Hii mto wami ni blood sport, tuwemakini tukienda safari, sana sana tuombe kabla hatujaaanza safari, poleni sana familia, mwenye gari pia pole sana Mungu awapee faraja, watching from Kenya
Daraja la kutoka Bandarini,Mjini kwenda Kigamboni Ni kubwa Sana,serikali iliweza kujenga daraja katikati ya bahari jaman kweli unaweza kushindwa kujenga katikati ya mto kama huwu wa mpakani mwa Dar na Tanga.Chanzo cha hii ajari ni daraja kwasababu inaruhusu gari mojatu kupita.Wakati lile la mfugale Kigamboni linaruhusu gari 4 kupita viongozi fanyeni mpango mjenge na kukarabati hili daraja
nakuomba mungu usimame kinyume na wanyama wa majini ili miili hii miwili ya mama na mtoto uokolewe ndugu na family wajifariji kwa kuwazika wapendwa wao
Ndio mnanambia nyumban kumenoga ndio hv kweli daraja toka Mjeruman mpaka leo....duuuuh!tatizo sio dereva ni daraja ......nyie serikal chukuen mapato ya mwez mmoja ya huo mkoa mjenge daraja tafahal sio kupiga piga makerere tu tunakusany ,tunakusany..nyie vip?..
serikali kwann haitaki kupaua hili daraja? au kuna agenda ya siri?? maana wami ni hatari sana jembamba alafu parefu sana kwenda, isistoshe kuna mamba nacho kina cha mto ni kirefu. nafikir wananch tupige kelele aerikali iamke na kupanua hili daraja!!
@@johnsilima6789 kuna uhusiano gani kati ya kununua ndege na hilo daraja? Komaa kiakili, kila kimoja kina faida, nilitegemea ungesema waendelee kuboresha miundo mbinu yakiwemo madaraja hatarishi na mengineyo kwasababu ajali haziwezi kukoma bali kupunguzwa makali tu
yaani siku ya kwanza kupita mimi nilichanganikiwa kabisa,daraja linaogopesha sana.
Dah Jirani😭😭yangu Jirani Yanguuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭Eeeh mola pokea waja wako wape nafasi nzuri kwako🤲wapumzishe kwa amani mungu wangu🙏
Hii mto wami ni blood sport, tuwemakini tukienda safari, sana sana tuombe kabla hatujaaanza safari, poleni sana familia, mwenye gari pia pole sana Mungu awapee faraja, watching from Kenya
😭😭😭😭😭 innalillah wa innalillah rajuni mama na mwanao pumzikeni kwa amani mungu awaraze mahali pema peponi
Daraja la kutoka Bandarini,Mjini kwenda Kigamboni Ni kubwa Sana,serikali iliweza kujenga daraja katikati ya bahari jaman kweli unaweza kushindwa kujenga katikati ya mto kama huwu wa mpakani mwa Dar na Tanga.Chanzo cha hii ajari ni daraja kwasababu inaruhusu gari mojatu kupita.Wakati lile la mfugale Kigamboni linaruhusu gari 4 kupita viongozi fanyeni mpango mjenge na kukarabati hili daraja
Unajengaje Kati ya mtu na umeambiwa mnamamba na viboko
linajengwa jipya ndugu upande wa kulia ukitokea dar
Daraja hilo lipo kweny ujenz jamn upande wa kulia kunajengwa
Sisi watanzani ni wazembe sana sehemu darajani alaf imetokea ajali alafu mnakaa mnashangaa jee mnataka nini kifuate
Poleni kwa msiba tanzania. From kenya
Poleni sana wana familia wa marehemu na mungu awape subra kwenye kipindi hiki cha majonzi, na pia mungu awaweke mahala pema peponi.Amina 12.02.20.
Ooooh my god polen sana tukeshen tukiomba hatujui sku,wala saa🙏😥
Polen San mung awalinde isha all
Innalillaah wainnailaihr raajiuun . Hakika siku hizi kuna ajali saana.. kuna majanga saaana.. bnadam Imani imekwisha.. Ee Mola tunususu... Aamyyn.
Daaah jamani serikali tunaomba mtuangalie situnaoitumia hiyo nija iyongezwe tukifika hapo rohoo juu tusaidieni viongozi litizameni hili
Poleni sana. Serikali wekeni mataa au twa lanes
Ewe Mola wasamehe waja wako hawa waliopoteza maisha uwape makazi mema poleni Sana familia.
Maskn mama na mtoto.mungu awarehem.serikal hebu fanyien hii kaz.kila kukicha watu wafa kweli,?
Poleni xna ndugu na jamaa mlio poteza watu
nakuomba mungu usimame kinyume na wanyama wa majini ili miili hii miwili ya mama na mtoto uokolewe ndugu na family wajifariji kwa kuwazika wapendwa wao
Amina..mungu nimwema kila wakati.
Daraja dogo kweli kwel huku tunanunua ndege kwel jaman
Alafu upinzani ukiongea wanauliwa😭😭
Acheni ujinga hapo Kuna daraja linajengwa upande wa kushoto ukitokea tanga, daraja lakisasa kabisa tuulizeni sisi wa njia za kaskazini msikurupuke tuu
Ko ultaka tusnunue ndege au
@@ablusbroter7493 😀😀😀😀😀😀😀hapo sasa
@@minnahlove7035 ety bwana
daaah.... poleni sanaaa...wanafamilia
Eee Yesu mwema tunakulilia utunusuru na hizi ajali..ww ni dereva mwema tuongoze bwana..
Poleni sana
Hivi kwanini serekali isiokoe watu wake kwa kufanya upanuzi wa daraja Hilo?poleni wanafamilia mlopata msiba
Wanajenga mbona
Polen...mungu awatie nguvu
Poleni xanaa Wanafamilia
Mungu tuhurumie
Wami panatisha yanii mm huwa nachananyikiwa Wami na Kitonga Usingizi huwa unaisha kabisaaa
Jaman polen sana duuuuh inahuzunisha sana,!!
Polen sana wanafamilia
Innalillah wainnailayh rajuun 😢😢😢🙏
Ndio mnanambia nyumban kumenoga ndio hv kweli daraja toka Mjeruman mpaka leo....duuuuh!tatizo sio dereva ni daraja ......nyie serikal chukuen mapato ya mwez mmoja ya huo mkoa mjenge daraja tafahal sio kupiga piga makerere tu tunakusany ,tunakusany..nyie vip?..
Daraja LA njia NNE linajengwa hapo
Poleni ndugu zangu mlio filiwa na ndugu zenu sote njia moja kikubwa ni kuwaombea innalilah waainnalilahi laajiun
Polen
@@mcharrisonmsacky5174 hadithi
That bridge is scary as hell magufuli should make it a two way bridge
That bridge is scary AF
Daraja la miaka na miaka halijengwi kubwa wakati ni kiungo kikubwa nchini aibu tupu kwanza barabara ndio kitu muhimu sana ktk nchi
Kwann serikal isitengenez daraja la maana
Ivi serikari inashindwa kutanua hilo dalaja kweli polen kwa wanafamilia mora wapumzishe kwa amani ndugu zetu
Kwa nini serikali isoboreshe hiyoo sehemu hiyoo magarii yawe yanapita angalau yawe yanapishana kiukweli ajali zote zinatokana na daraja kua dogo
😭😭😭😭😭Innalilah wainalilah rajiun
Inna Allah ala kulli shayin Qadir
😵😵pabaya sana apo Sam polen sana🙏
serikali kwann haitaki kupaua hili daraja? au kuna agenda ya siri?? maana wami ni hatari sana jembamba alafu parefu sana kwenda, isistoshe kuna mamba nacho kina cha mto ni kirefu. nafikir wananch tupige kelele aerikali iamke na kupanua hili daraja!!
Poleni. Familia. Serikali. Panueni. Daraja. Hilo. Jaman. 😭😭😭
Inallillah waina illah rajiun 😓😥😥
Coup
😪😪😪😪😪😪😭😭 ohoooo maskini
Polen wanafamilia
Pwani hapo sio daa
So sad
Inalilah wainalilah rajuun
Wemdahuo ulikuwa wpi
😭😭😭😭
tushapoa ansante
R.i.p
Polen wafiw
Niliwahi sikia kina mkandarasi hapo anajenga daraja la pili yaani yawe mawili, imeishia wapi hiyo kazi?
bado iko underconstruction
@@bingoonlinetz mbona halionekani hapo kwenye hii video?
Mkoa gani huu?
Wami mkoa wa Pwani
Pwani
Pwan
Mbona daraja liko linajengwa huoni hapo pembeni
Izo ni bomba
Inaah lilah wainah ilah rajughuuun
Ina semekana awawezi kujenga pale, cjui kuna mizimu,
Buka One kama hawawez mbona kuna daraja au hilo lilikuwepo tangia ardhi ilivyo umbwa
@@johnsilima6789 Ilo nalo neno, kama nihivyo mbona lile liliwezekanaje, wana zingua tu, mpaka vifo vina tokea sana.
Si ndo hapo kazi kununua tu ndege lakin njia vichocholo
@@johnsilima6789 Daah! kabisa ndugu yangu
@@johnsilima6789 kuna uhusiano gani kati ya kununua ndege na hilo daraja? Komaa kiakili, kila kimoja kina faida, nilitegemea ungesema waendelee kuboresha miundo mbinu yakiwemo madaraja hatarishi na mengineyo kwasababu ajali haziwezi kukoma bali kupunguzwa makali tu
Moro
Shukuru Ramadhani moro ya Jamaica au hiyo msata
Pwani hyo ya msata
Fek news
dah pole zao😭😭😭😭
Poleni sana