JOYCE KIRIA AFICHUA NDOA YAKE ya KWANZA KUVUNJIKA, SABABU WANAWAKE WENGI KUACHIKA... | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • JOYCE KIRIA AFICHUA NDOA YAKE ya KWANZA KUVUNJIKA, SABABU WANAWAKE WENGI KUACHIKA | HARD TALK....
    KWENYE HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha amezungumza na Mwanaharakati Joyce Kiria ambaye ameeleza mengi ikiwemo sababu ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika, huku akitoa ujumbe mzito kwa wanawake....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 105

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @melkizedekanthony1834
    @melkizedekanthony1834 Год назад +5

    Duniani sio kwetu. Tunasumbuka sana tu. Roho wa Mungu pekee ndiye anaweza kukuongoza katka ndoa. Maneno mengi zaidi ni uongo tu.

  • @bonifacewangwe3943
    @bonifacewangwe3943 Год назад +4

    Kinacho sumbua ndoa nyingi au mahusiano ya kabla ya ndoa ni vitu kitu kimoja hapa Duniani, hawa mjui Mungu wa kweli yani hiko hivi kila mtu duaniani ana mwanamke wake au Mwanaume wake ambaye Mungu amempangia, kinacho sumbua ndoa nyingi kuvunjika Watu wanaoa na kuolewa na Watu hawaja pangiwa na Mungu yani hiko hivi Watu wanaoa na kuolewa kwa kufata tamaa zao za mwili hiyo ndoo shida Mimi naona binafsi, yani hatu Mshilikishi Mungu kabla Mambo yetu.

  • @alsam4881
    @alsam4881 Год назад +5

    Kwenye ndoa inatakiwa kuheshimiana, kupendana, kuvumiliana, kusaidiana, kuaminiana , na pia Mume ni kichwa cha familia , na atabaki kuwa kiongozi ktk familia.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +7

    👐👐Joyce mitanoo the way unavyojibu maswali

  • @christinenere1790
    @christinenere1790 Год назад +3

    Safi sana Joyce ume jibu vizuri sana 🙌🙌🙌

  • @barakadeusdedit8273
    @barakadeusdedit8273 Год назад +5

    joyce kuna kitu unakosea hakuna popote kwenye maandiko pamesema utii uje baada ya upendo, upendo na utii ni maagizo ya Mungu kwa mke na mume, mke aliagizwa mtii mume kwa mambo yote na mume aliagizwa mpende mkeo kama Kristu alivyolipenda kanisa. hivyo kila upande unaajibika kutumiza hilo. tusitengeneza mazingira kua ni lazima upendwe na kufanyiwa mambo mazuri ndipo utii

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад +2

    Thanks Joy umeeleweka, upo vzur mno

  • @marymaimu216
    @marymaimu216 Год назад +3

    Leta Part TWo
    Joy kaupiga Mwingi

  • @gracekessy9150
    @gracekessy9150 Год назад +3

    Da joyce umetisha sana nimejifunza kitu👏

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +4

    Joyce uko vzuri mama..Watu tunakua ..na mabadiliko lzm..Hapo ni msumari kwenye jeneneza mama..Shimboni maee Kiriaaa🙌🏾🙌🏾

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 Год назад +2

    Joyce kiria she's right big up 👍👍👍

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Год назад +3

    I lo you Joyce kiria ❤️ kusimamia misimamo ktk kutetea haki na mwanamke,hasa ktk Dunia hii ya leo inatubidi sote waume na wake tubadilike kulindana na Dunia hii yaleo Sio ya zamani! na kukubaliana kwa faida ya familia,🙌🙌🙌❤️❤️

  • @winifridamushendwa1585
    @winifridamushendwa1585 Год назад

    Joy upo vizuri, unamaono makubwa Sana. Mungu akubariki.

    • @ayoubjuma7932
      @ayoubjuma7932 Год назад

      Siku unaachika kwa ubishi anaokufundisha Joy hatokuwepo ujue

  • @ishe_ngo8926
    @ishe_ngo8926 Год назад +6

    Hapo nimeona Joyce umeolewa na mwanaume mvumilivu ila kuna baadhi ya vitu lazima uvitafakari kwa kina, alafu wanawake/wanaume wanatofautiana siyo kila mwanamke utamruhusu anachotaka kufanya na ukiruhusu tu inaweza kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Год назад +2

    Lili Mungu akupe maisha marefu. You are very smart woman. Blessed your soul lilian

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Год назад

    Silipendagi hiko ki Joyce. Kama alipigwa safi sana..

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Месяц назад

      Sio lazima umpende ww akimpenda anaempenda inatosha

  • @bestinamafipa2002
    @bestinamafipa2002 Год назад

    Asanteni sana nimependa bure. Myself I don't like kitchen party.

  • @angelmatebe7687
    @angelmatebe7687 Год назад +2

    Stay blessed women of God

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 Год назад

    Lilian uko vizuri sana umekomaa na unaelewa maana halisi ya mwanaume na mwanamke lakin uliyeko naye haelewi anahisi 50 Kwa 50 ni kuforce kufanya anachotaka yeye!

  • @stephenmwakipesile7893
    @stephenmwakipesile7893 Год назад

    Acha uongo mungu hakumuuba mwanamke soma vizuri maandiko

    • @winfridarichard8243
      @winfridarichard8243 Год назад

      kasome vzur kitab cha mwanzo utaona aliumba spirit za jinsia tofaut ndio akaja kuumba kwa udongo😊 soma mwanzo

  • @fobibook
    @fobibook Год назад +1

    Dada joyce anashindwa kutofautisha baina ya kumsaidia mwanamke na kumkukubalia mwanamke anachotaka

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Год назад +7

    Joyce ajitambui anajichanganya sana katika kujibu maswali.. she needs a lot of help.

    • @northerntanzaniatv4033
      @northerntanzaniatv4033 Год назад +2

      Kabisa aongei uhalisia wa maisha yalivyo kwa sasa yeye anadeal na kuempower wanawake tu aangalii swali linamtaka ajibu nn

    • @Luscious6826
      @Luscious6826 Год назад +3

      What help?,she is right .Labda ww ndo unaitaji kuelimika lakin yeye yuko sahihi.

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      Joyce anajibu sawa kabisa,Ila wanaume wachache sana wanaojitambua ndiyo watamuelewa Joyce.🤝

    • @jocyjocy3050
      @jocyjocy3050 Год назад +1

      Swali langu ni kwani Mwanaume ni nani!!!??? Si ni binadamu kama wengine ! Au damu yake inazunguka opposite direction, akigongwa na gari Si anakufa kama wengine!!! Tofauti tu ni maumbile, maumbile yake yanatoa mbegu kwa mwanamke na mwanamke anabeba, anazaa na analea. Hizo za Kusema ati mwanaume akisema hapana Ndio basi ni Ego ya wanaume tu, wako wanaume elfu wanafanya maamuzi mabaya huku duniani.
      Mwanamke, mwanaume wote ni binadamu wa kawaida hakuna aliye zaidi , wote watakufa na wa kwenda motoni ataenda cha muhimu maelewano na upendo

  • @prospermushi8392
    @prospermushi8392 Год назад +1

    There has been a lot of stereo typing. However wherever there is love every thing goes smooth. Swali langu ni kwamba hivi ikitokea kuwa mwanaume anaona kuwa kuna issue ya usalama wake au usalama wa ndoa yao na akaiweka mezani na akaonesha kuwa hiyo ndiyo sababu ya kumshauri asiendelee na hiyo biashara? Mara nyingi reaction ya mwanamke anaposhauriwa tofauti na anachotaka kufanya inaweza ku trigger magonvi kwa vile tayari kuna hiyo hali ya kufikiri kuwa ni mfumo dume.

  • @jackiegab9394
    @jackiegab9394 Год назад +1

    Ooh Joyce, my dear Joyce ! I congratulate you 👏👏👏
    You are focused and very clear with your points! Well spoken 👏👏👏

  • @gimbanantavyo5217
    @gimbanantavyo5217 Год назад

    You two are very gorgeous and amazing woman, nawapenda mno, kwanza mko very real I wish to see you one day!

  • @rozapetro1647
    @rozapetro1647 Год назад

    I love this hard talk

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 Год назад +4

    HUWEZI Kutumia fikra za usawa na ukombozi wa mwanamke kuboresha ndoa. Itakuwa ni ujuha

  • @habibajumahabiba6730
    @habibajumahabiba6730 Год назад +2

    Joyce wee love you ❤

  • @wilfredmichael1909
    @wilfredmichael1909 Год назад

    Kwa mwanaume anaejielewa hawezi kumruhisu mkewe kwa kila anachotaka kufanya. Asili ya mwanamke ni kuongozwa na sio kujiongoza, imeaandikwa "mwanamke ni chombo dhaifu" na "tuishinao kwa akili" pia " ni km chombo cha dongo kikia teleza kimevunjika"!!!... Nitamsikiliza mke wangu, tutajadiliani ila moyo wangu ndio utatoa maamuzi ya mwisho, inawezekana au lah!!..km unampenda mke wako kweli, usimpe uhuru kwa asilimia mia, utakujakujuta. Nina mifano mingi ambayo nimeiona, huo sio utamaduni wetu!!!.

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Год назад

    Mmh wachagga hana alichoniambia hapa. Halafu mtangazaji nikuambie umedanganywa, sidhani kama kuna wanawake wengi wa kichagga wanakufa mapema kwa sababu ya stress za ndoa sidhani. Ila wanaume wanawaRIP mapemaaaa

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Месяц назад

    Apo kwenye kupauka😂😂😂😂 nilipitia 😊😊 lkn sasaivi nimetoka wee sijachunda

  • @drmdee
    @drmdee Год назад +1

    Yaan ukwel uyo dada Joyce huwa sikuwai kupata mda wa kumsikiliza kwenye vipindi vyake ilikuwa kwa ufupi xn ila yan kwa maswali aliyoulizwa na uyo dada hajajibu lolote yan haelew anajibu kwa kupitia din au kidunia hajui ata majukum yanagawanyikaje hasa kwenye Mali mwasha umeongea vzr ttz linaanzia kwny mabadiliko majukum kama mke hayafanywi

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Год назад

    Jamani musinikumbushe kunusa lamda mavi ndio utasikia harufu lakinindoa huwezi insane tumuachie mungutu kumbe tupowengi

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 Год назад +1

    Lilian uko sawa kwa hoja hiyo Joice bado sana nadhani shida

  • @josephmgeni3997
    @josephmgeni3997 Год назад +1

    Kuna kutokuelewana kati ya Lilian na Joyce,anaulizwa hiki anajibu kile,nadhani ni makusudi ili kile alichonacho kisikike lkn kisilete matokeo chanya,angesimama kati kati ni wazi kuwa kipindi kingekuwa msaada mkubwa kwa jamii nzima!

  • @winnierichard4265
    @winnierichard4265 Год назад +2

    Na biblia inaposema enyi wanawake watiini waume zenu kama kanisa linavyomtii kristo' wanaume inabidi wajue krito ndie alielipenda kanisa kwanza kwahyo watupende kama kristo alivyo lipenda kanisa, sio wanakua na matendo yako kinyume na kristo ila utii wanataka wa kristo, siwezi nikaona image ya shetani alafu nikakupa utii wa kristo Tusidanganyane hivi vitu viwili upendo na utii vinaenda sambamba

  • @jocyjocy3050
    @jocyjocy3050 Год назад +1

    Swali langu ni kwani Mwanaume ni nani!!!??? Si ni binadamu kama wengine ! Au damu yake inazunguka opposite direction, akigongwa na gari Si anakufa kama wengine!!! Tofauti tu ni maumbile, maumbile yake yanatoa mbegu kwa mwanamke na mwanamke anabeba, anazaa na analea. Hizo za Kusema ati mwanaume akisema hapana Ndio basi ni Ego ya wanaume tu, wako wanaume elfu wanafanya maamuzi mabaya huku duniani.
    Mwanamke, mwanaume wote ni binadamu wa kawaida hakuna aliye zaidi , wote watakufa na wa kwenda motoni ataenda cha muhimu maelewano na upendo

    • @hildahillary9586
      @hildahillary9586 Год назад

      You have a point but some people won't understand you

  • @msouthtvonline3617
    @msouthtvonline3617 Год назад

    Weee Joyce Mbishi saana

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo4151 Год назад +1

    Kiukweli mwanamke hatakiwi kumtawala mwanaume kwani hata mwanzo wa dunia hii ningumu sana akitawala hatataka kuwa hivyo ndio yamekuwa mazoewa

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Год назад

    Mmmh umependeza,umebadilika mpaka kucha zimebadilika

  • @himoda7647
    @himoda7647 Год назад

    Uwezi kuuza mihogo Ukatamani kwenda uturuki namaanisha biashara ikikuwa ndipo unaamua Kwenda nchi yeyote kikubwa Eshima

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Год назад +1

    Next time muulize Joyce anaelewa nini kuhusu submission kwa mwanamke?..

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Год назад

    yani wanawake wana jifanya wame kuwa wao ndio vichwa vya familia ndomana mta achwa sana

  • @The7101987
    @The7101987 Год назад

    Joyce bana upo upande mmoja tu.
    Mfano Mwanamke akisema Mume wangu nataka kufungua danguro inakuaje?
    Sio kila kitu unachoomba Mwanaume akubali ndio mapenzi au ndio anakuwa Mwanaume wa kusudi la Mungu, No sio kweli

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 Год назад

    Business family

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Год назад +1

    Joyce ndo maana uliachika aisee.

  • @engelbertmkindi5648
    @engelbertmkindi5648 Год назад

    Huyu haeleweki hajatulia kabisa. Sio mkweli. Integrate level yake sio.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад +2

    🚩 huonekana mapema

  • @samirakiango957
    @samirakiango957 Год назад

    Joyce hakuna aliemuelewa ila mm nmemuelewa

  • @I_lift_you_higher
    @I_lift_you_higher Год назад +1

    👏👏

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie6521 Год назад +2

    According to Mwasha kwamba nikiona biashara nzuri au mishe ya pesa nisifanye sababu sikumwambia mwanaume?? Majukumu yanaongezeka ni vibaya kutafuta pesa? Muhimu ni kushirikishana na mwenzio kwa adabu muelewane. Kadhalika wanaume ni fighters ikitokea na yeye kapata mishe ya pesa nimzuie kisa hakuniambia??
    Thats a weak point

    • @rehemavickie6521
      @rehemavickie6521 Год назад +1

      Na hakuna mwanaume anayekataa wazo positive la mwanamke mnyenyekevu. Tatizo ni viburi mtu akiwa na kiburi na dharau ndio shida na hao ndio wanakataliwa. Joyce is right

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Год назад

    Yaani mwisho wake Tanzania inabadirika na kuwa kama Filipino au Ugiriki kuwa mwanamke ndiyo anayeowa mwanamume yaana mwanamke ndiyo anayetowa mahali kwa kuowa ni hivyo

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 Год назад +1

    Point moja anayosaha anaposema hakubaliani na wanaume kuwakaza wake zao kushiriki biasha au siasa na ametolea mfano wabunge ,madina na hata Rais kufikia vyeo hivyo. Hivi anataka kusema hajasikia wabunge wanaosema wamevuliwa chupi kuzipata nafasi hizo? Hivi kama mmeo anajua udhaifu wako unafikiri atakuruhusu kwa sababu ya mafanikio ya fedha? Mafanikia ya kwanza ni amani ya ndoa mengine mtayapata kwa kushirikia na kuamua njia gani mtumie kuyapata. Huko bungeni ukisikiliza mikashfa na ufuska unaoendelea huko ndoa inavunjika sema siku hizi wanachokifanya hawaachani hadharani . Wakigundua Kuna mauzauza yanafanyika waachana moyoni kila mtu anatafuta faraja kivyake wanalea watoto.

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Год назад +2

    Lilian mwasha na hijab..
    Allahuakabar.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад

      Hicho kilemba hijab haivaliw hivo

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Год назад +1

    Lillian anaongea kwa upande wa Ndoa ya Kibiblia... Wakati Joyce anaongelea ndoa ya kidunia(uanaharakati wa kimagharibi)... Ndoa ya Kibiblia haisemi mwanamke achangie maendeleo ya familia. Yeye aliambiwa atazaa kwa uchingu tu. Na mwanaume atakula kwa jasho. Sasa hayo ya kuchangia familia yanatoka wapi??.. Mwanaume usioe kama huwezi kuitunza familia yako

    • @JenniferDenis-q9z
      @JenniferDenis-q9z 3 месяца назад

      Embu soma mithali 31 utaona Mungu anavyo agiza mwanamke kuleta mapato kwa mme wake

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Год назад

    Wanawake wanalaumu wanaume bila kujua kuwa wanawake nao wana mapungufu mengi.

    • @barakadeusdedit8273
      @barakadeusdedit8273 Год назад

      @@fettyrashid9042 dada waza mara mbili, kama nyie wanawake mkiwa wenyewe mnakoseana, mbona ukiwa na mwanaume ujifanye malaika?

  • @petermalley6078
    @petermalley6078 Год назад +2

    Mwanaume ni head of family , akikataa kukuruhusu kufanya jambo fulani lazima umtii(mwanamke amtii mumeo kwa mantiki hiyo ndio ipi?)km bado unasisitiza mwanaume kila mkeo anachotaka amruhusu?mwingine ana sema anaenda Dubai kumbe bosheni MTU yuko Lodge anakula bata, huku watt wanateseka, Hapana, tutafika mbinguni tumechakaa😋

  • @daudiissa9256
    @daudiissa9256 Год назад

    Uyiu dada anonekàna kumtawala ata mumewe coz anaonekana ajui ata misingi ya kidini eiza mumewe anamvumilia tu

  • @theodoremilenzo9420
    @theodoremilenzo9420 Год назад

    Joyce Kiria na huyo Lilian Mwasha ni watu wawili tofauti na wenye mitizamo miwili tofauti na tena kwa kiasi kikubwa. Ni sawa sawa na maji na mafuta. Joyce Kiria ni more logical katika mazungumzo yake na huyu mwenzangu na mimi ni so ghetto. Yani arguments zake hata hazifanani

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 Год назад +1

    Kama nimekusikitiza vizuti inamana kwamba huyu ulie nae sasa hajakuganya jiko lake inamana unapika nae kesho anapika, unaisha vyombo leo nae kesho zamu yake. Hii ndo inakunawilisha, hata mengine usitudanganye eti hukuandaliwa nihakiri yako mbovu ilikutuma tu ujitaware. Kwanza wewe urihalibiwa n mtandao ulitaka kugiha mambo ya ulaya

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Год назад +1

      Ww una akili timamu? Na michapio yako 🤣lkn kwenye smartphone michapio ni kawaida na hiyo R kwenye L je kwa ww ndio chiz kbs km joy akili yake mbovu 😏😏😏

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    Da joyce habar,nataka kiatu kama chako

  • @samirakiango957
    @samirakiango957 Год назад

    Mtangazaji unaongea sana bhna unakera

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo4151 Год назад

    Lilian na joyce dunia ya leo shetani yuko ndani ya ndoa zetu na kama vize alivyo mdanganya hawa basi ni rahisi kama mnaishi kimwili mtarubuniwa na kuanguka sana mkiwa kiroho mtadumu milele pia

  • @anoldshirima3291
    @anoldshirima3291 Год назад

    Nyie mbna mnaongea mbali mara uturuki mara Dubai sema temeke tuu hairuhusiwi

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga1095 Год назад

    Joyce mbona kama wewe ni mwanamke mbishi af pia unafosi mambo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад

    Eewe Joyce bint yangu. Unataka kila unachobuni wewe mwanaume akubali? Unaweza kuwa huelewi madhara yaliyoko mbele yako yeye anajua akakushauri uache. Kwanini ung'ang'anie? Utii wako uko wapi?

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Год назад

    Acha upotoshaji unasomea biblia gesti eti, Mungu hakuumba mwanamke kwa mfano wake aliumba Mwanaume usipotoshe watu kwa upunguwani wako, biblia hairuhusu kuvunja ndoa unaishi na mwanamke na kutoa tendo bila ndoa halafu unasema Mungu.

    • @josephinenamigadde5518
      @josephinenamigadde5518 Год назад

      Personal attack 😂😂

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Год назад

      @@josephinenamigadde5518 kwani uongo au na wewe unaungana nae kwamba Mungu alimuumba mwanamke, au kuna andiko linasapoti kuvunja ndoa?

    • @husseinmramba
      @husseinmramba Год назад

      @@josephinenamigadde5518acha ushabiki dada angu kuwa makini na huyu anayosema jamaa ni kwel kabsa hapa anapotosha....huyu yuko more masculine hii energy yake atamipotosha mana hvyo vitu haviwezi kukaa pamoja na masculine energy nyengine.

    • @miriamumbwilo164
      @miriamumbwilo164 Год назад

      Ukisoma Biblia kama story huwez kumwelewa Joyce...

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 Год назад

      Mwanzo 5:2
      mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
      Kama mwanamke hakuumbwa na Mungu alitoka wapi na Mungu ndio aliumba kila kitu kuanzia mwanzo?

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад

    Wewe ni Dhahabu🔥🔥🔥ipo cku wanaokupinga watafunguka macho,Nilikata tamaa nilipauka,Nimefitafuta kupitia wewe,

  • @shukirumahiki1013
    @shukirumahiki1013 Год назад

    Umeboa makucha ya bandia

  • @winnierichard4265
    @winnierichard4265 Год назад

    Mm naona kama mahusiano yanakudidimiza kiafya, kiuchumi au kiakili ni bora kuachana, haijalishi ni ndoa au vinginevyo, dada mwasha unasemaje mumeo akisema hapana inabidi utii, umesema ni dini naomba unielekeze huo mstari kwenye biblia please

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Год назад +1

    This is ridiculous,eti tuwe na mfumo wa elimu wa kufundisha ndoa? mashuleni au wapi? What is this woman talking about? help

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Год назад

    Lilian Mwasha una akili sana yaani unambana huyo hadi akili inamruka if men say no you have to accept with no any doubt, ukitaka kuwza huru baki single maana hata mtoto hufata malezi ya mzazi kuna watoto wako na talent ya mziki lakini kwa vile wazee walikataa leo ni walimu au manesi kila kitu kina itaratibu wewe joyce tulia heshimu maandiko na malezi ya wazazi usifanye kivyako.

    • @lillianmwashatv
      @lillianmwashatv Год назад +1

      Thank you darling

    • @husseinmramba
      @husseinmramba Год назад

      Yani bro its pain to watch, this modern feminism inaenda kuharibu jamii zaidi wanawake wanatakiwa wawe makini.