MSOMI WA PhD AFUNGUKA KILICHOMKUTA MPAKA KUAMUA KUOKOKA-''HATA MLEVI ANAMUHITAJI YESU'' | Hard Talk

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MSOMI WA PhD AFUNGUKA KILICHOMKUTA MPAKA KUAMUA KUOKOKA-''HATA MLEVI ANAMUHITAJI YESU'' | Hard Talk
    #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK ##HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK #HARDTALK
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 155

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Год назад +11

    Wafia dini leo mapovu yatawatoka lakini hamuwezi badilisha ukwel ,mtatukana lakin mjue Yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Hakuna njia utakayoipata labda ya shaitwani. Na ndio mana unavishwa uchi nankubandikishwa manywele na makuche ukawakatie mauno kanisani/kwenye jumba lao mashaitwani. Mana Yesu halijui kanisa.

    • @womanofsteel1402
      @womanofsteel1402 Год назад

      @@Fear_Allah394 Mavazi yenu hayo mnayojivuna nayo hatawapeleka mbinguni,,,,Njia Ni Moja tu MKIRI YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO ,OKOKA NA UMCHE MUNGU KATIKA ROHO NA KWELi,,,Najua huwezi kukubali sanasana utatukana lakini hata hivo haitakusaidia ,,

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@womanofsteel1402. Na km na kwenda uchi/vimini kutakupeleka mbinguni Bi Maryam mngemuona Anachongewa masanamu na kubandikwa mapicha yake na kimini. Huezi kua msafi halafu nje ukawa mchafu wa mavazi. Ndio mana mnajikuta ni kawaida kwenu kuziniwa mpaka mkazeeka ndio mkaolewa.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@womanofsteel1402 . Nyie makafiri kila kitu mnajifichia kwenye Chaka la ati mnatukanwa. Kwani uongo hamuingii makanisani uchi, na manywele ya kubandika na mikuche??? Si kila siku mnapigiwa kelele na baadhi ya wachungaji wenu??? Akisema muisilam mnatukanwa??? Yesu hajawa muokozi wako wala yyte soma usilimu usijipumbaze akili.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +14

    Jesus is Lord. Kila got litapigwa na kila ulimi lazima ukiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana kwa utukufu wa Mungu. Bila Yesu hakuna paradise.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +2

      Tupe Andiko tusibitishe kauli yako

    • @rebeccamafita3395
      @rebeccamafita3395 Год назад

      Aminaaa kubwaa ni kwel kabisa kuongezea YESU NI MUNGU ni mwanzo na mwishooo

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      @@rebeccamafita3395 nipe andiko wapi yesu kasema yeye mungu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@rebeccamafita3395 Yohana 8
      40 Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi
      mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli,
      niliyoisikia kwa Mungu. lbrahimu
      hakufanya hivyo.
      Yesu mwenyewe kasema yeye mtu aw yesu anasema uwongo wewe ndio unasema kweli

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@rebeccamafita3395 Luka 2
      21 Hata zilipotumia siku nane za
      kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu;
      kama alivyoitwa na malaika kabla
      hajachukuliwa mimba.
      Hivi mungu gani anatahiriwa jamani

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 Год назад +8

    Huyu jamaa bonge la Muongo Mungu akikutoa huko huwezi kuwa mlokole hizi ni story za kutunga

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 Год назад +9

    Semeni mnavyosema, tukaneni tuuuu, bado Yesu ni MWAMBA anaweza kuwabadilisha hata nyie mnao mnenea mabaya huyu baba, Global TV Mungu azidi kuwainua

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Yesu gani??? Labda shaitwani kamtoa kwenye ushirikina wa kuabudu mashaitwani/majini na mizimu kamleta kwenye kuabudu mtu.
      Awavalisheni vimini, makuche ya kubandika na manywele akakuchezesheni mauno kanisani.

    • @shammhagama2527
      @shammhagama2527 Год назад +1

      @@Fear_Allah394 Tukanaa mpaka utoke majipu ya mdomo Mwamba ni mmoja tu. JESUS IS THE KING OF KINGS.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@shammhagama2527 Nyie akili zenu zishazama kwenye kufru na ndio mana mkifumbuliwa macho mnaona mnatukanwa. Mwamba gani na imani yako unaamini alitundikwa akagongomelewa misumari na aliowaumba???😂

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 Год назад +1

    Global TV Mungu awabariki

  • @romanarosemedard2551
    @romanarosemedard2551 Год назад +8

    Njaa imemleta ktk ukristo
    Upo wa baada ya kutoka mbezi mwisho kwenye kanisa la mabatiii
    Mmh! Dunia hadaa ....

    • @likeleshungu9159
      @likeleshungu9159 Год назад +1

      Yaani nilishafika mbezi kanisa la mabati ukijua kudanganya weka kumbukumbu

  • @KilindonikilindoniPwani-gq9ll
    @KilindonikilindoniPwani-gq9ll Год назад +5

    Watu waongo sana

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Год назад +7

    Wakristo wa makanisa haya ya kupiga kelele huwa wana maigizo sana. Anyway Allah atawaongoza siku moja.

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Год назад +1

      Kupiga kelele kwa Mola wao ni better kuliko kupiga kelele club na mashetani.

    • @IntelligentCreatures
      @IntelligentCreatures Год назад

      Who is Allah?

    • @Naw89
      @Naw89 Год назад


      Allah ni mmoja aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo
      Halali wala hasinzii
      Yesu ni mtume wake nae alilala kwenye boti

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Mara wanamleta kilema na alokufa wanamfufua😂😂😂

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Год назад +3

    Duh hii Dunia hatari na nusu

  • @ireneswai9156
    @ireneswai9156 Год назад

    Grory to Almighty Greaty GOD

  • @user-kk1nf1wc1f
    @user-kk1nf1wc1f Год назад +1

    Part 2 plzzzz

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Год назад +2

    Wanafunguka sanatu

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o Год назад

    Subhanna allah

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Год назад +5

    Unafiki tu😢

  • @wsws998
    @wsws998 Год назад +5

    Mkubali mkatae shahuri yenu!!!... YESU ni BWANA wa MABWANA

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Год назад +3

      Yesu ni Mungu mwenye nguvu

    • @wsws998
      @wsws998 Год назад

      @@odhiaodhia9898 Amen Amen Amen

    • @Naw89
      @Naw89 Год назад

      Mwenyew Yesu hawatambui ni muislamu safi kabisa na alikua akiingia katika masinagogi na tafsir ya sinagogi ni msikiti wa Wayahudi
      Someni Biblia yenu msingoje kusomewa

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Год назад

      @@Naw89 Yesu ni Mungu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@odhiaodhia9898. Asingetundikwa na aliowaumba.

  • @charlesmsengi332
    @charlesmsengi332 Год назад +1

    Pole na hongera mkt wangu wa umoja wa wasukuma duniani ni Mimi mkt wako kutoka tanga

  • @joshmsojo3069
    @joshmsojo3069 Год назад +3

    Leo nimegundua kuna baadhi ya watu wanataka kuonekana wasafi kwa imani yao wanaoiamini, mtu akiongea uongo acha pita hivi Mungu atamuhukumu maana kuna watu wengi wamepona pale wewe unapoona uongo. Mungu awabariki sisi tumejifunza

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Ukiona hivyo ujue ndio wana uthibitisho na ww onyesha yako wapi Yesu anaposema ni Mungu???

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf Год назад +3

    Genuine believer couldn't change his faith

    • @henrysizya239
      @henrysizya239 Год назад

      If that the case why Muslims celebrate when people from other religion covert to Islam?

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb Год назад

      Kuamini majini

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@Harrison-zh9sbNdio majini wapo na wameumbwa tunaamini hayo lkn hatuwaabudu km nyie wanaokuvalisheni uchi na kukubandikisheni makuche na manywele mkenda kuwakatia mauno kanisani😂😂😂

  • @mpendaamannyeho3818
    @mpendaamannyeho3818 Год назад +1

    Mungu akiamua jambo hashindwi huyo bwana hela anauwezo wa kuziita lakini leo kaamua kumquat mungu tumwombe sana mungu wrtu yesu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Usitudanganye hapa! Kaona uganga hauna pesa km uchungaji. Na ndio mna anakuanzieni na maoza Oza anajua makafiri mnapenda sna ushirikina mtajaa tu kanisani na vimini vyenu na manywele yenu ya kubandika na mikuche akuchezesheni viuno??? Muendeleze ushaitwani

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад +3

    Inalillahi wsinailahi rajuun kwwri Dunia ya mwisho inavioja ,, nani eti mtume. Naiyadhubill

  • @hildachipalo208
    @hildachipalo208 Год назад +1

    Si auanzishe TV yako tuu mama,, marafiki zako wana rafiki wa faida

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +2

    Yani bible na huyu Bwana YESU nivitu vitashuhudiwa kwa uzuri na uwaninifu mkubwa, oh Shalom 🙏

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      Kwani biblia ni kitabu cha nani aw kaja nacho nabi gani mbona yesu kaja na injili biblia imetoka wapi

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 Год назад

      ​@@alzawahirabdallah2299
      Ukiwa na Roho mtakatifu ndio utajua vitu hivyo vyote.Ila utapata taaabu saana .Abudu unachokiabudu ipo siku utafunguliwa macho ya Rohoni upate kufahamu, tena kabla siku zakozijaahisha.Amina

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@andrewmhagama9816 Ufunuo Wa Yohana 2
      12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko
      Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo
      yeye aliye na huo upanga mkali,
      wenye makali kuwili,
      13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti
      cha enzi cha Shetani; nawe walishika
      sana jina langu, wala hukuikana imani
      yangu, hata katika siku za Antipa
      shahidi wangu, mwaminifu wangu,
      aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo
      Shetani.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@andrewmhagama9816 unalo andiko lolote linalo sema biblia kitabu cha nani na kaja nacho nabi gani

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@andrewmhagama9816
      Hosea 9
      7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku
      za kulipa zimefika; Israeli atayajua
      hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo
      mtu mwenye roho ana wazimu; kwa
      sababu ya wingi wa uovu wako, na
      kwa sababu uadui umekuwa mkubwa
      Mimi siwezi kuwa mpumbavu biblia imesema mwenye roho ni mpumbavu hapo ndipo mnapo jifichia mkibanwa mnasema mpo kiroho

  • @imma_billy
    @imma_billy Год назад +1

    This man 😳😳😳😳 I don’t want peace 🙆🏽‍♂️

  • @fatumamonero6088
    @fatumamonero6088 Год назад +2

    Hovyoo

  • @omaryabduli7328
    @omaryabduli7328 Год назад +2

    "kwani mkiambiwa uchawi mnaelewaje"

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +2

    Jesus is Lord 🙏🙏🙏

  • @IAM_GAUCHO
    @IAM_GAUCHO Год назад

    Duh! Watanzania mmezidi yani mnampa mtu kama huyu platform kubwa kama hii??? Mtu muongo kupitiliza hata maneno anayozungumza hajui

  • @abdirazak1503
    @abdirazak1503 Год назад +2

    Hahahah hii ni mpuuzi 😂😂😂

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman1300 Год назад +5

    Nnataka nifaate nyayo zako ili namimi niweze kuokoka shekh wangu mpendwa

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      Hahahaaa

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      Hakuna kuokoga duniani kuokoga siku ya mwisho duniani hakuna kuokoga

    • @hamisimkoma7380
      @hamisimkoma7380 Год назад

      😂😂😂 unataka ukawapige hela nn sheykh wangu maana hawa hawahoji bali wao ni kufurahi tu mtu kuwa mkristo mwenzao

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +1

      @@hamisimkoma7380 ukitaka uwachune wakiristo upige pesa mapema na magari na majumba uwambiye wakiristo nilikuwa shekhe hapo ohoo sasa imekuwa mchezo wao

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Год назад

      ​@@sabihaibrahim143😂😂😂 yani wakiristo watu wa ajabuajabu wanapendakudanganywasana

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +4

    THANKS GOD FOR ISLAM❤️❤️SEVEN YEARS PLS JAMANI WAGALATIA KUWENI OPEN MINDED HII SASA NI ZAIDI YA CHADEMA 😢😢😢😢

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Waache wapotezewe mda wao na matapeli tu baada ya kuutafuta ukweli wenyewe.

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o Год назад

    😢

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад

    Mbona mzungu 😂😂😂😂sio kweli mmmh 😂😂😂😂😂. Hhhh baba weee umenichekeshaa😂😂😂nasikia aibu

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Год назад

    Kũna siku nilikuwa pwani ilikuwa kama saa tano usiku ,nikashika fimbo kutaka kumpika paka jamaa,mmoja akaniambia hũkũ pwani paka hawapigwi

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +3

    DUH HUYU JAMAA AKIENDA CHADEMA ANGEKUWA BONGE LA STAR KUSHINDA LEMA NA LISU 🇨🇦🇨🇦🇨🇦CANADA HOYEEEEEE😢😢😢😢😢😢

    • @johntendwa7856
      @johntendwa7856 Год назад

      Inawezekana nawe ni mchawi au agent wa shetani, kinachokuumiza ni Nini?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      @@johntendwa7856 NIKO NA HOLY GHOST 😜😜😜😜

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 Год назад

      ​@@OmmyJames-xn7jikwani unateseka?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      @@begukulemosobe9685 NOOOOOOOO IAM KOOL 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AND HAPPY 😃

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      @@begukulemosobe9685 NAJARIBU KUELIMISHA WAGALATIA WACHACHE AMBAO SIO OPEN MINDED 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿WAACHE UDINI NA UKABILA NA CHUKI NA WIVU 🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵❤️❤️ITS CALLED VOLUNTARY JOB

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +6

    NYIE GLOBAL MMEANZA UTAPELI!!KWENYE UISILAM HATUNA MASHEIKH WAJINGA HIVYO!!
    KAMA NI SHEIKH ALISOMA KWA SHEIKH GANI?
    WAISLAM HAWATAPELEWI KIRAHISI HIVYO!!

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад +1

      Mfatilie historia yake mbn ipo mtandaoni mm nimemsikia tokea kitambo sana

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад +2

      ANGEPIGWA BAKORA MPAKA AKOJOE MUSLIM hawana mchezo kwenye imani yao

    • @vaikaayagadiel520
      @vaikaayagadiel520 Год назад +2

      Acheni kelele, huyu kafanya maamuzi ya maana sana. Kubalini kataeni Yesu ni BWANA na kila goti litapigwa kwake

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +5

    GLOBAL TUITIENI MAZINGE AU MWAIPOPO TUTAJUA NANI ANA PHD 😭😭😭😭😭WAGALATIA HOYEEEEE

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman1300 Год назад +3

    Shekh abuubakar wee umesoma wapi kwa shekh nani

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад +1

    😂😂 Alijisomea akawamzungu. Ongela. Sasa mbona imejirudisha kuwakama Rami😂

    • @hopesengo6972
      @hopesengo6972 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад +3

    Uyu mnafiki akuna muislam wa kweli anae badili dini kua mkristo, yaani story zake za uongo, njaa inamsumbua

    • @petermwaibofu7580
      @petermwaibofu7580 Год назад

      Kweli, wapo wakristo wa kwfli wanaobadili dini kuwa waislamu, muhamadi oyeee! He was violency military leader

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Год назад

      @@petermwaibofu7580 una sera, angalia ulaya kila ck wanaingia uislam, uyo c unamuona anatafuta kiki eti aligeuka paka

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      ⁠@@petermwaibofu7580 Violence??? Km unaitumia akili yako utabaini kua hakua na violence yyte Bali alikua anajihami. Tabia zenu mpaka Leo hii hamujaacha ya kuua, kuvuruga miji ya watu na kupora! Mlikutana na m’me alokua akitoeni mafua na in shaa Allah mtapapatq na wengine ili muache ufisadi ktk dunia.

  • @nguvuyamungutv984
    @nguvuyamungutv984 Год назад +2

    Wasiojua hayo ya ulimwengu wa Roho , kaeni kwa kutulia siku yakikukuta utaelewa tu

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад

    😂😂😂😂😂😂jamanii

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +5

    Hahahaaa wakiristo munatapeliwa si haba

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 Год назад

      Ata sisi tunataka kutapeliwa

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@johngerald4677 ndio hivo na mimi nakuja kuchuma huko karibuni

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@sabihaibrahim143😂😂😂 Makafiri wanapenda ushirikina sana na matapeli washawasoma. Hapo Ana target ya kua mchungaji. Kwahio anajifanya kutoa ushuhuda wa maajabu ili akianza kazi yake ya uchungaji wamiminike😂😂😂

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@Fear_Allah394 hahahaaa

  • @kyalagwamaka1550
    @kyalagwamaka1550 Год назад

    Asnte Mungu nimezaliwa mkristo natambua Agano jipya la ukomboz wa Yesu kristo kila nnachotaka natamka damu ya Yesu tofaut na wenzetu kumbe ni hadi wawe paka wakamate watu misukule waloge ndio wafanikiwe asnte sana mwenzao umetupa siri zenu 😂😂😂😂

    • @khalimahema6931
      @khalimahema6931 Год назад

      Acha hzoo wewe ata hao wenye dini nyingine pia wanafanikiwa

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Anakudanganyeni na nyie kwa kua ni wavivu wa kutafuta elimu mnamuamini. Acheni uvivu mtachomwq moto kwa uvivu.

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 9 месяцев назад

    Hiyo Pete yake hainifurahishi.

  • @Naw89
    @Naw89 Год назад

    Dada Lilian hayo maneno unayo ongea tuambie maana yake

  • @subiraukindo954
    @subiraukindo954 Год назад

    Duh muongo huyuu😂😂😂

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад +4

    Tapeli huyo

    • @aliemdogo
      @aliemdogo Год назад

      Haya kwakuamin huo uongo

  • @priscasaid4600
    @priscasaid4600 Год назад +3

    Huyu muongoo

  • @titomathiastitomathias593
    @titomathiastitomathias593 Год назад

    Maneno yake hayana ukweli wowote mfano anasema akawa mzungu na kingereza alikuwa hakijui na huku ana PhD

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 Год назад +4

    😂😂😂😂sikilizen ktk utapeli wenye hela na unaoweza kuwatepeli wanaopinga utapeli ni kuwwkeza ktk kujenga makanisa na kuajiri wasanii....ili kupiga hela ....kwann huko ni rahisi kupiga hela....kwasababu asilimia 99% ya wakristo hawajahifadhi biblia na wanasikiliza maneno ya viongozi wao 100% kuliko ya kwenye biblia😂😂😂 ..Wajinga hawaamshwi

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Na hata wakitaka kuihifadhi hawawezi mana Allah tayari ameshavifuta vitabu walivyovifanyiq ufisadi na kuleta chenye haq na ubainisho wa uongo wao.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Год назад +1

    PhD yako imesaidiaje jamii

  • @chamaibra5966
    @chamaibra5966 Год назад

    Msomi wa PhD anaongea upuuzi mtupu mtu anageuka paka lana ya mungu iwe juu yake

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 Год назад

    Muongo muongo muongo muongo muongo anataufa waumini tu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад +1

    Ww fillmasson wanaotumia no 666. Uruminat wwe laanatullah

  • @hamimumlindwa3244
    @hamimumlindwa3244 Год назад

    Matapeli watupu

  • @azzanalkhatry4625
    @azzanalkhatry4625 Год назад

    Huyu mtangazaji hajui nn anafanya

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Год назад

    Mwongo huyo,kaamua kubadilisha gia angani ili apige pesa

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Huyo Ana target ya uchungaji apige pesa.

  • @tihobestltd8582
    @tihobestltd8582 Год назад +1

    PhD kweli. Okoka sasa uwe mwongofu munyofu wa moyo.
    Uijue kweli nayo kweli itakuweka kuwa huru. Kwa maneno haya bado unamtumikia yule mwovu na malaika zake.

  • @abdirazak1503
    @abdirazak1503 Год назад +1

    Ilaa lilyan unakotafuta uislama utapata

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 11 месяцев назад

    Eeee hii sasa kubwa kuliko ebu mnapoongopa muwe mnajua kua watu sio wajinga, kajigeuza kua mzungu?Acha ujinga na unene wako mwisho wasiku unajiita prophet na waumini unapata dah

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +2

    Watakuja watakaotukana... ni hiari yake, hakutenda kosa lolote..katiba inamlinda

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      Fungu la kumi nalitaka

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад

      @@sabihaibrahim143 Hahaha amekwenda kuchuma fungu la kumi. Hapo anafanya matangazo

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@josephlorri431 ndioo tunawajua etii lakini wakiristo wepesi kwani lazima anayefata dini ajipigishe kelele mitandaoni oo nilikuwa shekh yanini baki na imani yako fanya ibada lakini hee kuomba omba tu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@sabihaibrahim143Wanafanya hvo kwa sabbu wanawajua kua makafiri wamekaririshwq makanisani na wachungaji wao kua waisilam wanafuga majini. Na wao makafiri wanapenda sana ushirikina. Kwahio wakisikiq muisilam na wanaamini kua mfugq majini wanajazana makanisani. Na huyo mzee target yake ni kua na kanisa kujifanya mchungaji awatapeli.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@Fear_Allah394 hahahaaa kesho atafungua kanisa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад

    Just wasted my time for this. Shindwe kabisa. Nonsense

  • @mudydimoso6559
    @mudydimoso6559 Год назад +2

    😂mwamba akawa mdhungu 😂😂

  • @hamisimahenge5807
    @hamisimahenge5807 Год назад +1

    Hopeless kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!, Guys!!!!, Eti ajisomee Dua then abadilike kuwa mzungu!!!!!. This man is big Liar!!!!!

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Год назад

      Ninyi subirini mito ya ulevi na wanawake mabikra 70 wongo mtupu na mwisho siku kama huna Yesu ni jehanum moja kwa Moja.