FESTO SANGA AVURUGWA/ MZOZO MZITO BUNGENI "WAZIRI WA FEDHA ALIANGALIE KWA UKARIBU/LITALETA VURUGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 20

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Watapata hiyo kukusanya wakati mtawala wa Bandari ni mwarabu? Hiyo kudanganya kabisa

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 3 месяца назад

    Taarifa za hovyo mwache mtu achangie bhana.

  • @MOHAMEDJUMA-x1i
    @MOHAMEDJUMA-x1i 3 месяца назад

    BUNGE LA BONGO UPUUZI MTUPU

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 3 месяца назад +1

    Kabla mtu hajaongea, taarifa taarifa taarifa. It sounds like fujo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 месяца назад +1

    Hakumbuki bei, naye ni mjumbe wa kamati? Hawa wabunge waache ulevi!😮

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 3 месяца назад

    Spika uko vizuri ila kwenye ishu ya mpina ulichemsha na umemlinda basha na kumuonea mpina au sijui unajikosha tu baada ya kuyaona maneno ya mpina yko sahihi

  • @SmwelMbando
    @SmwelMbando 3 месяца назад

    Acheni mambo ya hovyo mambo ya chama yankufanya ukubali ujinga?

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 3 месяца назад

    Kumbe umo munacheza eh?

  • @barakakomondawa2767
    @barakakomondawa2767 3 месяца назад

    Hakuna tarifa juu ya taarifa na lei

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад

    Hapo ni matango por

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 3 месяца назад

    Tunawahesabu tu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад

    Sasa unawezaje kuanza kuweka kodi kubwa kabla hujapata hivo viwanda?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 месяца назад

    Huu ni upuuzi.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 3 месяца назад

    Amna kitu hp

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад

    Hivi mbona hatupati taarifa za madini.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 3 месяца назад

      Watoaji wa taarifa wapo likizo isiyoisha hahahaha

  • @SamwelJulius-e7k
    @SamwelJulius-e7k 3 месяца назад

    Amna kitu hapa