏
Kwanini tusingebadili tu utaratibu tuwe kama Korea rep kijana akimaliza form 4 jeshi!!
Nimecheka hapo kwenye mapenzi kabla hajazaliwa.
Jifunze PHOTOSHOP kwa KISWAHILI, bonueza profile picture yangu itakupeleka kwenye channel yangu. Pia usisahau ku SUBSCRIBE
Safi sana Wengine tulisumbuka kufanya Interview Za bure tu pia Na vigezo vyote vlikuwepo lakini cha ajabu wakapita watu ambao hatuwajui hata Wilayani kwetu, Bora mmeliona hilo,
Jeshi limenoga
🤣🤣🤣😃
Duh hatar
Kamanda tena mngekuja mwanza nyamagana ndo tulifanyiwa hivyo yani unapiga usail kinacho kuja kutokea sasa
Mbona hata hilo zoezi linaloendea huku mtaani wenye vigezo hatulijui kwa msingi huu kwer watu wachacha kuwatumikia viongozi? maana bila kumtumia kiongozi utakuja kusikia tu mwaka jana watu walichukuliwa bila wewe kujua.
Kumbe wameanza kuleta majina tangu zaman.. Kwanini unasema Leo. Sikh zote ulikua wapi mzee baba.
ha ha ha ha toka zamaniiiiiiiiiiiiiii
Hahahaha jeshi anaongea mwandishi wa kike anajishebedua dah
Sindano imeingia mahali pake hadi nafasi za jkt mlungula mmmhhh
Hii AWAMU NYINGINE WALJZOEA SAF SANA HAPA KAZ TU YAAN NINA testimony NYINGI ZA KUTOSHA WATU WALIMALZA NG' OMBE ZIZINI KISA NAFAS YA JESH APATE ASEE INASIKITSHA
Unafurahia, Ngoja Ifike zamu ya watoto wako Kutafuta Kazi. Utalia
#Limbukeni akipata matako hulia mbwata
Kabsa
Yeye alipitaje
Kila secta wanafoji vyeti wanaowaunganisha wanapewa hela nabado hawajatumbuliwa wapo kazi bilapesa hupati but maskni mwenye chetichake halali hanapesa kinakua chakua ndanitu hanawakumsaidia
Good kamanda
Asa
Ujue kiongozi kaleta maombi. Kwakua yeye kiongozi. Ujue kachukuanpesa. Wafuate kanuni na talatibu sio kwa sababu wewekionhoz utumie madaraka vibaya. Tusaidieni lasaba. Jamani
Awe ameombew awe ajaombew km anafaa wachukuen sitak kuamin mlioko apo wote hamjapita huko🙄
That is the point!
Anaefaa ni yule aliepitia process zote na akaitwa kwenye usahili, kufaulu na kuchaguliwa kujiunga hata hapo wanaofaa watachaguliwa, hawataki wanao ombewa...
umesema kweli kikubwa awe na uwezo!mbona wengi wameingizwa kindugu toka nyakati za nyuma huko huo ndo mfumo wa tz kila taasisi
@@husseinmtima6106 huo mfumo Sasa hivi ndio unatakiwa kukomeshwa hasa Kipindi hiki cha siasa chafu, uroho wa madara na rushwa iliyo kithiri
@@LUPPER. operation za kweli huwa hazitangazwi unawafanya wahalifu waongeze mbinu za kujikinga
MKUU MBONA TUNAKUSHA
NGAA.SANA. AU UNADHANI.WATANZANIA WAJINGA?! AU KWA VILE KAIRUKI HAKUWAKAGUA VYETI VYENU 😂😂😂😂😂😂 KWA TAARIFA YAKO KAIRUKI ANGEKANYAGA JESHINI ROBO 3 MGEKUWA MNAUZA UBUYU HIVI SASA. TUMAWATAZAMA.TUUUU.
Rahima Aaaa wafanye uhakiki wa vyeti ndio tutawaelewa
Hao sio wafanyakaz hadi wakaguliwe wewe hao wamejitolea kukulinda wewe ukiwa umelala na mmeo punguza muwasho
Hao viongozi watajwe majina hadharani ili waumbuke
Good
kamanda upo sawa pia nashauri pitia namajina yaliyoachwa utagunduwa wapo waliyoachwa wakati vigezo wanavyo
😰😰😰
Kutafuta kazi nako ni kazi
Kamateni fasta hao
yaaan ili mradi na nyie muonekane mnaongea
Maana siku hizi hata mgambo nayo ni mambo ya undglizesheni...
Hahahahaaaaaaaaaaaaa
Kila kheri ninyi viongoz wetu katka operation hii ila tunaomba umri uongezwe iwe 18-25 kujiunga na Jeshi la kujenga taifa
Mficha uchi............😁😁😁😁 mtamalizia
azaiii
Hata wewe unakuta ulipitia ujanja ×2 leo hii unawakazia wengine
Viongozi wengi wa Tanzania wanamtindo huo Hakuna utaratibu wa watanzania halisi kujiombea kazi ni kizungumkuti tuu Tanzania huwezi kupata kazi bila kuwa umeegemea kwa wakuu. Wakuu wote ndio wanaoyatumia madaraka Yao ili kuingizana kazini wenyewe kwa wenyewe. Ni aibu nakama mmeyaona basi mjuwe kuwa mfumo wanaotumia CCM ni kulipeleka kubaya Taifa lenye ubaguzi hayo yako kila idara katika nchi.
Ngonjera
Ilaaniwe vikal kiongoz anapoleta watu wake kweny jeshi wengi uwa na interest zao. Mapinduz y kiasi ndiko kunako anzia
Haiwezekani depo nzima wakosekane watu wa kuombewa na viongozi au kutoa rushwa hiyo ongeeni tu lakini nafikiri hata ninyi mnalijua vizuri sana
sass hivi ndo mmejua ilo ,wengiwenu mlipitia uko uko
Mkuu huyo wa pembeni yako ulipotaja neno utapeli mbona amekuangalia sana machoni mkuu
Mbeya wamechukua rushwa aswa akika wenye vyeo ya kawaida bola mngekua nyinyi mabosi ndy mfanye inactive