ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2024
- ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nimejifunza kitu kikubwa hapa kwenye wasifu huu, tutaacha vyote na tutakuwa na Mungu tu, Hii ndiyo maana yakumtanguliza Mungu katika maisha yetu
Tufanye sana ibada😢😢
pole sana kipenzi changu careni mungu akutie nguvu katka safari ulionayo
Sauti nzuri km ya Garder kumbe sauti ya Ukoo
Tunapaswa tuige mfano mzuri kwake captain kwa hayo mazuri aliyo watendea watu hakika mungu atampa pumziko lenye furaha akifurahi pamoja na malaika poleni sana wafiwa na familia nzima 😢😢😢
Poleni sana ndugu zetu family yake G Captain Mungu akuraze Mahali pema peponi Amen 🙏😭 ishallaah
Rafiki wa kukupa Ada ya mtoto tena haraka jua huyo ni zaidi ya ndugu na zaidi ya rafiki 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Hakika anayekuthamini ni ndugu yako usimwache huyo mshikirile😭
Poleni sana
Hii familia ina sauti na lafudhi tamu sana Mungu awatie nguvu na awape faraja ya kweli
Kumbe na wewe umeona eeee,yani anatamka maneno hadi raha
Hata baba yao
@@AmusedAstronomicalModel-lq3yu kabisa,ameomba vizuri sana
mnooo watulivu sana
Jmn hiyo ni lafudhi ya Tanga coz wamezaliwa uko lakni ni wachaga ukimsikiliza baba mzazi utaelewa
Poleni sana wanafamilia,mungu awape subir ktk kipindi hichi cha majonzi
poleni jaman😢
pole sana bwana
Poleni sana familia,tunamwombea kwa Mungu bustani ya pepo ikawe kwake.Nitamkumbuka alihudhuriaga yeye na Lady JD wakati huo bado wakiwa pamoja wenzi harusi ya mdogo wetu Magadu mesi Morogoro.Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi amen.
Poleni sana wanafaMilia
Familia imeshasema n mmoja mbona mnaforce wawili mna uhakika na hilo? Huyo mwngne hajulikan sasa
Dada anasoma vizuri aise
SubhanaAllah.InshaAllah.yuposehem.salama..lnnalilah.wainnailayh.rajion
Yupo Salama Ndio unaweza ukawa unasali miaka 2000000 iliyopita lkn mungu asikupe mwisho mwema elewa ivyo…kma mlevi aliingia peponi….. kusali kwako sio tija mpendwa
Nyinyi jamani kama ana mtoto mwingine nnje hayawahusu mambo ya familia za watu aziwahusu pumzika kwa amani baba gardner🙏
Pole sana jamani
Poleni sana kwa msiba mkubwa. R.I.P
Polen sana
Tangulia mwamba
Poleni sana wapendwa
Polen sana familia
Inna lillah wanna ilayh rajiuun..mungu amueke. Mahali panapo stahili..😭💔
😢😢😢😢 RIP😢😢 BRO😢😢😢
gadna si alisema ana watoto wawili mwingine alijitokeza ukubwani na yeye alijiridhisha kua ni mwanae🙄🙄🙄🙄🙄
Ndo nashangaa ndugu wanapingana na marehemu
Hapana huyu msichana Ali omba asemema Gardner aseme hivyo ili msichana apate kama Kiki flani mjini. Ni kama ww uombe diamond awe ndugu yako ili ukileta biashara mjini ifike fasta
Mimi nikajua niwewe😅😅😅😅
kiki tu ni dem wa rafiki yake
Wenda walikuwa wakiigiza😢
Polen sana sana, natambua kipindi kigumu mnachopitia.
Pumzika kwa Amani mwendo umeumaliza bro
Dah imeniuma😢
This is good news
If you were able to rescue him.......
Zile habari zakuombea marehemu ifike mahali waseme kitu cha kweli ili watu wajiandae
Kabisa kabisa
Kweli kabisa.
I second this
Mungu awape nguvu familia😢😢😢
😢😢
Pole baba
Mama kareen ako wapi?
😢😢😢😢
Rest in peace bro.
Polen san kwa msib mzit
Mbn ana wtt wawili😊
Huyo wa pili umezaa na wewe
@@rizikiabdalla2501😅😂😂
@@rizikiabdalla2501mbona umekuwa mkali ghafla 😅😅😅
@@rizikiabdalla2501😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂kwani ye hajasiki hukumu
Pole sana 😢
Mtoto mmoja na mjukuu mmoja yule mwingine aliye mtambulisha kumbe siyo mtoto wake 😢
Pumzika Gadner
Samahani lkn me naomba niulize kuna yule mtoto alijitokeza aksema Gadner ni baba ake mbn hapa wanasema alikuwa na mtoto mmoja na mjukuu samahani lakini kma nimewakwaza semeni
Pumzika kaka angu
Tutaonana badae G
😭😭😭😭😭
Yule mtoto mwingine sio sio wa kwake? Au ni mtoto wa hiari ambaye anaitwa Jakline?
Kwa wachaga kama mtoto hakuwahi kupelekwa nyumbani kutambulishwa rasmi babake akiwa hai, hata akifa hatambuliki.
MUNGU nipe neema na mim ya kuyaishi magizo yako😢
😢😢😢
Kwani Yule mtoto wake mwengine yuko wapi namuona careen tu
Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,
Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,
Huyo mtoto kama hajafika kwenye msiba wa baba yake basi hana sifa za kuwa mtoto wa pili wa gardner poleni sana wafiwa mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Gardner alisema anawatoto wawili mbona hapa wanamtaja mmoja???
Mtoto Wa hiyarii
Kidini mtoto anaejulikana n wa ndoa tu
Mbona yy.alisema anao watoto zaid ya mmoja
Hao vijana wote wanaosema walisaidiwa na gardna kuingia studio au kupata kazi ya wanahabari ama kuomba pia ni watoto sio lazima awe amewazaa
Tuishi na watu vzr jamani
Gardner sauti ya ukoo ndio sauti zao
Ndoa alifunga nabani
Amefariki?
Mkewe yuko wapi? Mbona waliogunduà anaumwa ni watu baki? Kwani mkewe hakuona siku zote?
Alikua lady jaydee waliachana
Mtoto mwingine mbona hatajwi?
Kuna binti mwingine nimesikia mtoto mmoja na mjukuu basi
Uyo mwingine hatambuliki
Ilikuwa kiki
Yaaap ni Yule video vixen wa kwenye chuma ulete,, ila yy hatajwi maskini au kwasabab ni mtoto wa kando
Huyo MTT mwngne mbona haonekan msibani kama n baba ake
Wahiyarii
Aombewe nini sasa kama hakujiombea yeye enzi za uhai ndo imetoka hiyo
Muwe na kauli nzur vile sio wew
Hujui kabla ya kifo chake labda aliweza kumuomba Mungu msamaha
Miungu watu bora yeye kuliko wewe hujui utamalizaje
Haikuhusu
Kweli kabisa @@olivernyange2349
Poleni sana
Polen sana
😢😢😢😢