Shey shey Hongera unafanya kazi nzuri Mungu akubaliki pia na sisi Washabiki zako Mungu atubaliki wale tunaomkubali shey shey atafka mbali gonga like hapa🎉🎉
Jmn sheila ni mtu poah sana tunaona ht kwny movie za kp na zebuu jnc sheila anavyoigza vzr hvy bc tujitahd kusubscribe Chanel yake,anayeunga mkono agonge like hapo
Apo kwa mimba nilijua kaka atapenda ila wakati wa shida ndio inaongezeka sana 😢nakumbuka kuna siku nilichelewa kwa Barabara nikachukua boda boda kufika gate imefungwa n gate man amelala huyo boda boda akasema atanisaidia then turudi mrng nikasema sawa kufika kkwake anataka tufanye n yey mapenzi nilitoka sikutaka kujua n saa ngapi😢mungu akanitumia msamaria mwingine yani hii dunia kama ujawai pitia shida shukuru mungu sana yani shey shey hii movie yako inanifanya nalia😢 bt keep going girl 💕🎉
Wadau movie kali lakini umu ndani kama nimemuona hamisi wa bss mwimbaji au macho yangu yameona vibaya pia mungu akubariki sana wewe unaesoma sms hii emeni
Shey shey Hongera unafanya kazi nzuri Mungu akubaliki pia na sisi Washabiki zako Mungu atubaliki wale tunaomkubali shey shey atafka mbali gonga like hapa🎉🎉
❤
❤❤🎉kasema nisinenepe 🎉 Darkid nakukubal knoma noma
Ongela sana dada.mbona sipati likes hata Tano. Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
@@gogoloveofficial5666 nakujua sana gogo.ulikua unaigiza pamoja na sammy
ESE WW GOGO URI MUBIKI KONTAKIBONA IBIKOGWA WARAHEVYE KUDUHA FILIME KANDI UZI NEZAKO ❤❤❤❤
@@FgfRt-t6jNatubwire Ivyarimwo Kbx 😅😅
Sasa gogo na ww mbona hatupni bipya dada yetu
Hongera sana dada angu una kitu utafika mbali ila namm nakipaji cha uugizaji sas nikitaka kuwa nyinyi ntawapateje?
Jmn sheila ni mtu poah sana tunaona ht kwny movie za kp na zebuu jnc sheila anavyoigza vzr hvy bc tujitahd kusubscribe Chanel yake,anayeunga mkono agonge like hapo
Mambo yataenda shwari atakuwa like nyingi tyuu
Yummy
Well said ,mungu akubariki sana kwa himizo hilo
@@allymwashambwa5920 aminaaa
Mimi wa sita naombeni like sa sheishei🎉🎉🎉
Jameni kutoka Burundi ❤❤❤❤ nilikuwa na miss kuhangalia Sheila Leo naomba like ndugu zangu
Wakwanza hapa huyu mkaka kapata mke mapenzi yananzia hivyo from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪like hapa❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂
Kabisa nimke uyo
Said unampora kaka alomsaidia dada yako.wakwabza mie❤
Hongera Sana dada Sheila Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Am seeing some chemistry between Sheila and Darkid😂😂😂😂😂
Apo kwa mimba nilijua kaka atapenda ila wakati wa shida ndio inaongezeka sana 😢nakumbuka kuna siku nilichelewa kwa Barabara nikachukua boda boda kufika gate imefungwa n gate man amelala huyo boda boda akasema atanisaidia then turudi mrng nikasema sawa kufika kkwake anataka tufanye n yey mapenzi nilitoka sikutaka kujua n saa ngapi😢mungu akanitumia msamaria mwingine yani hii dunia kama ujawai pitia shida shukuru mungu sana yani shey shey hii movie yako inanifanya nalia😢 bt keep going girl 💕🎉
Sina lakusema ila asante sana kwa kazi nzuli mnayoyifanya hata kma kuna wakati film hii inaposikitisha😢
Maisha halisi kutoka kwa Sheila binti likoma 🎉🎉🎉🎉
Kazii nzurii shey shey🎉🎉🎉🎉🎉
Wamwisho filamu nzuri sana hongera Sheila from Burundi ❤❤❤❤❤❤❤
Hongera Sheila movie yako nzur sana
Mbona darkit amefika hapa akabadilika jameni 😢😢😢😢😅😅😅
Bhana Shey shey cjapenda kwakwel
Alafu sasa shey ndio ukajiachia kabisa mimba chubwiiiii 😂😂😂😂😂
Yani😊
Haki ya mngu hii film kuna kipindi inasikitisha sana😓😓😢
Kweli mtu mda mwengine anaweza kufanya kitu Kwa sababu ya maisha magumu bila kupenda
@@B.M-ix4rz ukwel mtupu.
Walai😢😢
Kweli maisha mengine 😢😢😢😢wee acha tu
Dada Sheila Usha lizika namanisha umejisahau kumtafuta mdogo wako
kazi nzuri jaman mpk raha pokea mua yako 🎉🎉🎉🎉
Kazi zuri kabisa musikawe kutocha nainpenda sana usisheleweshe 🎉🎉🎉
Haya sheila ilikuaje ukakubali kubeba mimba
Shey shey umesahau your brother mapenzi yamenoka😂😂😂😂😂😂
Daah uko mpaka uku ndug nikajua kwa fuyao tu
@@SharifaRashid-tg9kx ndo hivyo ss Fu yao na wi ji na kaseven 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mm WA kumi na nane naomba like jamani
Djfiy
Shey shey mnachelewesha sana 😮😮😮😮
Nzuri sana Sheila wauh nimeipenda hiyo ❤❤❤
Naombeni like zangu jamani beseni kama langu et
Mungu ni mwema aeikubl hi kazi gonna like apo🎉
Kazi mzur tuko pamoja jamn mpk kielewekeee ❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Munguwangu Shey Shey 😢😢 Hongereni Sana Guys ❤️❤️❤️ One Love From Burund 🇧🇮♥️♥️♥️♥️
Niatari kweli, mapenzi mazuri mwazo, mwisho ni ka raha tuuuuhh 😂😂😂
Shey shey komando kipensi haya mambo y mwachie zebuu ww kazi zako z kukaba😂😂😂😂big up sheila kazi nzury
NAMI wa nane ila nipeni like ivoivo 😂😂😂
Kazi nzuri commando kipenzi, keep going,tuko na wewe bamba 2 bamba
😂🎉🎉 hapo sawa tu ,hongera kwa kazi
Jaman sheila ungejua mdogo wako ndio amempiga huyo kaka
Yani nawapenda sana shey shey mzigo mzuri🎉🎉❤
Shey shey ww doh ulimuta qwa bed😂😂
Mtoto kautaka 😂😂😂😂
Nimepata somo upande wa vibaka😊😊
Sheyshey kazi mzuri sana dada yangu❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa 40 Leo Jaman Anaemkubali Sheila Tujuane Apa❤❤
One love from Germany I'm from Tanzania but I really enjoy our lifestyle in tz kazi inzuri Sana Sheila ❤❤
Mimi wakwanza jameni naombeni like zangu❤
Mambo
Hongera Kwa kazi nzuri na kua na msimamo na maisha
Tunaedana nakujua sana ila hiyo sauti yako ungekuwa unamwimbia mungu ingekuw vizur san wagap wanakubalian na me ❤❤❤❤😊 bwana yesu asifiwe
Shey shey nakuelew sana dadaangu 🎉🎉🎉
Hahaha sheshe kati ya penzi hahaha ndani ya wamangushi alikuwa babe saana ndani ya plan b noma piya nakuoenda Bure sister unaweza saana
sheyshey nakupenda bure
Mapenzi ya kihindi yashaanza😂😂😂
❤❤❤❤kazi nzuri sana 👍 ila wanaume jamani duhuu
Nawapa wasaa Ndugu zangu, Maisha Yana ugumu na changamoto ila kinachohitajika ni Subra na uvumilivu tu.
Hongera dada Sheila niko pamoja na ww hadi mwisho🎉🎉🎉❤❤
Tunaapenda sana sheila na mpenz wako🇰🇪🇰🇪🇧🇮🇧🇮
Am from Nairobi kenya nipe like hata moja watanzania
Kutoka kumtafuta dogo mpaka mahaba niue😂😂😂😂 much love❤
Courage Sheila tunagupend from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮.
Waaaah shida imeongezeka mara mbili walai
Film Kali sana Sheila ubarikiwe sana
Wooow shey shey umejitaindi sana congrats mama 😊😊😊😊ila wanaume na kukata mimba doooo
Sheila mpe mwnzioo kdgo😅😅😅😅😅
Mungu akuongoze ufikie malengo Sheila kazi ni nzuri sana
Sheila wewe una mauwa yako kwangu sa yyt siku yyt naimani takuona tuu🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana sheila wangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani mnaigiza vizuri sana tulale pamoja 😂😂😂😂
Miss shey shey jitahidi uwe unatuwahishia tunakuwa wapweke sana🎉
Hongera Sana Sheila kiukweli hii movie nzur san pia inatufundisha sisi vijana
😂😂zile movie za kihindi sasa si ndo hizi jamn za shar khan na Kajol ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Eti Sheila kutoroka kuolewa na hapa naona akipenda nani mwingine anaona hilo
😂 Yuko na mimba adi
😂😂kamkataa asiye chaguo lake hapa kapenda Kwa hiar yake
Sasa c alikuwa akilazimishwa
@@liliy-u3n 😂😂 amechoma
Kulazimishwa koleka kwa mtu usompenda sio sawa na kuoleka na umpendae
❤❤❤❤❤❤ kazi nzurii😅😅😅😅😅😅
Tunapoekea mdogo wake sheila atavhomwa moto
Me nakupenda mwaya shey shey 🎉🎉
Mimba hiyo sheila😅😅
Kazi nzuri sana sister ❤❤❤🎉🎉
Kazi nzuri Sheila unifundishe na mm❤❤❤
Hapa nilikua lazima mapenzi itokea juu sirais muishi nyumban Moja na Dem bana
MashaAllah shey shey kazi ❤❤❤❤
Wadau movie kali lakini umu ndani kama nimemuona hamisi wa bss mwimbaji au macho yangu yameona vibaya pia mungu akubariki sana wewe unaesoma sms hii emeni
Mm wa mwisho naombeni like 😂😂😂
Steve kutoka Kenya much love to you sheilah
SHEY SHEY OYA UNAJUA KINOMA KP MWENYEWE ANALIJUA HLO🎉🎉🎉🎉🎉
Wale mashabiki WA shey shey wako wap😢
Filamu nzuri saana 🥰🎉🎉
Sheishei oyooooooooooooooooooooooooh
Dah wapendwa Léo nimechelewa ila mnipe likes hata 10 basi
SEMA anazngua kwa mana anacherewesha Kaz zake mpaka Zina boa
Leo sijachelewa San ndugu zangu jmn
good work darling
Ewaaaah jaman Sheila I love you
Sheila ww n mrembo uko mzuri sana ❤❤ ❤❤❤
Utanifosije mm kuwa mzaz wa mtu keh😅😅😅😅😂😂😂
Shey shey kazi nzr🎉
Dah! Uyu shei shei namkubali sanaa sanaaaaaa, much lv kwako. Don't giv up💪
waoooo inapedez San 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Kisha nuka😊😊😊
Hongera kwa kuongeza dakika
Ko uyoo ashapona😂😂😂😂😂
Mm wakwanza naomba like 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nzuri sana 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🎉 hongera sana sheyshey
Kwahiyo shey shey ulikuwa unampa kila siku sio😅😅😅
Shukran kipenz sheila nilikuwa nasubiria sana hk