MSOMI WA PhD AFUNGUKA KILICHOMKUTA MPAKA KUAMUA KUOKOKA-''HATA MLEVI ANAMUHITAJI YESU'' | Hard Talk
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- MSOMI WA PhD AFUNGUKA KILICHOMKUTA MPAKA KUAMUA KUOKOKA-''HATA MLEVI ANAMUHITAJI YESU'' | Hard Talk
#HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK ##HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wafia dini leo mapovu yatawatoka lakini hamuwezi badilisha ukwel ,mtatukana lakin mjue Yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima
Hakuna njia utakayoipata labda ya shaitwani. Na ndio mana unavishwa uchi nankubandikishwa manywele na makuche ukawakatie mauno kanisani/kwenye jumba lao mashaitwani. Mana Yesu halijui kanisa.
@@Fear_Allah394 Mavazi yenu hayo mnayojivuna nayo hatawapeleka mbinguni,,,,Njia Ni Moja tu MKIRI YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO ,OKOKA NA UMCHE MUNGU KATIKA ROHO NA KWELi,,,Najua huwezi kukubali sanasana utatukana lakini hata hivo haitakusaidia ,,
@@womanofsteel1402. Na km na kwenda uchi/vimini kutakupeleka mbinguni Bi Maryam mngemuona Anachongewa masanamu na kubandikwa mapicha yake na kimini. Huezi kua msafi halafu nje ukawa mchafu wa mavazi. Ndio mana mnajikuta ni kawaida kwenu kuziniwa mpaka mkazeeka ndio mkaolewa.
@@womanofsteel1402 . Nyie makafiri kila kitu mnajifichia kwenye Chaka la ati mnatukanwa. Kwani uongo hamuingii makanisani uchi, na manywele ya kubandika na mikuche??? Si kila siku mnapigiwa kelele na baadhi ya wachungaji wenu??? Akisema muisilam mnatukanwa??? Yesu hajawa muokozi wako wala yyte soma usilimu usijipumbaze akili.
Jesus is Lord. Kila got litapigwa na kila ulimi lazima ukiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana kwa utukufu wa Mungu. Bila Yesu hakuna paradise.
Tupe Andiko tusibitishe kauli yako
Aminaaa kubwaa ni kwel kabisa kuongezea YESU NI MUNGU ni mwanzo na mwishooo
@@rebeccamafita3395 nipe andiko wapi yesu kasema yeye mungu
@@rebeccamafita3395 Yohana 8
40 Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi
mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli,
niliyoisikia kwa Mungu. lbrahimu
hakufanya hivyo.
Yesu mwenyewe kasema yeye mtu aw yesu anasema uwongo wewe ndio unasema kweli
@@rebeccamafita3395 Luka 2
21 Hata zilipotumia siku nane za
kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu;
kama alivyoitwa na malaika kabla
hajachukuliwa mimba.
Hivi mungu gani anatahiriwa jamani
Huyu jamaa bonge la Muongo Mungu akikutoa huko huwezi kuwa mlokole hizi ni story za kutunga
Semeni mnavyosema, tukaneni tuuuu, bado Yesu ni MWAMBA anaweza kuwabadilisha hata nyie mnao mnenea mabaya huyu baba, Global TV Mungu azidi kuwainua
Yesu gani??? Labda shaitwani kamtoa kwenye ushirikina wa kuabudu mashaitwani/majini na mizimu kamleta kwenye kuabudu mtu.
Awavalisheni vimini, makuche ya kubandika na manywele akakuchezesheni mauno kanisani.
@@Fear_Allah394 Tukanaa mpaka utoke majipu ya mdomo Mwamba ni mmoja tu. JESUS IS THE KING OF KINGS.
@@shammhagama2527 Nyie akili zenu zishazama kwenye kufru na ndio mana mkifumbuliwa macho mnaona mnatukanwa. Mwamba gani na imani yako unaamini alitundikwa akagongomelewa misumari na aliowaumba???😂
Global TV Mungu awabariki
Njaa imemleta ktk ukristo
Upo wa baada ya kutoka mbezi mwisho kwenye kanisa la mabatiii
Mmh! Dunia hadaa ....
Yaani nilishafika mbezi kanisa la mabati ukijua kudanganya weka kumbukumbu
Watu waongo sana
Wakristo wa makanisa haya ya kupiga kelele huwa wana maigizo sana. Anyway Allah atawaongoza siku moja.
Kupiga kelele kwa Mola wao ni better kuliko kupiga kelele club na mashetani.
Who is Allah?
Allah ni mmoja aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo
Halali wala hasinzii
Yesu ni mtume wake nae alilala kwenye boti
Mara wanamleta kilema na alokufa wanamfufua😂😂😂
Duh hii Dunia hatari na nusu
aleluyaaaaaaaaa
Grory to Almighty Greaty GOD
Part 2 plzzzz
Wanafunguka sanatu
Subhanna allah
Unafiki tu😢
Mkubali mkatae shahuri yenu!!!... YESU ni BWANA wa MABWANA
Yesu ni Mungu mwenye nguvu
@@odhiaodhia9898 Amen Amen Amen
Mwenyew Yesu hawatambui ni muislamu safi kabisa na alikua akiingia katika masinagogi na tafsir ya sinagogi ni msikiti wa Wayahudi
Someni Biblia yenu msingoje kusomewa
@@Naw89 Yesu ni Mungu
@@odhiaodhia9898. Asingetundikwa na aliowaumba.
Pole na hongera mkt wangu wa umoja wa wasukuma duniani ni Mimi mkt wako kutoka tanga
Leo nimegundua kuna baadhi ya watu wanataka kuonekana wasafi kwa imani yao wanaoiamini, mtu akiongea uongo acha pita hivi Mungu atamuhukumu maana kuna watu wengi wamepona pale wewe unapoona uongo. Mungu awabariki sisi tumejifunza
Ukiona hivyo ujue ndio wana uthibitisho na ww onyesha yako wapi Yesu anaposema ni Mungu???
Genuine believer couldn't change his faith
If that the case why Muslims celebrate when people from other religion covert to Islam?
Kuamini majini
@@Harrison-zh9sbNdio majini wapo na wameumbwa tunaamini hayo lkn hatuwaabudu km nyie wanaokuvalisheni uchi na kukubandikisheni makuche na manywele mkenda kuwakatia mauno kanisani😂😂😂
Mungu akiamua jambo hashindwi huyo bwana hela anauwezo wa kuziita lakini leo kaamua kumquat mungu tumwombe sana mungu wrtu yesu
Usitudanganye hapa! Kaona uganga hauna pesa km uchungaji. Na ndio mna anakuanzieni na maoza Oza anajua makafiri mnapenda sna ushirikina mtajaa tu kanisani na vimini vyenu na manywele yenu ya kubandika na mikuche akuchezesheni viuno??? Muendeleze ushaitwani
Inalillahi wsinailahi rajuun kwwri Dunia ya mwisho inavioja ,, nani eti mtume. Naiyadhubill
Si auanzishe TV yako tuu mama,, marafiki zako wana rafiki wa faida
Yani bible na huyu Bwana YESU nivitu vitashuhudiwa kwa uzuri na uwaninifu mkubwa, oh Shalom 🙏
Kwani biblia ni kitabu cha nani aw kaja nacho nabi gani mbona yesu kaja na injili biblia imetoka wapi
@@alzawahirabdallah2299
Ukiwa na Roho mtakatifu ndio utajua vitu hivyo vyote.Ila utapata taaabu saana .Abudu unachokiabudu ipo siku utafunguliwa macho ya Rohoni upate kufahamu, tena kabla siku zakozijaahisha.Amina
@@andrewmhagama9816 Ufunuo Wa Yohana 2
12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko
Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo
yeye aliye na huo upanga mkali,
wenye makali kuwili,
13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti
cha enzi cha Shetani; nawe walishika
sana jina langu, wala hukuikana imani
yangu, hata katika siku za Antipa
shahidi wangu, mwaminifu wangu,
aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo
Shetani.
@@andrewmhagama9816 unalo andiko lolote linalo sema biblia kitabu cha nani na kaja nacho nabi gani
@@andrewmhagama9816
Hosea 9
7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku
za kulipa zimefika; Israeli atayajua
hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo
mtu mwenye roho ana wazimu; kwa
sababu ya wingi wa uovu wako, na
kwa sababu uadui umekuwa mkubwa
Mimi siwezi kuwa mpumbavu biblia imesema mwenye roho ni mpumbavu hapo ndipo mnapo jifichia mkibanwa mnasema mpo kiroho
This man 😳😳😳😳 I don’t want peace 🙆🏽♂️
Hovyoo
"kwani mkiambiwa uchawi mnaelewaje"
Jesus is Lord 🙏🙏🙏
Duh! Watanzania mmezidi yani mnampa mtu kama huyu platform kubwa kama hii??? Mtu muongo kupitiliza hata maneno anayozungumza hajui
Hahahah hii ni mpuuzi 😂😂😂
Nnataka nifaate nyayo zako ili namimi niweze kuokoka shekh wangu mpendwa
Hahahaaa
Hakuna kuokoga duniani kuokoga siku ya mwisho duniani hakuna kuokoga
😂😂😂 unataka ukawapige hela nn sheykh wangu maana hawa hawahoji bali wao ni kufurahi tu mtu kuwa mkristo mwenzao
@@hamisimkoma7380 ukitaka uwachune wakiristo upige pesa mapema na magari na majumba uwambiye wakiristo nilikuwa shekhe hapo ohoo sasa imekuwa mchezo wao
@@sabihaibrahim143😂😂😂 yani wakiristo watu wa ajabuajabu wanapendakudanganywasana
THANKS GOD FOR ISLAM❤️❤️SEVEN YEARS PLS JAMANI WAGALATIA KUWENI OPEN MINDED HII SASA NI ZAIDI YA CHADEMA 😢😢😢😢
Waache wapotezewe mda wao na matapeli tu baada ya kuutafuta ukweli wenyewe.
😢
Mbona mzungu 😂😂😂😂sio kweli mmmh 😂😂😂😂😂. Hhhh baba weee umenichekeshaa😂😂😂nasikia aibu
Kũna siku nilikuwa pwani ilikuwa kama saa tano usiku ,nikashika fimbo kutaka kumpika paka jamaa,mmoja akaniambia hũkũ pwani paka hawapigwi
DUH HUYU JAMAA AKIENDA CHADEMA ANGEKUWA BONGE LA STAR KUSHINDA LEMA NA LISU 🇨🇦🇨🇦🇨🇦CANADA HOYEEEEEE😢😢😢😢😢😢
Inawezekana nawe ni mchawi au agent wa shetani, kinachokuumiza ni Nini?
@@johntendwa7856 NIKO NA HOLY GHOST 😜😜😜😜
@@OmmyJames-xn7jikwani unateseka?
@@begukulemosobe9685 NOOOOOOOO IAM KOOL 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AND HAPPY 😃
@@begukulemosobe9685 NAJARIBU KUELIMISHA WAGALATIA WACHACHE AMBAO SIO OPEN MINDED 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿WAACHE UDINI NA UKABILA NA CHUKI NA WIVU 🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵❤️❤️ITS CALLED VOLUNTARY JOB
NYIE GLOBAL MMEANZA UTAPELI!!KWENYE UISILAM HATUNA MASHEIKH WAJINGA HIVYO!!
KAMA NI SHEIKH ALISOMA KWA SHEIKH GANI?
WAISLAM HAWATAPELEWI KIRAHISI HIVYO!!
Mfatilie historia yake mbn ipo mtandaoni mm nimemsikia tokea kitambo sana
ANGEPIGWA BAKORA MPAKA AKOJOE MUSLIM hawana mchezo kwenye imani yao
Acheni kelele, huyu kafanya maamuzi ya maana sana. Kubalini kataeni Yesu ni BWANA na kila goti litapigwa kwake
GLOBAL TUITIENI MAZINGE AU MWAIPOPO TUTAJUA NANI ANA PHD 😭😭😭😭😭WAGALATIA HOYEEEEE
Shekh abuubakar wee umesoma wapi kwa shekh nani
Mpuuzi njaa
Umeonaee atuambie juyu kafili jaruo hilo
😂😂 Alijisomea akawamzungu. Ongela. Sasa mbona imejirudisha kuwakama Rami😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uyu mnafiki akuna muislam wa kweli anae badili dini kua mkristo, yaani story zake za uongo, njaa inamsumbua
Kweli, wapo wakristo wa kwfli wanaobadili dini kuwa waislamu, muhamadi oyeee! He was violency military leader
@@petermwaibofu7580 una sera, angalia ulaya kila ck wanaingia uislam, uyo c unamuona anatafuta kiki eti aligeuka paka
@@petermwaibofu7580 Violence??? Km unaitumia akili yako utabaini kua hakua na violence yyte Bali alikua anajihami. Tabia zenu mpaka Leo hii hamujaacha ya kuua, kuvuruga miji ya watu na kupora! Mlikutana na m’me alokua akitoeni mafua na in shaa Allah mtapapatq na wengine ili muache ufisadi ktk dunia.
Wasiojua hayo ya ulimwengu wa Roho , kaeni kwa kutulia siku yakikukuta utaelewa tu
😂😂😂😂😂😂jamanii
Hahahaaa wakiristo munatapeliwa si haba
Ata sisi tunataka kutapeliwa
@@johngerald4677 ndio hivo na mimi nakuja kuchuma huko karibuni
@@sabihaibrahim143😂😂😂 Makafiri wanapenda ushirikina sana na matapeli washawasoma. Hapo Ana target ya kua mchungaji. Kwahio anajifanya kutoa ushuhuda wa maajabu ili akianza kazi yake ya uchungaji wamiminike😂😂😂
@@Fear_Allah394 hahahaaa
Asnte Mungu nimezaliwa mkristo natambua Agano jipya la ukomboz wa Yesu kristo kila nnachotaka natamka damu ya Yesu tofaut na wenzetu kumbe ni hadi wawe paka wakamate watu misukule waloge ndio wafanikiwe asnte sana mwenzao umetupa siri zenu 😂😂😂😂
Acha hzoo wewe ata hao wenye dini nyingine pia wanafanikiwa
Anakudanganyeni na nyie kwa kua ni wavivu wa kutafuta elimu mnamuamini. Acheni uvivu mtachomwq moto kwa uvivu.
Hiyo Pete yake hainifurahishi.
Dada Lilian hayo maneno unayo ongea tuambie maana yake
Duh muongo huyuu😂😂😂
Tapeli huyo
Haya kwakuamin huo uongo
Huyu muongoo
Ana ongea via ku ogopesha sindio ? 😅
Maneno yake hayana ukweli wowote mfano anasema akawa mzungu na kingereza alikuwa hakijui na huku ana PhD
😂😂😂😂sikilizen ktk utapeli wenye hela na unaoweza kuwatepeli wanaopinga utapeli ni kuwwkeza ktk kujenga makanisa na kuajiri wasanii....ili kupiga hela ....kwann huko ni rahisi kupiga hela....kwasababu asilimia 99% ya wakristo hawajahifadhi biblia na wanasikiliza maneno ya viongozi wao 100% kuliko ya kwenye biblia😂😂😂 ..Wajinga hawaamshwi
Na hata wakitaka kuihifadhi hawawezi mana Allah tayari ameshavifuta vitabu walivyovifanyiq ufisadi na kuleta chenye haq na ubainisho wa uongo wao.
PhD yako imesaidiaje jamii
Kageuka mzungu😂😂😂
Msomi wa PhD anaongea upuuzi mtupu mtu anageuka paka lana ya mungu iwe juu yake
Muongo muongo muongo muongo muongo anataufa waumini tu
Ww fillmasson wanaotumia no 666. Uruminat wwe laanatullah
Matapeli watupu
Huyu mtangazaji hajui nn anafanya
Mwongo huyo,kaamua kubadilisha gia angani ili apige pesa
Huyo Ana target ya uchungaji apige pesa.
PhD kweli. Okoka sasa uwe mwongofu munyofu wa moyo.
Uijue kweli nayo kweli itakuweka kuwa huru. Kwa maneno haya bado unamtumikia yule mwovu na malaika zake.
Ilaa lilyan unakotafuta uislama utapata
Anabadilika huyoooo
Eeee hii sasa kubwa kuliko ebu mnapoongopa muwe mnajua kua watu sio wajinga, kajigeuza kua mzungu?Acha ujinga na unene wako mwisho wasiku unajiita prophet na waumini unapata dah
Watakuja watakaotukana... ni hiari yake, hakutenda kosa lolote..katiba inamlinda
Fungu la kumi nalitaka
@@sabihaibrahim143 Hahaha amekwenda kuchuma fungu la kumi. Hapo anafanya matangazo
@@josephlorri431 ndioo tunawajua etii lakini wakiristo wepesi kwani lazima anayefata dini ajipigishe kelele mitandaoni oo nilikuwa shekh yanini baki na imani yako fanya ibada lakini hee kuomba omba tu
@@sabihaibrahim143Wanafanya hvo kwa sabbu wanawajua kua makafiri wamekaririshwq makanisani na wachungaji wao kua waisilam wanafuga majini. Na wao makafiri wanapenda sana ushirikina. Kwahio wakisikiq muisilam na wanaamini kua mfugq majini wanajazana makanisani. Na huyo mzee target yake ni kua na kanisa kujifanya mchungaji awatapeli.
@@Fear_Allah394 hahahaaa kesho atafungua kanisa
Just wasted my time for this. Shindwe kabisa. Nonsense
😂mwamba akawa mdhungu 😂😂
😂😂😂
Hopeless kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!, Guys!!!!, Eti ajisomee Dua then abadilike kuwa mzungu!!!!!. This man is big Liar!!!!!
Ninyi subirini mito ya ulevi na wanawake mabikra 70 wongo mtupu na mwisho siku kama huna Yesu ni jehanum moja kwa Moja.