Waziri wa Mafuta wa Oman alivyolonga Kiswahili kama Mbongo IKULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Unaweza kushtuka kidogo ukisikia Waziri wa Mafuta wa Oman kaongea Kiswahili fasaha tena bila kuchanganya lugha nyingine yoyote... yes, imetokea leo IKULU Dar es salaam baada ya kukutana na Rais Magufuli, tazama hii video umuone vizuri.
    Video kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano IKULU.

Комментарии • 941

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 4 года назад +4

    Shukran sana kwa yale mumetuonesha kuhusu maendeleo ya undugu wa kibinadamu baina ya Oman na Aftika Mashariki. Allah abariki Afrika na aunganishe Wa Oman na ndugu zao wakuze umoja na wakuze pia lugha ya Kiswahili.

  • @abdikadirali1761
    @abdikadirali1761 4 года назад +20

    Masha-Allah, KISWAHILI ya Oman ,Nchi za kama east Africa

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 7 лет назад +3

    ALHAMDULILLAH . MPAKA RAHA ANAVYOZUNGUMZA. RAIS WETU HONGERA SANA. HUO NDO USHIRIKIANO TUNAOTAKA MZEE. DAH! BIG UP. HAPA KAZI TU.

  • @zeddysale217
    @zeddysale217 4 года назад +2

    Hongera kubwa kwenyu TZ na OMAN

  • @abdihirsi6367
    @abdihirsi6367 4 года назад +35

    I love Oman their nice people and generous as well I would like to visit Salalah it's very beautiful

    • @moussahabyarimana5983
      @moussahabyarimana5983 4 года назад +2

      kwa nini wa oman hawakarimu wa afrika wa tanzania kongo rwanda burundi kenya wenye asiri ya oman wenye wazazi wa asiri wa oman kwani ni?,?hawapewi VISA ya kwenda oman kama kwawo na kupewa kazi na watu hawo ni damu zawo hiyo ni dhuruma mimi nateteya wa cotara wa kyarabu wote haswa haswa wanawake

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 4 года назад +2

      Yes bro.ni kweli sana

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

      Yes I have been there you really get the feeling of been in Arab country

    • @courtneywelch7108
      @courtneywelch7108 4 года назад +1

      True true

    • @shadyamohd4651
      @shadyamohd4651 2 года назад

      Me too

  • @moanshabahrain8621
    @moanshabahrain8621 4 года назад +1

    Mashallahu .oman hoyeee mungu awape fahamu nzuri

  • @JamesC22
    @JamesC22 4 года назад +15

    Let's proud Tanzania!! Swahili spread world widely i real like it. Nakupenda Tanzania naipenda lugha yangu

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад

      Hawa watu wengine una coment kitu hata nchi yenyewe unaisikia jina tu eti Tz ilimu bora mara kumi kuliko Oman first oll oll uliza mazingira ya Oman Maisha na Schooll zake hizo skuli za serikal yaani bure mwanafunzi hanunui kitabu wala buku anakuja kuchukuliwa kwao kwa gari ya serikali bure Skuli bora hakuna anae ksa chini skuli full kiyoyozi wewe umekaa kijijini huendi pahala ushamba umekujaa Chuki zimeingia katika nafsi yako kusema usicho kijua

    • @andrewnyamwaro5174
      @andrewnyamwaro5174 Год назад

      Swahili is not Tanzanian language.

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 4 года назад +6

    Nakupenda sana rais wangu na waoman ni wenzetu kila hatua dua ln shaa Allah bagamoyo nyumbani asanteni sana kwa hilo

    • @saidvieira441
      @saidvieira441 3 года назад

      DAR ES SALAM NI MAENEO YA ZANZIBAR PAMOJA NA BWAGAMOYO.

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 4 года назад +5

    Mashaghala wenzangu ambao tupo Oman gonga like tujuane

  • @phydiliahmwagodi2254
    @phydiliahmwagodi2254 3 года назад

    Hongera President Pombe Magufuli Nice investment to Tanzania! Watching from Nairobi Kenya.

  • @yvekay5139
    @yvekay5139 3 года назад +13

    Not surprised cause, well, we all know the history of swahili.

  • @chaileeportraits
    @chaileeportraits 4 года назад +186

    Niwajulishe 5:25 ndo inapoanzia 😂😂😂😂 afu nipe like

  • @j-sonlian8053
    @j-sonlian8053 4 года назад +13

    Hahah et" Barabara lenye hadhi ya Mfalme" Anko mjanja sana. Saf sana kaz nzuri ase

    • @ssmithsaid3483
      @ssmithsaid3483 3 года назад

      Mwanzo ilikuwa ni nchi moja kihistoriya mfalme alie awala omani mji mkuu wa omani ilikuwa ni zanzibar

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 2 года назад +2

    Tutakukumbuka daima baba kwabusara zako nauwezo wako mkubwa wakufikiria,,hakika niadimu sana kumpata kiongozi wa aina yako,,,mzalendo halisi may Allah keep your soul in a safe place father!!!!

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 4 года назад +8

    Safi sana,Kiswahili safi Mwarabu wangu,tujengeeni hizo kitu kizuri,hizo Brbr mwachieni mwenyewe JPM ameziweza na anafanya vizuri,tunataka kitu kipya cha tofauti Dodoma ambacho kitatambulisha JIJI letu Kimataifa.!!

    • @nfbdbxbxbdb2902
      @nfbdbxbxbdb2902 4 года назад

      mashaallah inapendezaa saana wekezeni mtuinue karibuni saaana ✋👏👏👏

    • @Ysule
      @Ysule Год назад

      Kiswahili safi kwasababu anatoka zanzibar na kazaliwa Pemba

  • @swahibasportsacademy
    @swahibasportsacademy 2 года назад +7

    As Kenyans,we lost a very sharp president.
    Intelligent.Hope Prof Wajahkoya will take it up where Maguvuli left

    • @eilleebee9407
      @eilleebee9407 10 дней назад

      John Magufuli was a Tanzanian president not a Kenyan president

  • @shifahkyomia1736
    @shifahkyomia1736 4 года назад +8

    Pole sana mfalume wa Oman kaondoka duniyani. Rip. 😭

  • @parisz
    @parisz 4 года назад +35

    There’s something special happening inside of me when I see Arabs speaking our language, Kiswahili 🙏🏽

    • @deejean344
      @deejean344 3 года назад +11

      Kiswahili is Arabic + Bantu languages so🙄🤔🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️

    • @mwanafalsafa3613
      @mwanafalsafa3613 3 года назад +5

      Yes of course the master is calling his slave

    • @salumkanju1732
      @salumkanju1732 2 года назад +3

      Nakumbukaga fom6 kumbe nilikuwa sahihi San kukana kwamba kiswahil sio kibantu Bali ni kiarabu leo najipongeza

    • @tttthundercatttt
      @tttthundercatttt 2 года назад +1

      @@mwanafalsafa3613 🤣🤣🤣 These female living in ignorance, learn history!!!

    • @bayombejean3959
      @bayombejean3959 2 года назад +5

      @@salumkanju1732 kiswahili ni kiarabu pamoja na lugha za kibantu

  • @nellymariamblessed8385
    @nellymariamblessed8385 3 года назад +8

    Friendship between TZ an Oman seems to be very nice 🙂
    More likes to you

  • @conradkarume3733
    @conradkarume3733 2 года назад

    Wow. Respect!!!!! Flawless Kiswahili

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 года назад +6

    MashaAllah mzee barakat magufuli hoye

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence6234 4 года назад

    Mungu akulinde rais mzuri zaidi dunia nzima

  • @shamsaismaily3476
    @shamsaismaily3476 7 лет назад +17

    Siwashangai wahawatu oman mwengi wanaongea kiswahili 💞💞💞

    • @Ysule
      @Ysule Год назад

      Yeah ni kweli na huyo waziri kwao alipozaliwa ni Pemba

  • @asiakibonge4699
    @asiakibonge4699 4 года назад +2

    Maashallah mungu afanye wepesi

  • @miriyamasanja6766
    @miriyamasanja6766 4 года назад +5

    Aweee Mimi nimekataa huyo ni mtanzania kabsaa sio kwa kiswahili icho🤗

  • @cyprianbernard907
    @cyprianbernard907 4 года назад +1

    Gud kwa nice kiswahili

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 4 года назад +32

    Wa oman Ndio waliosherehesha kiswahili Afrika mashariki.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 3 года назад

    Hongera sana viongozi wetu

  • @salimali9957
    @salimali9957 4 года назад +12

    Muarabu ndiye mtu pekee mwenye kuweza kukizungumza kiswahili vizuri kama kweli nipe like

    • @tatiya6883
      @tatiya6883 4 года назад

      Kwani wewe hujjasoma kua kiswahili kilitoka ndani yakiarabu hulijuwi hilo

    • @cypmkutubi3109
      @cypmkutubi3109 4 года назад

      Hivi ni kweli Oman wanaongea Kiswahili bila kukulia hapa Tanzania!!

    • @festokinyogotojr3214
      @festokinyogotojr3214 4 года назад

      Uongo

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 4 года назад

    Woooow shukran maghuful nikweli maduka hata yachakula ya africa huku oman yanauza sana halaf ghali kulko vitu va hapa oman

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 4 года назад +6

    Oman kwetu namagufuri hodari sana kweli kabasi oman tutafaidi nyamafreshi❤❤❤❤👍👍👍👍

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 Год назад

    Mashallah hata sisi twarudi kwetu oman

  • @NinjaHackz
    @NinjaHackz 4 года назад +9

    I like the speech ✌️🇹🇿 🇴🇲

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 4 года назад

    Maashallh .( itakuwavinzuri pia mkizungumzia swala lawatumishiwenu jinsimnavoishi nao majumbani,,,

  • @abdallahabeid4138
    @abdallahabeid4138 7 лет назад +108

    asilimia 40 ya wa Oman wanaongea kiswahili. ni kama lugha yao ya pili, na sio lazima awe kakulia au kasoma tanzania

    • @zezezeze8408
      @zezezeze8408 4 года назад +9

      mhm ni kidogo mm naona asilimia 70 maana mashaAllah kila uendapo wanaongea kiswahili

    • @yusufmohamed7161
      @yusufmohamed7161 4 года назад

      Uko vizuri

    • @abchunabdi352
      @abchunabdi352 4 года назад

      Mashaalah....

    • @abchunabdi352
      @abchunabdi352 4 года назад

      Mashaalah....

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 4 года назад +1

      @@zezezeze8408 nikweli kabisa wengi sana

  • @hudaakrabi4604
    @hudaakrabi4604 3 года назад

    Woow MashaAllah kiswahili imenyokaaaaa. hongera Oman

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile9116 4 года назад +12

    Kama uko Oman gonga like hapa chini

  • @عباسعباس-ش9ه4ت
    @عباسعباس-ش9ه4ت 3 года назад +1

    Mashaalah

  • @wasqwe9059
    @wasqwe9059 7 лет назад +29

    oman pia wanaongea kiswahili bwana mushishangae sana watanzania

    • @niaanthony9588
      @niaanthony9588 7 лет назад

      Was Qwe tupo nao huku wanaongea sana tu ila wanajifanya kuwa niaibu kwao kuzungumza kiswahil

    • @asadisse5012
      @asadisse5012 7 лет назад

      NIA ANTHONY p

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 3 года назад

    Prezzo Magofulu l like your speech unaongea vizuri siyo ya maporomoko

  • @aaronoluoch4510
    @aaronoluoch4510 4 года назад +7

    Najivunia kuwa mzungumzaji wa lugha ya kiswahili

  • @faboge
    @faboge 2 года назад

    Tunashukuru siso sote Africa Mashariki, hapa Kenya!

  • @tko2218
    @tko2218 3 года назад +3

    Oman, Yemen, Mombasa..❤️

  • @t1910j
    @t1910j 7 лет назад

    Haya ni maendeleo. Proud of you my president.

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 4 года назад +46

    Hili lijamaa limekinyoosha kiswahili kumzidi Pombe!

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 4 года назад +2

      true sayin king huyo ni mzinjibar aliyezaliwa katika kisiwa cha pemba sawa?

    • @mariamichael6134
      @mariamichael6134 4 года назад

      Nyie vipi jamaan kwan mmeulizwa heeee nashangaaa haya mabishano ya zenji na Tanzania cjui veep😏😏

    • @abdulwahidmsellem1998
      @abdulwahidmsellem1998 4 года назад

      Mariam michael hapo panangelewa jinc wa2 wanavoelewa hapaongelewi uzenji na u Tanzania

    • @mariamichael6134
      @mariamichael6134 4 года назад +1

      @@abdulwahidmsellem1998 soma comments vzur za solomon uone na kuna wa Tz nao wanabishana hapo sasa cjui ndio inakuaje cpendag mini😏😏😏

    • @abdulwahidmsellem1998
      @abdulwahidmsellem1998 4 года назад

      Kisha 2nagombna cc kwa cc how come m friends

  • @elfuego9117
    @elfuego9117 4 года назад +1

    Heri nyinyi watanzania,,, sisi wakenya uongozi ambao uko kwa mamlaka,,,, tushatiwa maji bdo kuzaa tuu,,,, big up rais,,,, kwetu bdo mikopo ya kichina twakopa tuu ushoga mtupu dah,,,,, Mola atusaidie jameni

  • @mohamedsaid1804
    @mohamedsaid1804 7 лет назад +23

    Huyu amezaliwa pemba ni jamaa yangu huyo.

    • @zulfikakalumba1977
      @zulfikakalumba1977 3 года назад +1

      Hahaha

    • @saidalkhusaibi6066
      @saidalkhusaibi6066 3 года назад

      Kuna wengi wamezaliwa Oman wanazungumza kiswahili sio sababu ni jamaa yako au kazaliwa TZ, pia kuna walio zaliwa TZ na hawajui kiswahili hapa Oman

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад

    Noma

  • @abduboydancerofficialtztv1211
    @abduboydancerofficialtztv1211 7 лет назад +5

    Appreciated this video Mr Millard ayo coz i was with him in Zanzibar this person from Oman.
    I do like that.

  • @abaskasim7262
    @abaskasim7262 3 года назад +1

    Maashaallah

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +9

    Safi sana, soon tutakuwa matajir tz

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 6 лет назад +1

    👌... ningependa kuoa binti yake. Safi sana Oman 🇴🇲.

  • @justinejulius3544
    @justinejulius3544 4 года назад +9

    Karibun maana tu nafuraha ya nyie kuliko wazungu wezi

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

      Wanafik wakubwa nyie ndumi la kuwili hamna haya

    • @justinejulius3544
      @justinejulius3544 4 года назад +1

      @@ukhtyalpha1344 Hamna unafiki swaiba. Dunia ya sasa inahitaji ushirikiano, ukiringa utabakia na gesi yako na mafuta yako, alafu nawao watabakia na pesa zao. Mwisho wasiku wote mtakosa. UKUMBUKE TECHNOLOGY INAKIMBIA VIBAYA. MUDA SI MREF WATU WATAACHA GESI WATATUMIA MAGARI YA UMEME, TRENI ZA UMEME. GESI NA MAFUTA TUTAACHANA NAZO. .Just a wake up call

    • @latenitepiano
      @latenitepiano 4 года назад

      Nayyar Ahmed “Wazanzibari ni wachoyo, ubaguzi wa Wazanzibari una tokana na uchoyo, ubinafsi, wivu, chuki, uzembe na uvivu!

    • @latenitepiano
      @latenitepiano 4 года назад +1

      Nayyar Ahmed “Mimi ninaye kuambia ni Mzanzibari sawa! Una elewa? Bara matajiri sana, wana madini yote kama dhahabu, almasi, shaba, chuma, zink, ruby, silver = fedha, urenium ya kutengeneza nuclea, Gas ⛽️, oil = mafuta, mbuga kubwa nyingi zenye wanyama wengi sana kuliko sehemu yoyote hapa duniani, ardhi yenye rutuba na vyakula vingi sana mpaka vyakula vingine wana peleka kuwa saidia nchi za jirani, vivutio vya kitalii vingi sana, mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko milima yote barani Africa, kabila 162 na hakuna ubaguzi, Wazanzibari, Waarabu, Wahindi, Wazungu, Wachina, na mataifa mengi yapo bara wakiishi raha mustarehe bila ubaguzi, milima na mabonde mazuri, maziwa na mito ya kupendeza! Zanzibar tuna vinyani vidogo pale Jozani Forest na karafuu tu kule Pemba, lakini tuna ubaguzi na uchoyo wa ajabu! Je, tunge kuwa na mali na utajiri kama bara inge kuwaje? 🤷🏽‍♂️🙄”

  • @shaibumwegero5085
    @shaibumwegero5085 4 года назад

    Ni ushirikiano mzuri baina ya Tanzania na Oman
    Keep it really

  • @davidarabian5004
    @davidarabian5004 4 года назад +1

    Nyinyi ndugu zetu . TZ Oman.

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +62

    tulipo oman tujuane na kiswahili chetu mic arabic

    • @moussahabyarimana5983
      @moussahabyarimana5983 4 года назад +2

      oman ifanye wanawake wa oman wa olewe afrika na wa cotara wa afrika wa olewe oman nawanayoka wanitumiye number za simu ama jina la fcbk instagrame niwatafutiye ma bwana

    • @khadijahomankweliyamjahaya7421
      @khadijahomankweliyamjahaya7421 4 года назад +1

      Tupo sana tu

    • @Edo272
      @Edo272 4 года назад

      Duh

    • @lightnessmungaya3280
      @lightnessmungaya3280 4 года назад

      Mmmmmmmh nipo nao hapa Tanzania nawafanyia kazi zandani , mmmmmh kuolewa hawaowi wanachezea tuuu ,

    • @reyrio279
      @reyrio279 4 года назад +3

      Msijidanganye kuolewa Oman Tanzania inajipeleka wenyewe kufanywa watumwa wa oman kwakazi zandani kama nyie mnataka kua ndugu acheni kuomba kufanya kazi za ndani oman

  • @kadaawizaa5588
    @kadaawizaa5588 4 года назад

    MASHALLAH... Inshallah kher.. For all We Plan T.z.... vs Oman #Makufulii Atheka tu

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 4 года назад +14

    Huyo waziri ni miongoni mwa waliosoma shule ya Uweleni Pemba miaka hiyo usishangae kuzungumza kiswahili.. Na maeneo mengi Huko Oman utakutana na watu wanaotoka Zanzibar, ndo ukawaona wengi wanapenda kuja kutembea Zanzibar hata kama alizaliwa kule. Atajua kiswahili mwenye kutaka.

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 4 года назад +1

    Safi sahihi

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 7 лет назад +4

    Hahah safi sana ah sante rais wetu ao ni ndugu zetu kabisa hahah bahat nzur makamo wa raisi ndugu zake wako oman ndio asili ya watu wa visiwah mchanganiko

  • @josephkiiru9090
    @josephkiiru9090 3 года назад

    Waooh...m happy huyu waziri kuongea Swahili...m a Kenyan though I love tz

  • @godfreyms8005
    @godfreyms8005 4 года назад +5

    Tuliopo Oman tujuane kupitia like

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 4 года назад

    History dar na tanzania

  • @deogratiuskahigi4738
    @deogratiuskahigi4738 7 лет назад +7

    Tunapoongelea international relationships hatuachi nyuma kipengele cha lugha, Mtukufu Mfalme hawezi kuchagua mwakilishi yeyote yeyote tu, anachagua mtu mwenye sifa stahiki kulingana na mahali anapokwenda...Lugha(mawasiliano) ni kipengele muhimu katika kujenga uhusiano wa kimataifa...

  • @sethsindamka8465
    @sethsindamka8465 2 года назад +1

    Mungu akufufue hata sikumoja eemungu tenda huo muujiza

  • @olaolacocacola9242
    @olaolacocacola9242 4 года назад +14

    Huyo waziri kazaliwa kisiwani Pemba na kapata elimu mpaka secondar kisiwani Pemba na hata Sultan wao Qabus ni mzaliwa wa Pemba sisi waPemba hatushangai hapo

    • @geoegedonard8548
      @geoegedonard8548 4 года назад +1

      Kasoma wete huyu alikua anapenda sana kushinda micheweni kwa shehe amour

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Ujinga tu!!!

    • @deepsea2141
      @deepsea2141 4 года назад

      Qaboos alizaliwa Salalah, Oman. Wacha ujinga. Nyerere aliwanyima elimu

    • @olaolacocacola9242
      @olaolacocacola9242 4 года назад +1

      Deep Sea Alizaliwa Pemba na wazazi wa Qaboos walihama kisiwani Pemba Qaboos akiwa mdogo wa uchanga na kuhamia Salalah ambako Wazanzibari wengi wamehamia na kuishi

    • @deepsea2141
      @deepsea2141 4 года назад

      @@olaolacocacola9242 ndivyo ulivyodanganywa na wapemba wenzako.

  • @Suleiman_Alabry
    @Suleiman_Alabry 4 года назад +1

    Ana asili ya Zanzibar

  • @swaumumohammed5710
    @swaumumohammed5710 4 года назад +3

    Muheshimiwa tufungulie mkataba oman tunaishi vizuri. Sana

    • @tttooo156
      @tttooo156 4 года назад +2

      Swaumu Mohammed 😂😃😂😂mm naomba apandishe kiwango cha mishahara tupew laki saba 😁😅

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 4 года назад +1

      omba milioni mshahahar ijaza kila baada ya mwak 1😁😁

    • @agustinopaul7488
      @agustinopaul7488 4 года назад

      @@tttooo156nitafutieni kazi uko Oman jamani

    • @tttooo156
      @tttooo156 4 года назад

      @@agustinopaul7488 mm najua kwa upande wa wanawake tu mpendwa kwa wanaume sina uzoefu

    • @agustinopaul7488
      @agustinopaul7488 4 года назад

      @@tttooo156 basi sawa dada ake

  • @makunjajohn1581
    @makunjajohn1581 4 года назад

    Tunashukuru sana kutemberewa nawangeni mbali mbali

  • @jacquelinerayamu3187
    @jacquelinerayamu3187 4 года назад +5

    Mashallah Kiswahili kisafi cha Mombasa mjini jamani

    • @olaolacocacola9242
      @olaolacocacola9242 4 года назад +2

      huyu waziri kazaliwa Pemba na kasoma hadi secondar kisiwani Pemba

    • @mariamichael6134
      @mariamichael6134 4 года назад +1

      @@olaolacocacola9242 🙄😏😏😏 umeulizwa

    • @abdulwahidmsellem1998
      @abdulwahidmsellem1998 4 года назад +1

      Nikweli kazaliwa Pemba,kaulizwa vip nwy wakt kila mtu anatoa comment zake wacha ushamba uwo we dada

    • @abdulwahidmsellem1998
      @abdulwahidmsellem1998 4 года назад

      Bwana wanguee!vipi na ww uwe mwanamke wanguu

    • @olaolacocacola9242
      @olaolacocacola9242 4 года назад +2

      Maria michael hata jibu langu halikuhusu ww,kwani ww ndio Jacqueline Rayamu?niliemjibu amepata faida na hata ww pia umepata faida ya kujua kwahio acha kukurupuka kinyege nyege,naongezea jengine Unguja,Pemba,Mombasa,Ukanda wa pwani wote wa Tanganyika,Kisimayuu hadi maeneo ya Kongo yote ilikua ni ZENJ EMPIRE na ndiomana sehemu kubwa ya maeneo nilioyataja kiswahili chao kinafanana na hata muingiliano na mchanganyiko wao ni mkubwa

  • @charityericks8779
    @charityericks8779 4 года назад +1

    Lakushangaza Hilo that's nice wataanzania hehe wamekataa kuongea kiingereza 😜

  • @davidw.4524
    @davidw.4524 4 года назад +3

    Huyu kwanza yuwazungumza Sheng sio kiswahili.. Labda mzaliwa WA Nairobi kama mimi tu.. Lol

    • @hamadrashid9828
      @hamadrashid9828 4 года назад +1

      Huyo kazaliwa Pemba halafu watu was Pemba wengi wao Ni wa mombasa

    • @idaaman7489
      @idaaman7489 4 года назад

      Amezaliwa pemba mkoani ,but zanzibarian are mix btn arabs and swahili

  • @winchlausonbanjuneki3430
    @winchlausonbanjuneki3430 4 года назад

    Wajenge uwanja mzuri Wa mpira vingine tutafanya michezo ni Muhimu hatuna viwanja vyenye hadhi ya kidunia

  • @yussufabdul-rahman5601
    @yussufabdul-rahman5601 5 лет назад +16

    Kwao ni Pemba uyo wazir

    • @OmarAli-bq9ey
      @OmarAli-bq9ey 3 года назад

      Bodigadi wa mfalame wa omani ni mpemba

    • @saidalkhusaibi6066
      @saidalkhusaibi6066 3 года назад

      Kwao ni Oman, Pemba kazaliwa tu, kwani ukizaliwa USA basi kwenu ni huko

  • @amenaamena2283
    @amenaamena2283 7 лет назад +2

    safi sana Oman 🇴🇲😍😍😍😍

  • @samranoor1360
    @samranoor1360 4 года назад +5

    Cmon guyz it ain't a shock dat he can speak swahili probbably himself he's from tanzania

  • @oookkk3965
    @oookkk3965 4 года назад

    Nataman waj na kwetu Burundi kujenga barabara jmn wa Tz hongeren

  • @MoMo-wx2vx
    @MoMo-wx2vx 7 лет назад +13

    Elimu yake kasomea zanzibar

  • @MayaMaya-ov9xz
    @MayaMaya-ov9xz 3 года назад

    Hapaanaaaaaaa hawa ni wabongoooo kha!

  • @binswifa3373
    @binswifa3373 4 года назад +3

    Ungemuweka huyo waziri tu, hao wengine sio lazima

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Dah😭😭magufuri daddy

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +3

    🇴🇲 Oman

  • @binammwanafa2033
    @binammwanafa2033 4 года назад +1

    Uyo n mzanzibar

  • @سالمالسعدي-ز9ج
    @سالمالسعدي-ز9ج 7 лет назад +8

    Oman kule ndani wanajua kiswahili

  • @tko2218
    @tko2218 3 года назад

    Oman speaking swahili...NICE

  • @samirayussuf280
    @samirayussuf280 4 года назад +38

    Yani Oman Kama Tanzania tu kawaida Sana siajabu kiswahili

    • @yusuphjuma4638
      @yusuphjuma4638 4 года назад +4

      Ila wanatutesa sana huko kwao

    • @samirayussuf280
      @samirayussuf280 4 года назад +1

      @@yusuphjuma4638 nikweli Tena Sanaa

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 года назад +3

      Wanaupenddo wa kinafkii tuu hapo wanacheka machon moyon mmmh 😏😏😏

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 4 года назад

      @@yusuphjuma4638 😂😂😂😂😂

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 4 года назад +1

      @@maryammaram2612 ndo wameumbwa ivyo yani awa. Wa Oman wamezaliwa na chuki wana roho mbaya sana na kucheka usoni ndo kawaida yao

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад

    Safi Sana mh. Rais hstua unazozichukua Kila mtu Ni shahidi,komaaa songa mbeleeeee

  • @fakihidarous8396
    @fakihidarous8396 4 года назад +20

    hao wazaliwa wa zanzibar sio ajabu kuongea KISWAHILI-HUSBU SIO HAWA

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 4 года назад +1

      Asili ya kiswahili kimetokana na Quruani kwaiyo lazima wajuwe nandiyo wao wanaongea kiswahili chenyewe

    • @nauhattz8226
      @nauhattz8226 3 года назад

      Sio kweli

  • @zakiahussein3535
    @zakiahussein3535 4 года назад

    Masha Allah...masbut

  • @ndotcherohosafi3539
    @ndotcherohosafi3539 4 года назад +4

    Kiswahili kitukuzwe

  • @rysali5254
    @rysali5254 3 года назад

    Bruh 🙌🙌

  • @2pacshakur912
    @2pacshakur912 4 года назад +4

    Huyo kabusi kazaliwa zanzibar
    Ndio maana wanakitaka kisiwa chao cha zanzibar

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Kasome historia vizuri wacha kujizuga na kuzuga watu

    • @deogratiasyinza8628
      @deogratiasyinza8628 4 года назад +1

      Hiyo ni nchi ya wahamiaji kutoja Afrika na nchi yingine kiarabu

    • @ufc-ultimatefightingchampi8456
      @ufc-ultimatefightingchampi8456 4 года назад

      Wacha uongo na ujinga wako, Hao walikaribishwa na waAfrica weusi , soma history yako ujijue.

  • @saidmatola8015
    @saidmatola8015 4 года назад +2

    Hahahaha, safi me President. Mwaga sound watatuelewa tuu.....

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 4 года назад +19

    Sisi Zanzibar mnatuambia tutaletewa waarabu kwaio tusikubali mbona nyinyi tanganyiki mnawapokea na kuwakaribisha namnasema nindugu wadamu hasa baunayenu na Oman inakuaje

    • @hilalyhashim2194
      @hilalyhashim2194 4 года назад +1

      Acha ubaguzi huo

    • @jumaaally220
      @jumaaally220 4 года назад

      Hakika leo wao wanaunga udugu

    • @fatmasuleiman5242
      @fatmasuleiman5242 4 года назад

      Mashaallah yaasalaam

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 года назад +4

      Hamchelewi kujilipua nyie ndio maana bora apokelewe na Tanzania na sio huko visiwani.
      MNA ubaguzi pia dhidi ya wengine ndio maana mnafuatiliwa msilete madhara sana kwa taifa zima.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Naam kweli ati ata hawana haya kutwaa wahalabu Wahalabu machotara machotara haaaaa mnajidai ni ndugu kweli kwa vyao ni ndugu zenu khabithi alamal nyie

  • @NEWSFLASH200
    @NEWSFLASH200 4 года назад +2

    kazi murwa

  • @abrahambalamba7108
    @abrahambalamba7108 4 года назад +5

    Duh! Huyu mwarabu wa Pemba siyo omani

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад

    Sawa kabisa

  • @pendael02
    @pendael02 4 года назад +24

    Muwe makini na mikataba ya ardhi pamoja na mikataba ya madini na mafuta pamoja na gas.
    Kwa manufaa ya vizazi vyetu isije ikawa kama south Africa walifvyokuwa wakiporwa ardhi kwa ajili ya kilimo kama sababu.

    • @adilimssusa8232
      @adilimssusa8232 4 года назад +1

      Sio kwa uoga wetu haiwezi kuwa kama south afrika milele

    • @matingo-bk1248
      @matingo-bk1248 4 года назад +1

      Magu mtu makini hawezi kusahini mkataba wa ajabu ndio maana akaanza kuipitia mikataba iliyopita amepitisha panga

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 4 года назад

      ,Apolwiiii mtuhapaaa Magufuriii yupomakini wanamfuataaaa Magufuli tofautiiii waliopita

    • @dothomwandaliw4057
      @dothomwandaliw4057 3 года назад

      Wewe. Unayemuona mjinga nanii hapo? Jpm. Yupo makini namikataba ndugu hanaujinga huo

  • @peterharol690
    @peterharol690 2 года назад

    Mashaallah

  • @jamillaibrahim7068
    @jamillaibrahim7068 7 лет назад +2

    Achaeni ushamba oman wanaogea kiswahili watanzania washamba kweli ndo maana mkasema zari kavaa pajama. Haha