ANAFANYA KAMPENI CHINI CHINI NIKOSA KISHERIA. DR.SLAA KAIVAA CCM, MWABUKUSI KAWAKA KUKATWA URAIS TLS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 18

  • @user-lq8mi3zz2c
    @user-lq8mi3zz2c 11 дней назад +3

    Wakili Mwabukusi Wanakuogopa lakini Mungu atakutetea Utashinda kwa Uwezo wa Mungu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 дней назад +1

    Jamani hayo ni mateso kwa watoto Mungu wangu kutu gani hiki

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 10 дней назад +1

    Wanaharakati wetu tumewaelewa sana, Waalimu ni aina ya machawa waliokubaliana na hali ingawa fani yao,na wao wenyewe wanadhalilika katika jamii ya watanzania wanaojitambua lakini na TLS nao wamenunulika,ama kutishwa, wakatishika. Kipindi cha Hosea na Sungusia vimedhalilisha fani,chama,na mawakili wote katika sheria mbele ya jamii ya watanzania wanaojitambua!

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 11 дней назад +1

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 11 дней назад +1

    Hawa walimu wamelogwa na nani ??? Kwani wao wanaishi nchi hii kweli ?? Wao hawaathiriki na haya maisha magumu?? Ee Mungu usyeahindwa sikiliza kilio chetu baba . Tumechoka janani .

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 11 дней назад +1

    Hiyo imetokeya paka huku eti anakuja rais kumbe yanakuja mazombi Kama haya 😂😂😂😂 ma ccm

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 11 дней назад +1

    Mimi naona kama ccm iko juu ya sheria za nchi hii au nyie mnaonaje wadau.. maana ndio wavunjaji wa sheria hizo ila hawaguswi wala kukemewa.
    Mara hongo ya pikipiki ila tume ya uchaguzi na takukuru wao wamevaa miwani ya mbao.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 11 дней назад +1

    Magufuli alifaya huu mchezo huu mchafu pia

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 11 дней назад +1

    asante sana baba Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu iache mizengwe na watanzania wafanye nini tunataka yafuatayo mashamba yetu ARUShA yalichukuliwa na CCM wanaeuza nchi yetu kama mayai ya kisasa ni kinyume Cha Sheria atutapenda kichini chini Cha CCM wajipange tutawatoa mamlakani. mchana peupe nauliza kizazi kipya waamke kuitetea nchi yetu bila kumuogopa mtu yeyote tukifa ni. alali tutakubali kufa sababu nchi yetu ni yetu Kila raia ana. haki ya kusema bila kutishwa na polisi Wala jambazi la. serekali linaloitwa wasio julikana wako ndani ya serekali atutaki mabeberu ndani ya serekali ndio maana kunawauwaji je nauliza nikwanini tumezingirwa na maraisi madkteta chuma Kiko jikoni kinachemka na CCM wanajificha makanisani ili Wawa onge wachungaji watuubirie ujinga makanisani mwananchi zinduka usikubali kuhongwa kataa hongo ya Samia mbona tunaona ni ukoloni mambo Leo na Samia mkitazama pia ole sendeka alipigwa risasi na nani serekali mungu amlinde sana olesendeka pongezi kubwa kwa kazi nzuuri Kila siku na Kila wakati oja wananchi masikini wasumbuliwe mpaka hostali ya patandi wanchi awatibiwi waambiwa bima ya afya je nauliza kwanini tuuziwe vitambusho sisi watu arumeru ushahidi tunayo ARUShA wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika

    • @nikodemmwahangila3334
      @nikodemmwahangila3334 11 дней назад

      Hii wanaweza wakenya chanjo ya corona iliwachanganya kichwa walishakua vichaa lakini wao bangi halali sisi hatuwezi uwana

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 11 дней назад +1

      Sawa Dr Slaa asante sana barikiwa

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 11 дней назад +1

    Ccm wanajuwa eananchi asilimia 85. Hawana ubavu wa kushindana na Chadema! Wanatumia mabavu tu. Watanzania hawawapendi KWA NINI MNALAZIMISHA? PUMBAVU!!

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 11 дней назад +1

    Walimu wooote Tanzania, acheni ujinga wa kuwa viraka wa kutumikia ccm. Ccm inawabaka, na kuwanyi ma stahili zenu. Kwa ujinga wenu mmebaki kulamba matako ya ccm.

  • @knight6757
    @knight6757 11 дней назад

    U lice

  • @husseindinongo4798
    @husseindinongo4798 11 дней назад

    we mzee unabana sauti.si ulipewa ubalozi na hukukataa.tuachie samia wetu

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 7 дней назад

    Wewe mzee sasa unataka wachukuliwe Nani

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 7 дней назад

    Uliongea na wazazi WA Tanzania tote acha uongo