BREAKING AJALI YA GARI MTO WAMI MAMA NA MTOTO WAFARIKI WACHUKULIWA NA MAJI YENYE MAMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BREAKING #AJALI #MTOWAMI

Комментарии • 96

  • @teklamanase7088
    @teklamanase7088 4 года назад +9

    yaani siku ya kwanza kupita mimi nilichanganikiwa kabisa,daraja linaogopesha sana.

  • @anoldamoni9303
    @anoldamoni9303 4 года назад +3

    Dah Jirani😭😭yangu Jirani Yanguuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭Eeeh mola pokea waja wako wape nafasi nzuri kwako🤲wapumzishe kwa amani mungu wangu🙏

  • @aliceanyango770
    @aliceanyango770 4 года назад

    Hii mto wami ni blood sport, tuwemakini tukienda safari, sana sana tuombe kabla hatujaaanza safari, poleni sana familia, mwenye gari pia pole sana Mungu awapee faraja, watching from Kenya

  • @hadijalukasmdeg9987
    @hadijalukasmdeg9987 4 года назад +2

    😭😭😭😭😭 innalillah wa innalillah rajuni mama na mwanao pumzikeni kwa amani mungu awaraze mahali pema peponi

  • @youngsonmuyombe3905
    @youngsonmuyombe3905 4 года назад +9

    Daraja la kutoka Bandarini,Mjini kwenda Kigamboni Ni kubwa Sana,serikali iliweza kujenga daraja katikati ya bahari jaman kweli unaweza kushindwa kujenga katikati ya mto kama huwu wa mpakani mwa Dar na Tanga.Chanzo cha hii ajari ni daraja kwasababu inaruhusu gari mojatu kupita.Wakati lile la mfugale Kigamboni linaruhusu gari 4 kupita viongozi fanyeni mpango mjenge na kukarabati hili daraja

    • @hawaynatimam982
      @hawaynatimam982 4 года назад

      Unajengaje Kati ya mtu na umeambiwa mnamamba na viboko

    • @yusuphseleman2949
      @yusuphseleman2949 4 года назад

      linajengwa jipya ndugu upande wa kulia ukitokea dar

    • @hassanbakari1541
      @hassanbakari1541 4 года назад

      Daraja hilo lipo kweny ujenz jamn upande wa kulia kunajengwa

  • @rajabubojoo9467
    @rajabubojoo9467 4 года назад +1

    Sisi watanzani ni wazembe sana sehemu darajani alaf imetokea ajali alafu mnakaa mnashangaa jee mnataka nini kifuate

  • @naimamohammed3243
    @naimamohammed3243 4 года назад

    Poleni kwa msiba tanzania. From kenya

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад

    Poleni sana wana familia wa marehemu na mungu awape subra kwenye kipindi hiki cha majonzi, na pia mungu awaweke mahala pema peponi.Amina 12.02.20.

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    Ooooh my god polen sana tukeshen tukiomba hatujui sku,wala saa🙏😥

  • @zamanakivumbi6766
    @zamanakivumbi6766 4 года назад +1

    Polen San mung awalinde isha all

  • @omaryhizza897
    @omaryhizza897 4 года назад

    Innalillaah wainnailaihr raajiuun . Hakika siku hizi kuna ajali saana.. kuna majanga saaana.. bnadam Imani imekwisha.. Ee Mola tunususu... Aamyyn.

    • @daimually4865
      @daimually4865 4 года назад

      Daaah jamani serikali tunaomba mtuangalie situnaoitumia hiyo nija iyongezwe tukifika hapo rohoo juu tusaidieni viongozi litizameni hili

  • @miletuskgmiletus4168
    @miletuskgmiletus4168 4 года назад

    Poleni sana. Serikali wekeni mataa au twa lanes

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 4 года назад

    Ewe Mola wasamehe waja wako hawa waliopoteza maisha uwape makazi mema poleni Sana familia.

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Maskn mama na mtoto.mungu awarehem.serikal hebu fanyien hii kaz.kila kukicha watu wafa kweli,?

  • @damalisjoni9407
    @damalisjoni9407 3 года назад

    Poleni xna ndugu na jamaa mlio poteza watu

  • @hadijalukasmdeg9987
    @hadijalukasmdeg9987 4 года назад +1

    nakuomba mungu usimame kinyume na wanyama wa majini ili miili hii miwili ya mama na mtoto uokolewe ndugu na family wajifariji kwa kuwazika wapendwa wao

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 4 года назад +7

    Daraja dogo kweli kwel huku tunanunua ndege kwel jaman

    • @ikrammahonda4566
      @ikrammahonda4566 4 года назад

      Alafu upinzani ukiongea wanauliwa😭😭

    • @yusuphwella9651
      @yusuphwella9651 4 года назад +1

      Acheni ujinga hapo Kuna daraja linajengwa upande wa kushoto ukitokea tanga, daraja lakisasa kabisa tuulizeni sisi wa njia za kaskazini msikurupuke tuu

    • @ablusbroter7493
      @ablusbroter7493 4 года назад

      Ko ultaka tusnunue ndege au

    • @minnahlove7035
      @minnahlove7035 4 года назад

      @@ablusbroter7493 😀😀😀😀😀😀😀hapo sasa

    • @ablusbroter7493
      @ablusbroter7493 4 года назад

      @@minnahlove7035 ety bwana

  • @jaysizzo5386
    @jaysizzo5386 4 года назад

    daaah.... poleni sanaaa...wanafamilia

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад

    Eee Yesu mwema tunakulilia utunusuru na hizi ajali..ww ni dereva mwema tuongoze bwana..

  • @JairusZimuli
    @JairusZimuli 11 месяцев назад

    Poleni sana

  • @mansourabdallah1526
    @mansourabdallah1526 4 года назад +6

    Hivi kwanini serekali isiokoe watu wake kwa kufanya upanuzi wa daraja Hilo?poleni wanafamilia mlopata msiba

  • @johnjulius3084
    @johnjulius3084 4 года назад

    Polen...mungu awatie nguvu

  • @lydianangaki5420
    @lydianangaki5420 4 года назад

    Poleni xanaa Wanafamilia

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 4 года назад

    Mungu tuhurumie

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 4 года назад

    Wami panatisha yanii mm huwa nachananyikiwa Wami na Kitonga Usingizi huwa unaisha kabisaaa

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 4 года назад

    Jaman polen sana duuuuh inahuzunisha sana,!!

  • @mariamiraji7564
    @mariamiraji7564 4 года назад

    Polen sana wanafamilia

  • @fathomcool9902
    @fathomcool9902 4 года назад +2

    Innalillah wainnailayh rajuun 😢😢😢🙏

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 года назад +3

    Ndio mnanambia nyumban kumenoga ndio hv kweli daraja toka Mjeruman mpaka leo....duuuuh!tatizo sio dereva ni daraja ......nyie serikal chukuen mapato ya mwez mmoja ya huo mkoa mjenge daraja tafahal sio kupiga piga makerere tu tunakusany ,tunakusany..nyie vip?..

    • @mcharrisonmsacky5174
      @mcharrisonmsacky5174 4 года назад +1

      Daraja LA njia NNE linajengwa hapo

    • @Faby_tv
      @Faby_tv 4 года назад

      Poleni ndugu zangu mlio filiwa na ndugu zenu sote njia moja kikubwa ni kuwaombea innalilah waainnalilahi laajiun

    • @winniembwambo7741
      @winniembwambo7741 4 года назад

      Polen

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад

      @@mcharrisonmsacky5174 hadithi

  • @zueahmed2184
    @zueahmed2184 4 года назад

    That bridge is scary as hell magufuli should make it a two way bridge

  • @evvyreedy8164
    @evvyreedy8164 4 года назад

    That bridge is scary AF

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 года назад

    Daraja la miaka na miaka halijengwi kubwa wakati ni kiungo kikubwa nchini aibu tupu kwanza barabara ndio kitu muhimu sana ktk nchi

  • @nutramwest9205
    @nutramwest9205 4 года назад

    Kwann serikal isitengenez daraja la maana

  • @ibrahhasrah250
    @ibrahhasrah250 4 года назад

    Ivi serikari inashindwa kutanua hilo dalaja kweli polen kwa wanafamilia mora wapumzishe kwa amani ndugu zetu

  • @bonifasintandu6313
    @bonifasintandu6313 4 года назад

    Kwa nini serikali isoboreshe hiyoo sehemu hiyoo magarii yawe yanapita angalau yawe yanapishana kiukweli ajali zote zinatokana na daraja kua dogo

  • @halimahamza406
    @halimahamza406 4 года назад

    😭😭😭😭😭Innalilah wainalilah rajiun

  • @fredmsele3504
    @fredmsele3504 4 года назад

    Inna Allah ala kulli shayin Qadir

  • @ragybeybekabaselo5501
    @ragybeybekabaselo5501 4 года назад

    😵😵pabaya sana apo Sam polen sana🙏

  • @emanuelmuna2296
    @emanuelmuna2296 4 года назад +1

    serikali kwann haitaki kupaua hili daraja? au kuna agenda ya siri?? maana wami ni hatari sana jembamba alafu parefu sana kwenda, isistoshe kuna mamba nacho kina cha mto ni kirefu. nafikir wananch tupige kelele aerikali iamke na kupanua hili daraja!!

    • @hossainom7632
      @hossainom7632 4 года назад

      Poleni. Familia. Serikali. Panueni. Daraja. Hilo. Jaman. 😭😭😭

  • @agunwanyi6797
    @agunwanyi6797 4 года назад +1

    Inallillah waina illah rajiun 😓😥😥

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 4 года назад

    😪😪😪😪😪😪😭😭 ohoooo maskini

  • @edinamsukwa8993
    @edinamsukwa8993 4 года назад

    Polen wanafamilia

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 4 года назад

    Pwani hapo sio daa

  • @doctorptz1641
    @doctorptz1641 4 года назад

    So sad

  • @MsuyaMsuyaJr
    @MsuyaMsuyaJr 4 года назад

    Inalilah wainalilah rajuun

  • @samiamsuya9159
    @samiamsuya9159 4 года назад +1

    Wemdahuo ulikuwa wpi

  • @nasrajuma5389
    @nasrajuma5389 4 года назад

    😭😭😭😭

  • @rehemaabuu528
    @rehemaabuu528 4 года назад +1

    tushapoa ansante

  • @priscamasanga2100
    @priscamasanga2100 4 года назад

    R.i.p

  • @christinamakereketa9395
    @christinamakereketa9395 4 года назад

    Polen wafiw

  • @nyarinkya6102
    @nyarinkya6102 4 года назад +1

    Niliwahi sikia kina mkandarasi hapo anajenga daraja la pili yaani yawe mawili, imeishia wapi hiyo kazi?

    • @bingoonlinetz
      @bingoonlinetz  4 года назад

      bado iko underconstruction

    • @nyarinkya6102
      @nyarinkya6102 4 года назад +1

      @@bingoonlinetz mbona halionekani hapo kwenye hii video?

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 года назад

    Mkoa gani huu?

  • @yustushenry94
    @yustushenry94 4 года назад

    Mbona daraja liko linajengwa huoni hapo pembeni

  • @yusuphseleman2949
    @yusuphseleman2949 4 года назад

    Inaah lilah wainah ilah rajughuuun

  • @bukaone7507
    @bukaone7507 4 года назад

    Ina semekana awawezi kujenga pale, cjui kuna mizimu,

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 года назад +3

      Buka One kama hawawez mbona kuna daraja au hilo lilikuwepo tangia ardhi ilivyo umbwa

    • @bukaone7507
      @bukaone7507 4 года назад +1

      @@johnsilima6789 Ilo nalo neno, kama nihivyo mbona lile liliwezekanaje, wana zingua tu, mpaka vifo vina tokea sana.

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 года назад +2

      Si ndo hapo kazi kununua tu ndege lakin njia vichocholo

    • @bukaone7507
      @bukaone7507 4 года назад

      @@johnsilima6789 Daah! kabisa ndugu yangu

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 4 года назад

      @@johnsilima6789 kuna uhusiano gani kati ya kununua ndege na hilo daraja? Komaa kiakili, kila kimoja kina faida, nilitegemea ungesema waendelee kuboresha miundo mbinu yakiwemo madaraja hatarishi na mengineyo kwasababu ajali haziwezi kukoma bali kupunguzwa makali tu

  • @shukururamadhani8810
    @shukururamadhani8810 4 года назад

    Moro

  • @emmaerick9675
    @emmaerick9675 4 года назад

    Fek news

  • @maulidsadick8328
    @maulidsadick8328 4 года назад

    dah pole zao😭😭😭😭

  • @buruanibushiri8484
    @buruanibushiri8484 4 года назад

    Poleni sana