KUDILI NA UCHAWI KWENYE ENEO LA FEDHA | 20 JULY 2024 | MWL. ONESMO.
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Huduma ya MBINGU DUNIANI inapatikana NJIRO ARUSHA TANZANIA chini ya Mtumishi MWALIMU ONESMO UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA NAMBA HII +255 743 404 043
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / onesmo.oyakhilome
Follow our Instagram: / mbingu_duniani
Subscribe our RUclips:
/ @mbinguduniani
Mbingu Duniani FM : onlineradiobox...
#MwlOnesmo #Mbinguduniani #kumilikiMilkiZangu
Kuanzia nyimbo za kuabudu barikiwa mwalim onesmo tunakupenda sana
Sifa na utukufu nikwa Bwana Yesu. Mungu azidi kuachilia mafuta mapya kweny mazabau hii. nabarikiwa Sana pia Mungu akubariki zaidii Mwl. Na familia yako
Mungu akubariki sana mwalimu,Damu ya Yesu ikufunike na kukutunza wewe na chochote kinachoitwa kwa jina lako
Mungu akupe maishaaa marefu mwalimuu
Sina MUNGU mwingine 🙏🏾🙏🏾
Napenda sana nabarikiwa
Kwel mungu Ana vyombo vya sifa hata katika kit cha enz anafurah kuona matunda yake
Hapa lazima nitoke kiuchumi na familiar yangu na ndugu zangu
Bwana Yesu Kristo asifiwe mchungaji wa Mungu
❤❤❤❤
Mungu akubariki sana mwalimu onesemo Damu ya Yesu ikufunike😊
Sina Mungu mwingine zaidi yako Yehova
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
MUNGU azidi kukutunza mwalimu ONESMO Tunakufunika Kwa damu ya YESU KRISTO