ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2024
  • ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 125

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  12 дней назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @dottomayala255
    @dottomayala255 12 дней назад +29

    Nimejifunza kitu kikubwa hapa kwenye wasifu huu, tutaacha vyote na tutakuwa na Mungu tu, Hii ndiyo maana yakumtanguliza Mungu katika maisha yetu

  • @user-dk5ib1wb7y
    @user-dk5ib1wb7y 12 дней назад +10

    pole sana kipenzi changu careni mungu akutie nguvu katka safari ulionayo

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 12 дней назад +9

    Sauti nzuri km ya Garder kumbe sauti ya Ukoo

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 12 дней назад +16

    Tunapaswa tuige mfano mzuri kwake captain kwa hayo mazuri aliyo watendea watu hakika mungu atampa pumziko lenye furaha akifurahi pamoja na malaika poleni sana wafiwa na familia nzima 😢😢😢

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 12 дней назад +2

    Poleni sana ndugu zetu family yake G Captain Mungu akuraze Mahali pema peponi Amen 🙏😭 ishallaah

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 11 дней назад +5

    Rafiki wa kukupa Ada ya mtoto tena haraka jua huyo ni zaidi ya ndugu na zaidi ya rafiki 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @niggahassumwisye241
      @niggahassumwisye241 10 дней назад +1

      Hakika anayekuthamini ni ndugu yako usimwache huyo mshikirile😭

  • @ElizabethMwandolela
    @ElizabethMwandolela 12 дней назад +4

    Poleni sana

  • @saraallen6341
    @saraallen6341 12 дней назад +14

    Hii familia ina sauti na lafudhi tamu sana Mungu awatie nguvu na awape faraja ya kweli

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 12 дней назад +2

    Poleni sana wanafamilia,mungu awape subir ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 12 дней назад +2

    poleni jaman😢

  • @mosessanya5932
    @mosessanya5932 12 дней назад +2

    pole sana bwana

  • @MzingaAhmedNgomuo
    @MzingaAhmedNgomuo 12 дней назад

    Poleni sana familia,tunamwombea kwa Mungu bustani ya pepo ikawe kwake.Nitamkumbuka alihudhuriaga yeye na Lady JD wakati huo bado wakiwa pamoja wenzi harusi ya mdogo wetu Magadu mesi Morogoro.Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi amen.

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg 12 дней назад +3

    Poleni sana wanafaMilia

  • @PeninaMlay
    @PeninaMlay 12 дней назад +5

    Familia imeshasema n mmoja mbona mnaforce wawili mna uhakika na hilo? Huyo mwngne hajulikan sasa

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 12 дней назад +2

    Dada anasoma vizuri aise

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 12 дней назад +10

    SubhanaAllah.InshaAllah.yuposehem.salama..lnnalilah.wainnailayh.rajion

    • @LilyWilie
      @LilyWilie 12 дней назад +1

      Yupo Salama Ndio unaweza ukawa unasali miaka 2000000 iliyopita lkn mungu asikupe mwisho mwema elewa ivyo…kma mlevi aliingia peponi….. kusali kwako sio tija mpendwa

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 12 дней назад +7

    Nyinyi jamani kama ana mtoto mwingine nnje hayawahusu mambo ya familia za watu aziwahusu pumzika kwa amani baba gardner🙏

  • @tukupasyamwanjasi1738
    @tukupasyamwanjasi1738 12 дней назад +1

    Pole sana jamani

  • @clementinalotary4913
    @clementinalotary4913 12 дней назад +1

    Poleni sana kwa msiba mkubwa. R.I.P

  • @MwanaheriAbdallah
    @MwanaheriAbdallah 12 дней назад

    Polen sana

  • @allymganga5901
    @allymganga5901 12 дней назад +2

    Tangulia mwamba

  • @KavisheEvents
    @KavisheEvents 8 дней назад

    Poleni sana wapendwa

  • @JaneMwamkinga
    @JaneMwamkinga 12 дней назад

    Polen sana familia

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 12 дней назад +1

    Inna lillah wanna ilayh rajiuun..mungu amueke. Mahali panapo stahili..😭💔

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 12 дней назад +2

    😢😢😢😢 RIP😢😢 BRO😢😢😢

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 12 дней назад +14

    gadna si alisema ana watoto wawili mwingine alijitokeza ukubwani na yeye alijiridhisha kua ni mwanae🙄🙄🙄🙄🙄

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 12 дней назад +1

      Ndo nashangaa ndugu wanapingana na marehemu

    • @user-is4xo4pp8v
      @user-is4xo4pp8v 12 дней назад +7

      Hapana huyu msichana Ali omba asemema Gardner aseme hivyo ili msichana apate kama Kiki flani mjini. Ni kama ww uombe diamond awe ndugu yako ili ukileta biashara mjini ifike fasta

    • @user-kd6qq3fh7w
      @user-kd6qq3fh7w 12 дней назад

      Mimi nikajua niwewe😅😅😅😅

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 12 дней назад

      kiki tu ni dem wa rafiki yake

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 8 дней назад

      Wenda walikuwa wakiigiza😢

  • @ZAITUNIKILEMELA
    @ZAITUNIKILEMELA 12 дней назад

    Polen sana sana, natambua kipindi kigumu mnachopitia.

  • @barackdinda790
    @barackdinda790 10 дней назад

    Pumzika kwa Amani mwendo umeumaliza bro

  • @user-ej4el1kt6g
    @user-ej4el1kt6g 12 дней назад +1

    Dah imeniuma😢

  • @sophybenedict5706
    @sophybenedict5706 12 дней назад +9

    This is good news
    If you were able to rescue him.......
    Zile habari zakuombea marehemu ifike mahali waseme kitu cha kweli ili watu wajiandae

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 11 дней назад

    Mungu awape nguvu familia😢😢😢

  • @janecolleter
    @janecolleter 10 дней назад

    😢😢

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i 7 дней назад

    Pole baba

  • @bosiborimomanyi5592
    @bosiborimomanyi5592 12 дней назад

    Mama kareen ako wapi?

  • @asiatenga710
    @asiatenga710 12 дней назад

    😢😢😢😢

  • @user-oj1hr4gq9k
    @user-oj1hr4gq9k 6 дней назад

    Rest in peace bro.

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys 12 дней назад

    Polen san kwa msib mzit

  • @user-qg1tr8ub5p
    @user-qg1tr8ub5p 12 дней назад +6

    Mbn ana wtt wawili😊

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 12 дней назад +2

      Huyo wa pili umezaa na wewe

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 12 дней назад

      ​@@rizikiabdalla2501😅😂😂

    • @neykweyamba2429
      @neykweyamba2429 12 дней назад +1

      ​@@rizikiabdalla2501mbona umekuwa mkali ghafla 😅😅😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 12 дней назад

      ​@@rizikiabdalla2501😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @merryshayo9819
      @merryshayo9819 12 дней назад

      😂😂😂kwani ye hajasiki hukumu

  • @SharonEmmanueli
    @SharonEmmanueli 12 дней назад +1

    Pole sana 😢

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 8 дней назад

    Mtoto mmoja na mjukuu mmoja yule mwingine aliye mtambulisha kumbe siyo mtoto wake 😢

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 12 дней назад +1

    Pumzika Gadner

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 11 дней назад

    Samahani lkn me naomba niulize kuna yule mtoto alijitokeza aksema Gadner ni baba ake mbn hapa wanasema alikuwa na mtoto mmoja na mjukuu samahani lakini kma nimewakwaza semeni

  • @user-fp8zi9ru8q
    @user-fp8zi9ru8q 12 дней назад

    Pumzika kaka angu

  • @vailetyclement7255
    @vailetyclement7255 11 дней назад

    Tutaonana badae G

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 12 дней назад

    😭😭😭😭😭

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo7704 12 дней назад +1

    Yule mtoto mwingine sio sio wa kwake? Au ni mtoto wa hiari ambaye anaitwa Jakline?

    • @madamedna123
      @madamedna123 12 дней назад

      Kwa wachaga kama mtoto hakuwahi kupelekwa nyumbani kutambulishwa rasmi babake akiwa hai, hata akifa hatambuliki.

  • @user-sr4rn1uj2n
    @user-sr4rn1uj2n 11 дней назад

    MUNGU nipe neema na mim ya kuyaishi magizo yako😢

  • @ValmoreMidora
    @ValmoreMidora 12 дней назад +2

    😢😢😢

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana 12 дней назад +1

    Kwani Yule mtoto wake mwengine yuko wapi namuona careen tu

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 12 дней назад

      Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 12 дней назад

      Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,

    • @alfinmbilinyi5985
      @alfinmbilinyi5985 10 дней назад

      Huyo mtoto kama hajafika kwenye msiba wa baba yake basi hana sifa za kuwa mtoto wa pili wa gardner poleni sana wafiwa mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 12 дней назад +4

    Gardner alisema anawatoto wawili mbona hapa wanamtaja mmoja???

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 12 дней назад

    Mbona yy.alisema anao watoto zaid ya mmoja

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 12 дней назад +1

      Hao vijana wote wanaosema walisaidiwa na gardna kuingia studio au kupata kazi ya wanahabari ama kuomba pia ni watoto sio lazima awe amewazaa

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 12 дней назад

    Tuishi na watu vzr jamani

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 12 дней назад

    Gardner sauti ya ukoo ndio sauti zao

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 11 дней назад

    Ndoa alifunga nabani

  • @elizabethcharles4712
    @elizabethcharles4712 11 дней назад

    Amefariki?

  • @user-ke8fq4rk8z
    @user-ke8fq4rk8z 10 дней назад

    Mkewe yuko wapi? Mbona waliogunduà anaumwa ni watu baki? Kwani mkewe hakuona siku zote?

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 12 дней назад

    Mtoto mwingine mbona hatajwi?

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh 12 дней назад +3

    Kuna binti mwingine nimesikia mtoto mmoja na mjukuu basi

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 12 дней назад

      Uyo mwingine hatambuliki

    • @esteroseollotu6119
      @esteroseollotu6119 12 дней назад

      Ilikuwa kiki

    • @safirudasemkuya9363
      @safirudasemkuya9363 12 дней назад

      Yaaap ni Yule video vixen wa kwenye chuma ulete,, ila yy hatajwi maskini au kwasabab ni mtoto wa kando

  • @PeninaMlay
    @PeninaMlay 12 дней назад +1

    Huyo MTT mwngne mbona haonekan msibani kama n baba ake

  • @annamussa185
    @annamussa185 12 дней назад +4

    Aombewe nini sasa kama hakujiombea yeye enzi za uhai ndo imetoka hiyo

    • @aishahamisi5854
      @aishahamisi5854 12 дней назад +8

      Muwe na kauli nzur vile sio wew

    • @Mimi68-el5em
      @Mimi68-el5em 12 дней назад +7

      Hujui kabla ya kifo chake labda aliweza kumuomba Mungu msamaha

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 12 дней назад +7

      Miungu watu bora yeye kuliko wewe hujui utamalizaje

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 12 дней назад +1

      Haikuhusu

    • @user-ru6ct4rh3t
      @user-ru6ct4rh3t 12 дней назад

      Kweli kabisa ​@@olivernyange2349

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz 12 дней назад +3

    Poleni sana

  • @MwanaheriAbdallah
    @MwanaheriAbdallah 12 дней назад +1

    Polen sana

  • @user-cd8pq6bu8q
    @user-cd8pq6bu8q 12 дней назад +2

    😢😢😢😢