Waziri wa Mafuta wa Oman alivyolonga Kiswahili kama Mbongo IKULU
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Unaweza kushtuka kidogo ukisikia Waziri wa Mafuta wa Oman kaongea Kiswahili fasaha tena bila kuchanganya lugha nyingine yoyote... yes, imetokea leo IKULU Dar es salaam baada ya kukutana na Rais Magufuli, tazama hii video umuone vizuri.
Video kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano IKULU.
Shukran sana kwa yale mumetuonesha kuhusu maendeleo ya undugu wa kibinadamu baina ya Oman na Aftika Mashariki. Allah abariki Afrika na aunganishe Wa Oman na ndugu zao wakuze umoja na wakuze pia lugha ya Kiswahili.
Masha-Allah, KISWAHILI ya Oman ,Nchi za kama east Africa
ALHAMDULILLAH . MPAKA RAHA ANAVYOZUNGUMZA. RAIS WETU HONGERA SANA. HUO NDO USHIRIKIANO TUNAOTAKA MZEE. DAH! BIG UP. HAPA KAZI TU.
Hongera kubwa kwenyu TZ na OMAN
I love Oman their nice people and generous as well I would like to visit Salalah it's very beautiful
kwa nini wa oman hawakarimu wa afrika wa tanzania kongo rwanda burundi kenya wenye asiri ya oman wenye wazazi wa asiri wa oman kwani ni?,?hawapewi VISA ya kwenda oman kama kwawo na kupewa kazi na watu hawo ni damu zawo hiyo ni dhuruma mimi nateteya wa cotara wa kyarabu wote haswa haswa wanawake
Yes bro.ni kweli sana
Yes I have been there you really get the feeling of been in Arab country
True true
Me too
Mashallahu .oman hoyeee mungu awape fahamu nzuri
Let's proud Tanzania!! Swahili spread world widely i real like it. Nakupenda Tanzania naipenda lugha yangu
Hawa watu wengine una coment kitu hata nchi yenyewe unaisikia jina tu eti Tz ilimu bora mara kumi kuliko Oman first oll oll uliza mazingira ya Oman Maisha na Schooll zake hizo skuli za serikal yaani bure mwanafunzi hanunui kitabu wala buku anakuja kuchukuliwa kwao kwa gari ya serikali bure Skuli bora hakuna anae ksa chini skuli full kiyoyozi wewe umekaa kijijini huendi pahala ushamba umekujaa Chuki zimeingia katika nafsi yako kusema usicho kijua
Swahili is not Tanzanian language.
Nakupenda sana rais wangu na waoman ni wenzetu kila hatua dua ln shaa Allah bagamoyo nyumbani asanteni sana kwa hilo
DAR ES SALAM NI MAENEO YA ZANZIBAR PAMOJA NA BWAGAMOYO.
Mashaghala wenzangu ambao tupo Oman gonga like tujuane
Kwahaya manyanyaso au
Vip
Hongera President Pombe Magufuli Nice investment to Tanzania! Watching from Nairobi Kenya.
Not surprised cause, well, we all know the history of swahili.
Niwajulishe 5:25 ndo inapoanzia 😂😂😂😂 afu nipe like
Hahahha! Wizi mtupu uandishi😜😜😜
@@juliusmrimi8632 vp mbo hujalala
Thanks
😂😂😂😂😂😂
Umenisaidia kaka
Hahah et" Barabara lenye hadhi ya Mfalme" Anko mjanja sana. Saf sana kaz nzuri ase
Mwanzo ilikuwa ni nchi moja kihistoriya mfalme alie awala omani mji mkuu wa omani ilikuwa ni zanzibar
Tutakukumbuka daima baba kwabusara zako nauwezo wako mkubwa wakufikiria,,hakika niadimu sana kumpata kiongozi wa aina yako,,,mzalendo halisi may Allah keep your soul in a safe place father!!!!
Safi sana,Kiswahili safi Mwarabu wangu,tujengeeni hizo kitu kizuri,hizo Brbr mwachieni mwenyewe JPM ameziweza na anafanya vizuri,tunataka kitu kipya cha tofauti Dodoma ambacho kitatambulisha JIJI letu Kimataifa.!!
mashaallah inapendezaa saana wekezeni mtuinue karibuni saaana ✋👏👏👏
Kiswahili safi kwasababu anatoka zanzibar na kazaliwa Pemba
As Kenyans,we lost a very sharp president.
Intelligent.Hope Prof Wajahkoya will take it up where Maguvuli left
John Magufuli was a Tanzanian president not a Kenyan president
Pole sana mfalume wa Oman kaondoka duniyani. Rip. 😭
There’s something special happening inside of me when I see Arabs speaking our language, Kiswahili 🙏🏽
Kiswahili is Arabic + Bantu languages so🙄🤔🤷🏾♂️🤷🏾♂️
Yes of course the master is calling his slave
Nakumbukaga fom6 kumbe nilikuwa sahihi San kukana kwamba kiswahil sio kibantu Bali ni kiarabu leo najipongeza
@@mwanafalsafa3613 🤣🤣🤣 These female living in ignorance, learn history!!!
@@salumkanju1732 kiswahili ni kiarabu pamoja na lugha za kibantu
Friendship between TZ an Oman seems to be very nice 🙂
More likes to you
Sexy body
Wow. Respect!!!!! Flawless Kiswahili
MashaAllah mzee barakat magufuli hoye
Oyeeeeeee?!!!!!!
Mungu akulinde rais mzuri zaidi dunia nzima
Siwashangai wahawatu oman mwengi wanaongea kiswahili 💞💞💞
Yeah ni kweli na huyo waziri kwao alipozaliwa ni Pemba
Maashallah mungu afanye wepesi
Aweee Mimi nimekataa huyo ni mtanzania kabsaa sio kwa kiswahili icho🤗
Gud kwa nice kiswahili
Wa oman Ndio waliosherehesha kiswahili Afrika mashariki.
Hujiulizi kiswahili kilitoka wapi
Hongera sana viongozi wetu
Muarabu ndiye mtu pekee mwenye kuweza kukizungumza kiswahili vizuri kama kweli nipe like
Kwani wewe hujjasoma kua kiswahili kilitoka ndani yakiarabu hulijuwi hilo
Hivi ni kweli Oman wanaongea Kiswahili bila kukulia hapa Tanzania!!
Uongo
Woooow shukran maghuful nikweli maduka hata yachakula ya africa huku oman yanauza sana halaf ghali kulko vitu va hapa oman
Je hiyo ni kweli?
Oman kwetu namagufuri hodari sana kweli kabasi oman tutafaidi nyamafreshi❤❤❤❤👍👍👍👍
Mashallah hata sisi twarudi kwetu oman
I like the speech ✌️🇹🇿 🇴🇲
Maashallh .( itakuwavinzuri pia mkizungumzia swala lawatumishiwenu jinsimnavoishi nao majumbani,,,
asilimia 40 ya wa Oman wanaongea kiswahili. ni kama lugha yao ya pili, na sio lazima awe kakulia au kasoma tanzania
mhm ni kidogo mm naona asilimia 70 maana mashaAllah kila uendapo wanaongea kiswahili
Uko vizuri
Mashaalah....
Mashaalah....
@@zezezeze8408 nikweli kabisa wengi sana
Woow MashaAllah kiswahili imenyokaaaaa. hongera Oman
Wasema Nini wewe Sasa nkt
Kama uko Oman gonga like hapa chini
Mashaalah
oman pia wanaongea kiswahili bwana mushishangae sana watanzania
Was Qwe tupo nao huku wanaongea sana tu ila wanajifanya kuwa niaibu kwao kuzungumza kiswahil
NIA ANTHONY p
Prezzo Magofulu l like your speech unaongea vizuri siyo ya maporomoko
Najivunia kuwa mzungumzaji wa lugha ya kiswahili
Tunashukuru siso sote Africa Mashariki, hapa Kenya!
Oman, Yemen, Mombasa..❤️
Haya ni maendeleo. Proud of you my president.
Hili lijamaa limekinyoosha kiswahili kumzidi Pombe!
true sayin king huyo ni mzinjibar aliyezaliwa katika kisiwa cha pemba sawa?
Nyie vipi jamaan kwan mmeulizwa heeee nashangaaa haya mabishano ya zenji na Tanzania cjui veep😏😏
Mariam michael hapo panangelewa jinc wa2 wanavoelewa hapaongelewi uzenji na u Tanzania
@@abdulwahidmsellem1998 soma comments vzur za solomon uone na kuna wa Tz nao wanabishana hapo sasa cjui ndio inakuaje cpendag mini😏😏😏
Kisha 2nagombna cc kwa cc how come m friends
Heri nyinyi watanzania,,, sisi wakenya uongozi ambao uko kwa mamlaka,,,, tushatiwa maji bdo kuzaa tuu,,,, big up rais,,,, kwetu bdo mikopo ya kichina twakopa tuu ushoga mtupu dah,,,,, Mola atusaidie jameni
Huyu amezaliwa pemba ni jamaa yangu huyo.
Hahaha
Kuna wengi wamezaliwa Oman wanazungumza kiswahili sio sababu ni jamaa yako au kazaliwa TZ, pia kuna walio zaliwa TZ na hawajui kiswahili hapa Oman
Noma
Appreciated this video Mr Millard ayo coz i was with him in Zanzibar this person from Oman.
I do like that.
Acha mbwembwe wee
Mbona kiswahili sanifu kama mtanzania hongera sana mshikaji
Maashaallah
Safi sana, soon tutakuwa matajir tz
Saumu Hassan kwakweli
😂😂😂😂
👌... ningependa kuoa binti yake. Safi sana Oman 🇴🇲.
Karibun maana tu nafuraha ya nyie kuliko wazungu wezi
Wanafik wakubwa nyie ndumi la kuwili hamna haya
@@ukhtyalpha1344 Hamna unafiki swaiba. Dunia ya sasa inahitaji ushirikiano, ukiringa utabakia na gesi yako na mafuta yako, alafu nawao watabakia na pesa zao. Mwisho wasiku wote mtakosa. UKUMBUKE TECHNOLOGY INAKIMBIA VIBAYA. MUDA SI MREF WATU WATAACHA GESI WATATUMIA MAGARI YA UMEME, TRENI ZA UMEME. GESI NA MAFUTA TUTAACHANA NAZO. .Just a wake up call
Nayyar Ahmed “Wazanzibari ni wachoyo, ubaguzi wa Wazanzibari una tokana na uchoyo, ubinafsi, wivu, chuki, uzembe na uvivu!
Nayyar Ahmed “Mimi ninaye kuambia ni Mzanzibari sawa! Una elewa? Bara matajiri sana, wana madini yote kama dhahabu, almasi, shaba, chuma, zink, ruby, silver = fedha, urenium ya kutengeneza nuclea, Gas ⛽️, oil = mafuta, mbuga kubwa nyingi zenye wanyama wengi sana kuliko sehemu yoyote hapa duniani, ardhi yenye rutuba na vyakula vingi sana mpaka vyakula vingine wana peleka kuwa saidia nchi za jirani, vivutio vya kitalii vingi sana, mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko milima yote barani Africa, kabila 162 na hakuna ubaguzi, Wazanzibari, Waarabu, Wahindi, Wazungu, Wachina, na mataifa mengi yapo bara wakiishi raha mustarehe bila ubaguzi, milima na mabonde mazuri, maziwa na mito ya kupendeza! Zanzibar tuna vinyani vidogo pale Jozani Forest na karafuu tu kule Pemba, lakini tuna ubaguzi na uchoyo wa ajabu! Je, tunge kuwa na mali na utajiri kama bara inge kuwaje? 🤷🏽♂️🙄”
Ni ushirikiano mzuri baina ya Tanzania na Oman
Keep it really
Nyinyi ndugu zetu . TZ Oman.
👌👌
tulipo oman tujuane na kiswahili chetu mic arabic
oman ifanye wanawake wa oman wa olewe afrika na wa cotara wa afrika wa olewe oman nawanayoka wanitumiye number za simu ama jina la fcbk instagrame niwatafutiye ma bwana
Tupo sana tu
Duh
Mmmmmmmh nipo nao hapa Tanzania nawafanyia kazi zandani , mmmmmh kuolewa hawaowi wanachezea tuuu ,
Msijidanganye kuolewa Oman Tanzania inajipeleka wenyewe kufanywa watumwa wa oman kwakazi zandani kama nyie mnataka kua ndugu acheni kuomba kufanya kazi za ndani oman
MASHALLAH... Inshallah kher.. For all We Plan T.z.... vs Oman #Makufulii Atheka tu
Huyo waziri ni miongoni mwa waliosoma shule ya Uweleni Pemba miaka hiyo usishangae kuzungumza kiswahili.. Na maeneo mengi Huko Oman utakutana na watu wanaotoka Zanzibar, ndo ukawaona wengi wanapenda kuja kutembea Zanzibar hata kama alizaliwa kule. Atajua kiswahili mwenye kutaka.
Safi sahihi
Hahah safi sana ah sante rais wetu ao ni ndugu zetu kabisa hahah bahat nzur makamo wa raisi ndugu zake wako oman ndio asili ya watu wa visiwah mchanganiko
Waooh...m happy huyu waziri kuongea Swahili...m a Kenyan though I love tz
Tuliopo Oman tujuane kupitia like
2pooo
Rustaq,Alalayah
Tupo
ssalaam
History dar na tanzania
Tunapoongelea international relationships hatuachi nyuma kipengele cha lugha, Mtukufu Mfalme hawezi kuchagua mwakilishi yeyote yeyote tu, anachagua mtu mwenye sifa stahiki kulingana na mahali anapokwenda...Lugha(mawasiliano) ni kipengele muhimu katika kujenga uhusiano wa kimataifa...
umesema kweli
Mdogo wangu wew ni genus hongera sana
Mungu akufufue hata sikumoja eemungu tenda huo muujiza
Huyo waziri kazaliwa kisiwani Pemba na kapata elimu mpaka secondar kisiwani Pemba na hata Sultan wao Qabus ni mzaliwa wa Pemba sisi waPemba hatushangai hapo
Kasoma wete huyu alikua anapenda sana kushinda micheweni kwa shehe amour
Ujinga tu!!!
Qaboos alizaliwa Salalah, Oman. Wacha ujinga. Nyerere aliwanyima elimu
Deep Sea Alizaliwa Pemba na wazazi wa Qaboos walihama kisiwani Pemba Qaboos akiwa mdogo wa uchanga na kuhamia Salalah ambako Wazanzibari wengi wamehamia na kuishi
@@olaolacocacola9242 ndivyo ulivyodanganywa na wapemba wenzako.
Ana asili ya Zanzibar
Muheshimiwa tufungulie mkataba oman tunaishi vizuri. Sana
Swaumu Mohammed 😂😃😂😂mm naomba apandishe kiwango cha mishahara tupew laki saba 😁😅
omba milioni mshahahar ijaza kila baada ya mwak 1😁😁
@@tttooo156nitafutieni kazi uko Oman jamani
@@agustinopaul7488 mm najua kwa upande wa wanawake tu mpendwa kwa wanaume sina uzoefu
@@tttooo156 basi sawa dada ake
Tunashukuru sana kutemberewa nawangeni mbali mbali
Mashallah Kiswahili kisafi cha Mombasa mjini jamani
huyu waziri kazaliwa Pemba na kasoma hadi secondar kisiwani Pemba
@@olaolacocacola9242 🙄😏😏😏 umeulizwa
Nikweli kazaliwa Pemba,kaulizwa vip nwy wakt kila mtu anatoa comment zake wacha ushamba uwo we dada
Bwana wanguee!vipi na ww uwe mwanamke wanguu
Maria michael hata jibu langu halikuhusu ww,kwani ww ndio Jacqueline Rayamu?niliemjibu amepata faida na hata ww pia umepata faida ya kujua kwahio acha kukurupuka kinyege nyege,naongezea jengine Unguja,Pemba,Mombasa,Ukanda wa pwani wote wa Tanganyika,Kisimayuu hadi maeneo ya Kongo yote ilikua ni ZENJ EMPIRE na ndiomana sehemu kubwa ya maeneo nilioyataja kiswahili chao kinafanana na hata muingiliano na mchanganyiko wao ni mkubwa
Lakushangaza Hilo that's nice wataanzania hehe wamekataa kuongea kiingereza 😜
Huyu kwanza yuwazungumza Sheng sio kiswahili.. Labda mzaliwa WA Nairobi kama mimi tu.. Lol
Huyo kazaliwa Pemba halafu watu was Pemba wengi wao Ni wa mombasa
Amezaliwa pemba mkoani ,but zanzibarian are mix btn arabs and swahili
Wajenge uwanja mzuri Wa mpira vingine tutafanya michezo ni Muhimu hatuna viwanja vyenye hadhi ya kidunia
Kwao ni Pemba uyo wazir
Bodigadi wa mfalame wa omani ni mpemba
Kwao ni Oman, Pemba kazaliwa tu, kwani ukizaliwa USA basi kwenu ni huko
safi sana Oman 🇴🇲😍😍😍😍
Cmon guyz it ain't a shock dat he can speak swahili probbably himself he's from tanzania
Nataman waj na kwetu Burundi kujenga barabara jmn wa Tz hongeren
Elimu yake kasomea zanzibar
Sikasoma tu huyo mpemba mzaliwa
Hapaanaaaaaaa hawa ni wabongoooo kha!
Ungemuweka huyo waziri tu, hao wengine sio lazima
Dah😭😭magufuri daddy
🇴🇲 Oman
Uyo n mzanzibar
Oman kule ndani wanajua kiswahili
سالم السعدي c wote
Oman speaking swahili...NICE
Yani Oman Kama Tanzania tu kawaida Sana siajabu kiswahili
Ila wanatutesa sana huko kwao
@@yusuphjuma4638 nikweli Tena Sanaa
Wanaupenddo wa kinafkii tuu hapo wanacheka machon moyon mmmh 😏😏😏
@@yusuphjuma4638 😂😂😂😂😂
@@maryammaram2612 ndo wameumbwa ivyo yani awa. Wa Oman wamezaliwa na chuki wana roho mbaya sana na kucheka usoni ndo kawaida yao
Safi Sana mh. Rais hstua unazozichukua Kila mtu Ni shahidi,komaaa songa mbeleeeee
hao wazaliwa wa zanzibar sio ajabu kuongea KISWAHILI-HUSBU SIO HAWA
Asili ya kiswahili kimetokana na Quruani kwaiyo lazima wajuwe nandiyo wao wanaongea kiswahili chenyewe
Sio kweli
Masha Allah...masbut
Kiswahili kitukuzwe
Bruh 🙌🙌
Huyo kabusi kazaliwa zanzibar
Ndio maana wanakitaka kisiwa chao cha zanzibar
Kasome historia vizuri wacha kujizuga na kuzuga watu
Hiyo ni nchi ya wahamiaji kutoja Afrika na nchi yingine kiarabu
Wacha uongo na ujinga wako, Hao walikaribishwa na waAfrica weusi , soma history yako ujijue.
Hahahaha, safi me President. Mwaga sound watatuelewa tuu.....
Sisi Zanzibar mnatuambia tutaletewa waarabu kwaio tusikubali mbona nyinyi tanganyiki mnawapokea na kuwakaribisha namnasema nindugu wadamu hasa baunayenu na Oman inakuaje
Acha ubaguzi huo
Hakika leo wao wanaunga udugu
Mashaallah yaasalaam
Hamchelewi kujilipua nyie ndio maana bora apokelewe na Tanzania na sio huko visiwani.
MNA ubaguzi pia dhidi ya wengine ndio maana mnafuatiliwa msilete madhara sana kwa taifa zima.
Naam kweli ati ata hawana haya kutwaa wahalabu Wahalabu machotara machotara haaaaa mnajidai ni ndugu kweli kwa vyao ni ndugu zenu khabithi alamal nyie
kazi murwa
Duh! Huyu mwarabu wa Pemba siyo omani
Abraham Balamba uko sahihi
Sawa kabisa
Muwe makini na mikataba ya ardhi pamoja na mikataba ya madini na mafuta pamoja na gas.
Kwa manufaa ya vizazi vyetu isije ikawa kama south Africa walifvyokuwa wakiporwa ardhi kwa ajili ya kilimo kama sababu.
Sio kwa uoga wetu haiwezi kuwa kama south afrika milele
Magu mtu makini hawezi kusahini mkataba wa ajabu ndio maana akaanza kuipitia mikataba iliyopita amepitisha panga
,Apolwiiii mtuhapaaa Magufuriii yupomakini wanamfuataaaa Magufuli tofautiiii waliopita
Wewe. Unayemuona mjinga nanii hapo? Jpm. Yupo makini namikataba ndugu hanaujinga huo
Mashaallah
Achaeni ushamba oman wanaogea kiswahili watanzania washamba kweli ndo maana mkasema zari kavaa pajama. Haha