Wanaharakati wetu tumewaelewa sana, Waalimu ni aina ya machawa waliokubaliana na hali ingawa fani yao,na wao wenyewe wanadhalilika katika jamii ya watanzania wanaojitambua lakini na TLS nao wamenunulika,ama kutishwa, wakatishika. Kipindi cha Hosea na Sungusia vimedhalilisha fani,chama,na mawakili wote katika sheria mbele ya jamii ya watanzania wanaojitambua!
Hawa walimu wamelogwa na nani ??? Kwani wao wanaishi nchi hii kweli ?? Wao hawaathiriki na haya maisha magumu?? Ee Mungu usyeahindwa sikiliza kilio chetu baba . Tumechoka janani .
Mimi naona kama ccm iko juu ya sheria za nchi hii au nyie mnaonaje wadau.. maana ndio wavunjaji wa sheria hizo ila hawaguswi wala kukemewa. Mara hongo ya pikipiki ila tume ya uchaguzi na takukuru wao wamevaa miwani ya mbao.
asante sana baba Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu iache mizengwe na watanzania wafanye nini tunataka yafuatayo mashamba yetu ARUShA yalichukuliwa na CCM wanaeuza nchi yetu kama mayai ya kisasa ni kinyume Cha Sheria atutapenda kichini chini Cha CCM wajipange tutawatoa mamlakani. mchana peupe nauliza kizazi kipya waamke kuitetea nchi yetu bila kumuogopa mtu yeyote tukifa ni. alali tutakubali kufa sababu nchi yetu ni yetu Kila raia ana. haki ya kusema bila kutishwa na polisi Wala jambazi la. serekali linaloitwa wasio julikana wako ndani ya serekali atutaki mabeberu ndani ya serekali ndio maana kunawauwaji je nauliza nikwanini tumezingirwa na maraisi madkteta chuma Kiko jikoni kinachemka na CCM wanajificha makanisani ili Wawa onge wachungaji watuubirie ujinga makanisani mwananchi zinduka usikubali kuhongwa kataa hongo ya Samia mbona tunaona ni ukoloni mambo Leo na Samia mkitazama pia ole sendeka alipigwa risasi na nani serekali mungu amlinde sana olesendeka pongezi kubwa kwa kazi nzuuri Kila siku na Kila wakati oja wananchi masikini wasumbuliwe mpaka hostali ya patandi wanchi awatibiwi waambiwa bima ya afya je nauliza kwanini tuuziwe vitambusho sisi watu arumeru ushahidi tunayo ARUShA wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
Walimu wooote Tanzania, acheni ujinga wa kuwa viraka wa kutumikia ccm. Ccm inawabaka, na kuwanyi ma stahili zenu. Kwa ujinga wenu mmebaki kulamba matako ya ccm.
Wakili Mwabukusi Wanakuogopa lakini Mungu atakutetea Utashinda kwa Uwezo wa Mungu
Jamani hayo ni mateso kwa watoto Mungu wangu kutu gani hiki
Wanaharakati wetu tumewaelewa sana, Waalimu ni aina ya machawa waliokubaliana na hali ingawa fani yao,na wao wenyewe wanadhalilika katika jamii ya watanzania wanaojitambua lakini na TLS nao wamenunulika,ama kutishwa, wakatishika. Kipindi cha Hosea na Sungusia vimedhalilisha fani,chama,na mawakili wote katika sheria mbele ya jamii ya watanzania wanaojitambua!
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Hawa walimu wamelogwa na nani ??? Kwani wao wanaishi nchi hii kweli ?? Wao hawaathiriki na haya maisha magumu?? Ee Mungu usyeahindwa sikiliza kilio chetu baba . Tumechoka janani .
Hiyo imetokeya paka huku eti anakuja rais kumbe yanakuja mazombi Kama haya 😂😂😂😂 ma ccm
Mimi naona kama ccm iko juu ya sheria za nchi hii au nyie mnaonaje wadau.. maana ndio wavunjaji wa sheria hizo ila hawaguswi wala kukemewa.
Mara hongo ya pikipiki ila tume ya uchaguzi na takukuru wao wamevaa miwani ya mbao.
Magufuli alifaya huu mchezo huu mchafu pia
asante sana baba Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu iache mizengwe na watanzania wafanye nini tunataka yafuatayo mashamba yetu ARUShA yalichukuliwa na CCM wanaeuza nchi yetu kama mayai ya kisasa ni kinyume Cha Sheria atutapenda kichini chini Cha CCM wajipange tutawatoa mamlakani. mchana peupe nauliza kizazi kipya waamke kuitetea nchi yetu bila kumuogopa mtu yeyote tukifa ni. alali tutakubali kufa sababu nchi yetu ni yetu Kila raia ana. haki ya kusema bila kutishwa na polisi Wala jambazi la. serekali linaloitwa wasio julikana wako ndani ya serekali atutaki mabeberu ndani ya serekali ndio maana kunawauwaji je nauliza nikwanini tumezingirwa na maraisi madkteta chuma Kiko jikoni kinachemka na CCM wanajificha makanisani ili Wawa onge wachungaji watuubirie ujinga makanisani mwananchi zinduka usikubali kuhongwa kataa hongo ya Samia mbona tunaona ni ukoloni mambo Leo na Samia mkitazama pia ole sendeka alipigwa risasi na nani serekali mungu amlinde sana olesendeka pongezi kubwa kwa kazi nzuuri Kila siku na Kila wakati oja wananchi masikini wasumbuliwe mpaka hostali ya patandi wanchi awatibiwi waambiwa bima ya afya je nauliza kwanini tuuziwe vitambusho sisi watu arumeru ushahidi tunayo ARUShA wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
Hii wanaweza wakenya chanjo ya corona iliwachanganya kichwa walishakua vichaa lakini wao bangi halali sisi hatuwezi uwana
Sawa Dr Slaa asante sana barikiwa
Ccm wanajuwa eananchi asilimia 85. Hawana ubavu wa kushindana na Chadema! Wanatumia mabavu tu. Watanzania hawawapendi KWA NINI MNALAZIMISHA? PUMBAVU!!
Walimu wooote Tanzania, acheni ujinga wa kuwa viraka wa kutumikia ccm. Ccm inawabaka, na kuwanyi ma stahili zenu. Kwa ujinga wenu mmebaki kulamba matako ya ccm.
U lice
we mzee unabana sauti.si ulipewa ubalozi na hukukataa.tuachie samia wetu
Wewe mzee sasa unataka wachukuliwe Nani
Uliongea na wazazi WA Tanzania tote acha uongo