SHEILA | Part 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 288

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 дня назад +76

    Jamani natokea kenya 🇰🇪 watu wengine wanapitia maisha mangumu shukuru mungu wakati upitii mangumu Jamani gogeni like hapa wenye moyo safi kama huyu mkaka alie msaindia huyu mdada🎉🎉🎉🎉

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 2 дня назад +21

    kama umepitia msoto kwenye maisha mpka sasa na ushavuka changamoto hizo sema amen.na umpongeze sheishei🎉🎉

    • @buru1235
      @buru1235 2 дня назад

      Ata mm sisemi kitu wallai Kwa hii ndunia Kuna milima n mabonde l say😮

  • @Udiboytz
    @Udiboytz 2 дня назад +12

    Kaka Darkid uko poa Sana Una kamoyo Ka uluma aliyejua ILO Kaka ana loo nzur tujuane kwenye like bx 🎉🎉🎉❤❤

  • @MillicentMoraashMongeri-s8p
    @MillicentMoraashMongeri-s8p 3 дня назад +31

    Sheyshey nakupenda sana aky waau leo mm wa kwanza like zangu jameni tukisonga❤❤❤

  • @Rechonassari
    @Rechonassari 2 дня назад +6

    Dada yang Sheila umeuwa upo vizur san na hongera kwa Kaz nzur unaweza San big up kwako🥰🙏🙏

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 2 дня назад +15

    Tunao mupenda sheilah tujuane kwa like from. Burundi

  • @AnnaLabson
    @AnnaLabson 3 дня назад +12

    Nakupenda sana dada shey shey kazi nzuri ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

    • @AnnaLabson
      @AnnaLabson 3 дня назад

      Nakupenda sana dada shey shey kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @amishmusungu453
    @amishmusungu453 2 дня назад +5

    Much love from Kenya miss Sheishei and Darkid ❤❤

  • @SuzyFidels
    @SuzyFidels 2 дня назад +5

    Sheyshey umejiachia na remote umesahau kabisa kama dogo kapotea😅😅

  • @Beatrice-z4c
    @Beatrice-z4c 2 дня назад +4

    Huwa sijawai kuwa wa kwanza ila nimefika kaxi yako n nzuri daa Sheila mungu akuzidishie, nakupenda sana

  • @Philohmutua-bc4jk
    @Philohmutua-bc4jk 2 дня назад +5

    Sheyshey hiii movie inanifunza kitu kapiza mungu akupariki sana sana❤❤❤❤

  • @Saraphina-y5o
    @Saraphina-y5o 2 дня назад +3

    Shey we nimrembo jamani nakupenda❤❤❤❤❤hongera sana kazi nzuri

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 2 дня назад +3

    ❤❤kazi nzuri sana 👍 hongera shey shey kwa kz nzuri

  • @SongeaGirl0
    @SongeaGirl0 2 дня назад +5

    Hatimae Hamis wa Bss nae ndani ya sheila🥰🥰

  • @FaithMinyika
    @FaithMinyika 2 дня назад +3

    Nakpenda bure shey shey basi usiwe unachelewesha😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 3 дня назад +13

    Leo nimewahi naomba like zangu ❤❤❤❤

  • @ClamVevoTV
    @ClamVevoTV 2 дня назад +10

    🎀✨KAZI NZURISANA #NDUGUYANGU BOSS #SHEYSHEYTV BIG UP🙏😊📽🌍💕🕊

  • @MIZAKEKALUNGERO-vc2lg
    @MIZAKEKALUNGERO-vc2lg 2 дня назад +3

    Sheyshey nime muona mtoto unaye mtafuta huku congo ebu njoo😂😂😂

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 2 дня назад +8

    Shey Shey mimi fans KP nimekubali mision zako kwenye PLAN B ikabidi nitafute channel yako. 🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹

  • @YusraMshomary
    @YusraMshomary 2 дня назад +2

    Chukua Maua yako 🎉🎉🎉hayo shey shey Kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @DannyDarckKashavuson
    @DannyDarckKashavuson 2 дня назад +6

    Mambo nyinyi wote mnao soma hii comment yangu Mungu Mungu awabariki nawenye moyo mzuri kama wa darkid❤❤❤

  • @ronyalkh
    @ronyalkh 2 дня назад +2

    Shey shey nakupenda bure Asante kunikumbusha mahali mungu amenitoa

  • @teresiawamboigitau2221
    @teresiawamboigitau2221 3 дня назад +17

    Wow wa kwanza leo kutoka kenya..wapi like zangu 😅

  • @MosesSids
    @MosesSids День назад

    Nakupenda Sanaa sheyshey kwa kazi nzuri

  • @askiajohn4506
    @askiajohn4506 3 дня назад +12

    Macho yangu au kamanimemuona hamis wa Bss

    • @biommy6700
      @biommy6700 2 дня назад

      Na roho yake mbaya maji pia amnyima mtoto

    • @HawaMohamed-ug1sb
      @HawaMohamed-ug1sb 2 дня назад

      @@biommy6700 sasa sindiyo wamepanga kuect hivo na ww unachukulia Kweli😨

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 дня назад

      Nkajua nimemfananisha tu

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 2 дня назад +7

    Huyu jamaa aliyemsaidia SHEY SHEY + SHEY SHEY na huyu mdogo ake SHEY SHEY wanafanana 😂😂😂😂

    • @Derpink-iv8rb
      @Derpink-iv8rb 2 дня назад

      Wanakaa mandugu 😂

    • @DonMooFILMES_Express
      @DonMooFILMES_Express 2 дня назад +1

      @@Derpink-iv8rb umeona eee 😁

    • @Araphrqra
      @Araphrqra 2 дня назад

      Ni family Moja

    • @DonMooFILMES_Express
      @DonMooFILMES_Express 2 дня назад +1

      @@Araphrqra kweli unauhakika? 😁 usije kuniaminisha uongo

    • @NajmaJomy
      @NajmaJomy 2 дня назад +1

      Shey shey huyu jamaa kama ni chali yake lakini huyu dogo ni kama kakake shey

  • @HalimaAli-e4w
    @HalimaAli-e4w 2 дня назад

    Jamni tumpe support dda et kipenzi shey shey❤❤kwa kazi yake nzurii🎉🎉

  • @BagumaJulienBagumaJulien-k8g
    @BagumaJulienBagumaJulien-k8g 2 дня назад +1

    Ongera sana commando kipenzi kazi nzuri sana💋💋💋💋

  • @EdenAlam-e9t
    @EdenAlam-e9t День назад

    Nzuri sana sheyshey nimeipenda Wacha niendelee kujifunza.

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 2 дня назад

    shey shey na sisi Burundi tunakutizamia kazi Yako na tunakupenda❤

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 2 дня назад

    Mashallah hongera sanaa shey shey kwa kazi nzur sanaa 🤝🎉❤❤❤

  • @annabanene6567
    @annabanene6567 2 дня назад +3

    Tulio muona Hamiss wa bss nipeni like bc ila kwann anamshali mwenzie amfukuze sijapendaa😅

  • @Eunicerichard1285
    @Eunicerichard1285 2 дня назад +1

    Sheyshey kazi nzur kipenzi nakupenda saan❤❤

  • @Johar903
    @Johar903 2 дня назад

    ❤❤❤Shei shei kazi nzuri sana ongera nakupenda 🎉🎉🎉

  • @shadrackimonje2899
    @shadrackimonje2899 15 часов назад +1

    Iyo kali madam boss🎉🎉🎉❤

  • @JustineYohana-b5t
    @JustineYohana-b5t 2 дня назад

    Hapa umetishaaaa komando kipensi usie na vyeti vya serikali❤❤❤❤

  • @RukiaManga-z1t
    @RukiaManga-z1t 2 дня назад +2

    Nimeanza kufuatilia nimependa hii series kazi nzr😊

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 2 дня назад

    Nakufatilia Sana Sheila mnatufunza Sana shukrani wapedwa mungu awalinde inshaallah

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 2 дня назад +2

    Sheishei mdogo wako yupo kibaha hapa nimemuona ujeuchukuwe mwenyewe

    • @NeemaPeter-e3l
      @NeemaPeter-e3l 2 дня назад

      Au amuulize camera man anajua alipo😂😂😂😂

  • @mwendemutua3063
    @mwendemutua3063 2 дня назад

    Darkid hapo sasa..sheyshey darkid kashaa kupenda jamani🎉🎉mapenzi wewe,,ila kazi nzuri kwenu🎉🎉

  • @MamushNchombo
    @MamushNchombo 2 дня назад +1

    Astaghafirullah🫢! Kaka kumbe uko na roo mbya ivo! Mwaenzako anakwmbia anahisi kiu umsaidie na maji maskini wamwalia maji mungu akulaani mwanamume ww 😢😢😢na nnavyoona mungu n mwema akamleta saidi apo alipokaribu na Sheila 😢😢😢😢😢

  • @MelaniaTluway
    @MelaniaTluway 2 дня назад +1

    Tofauti kati ya mtoto wa kike na WA kiume ndo hii sasa Sheila na mdogo wake😢

  • @JosephMorinho-z1z
    @JosephMorinho-z1z 2 дня назад +1

    Sheila binti likoma kuwa makini daaah😂😂 jamaa anae upwiru huyo

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 2 дня назад +1

    Sheyshey love you forever and always ❤❤❤❤❤❤

  • @NajimaShabani
    @NajimaShabani 2 дня назад +1

    Sheilaaa love you so much my sister ❤❤🎉🎉❤❤🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 2 дня назад

    Kazi nzuri sheila nakukubali kinoma yani❤❤❤❤

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 2 дня назад

    Shangazi Awe zebuu nalikoma bla kumsaha Kp wakwino oya utauwa sanaaa mwangu shey kwanzaa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @VeronicaMunyoki-1234
    @VeronicaMunyoki-1234 3 дня назад +4

    I love you sheyshey 🎉❤

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg 2 дня назад +1

    Sheishei komando kipesi sheishei nam jina rangu

  • @Samiyabahatinanti
    @Samiyabahatinanti 2 дня назад

    😁😁😁🤣🤣🤣sheshe mbona unaaza kujiaciriya umeaza kumtamani uyu kaka

  • @KIOMBOYTZ
    @KIOMBOYTZ День назад +1

    Maisha yana mfumo wa M yaani kuna kupanda na kushuka Pole sheyshey ila yule mwizi ailomuibia sheyshey jamani hamjamuona huko

  • @KabatesiAline-r1e
    @KabatesiAline-r1e 2 дня назад

    Mi natoka Rwanda rakini kaka unarohonzuri mungu akubaliki

  • @SugunanaKidsTv-m3z
    @SugunanaKidsTv-m3z 3 дня назад +6

    Approved hii n Kali sheyshey. ❤❤ Much love ❤❤

  • @AishaAisha-u1q
    @AishaAisha-u1q 2 дня назад +1

    Nimeipenda❤❤❤ ila ww kaka shetani usijekumuendekeza kama umeamua kumsaidia basi msaidie

  • @RasterbatelaBatelamaster
    @RasterbatelaBatelamaster 2 дня назад +1

    Love your story ❤❤❤❤

  • @MancaGilbert-os9kx
    @MancaGilbert-os9kx День назад

    Kazi nzuri 👏👏🔥🔥💥💯

  • @PatrickWasafi-w8m
    @PatrickWasafi-w8m 2 дня назад

    wakwanza from Congo RDC 🇨🇩 sheyshey bona inachelewa sanaa

  • @EzromKasind
    @EzromKasind 3 дня назад +3

    Namm jaman sijachelewa sana ❤❤

  • @GloriahWanza
    @GloriahWanza День назад

    Sheila much love 💕

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 2 дня назад +1

    Sheyshey kwa ubora wake ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NdayishimiyeJeannette-e8r
    @NdayishimiyeJeannette-e8r 2 дня назад

    Kazi nzuri Sheila Nakupenda sana❤❤

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 2 дня назад +1

    Shey shey unyama mwingi umu piga kazi

  • @متعةالمشاهدة-خ2ظ
    @متعةالمشاهدة-خ2ظ День назад

    Shey shey mbona mapenz ya kihind. Yameanza🎉🎉😅

  • @Salma-pd8uh
    @Salma-pd8uh 2 дня назад

    Next Ep iwe kali naona mnaanza kuonesha sign 😂😂❤❤ila mdogo wa shey apatikane❤❤❤

  • @rizikishemsaga7937
    @rizikishemsaga7937 2 дня назад

    Sheila unafanya kazi zuri sana

  • @DatashzyaMahamoud-p8q
    @DatashzyaMahamoud-p8q 2 дня назад +1

    Wey shey shey unaxhika limot kijijin kwenu tv ipo iyoo😂😂

  • @remidiusiponsiani
    @remidiusiponsiani День назад +1

    Nawapenda sana darkid na Sheila

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 2 дня назад

    Dashei💋💋💋💋 nakupend San komand wet wa plan B mzenj ap 🎉🎉🎉 honger kaz nzr

  • @AdamJack-m5d
    @AdamJack-m5d 2 дня назад +1

    Huyu dogo atapotea iwe kweri make anazunguka saana had kafka huku kwetu

  • @Monicahpeter-bln
    @Monicahpeter-bln 2 дня назад

    Sheyshey unapambn Sana dadaanguu utampata Mungu anakuona ❤❤❤

  • @MamushNchombo
    @MamushNchombo 2 дня назад

    Kaka asante sana kwa kumsaidia saidi kwa chakula mungu akubariki 😢😢😢😢

  • @judithokingo27
    @judithokingo27 2 дня назад

    Naomba part 4 upesi kiukweli nawapenda sana darkid na sheila

  • @everdhekay4924
    @everdhekay4924 5 часов назад

    Mambo naona inaenda vyema🎉😂

  • @christophernyankomo3675
    @christophernyankomo3675 2 дня назад

    Umetisha dadangu kaza Buti sisi tunapenda silizi za mafundisho siyo kutufunza uchawi

  • @Lea-tj5kf
    @Lea-tj5kf 2 дня назад

    Series kali shey shey lkn tunaomba ujitaidi kuwaisha kazi

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 2 дня назад

    WAISHA UNACHELEWESHA SANAA TOA MAPEMA WATU WAKUAMIN NDY KUKUZA JINA HVO

  • @reubenkahiga1984
    @reubenkahiga1984 3 дня назад +3

    Watching from kenya mnafanya kazi poa

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 2 дня назад

    Patamu apo mwisho😂😂😂❤ Big up sheishei and your team ❤🎉🎉

  • @omegarusumga3755
    @omegarusumga3755 2 дня назад

    Kazi njema sheyshey...toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @EleuterioMangoni
    @EleuterioMangoni 2 дня назад

    Nainjoy vzr sana, PANDE ZA MOÇAMBIQUE 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @Donatv-55
    @Donatv-55 2 дня назад +9

    Mungu akubalki utakaye soma comment hii

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 2 дня назад

    Mense 💔 hierdie boek dié 💥💥 👏👏

  • @MaryianKea
    @MaryianKea 2 дня назад +2

    Muwe mnaiwaisha basi😂😂

  • @BebecheriLadyswineipupa
    @BebecheriLadyswineipupa 2 дня назад +2

    Jamani hii filamu Tena Nitamu kabisa, Yani hiyi Team kp wakwino Muna akili Kali Kabisa 💪💪💪💪💪

  • @MagrethBernard-p2n
    @MagrethBernard-p2n День назад

    Kaz nzuri sheyshey

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 2 дня назад

    Kazi nzuri shey shey❤❤❤❤

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 2 дня назад +1

    Kazi nzuri saana 🎉🥰🌹

  • @leilasalim-2009
    @leilasalim-2009 2 дня назад

    Congratulations Kazi nzur mashaallah ❤

  • @FahimuFarao
    @FahimuFarao 2 дня назад

    🎉🎉jmani kama wahindi eti kaah Sheila unatisha na nusu😊

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 2 дня назад

    Nest episode darkid utagonga mali kulingana na vile mambo imechemka 😊😊😊😅😅😅.

  • @MamushNchombo
    @MamushNchombo 2 дня назад

    Mmmh jaman! Uyo kaka ambae anakaa na Sheila, saidi alkuwa apo hotel uliponunua vitu n venye hamjuani tu🫢lakn ungemtuma Sheila wangeonana🤔

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 2 дня назад

    Nakukubali my friend

  • @BENJAMINIMNDEME-i8l
    @BENJAMINIMNDEME-i8l 2 дня назад

    Darkid umecheza vyema sana

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 2 дня назад

    😅😅😅😅😅😅 kweli mtoto mzuri ila tulia kwanza bro

  • @WinifridaKisinga
    @WinifridaKisinga 23 часа назад

    Jamani aliemsaidia kumnunulia chipsi huyu dogo ndo huyohuyo aliemwibia sheyla pesa yake.

  • @RoseLuchivya
    @RoseLuchivya 2 дня назад

    Nkupenda sana shey shey❤❤❤

  • @NancySibiaOnguti-gb9yq
    @NancySibiaOnguti-gb9yq 2 дня назад

    Mtoto mzuri hivi 😂😂😂😂wewe darkid

  • @hildachiboti6080
    @hildachiboti6080 2 дня назад +1

    Movie nzuri sanaa

  • @MilleureDunia
    @MilleureDunia 2 дня назад

    Darkid n'a Sheila mwanangu nawapenda saaana

  • @reallove3788
    @reallove3788 2 дня назад

    Usiingiwe na tamaaaa dar kid