SHEILA | Part 4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 394

  • @josephinejulius9599
    @josephinejulius9599 3 месяца назад +36

    Shey shey Hongera unafanya kazi nzuri Mungu akubaliki pia na sisi Washabiki zako Mungu atubaliki wale tunaomkubali shey shey atafka mbali gonga like hapa🎉🎉

  • @DavisMmole-i6p
    @DavisMmole-i6p 3 месяца назад +29

    ❤❤🎉kasema nisinenepe 🎉 Darkid nakukubal knoma noma

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 3 месяца назад +100

    Ongela sana dada.mbona sipati likes hata Tano. Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

    • @ndayiragijejeanclaude-rh1zl
      @ndayiragijejeanclaude-rh1zl 3 месяца назад

      @@gogoloveofficial5666 nakujua sana gogo.ulikua unaigiza pamoja na sammy

    • @FgfRt-t6j
      @FgfRt-t6j 3 месяца назад +2

      ESE WW GOGO URI MUBIKI KONTAKIBONA IBIKOGWA WARAHEVYE KUDUHA FILIME KANDI UZI NEZAKO ❤❤❤❤

    • @Jajakanjaniri
      @Jajakanjaniri 3 месяца назад

      ​@@FgfRt-t6jNatubwire Ivyarimwo Kbx 😅😅

    • @divinendayipfukamiye-z7l
      @divinendayipfukamiye-z7l 3 месяца назад

      Sasa gogo na ww mbona hatupni bipya dada yetu

    • @hemedsalala7184
      @hemedsalala7184 3 месяца назад

      Hongera sana dada angu una kitu utafika mbali ila namm nakipaji cha uugizaji sas nikitaka kuwa nyinyi ntawapateje?

  • @TheresiaTitus-m1l
    @TheresiaTitus-m1l 3 месяца назад +121

    Jmn sheila ni mtu poah sana tunaona ht kwny movie za kp na zebuu jnc sheila anavyoigza vzr hvy bc tujitahd kusubscribe Chanel yake,anayeunga mkono agonge like hapo

    • @NasrahMsiagi
      @NasrahMsiagi 3 месяца назад +1

      Mambo yataenda shwari atakuwa like nyingi tyuu

    • @DoogPlus
      @DoogPlus 3 месяца назад

      Yummy

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 3 месяца назад

      Well said ,mungu akubariki sana kwa himizo hilo

    • @TheresiaTitus-m1l
      @TheresiaTitus-m1l 3 месяца назад

      @@allymwashambwa5920 aminaaa

  • @Samuel-pu9qu
    @Samuel-pu9qu 3 месяца назад +61

    Mimi wa sita naombeni like sa sheishei🎉🎉🎉

  • @sergesntunzwenimana
    @sergesntunzwenimana 3 месяца назад +51

    Jameni kutoka Burundi ❤❤❤❤ nilikuwa na miss kuhangalia Sheila Leo naomba like ndugu zangu

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 месяца назад +46

    Wakwanza hapa huyu mkaka kapata mke mapenzi yananzia hivyo from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪like hapa❤❤❤❤❤❤

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 3 месяца назад +23

    Said unampora kaka alomsaidia dada yako.wakwabza mie❤

  • @chepkoechsylviape4jd
    @chepkoechsylviape4jd 3 месяца назад +12

    Hongera Sana dada Sheila Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 3 месяца назад +15

    Am seeing some chemistry between Sheila and Darkid😂😂😂😂😂

  • @METRINEOKELLO
    @METRINEOKELLO 3 месяца назад +12

    Apo kwa mimba nilijua kaka atapenda ila wakati wa shida ndio inaongezeka sana 😢nakumbuka kuna siku nilichelewa kwa Barabara nikachukua boda boda kufika gate imefungwa n gate man amelala huyo boda boda akasema atanisaidia then turudi mrng nikasema sawa kufika kkwake anataka tufanye n yey mapenzi nilitoka sikutaka kujua n saa ngapi😢mungu akanitumia msamaria mwingine yani hii dunia kama ujawai pitia shida shukuru mungu sana yani shey shey hii movie yako inanifanya nalia😢 bt keep going girl 💕🎉

  • @HakizimanaGerard-ge4yk
    @HakizimanaGerard-ge4yk 3 месяца назад +17

    Sina lakusema ila asante sana kwa kazi nzuli mnayoyifanya hata kma kuna wakati film hii inaposikitisha😢

  • @Tikijmlengo
    @Tikijmlengo 3 месяца назад +30

    Maisha halisi kutoka kwa Sheila binti likoma 🎉🎉🎉🎉

  • @DeboraLufingo
    @DeboraLufingo 3 месяца назад +17

    Kazii nzurii shey shey🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MelissaUwimana-zn7dy
    @MelissaUwimana-zn7dy 3 месяца назад +6

    Wamwisho filamu nzuri sana hongera Sheila from Burundi ❤❤❤❤❤❤❤

  • @HawaTuwa
    @HawaTuwa 3 месяца назад +10

    Hongera Sheila movie yako nzur sana

  • @BrightonSifuna
    @BrightonSifuna 24 дня назад +2

    Mbona darkit amefika hapa akabadilika jameni 😢😢😢😢😅😅😅

  • @Fettyshekibwai
    @Fettyshekibwai 2 месяца назад +2

    Bhana Shey shey cjapenda kwakwel

  • @DUMMY-B
    @DUMMY-B 3 месяца назад +8

    Alafu sasa shey ndio ukajiachia kabisa mimba chubwiiiii 😂😂😂😂😂

  • @ndayiragijejeanclaude-rh1zl
    @ndayiragijejeanclaude-rh1zl 3 месяца назад +63

    Haki ya mngu hii film kuna kipindi inasikitisha sana😓😓😢

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 3 месяца назад +2

      Kweli mtu mda mwengine anaweza kufanya kitu Kwa sababu ya maisha magumu bila kupenda

    • @ndayiragijejeanclaude-rh1zl
      @ndayiragijejeanclaude-rh1zl 3 месяца назад

      @@B.M-ix4rz ukwel mtupu.

    • @Salma-g1m1x
      @Salma-g1m1x 3 месяца назад +2

      Walai😢😢

    • @Nihenya
      @Nihenya 3 месяца назад +2

      Kweli maisha mengine 😢😢😢😢wee acha tu

    • @FrankoPius
      @FrankoPius 3 месяца назад

      Dada Sheila Usha lizika namanisha umejisahau kumtafuta mdogo wako

  • @AishaKadii-sb3tt
    @AishaKadii-sb3tt 3 месяца назад +5

    kazi nzuri jaman mpk raha pokea mua yako 🎉🎉🎉🎉

  • @LebonAlliance
    @LebonAlliance 3 месяца назад +1

    Kazi zuri kabisa musikawe kutocha nainpenda sana usisheleweshe 🎉🎉🎉

  • @MariamMchomvu-q3s
    @MariamMchomvu-q3s 3 месяца назад +16

    Haya sheila ilikuaje ukakubali kubeba mimba

  • @LilyNashela
    @LilyNashela 3 месяца назад +9

    Shey shey umesahau your brother mapenzi yamenoka😂😂😂😂😂😂

    • @SharifaRashid-tg9kx
      @SharifaRashid-tg9kx 3 месяца назад

      Daah uko mpaka uku ndug nikajua kwa fuyao tu

    • @LilyNashela
      @LilyNashela 3 месяца назад

      @@SharifaRashid-tg9kx ndo hivyo ss Fu yao na wi ji na kaseven 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AnneAdhiambo-w2w
    @AnneAdhiambo-w2w 3 месяца назад +25

    Mm WA kumi na nane naomba like jamani

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 3 месяца назад +6

    Shey shey mnachelewesha sana 😮😮😮😮

  • @MillicentMoraashMongeri-s8p
    @MillicentMoraashMongeri-s8p 3 месяца назад +5

    Nzuri sana Sheila wauh nimeipenda hiyo ❤❤❤

  • @ReinaLusajo
    @ReinaLusajo 3 месяца назад +22

    Naombeni like zangu jamani beseni kama langu et

  • @JAY_P_THE1
    @JAY_P_THE1 3 месяца назад +10

    Mungu ni mwema aeikubl hi kazi gonna like apo🎉

  • @NajimaShabani
    @NajimaShabani 3 месяца назад +6

    Kazi mzur tuko pamoja jamn mpk kielewekeee ❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 3 месяца назад +2

    Munguwangu Shey Shey 😢😢 Hongereni Sana Guys ❤️❤️❤️ One Love From Burund 🇧🇮♥️♥️♥️♥️

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 3 месяца назад +2

    Niatari kweli, mapenzi mazuri mwazo, mwisho ni ka raha tuuuuhh 😂😂😂

  • @MwanaharusiHamisi-b6g
    @MwanaharusiHamisi-b6g 3 месяца назад +4

    Shey shey komando kipensi haya mambo y mwachie zebuu ww kazi zako z kukaba😂😂😂😂big up sheila kazi nzury

  • @ZuwenarashidiLukanga
    @ZuwenarashidiLukanga 3 месяца назад +13

    NAMI wa nane ila nipeni like ivoivo 😂😂😂

  • @DanielMoirange
    @DanielMoirange 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri commando kipenzi, keep going,tuko na wewe bamba 2 bamba

  • @Alfredchai-zp3pc
    @Alfredchai-zp3pc 3 месяца назад +1

    😂🎉🎉 hapo sawa tu ,hongera kwa kazi

  • @MariamMchomvu-q3s
    @MariamMchomvu-q3s 3 месяца назад +8

    Jaman sheila ungejua mdogo wako ndio amempiga huyo kaka

  • @FaithMinyika
    @FaithMinyika 3 месяца назад +1

    Yani nawapenda sana shey shey mzigo mzuri🎉🎉❤

  • @SueSussy-r9k
    @SueSussy-r9k 3 месяца назад +8

    Shey shey ww doh ulimuta qwa bed😂😂

  • @RozeYousef-v8c
    @RozeYousef-v8c 3 месяца назад +9

    Nimepata somo upande wa vibaka😊😊

  • @SaamMolell
    @SaamMolell 3 месяца назад +1

    Sheyshey kazi mzuri sana dada yangu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 3 месяца назад +5

    Wa 40 Leo Jaman Anaemkubali Sheila Tujuane Apa❤❤

  • @Olepachu1182
    @Olepachu1182 3 месяца назад +2

    One love from Germany I'm from Tanzania but I really enjoy our lifestyle in tz kazi inzuri Sana Sheila ❤❤

  • @AishaQeen-q2b
    @AishaQeen-q2b 3 месяца назад +22

    Mimi wakwanza jameni naombeni like zangu❤

  • @Fatuma-t7h
    @Fatuma-t7h 3 месяца назад +1

    Hongera Kwa kazi nzuri na kua na msimamo na maisha

  • @DonardChips
    @DonardChips 3 месяца назад +1

    Tunaedana nakujua sana ila hiyo sauti yako ungekuwa unamwimbia mungu ingekuw vizur san wagap wanakubalian na me ❤❤❤❤😊 bwana yesu asifiwe

  • @MwajayChamshama
    @MwajayChamshama 3 месяца назад +3

    Shey shey nakuelew sana dadaangu 🎉🎉🎉

  • @mazambilucien
    @mazambilucien 3 месяца назад +5

    Hahaha sheshe kati ya penzi hahaha ndani ya wamangushi alikuwa babe saana ndani ya plan b noma piya nakuoenda Bure sister unaweza saana

  • @MarygorettiWafula
    @MarygorettiWafula 3 месяца назад +5

    sheyshey nakupenda bure

  • @Gladys-254
    @Gladys-254 3 месяца назад +3

    Mapenzi ya kihindi yashaanza😂😂😂

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤kazi nzuri sana 👍 ila wanaume jamani duhuu

  • @TeamBabajoan
    @TeamBabajoan 3 месяца назад +19

    Nawapa wasaa Ndugu zangu, Maisha Yana ugumu na changamoto ila kinachohitajika ni Subra na uvumilivu tu.

  • @Beatrice-z4c
    @Beatrice-z4c 3 месяца назад +1

    Hongera dada Sheila niko pamoja na ww hadi mwisho🎉🎉🎉❤❤

  • @ThierryNduwayesu
    @ThierryNduwayesu 3 месяца назад +3

    Tunaapenda sana sheila na mpenz wako🇰🇪🇰🇪🇧🇮🇧🇮

  • @Serekali47-Bobiyaa
    @Serekali47-Bobiyaa 3 месяца назад +5

    Am from Nairobi kenya nipe like hata moja watanzania

  • @LilyCyprian
    @LilyCyprian 3 месяца назад

    Kutoka kumtafuta dogo mpaka mahaba niue😂😂😂😂 much love❤

  • @IshimweKevin-no3vy
    @IshimweKevin-no3vy 3 месяца назад +3

    Courage Sheila tunagupend from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮.

  • @JunelavineAdero
    @JunelavineAdero 2 месяца назад +1

    Waaaah shida imeongezeka mara mbili walai

  • @JeremiahWaswa-d9j
    @JeremiahWaswa-d9j 3 месяца назад +1

    Film Kali sana Sheila ubarikiwe sana

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 месяца назад

    Wooow shey shey umejitaindi sana congrats mama 😊😊😊😊ila wanaume na kukata mimba doooo

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 3 месяца назад +2

    Sheila mpe mwnzioo kdgo😅😅😅😅😅

  • @christophernyankomo3675
    @christophernyankomo3675 3 месяца назад

    Mungu akuongoze ufikie malengo Sheila kazi ni nzuri sana

  • @FahimuFarao
    @FahimuFarao 3 месяца назад +3

    Sheila wewe una mauwa yako kwangu sa yyt siku yyt naimani takuona tuu🎉🎉🎉🎉

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana sheila wangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gideonmarube6832
    @gideonmarube6832 3 месяца назад

    Jamani mnaigiza vizuri sana tulale pamoja 😂😂😂😂

  • @PauloJuma-h3l
    @PauloJuma-h3l 3 месяца назад

    Miss shey shey jitahidi uwe unatuwahishia tunakuwa wapweke sana🎉

  • @NkorerimanaSalem
    @NkorerimanaSalem 3 месяца назад +1

    Hongera Sana Sheila kiukweli hii movie nzur san pia inatufundisha sisi vijana

  • @YusraMshomary
    @YusraMshomary 3 месяца назад +1

    😂😂zile movie za kihindi sasa si ndo hizi jamn za shar khan na Kajol ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 3 месяца назад +17

    Eti Sheila kutoroka kuolewa na hapa naona akipenda nani mwingine anaona hilo

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 3 месяца назад +2

      😂 Yuko na mimba adi

    • @DavisMmole-i6p
      @DavisMmole-i6p 3 месяца назад +1

      😂😂kamkataa asiye chaguo lake hapa kapenda Kwa hiar yake

    • @AnnaNaasi-o3e
      @AnnaNaasi-o3e 3 месяца назад

      Sasa c alikuwa akilazimishwa

    • @Deborahdepsy-qh4rj
      @Deborahdepsy-qh4rj 3 месяца назад

      @@liliy-u3n 😂😂 amechoma

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад

      Kulazimishwa koleka kwa mtu usompenda sio sawa na kuoleka na umpendae

  • @FgfRt-t6j
    @FgfRt-t6j 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ kazi nzurii😅😅😅😅😅😅

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +11

    Tunapoekea mdogo wake sheila atavhomwa moto

  • @JacklinaKajuna
    @JacklinaKajuna 3 месяца назад

    Me nakupenda mwaya shey shey 🎉🎉

  • @RoseOwiti-t3t
    @RoseOwiti-t3t 3 месяца назад +4

    Mimba hiyo sheila😅😅

  • @AnnaLabson
    @AnnaLabson 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana sister ❤❤❤🎉🎉

  • @MancaGilbert-os9kx
    @MancaGilbert-os9kx 3 месяца назад

    Kazi nzuri Sheila unifundishe na mm❤❤❤

  • @ronyalkh
    @ronyalkh 3 месяца назад +4

    Hapa nilikua lazima mapenzi itokea juu sirais muishi nyumban Moja na Dem bana

  • @AdanurenAdanurenBoru
    @AdanurenAdanurenBoru 3 месяца назад

    MashaAllah shey shey kazi ❤❤❤❤

  • @NabiiAmosi
    @NabiiAmosi 2 месяца назад +1

    Wadau movie kali lakini umu ndani kama nimemuona hamisi wa bss mwimbaji au macho yangu yameona vibaya pia mungu akubariki sana wewe unaesoma sms hii emeni

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 2 месяца назад +1

    Mm wa mwisho naombeni like 😂😂😂

  • @Stevohtabani254
    @Stevohtabani254 3 месяца назад +7

    Steve kutoka Kenya much love to you sheilah

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 3 месяца назад +1

    SHEY SHEY OYA UNAJUA KINOMA KP MWENYEWE ANALIJUA HLO🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FatumaKishasha-ph6ii
    @FatumaKishasha-ph6ii 3 месяца назад +7

    Wale mashabiki WA shey shey wako wap😢

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 3 месяца назад +1

    Filamu nzuri saana 🥰🎉🎉

  • @NdayizeyeChemsan
    @NdayizeyeChemsan 3 месяца назад +14

    Sheishei oyooooooooooooooooooooooooh
    Dah wapendwa Léo nimechelewa ila mnipe likes hata 10 basi

  • @SadickAllyMpolipoli-p3w
    @SadickAllyMpolipoli-p3w 3 месяца назад +1

    SEMA anazngua kwa mana anacherewesha Kaz zake mpaka Zina boa

  • @HidayaHamisi-w5k
    @HidayaHamisi-w5k 3 месяца назад +5

    Leo sijachelewa San ndugu zangu jmn

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 3 месяца назад +5

    good work darling

  • @LilyBeauty-d1t
    @LilyBeauty-d1t 3 месяца назад +3

    Ewaaaah jaman Sheila I love you

  • @maryamrashid-s6
    @maryamrashid-s6 3 месяца назад

    Sheila ww n mrembo uko mzuri sana ❤❤ ❤❤❤

  • @MobigoMsumbiji
    @MobigoMsumbiji 3 месяца назад +1

    Utanifosije mm kuwa mzaz wa mtu keh😅😅😅😅😂😂😂

  • @MwashiBangili
    @MwashiBangili Месяц назад

    Shey shey kazi nzr🎉

  • @kihozanyerere2692
    @kihozanyerere2692 3 месяца назад

    Dah! Uyu shei shei namkubali sanaa sanaaaaaa, much lv kwako. Don't giv up💪

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 3 месяца назад

    waoooo inapedez San 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Kisha nuka😊😊😊

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 3 месяца назад +2

    Hongera kwa kuongeza dakika

  • @DeboraLufingo
    @DeboraLufingo 3 месяца назад +5

    Ko uyoo ashapona😂😂😂😂😂

  • @yuneskemunto
    @yuneskemunto 3 месяца назад +3

    Mm wakwanza naomba like 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 3 месяца назад

    Nzuri sana 🎉🎉🎉🎉

  • @Marsimon03
    @Marsimon03 3 месяца назад

    ❤❤❤🎉 hongera sana sheyshey

  • @RosemaryWilbard
    @RosemaryWilbard 3 месяца назад

    Kwahiyo shey shey ulikuwa unampa kila siku sio😅😅😅

  • @SaidaKatana-gf4eg
    @SaidaKatana-gf4eg 3 месяца назад +1

    Shukran kipenz sheila nilikuwa nasubiria sana hk