JOYCE KIRIA AFICHUA NDOA YAKE ya KWANZA KUVUNJIKA, SABABU WANAWAKE WENGI KUACHIKA... | HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- JOYCE KIRIA AFICHUA NDOA YAKE ya KWANZA KUVUNJIKA, SABABU WANAWAKE WENGI KUACHIKA | HARD TALK....
KWENYE HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha amezungumza na Mwanaharakati Joyce Kiria ambaye ameeleza mengi ikiwemo sababu ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika, huku akitoa ujumbe mzito kwa wanawake....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Duniani sio kwetu. Tunasumbuka sana tu. Roho wa Mungu pekee ndiye anaweza kukuongoza katka ndoa. Maneno mengi zaidi ni uongo tu.
Kinacho sumbua ndoa nyingi au mahusiano ya kabla ya ndoa ni vitu kitu kimoja hapa Duniani, hawa mjui Mungu wa kweli yani hiko hivi kila mtu duaniani ana mwanamke wake au Mwanaume wake ambaye Mungu amempangia, kinacho sumbua ndoa nyingi kuvunjika Watu wanaoa na kuolewa na Watu hawaja pangiwa na Mungu yani hiko hivi Watu wanaoa na kuolewa kwa kufata tamaa zao za mwili hiyo ndoo shida Mimi naona binafsi, yani hatu Mshilikishi Mungu kabla Mambo yetu.
Upo sawa kabisa
Kwenye ndoa inatakiwa kuheshimiana, kupendana, kuvumiliana, kusaidiana, kuaminiana , na pia Mume ni kichwa cha familia , na atabaki kuwa kiongozi ktk familia.
👐👐Joyce mitanoo the way unavyojibu maswali
Safi sana Joyce ume jibu vizuri sana 🙌🙌🙌
joyce kuna kitu unakosea hakuna popote kwenye maandiko pamesema utii uje baada ya upendo, upendo na utii ni maagizo ya Mungu kwa mke na mume, mke aliagizwa mtii mume kwa mambo yote na mume aliagizwa mpende mkeo kama Kristu alivyolipenda kanisa. hivyo kila upande unaajibika kutumiza hilo. tusitengeneza mazingira kua ni lazima upendwe na kufanyiwa mambo mazuri ndipo utii
Thanks Joy umeeleweka, upo vzur mno
Leta Part TWo
Joy kaupiga Mwingi
Da joyce umetisha sana nimejifunza kitu👏
Joyce uko vzuri mama..Watu tunakua ..na mabadiliko lzm..Hapo ni msumari kwenye jeneneza mama..Shimboni maee Kiriaaa🙌🏾🙌🏾
🤣🤣🤣
Ww umeolewa..?
Joyce kiria she's right big up 👍👍👍
I lo you Joyce kiria ❤️ kusimamia misimamo ktk kutetea haki na mwanamke,hasa ktk Dunia hii ya leo inatubidi sote waume na wake tubadilike kulindana na Dunia hii yaleo Sio ya zamani! na kukubaliana kwa faida ya familia,🙌🙌🙌❤️❤️
Joy upo vizuri, unamaono makubwa Sana. Mungu akubariki.
Siku unaachika kwa ubishi anaokufundisha Joy hatokuwepo ujue
Hapo nimeona Joyce umeolewa na mwanaume mvumilivu ila kuna baadhi ya vitu lazima uvitafakari kwa kina, alafu wanawake/wanaume wanatofautiana siyo kila mwanamke utamruhusu anachotaka kufanya na ukiruhusu tu inaweza kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika
Lili Mungu akupe maisha marefu. You are very smart woman. Blessed your soul lilian
Ameeen darling
Silipendagi hiko ki Joyce. Kama alipigwa safi sana..
Sio lazima umpende ww akimpenda anaempenda inatosha
Asanteni sana nimependa bure. Myself I don't like kitchen party.
Stay blessed women of God
Lilian uko vizuri sana umekomaa na unaelewa maana halisi ya mwanaume na mwanamke lakin uliyeko naye haelewi anahisi 50 Kwa 50 ni kuforce kufanya anachotaka yeye!
Acha uongo mungu hakumuuba mwanamke soma vizuri maandiko
kasome vzur kitab cha mwanzo utaona aliumba spirit za jinsia tofaut ndio akaja kuumba kwa udongo😊 soma mwanzo
Dada joyce anashindwa kutofautisha baina ya kumsaidia mwanamke na kumkukubalia mwanamke anachotaka
Joyce ajitambui anajichanganya sana katika kujibu maswali.. she needs a lot of help.
Kabisa aongei uhalisia wa maisha yalivyo kwa sasa yeye anadeal na kuempower wanawake tu aangalii swali linamtaka ajibu nn
What help?,she is right .Labda ww ndo unaitaji kuelimika lakin yeye yuko sahihi.
Joyce anajibu sawa kabisa,Ila wanaume wachache sana wanaojitambua ndiyo watamuelewa Joyce.🤝
Swali langu ni kwani Mwanaume ni nani!!!??? Si ni binadamu kama wengine ! Au damu yake inazunguka opposite direction, akigongwa na gari Si anakufa kama wengine!!! Tofauti tu ni maumbile, maumbile yake yanatoa mbegu kwa mwanamke na mwanamke anabeba, anazaa na analea. Hizo za Kusema ati mwanaume akisema hapana Ndio basi ni Ego ya wanaume tu, wako wanaume elfu wanafanya maamuzi mabaya huku duniani.
Mwanamke, mwanaume wote ni binadamu wa kawaida hakuna aliye zaidi , wote watakufa na wa kwenda motoni ataenda cha muhimu maelewano na upendo
There has been a lot of stereo typing. However wherever there is love every thing goes smooth. Swali langu ni kwamba hivi ikitokea kuwa mwanaume anaona kuwa kuna issue ya usalama wake au usalama wa ndoa yao na akaiweka mezani na akaonesha kuwa hiyo ndiyo sababu ya kumshauri asiendelee na hiyo biashara? Mara nyingi reaction ya mwanamke anaposhauriwa tofauti na anachotaka kufanya inaweza ku trigger magonvi kwa vile tayari kuna hiyo hali ya kufikiri kuwa ni mfumo dume.
Ooh Joyce, my dear Joyce ! I congratulate you 👏👏👏
You are focused and very clear with your points! Well spoken 👏👏👏
You two are very gorgeous and amazing woman, nawapenda mno, kwanza mko very real I wish to see you one day!
I love this hard talk
HUWEZI Kutumia fikra za usawa na ukombozi wa mwanamke kuboresha ndoa. Itakuwa ni ujuha
Asante
Joyce wee love you ❤
She's AWESOME
Tunampenda wengi anatetea wanawake kuonewa kwenye mapenzi,
Kwa mwanaume anaejielewa hawezi kumruhisu mkewe kwa kila anachotaka kufanya. Asili ya mwanamke ni kuongozwa na sio kujiongoza, imeaandikwa "mwanamke ni chombo dhaifu" na "tuishinao kwa akili" pia " ni km chombo cha dongo kikia teleza kimevunjika"!!!... Nitamsikiliza mke wangu, tutajadiliani ila moyo wangu ndio utatoa maamuzi ya mwisho, inawezekana au lah!!..km unampenda mke wako kweli, usimpe uhuru kwa asilimia mia, utakujakujuta. Nina mifano mingi ambayo nimeiona, huo sio utamaduni wetu!!!.
Mmh wachagga hana alichoniambia hapa. Halafu mtangazaji nikuambie umedanganywa, sidhani kama kuna wanawake wengi wa kichagga wanakufa mapema kwa sababu ya stress za ndoa sidhani. Ila wanaume wanawaRIP mapemaaaa
Apo kwenye kupauka😂😂😂😂 nilipitia 😊😊 lkn sasaivi nimetoka wee sijachunda
Yaan ukwel uyo dada Joyce huwa sikuwai kupata mda wa kumsikiliza kwenye vipindi vyake ilikuwa kwa ufupi xn ila yan kwa maswali aliyoulizwa na uyo dada hajajibu lolote yan haelew anajibu kwa kupitia din au kidunia hajui ata majukum yanagawanyikaje hasa kwenye Mali mwasha umeongea vzr ttz linaanzia kwny mabadiliko majukum kama mke hayafanywi
Jamani musinikumbushe kunusa lamda mavi ndio utasikia harufu lakinindoa huwezi insane tumuachie mungutu kumbe tupowengi
Lilian uko sawa kwa hoja hiyo Joice bado sana nadhani shida
Kuna kutokuelewana kati ya Lilian na Joyce,anaulizwa hiki anajibu kile,nadhani ni makusudi ili kile alichonacho kisikike lkn kisilete matokeo chanya,angesimama kati kati ni wazi kuwa kipindi kingekuwa msaada mkubwa kwa jamii nzima!
Na biblia inaposema enyi wanawake watiini waume zenu kama kanisa linavyomtii kristo' wanaume inabidi wajue krito ndie alielipenda kanisa kwanza kwahyo watupende kama kristo alivyo lipenda kanisa, sio wanakua na matendo yako kinyume na kristo ila utii wanataka wa kristo, siwezi nikaona image ya shetani alafu nikakupa utii wa kristo Tusidanganyane hivi vitu viwili upendo na utii vinaenda sambamba
Umeweza sanaa
Swali langu ni kwani Mwanaume ni nani!!!??? Si ni binadamu kama wengine ! Au damu yake inazunguka opposite direction, akigongwa na gari Si anakufa kama wengine!!! Tofauti tu ni maumbile, maumbile yake yanatoa mbegu kwa mwanamke na mwanamke anabeba, anazaa na analea. Hizo za Kusema ati mwanaume akisema hapana Ndio basi ni Ego ya wanaume tu, wako wanaume elfu wanafanya maamuzi mabaya huku duniani.
Mwanamke, mwanaume wote ni binadamu wa kawaida hakuna aliye zaidi , wote watakufa na wa kwenda motoni ataenda cha muhimu maelewano na upendo
You have a point but some people won't understand you
Weee Joyce Mbishi saana
Kiukweli mwanamke hatakiwi kumtawala mwanaume kwani hata mwanzo wa dunia hii ningumu sana akitawala hatataka kuwa hivyo ndio yamekuwa mazoewa
Mwanamke ndo anatakiwa kutawaliwa?
Mmmh umependeza,umebadilika mpaka kucha zimebadilika
Uwezi kuuza mihogo Ukatamani kwenda uturuki namaanisha biashara ikikuwa ndipo unaamua Kwenda nchi yeyote kikubwa Eshima
Next time muulize Joyce anaelewa nini kuhusu submission kwa mwanamke?..
yani wanawake wana jifanya wame kuwa wao ndio vichwa vya familia ndomana mta achwa sana
Joyce bana upo upande mmoja tu.
Mfano Mwanamke akisema Mume wangu nataka kufungua danguro inakuaje?
Sio kila kitu unachoomba Mwanaume akubali ndio mapenzi au ndio anakuwa Mwanaume wa kusudi la Mungu, No sio kweli
Business family
Joyce ndo maana uliachika aisee.
Huyu haeleweki hajatulia kabisa. Sio mkweli. Integrate level yake sio.
🚩 huonekana mapema
Joyce hakuna aliemuelewa ila mm nmemuelewa
👏👏
According to Mwasha kwamba nikiona biashara nzuri au mishe ya pesa nisifanye sababu sikumwambia mwanaume?? Majukumu yanaongezeka ni vibaya kutafuta pesa? Muhimu ni kushirikishana na mwenzio kwa adabu muelewane. Kadhalika wanaume ni fighters ikitokea na yeye kapata mishe ya pesa nimzuie kisa hakuniambia??
Thats a weak point
Na hakuna mwanaume anayekataa wazo positive la mwanamke mnyenyekevu. Tatizo ni viburi mtu akiwa na kiburi na dharau ndio shida na hao ndio wanakataliwa. Joyce is right
Yaani mwisho wake Tanzania inabadirika na kuwa kama Filipino au Ugiriki kuwa mwanamke ndiyo anayeowa mwanamume yaana mwanamke ndiyo anayetowa mahali kwa kuowa ni hivyo
Point moja anayosaha anaposema hakubaliani na wanaume kuwakaza wake zao kushiriki biasha au siasa na ametolea mfano wabunge ,madina na hata Rais kufikia vyeo hivyo. Hivi anataka kusema hajasikia wabunge wanaosema wamevuliwa chupi kuzipata nafasi hizo? Hivi kama mmeo anajua udhaifu wako unafikiri atakuruhusu kwa sababu ya mafanikio ya fedha? Mafanikia ya kwanza ni amani ya ndoa mengine mtayapata kwa kushirikia na kuamua njia gani mtumie kuyapata. Huko bungeni ukisikiliza mikashfa na ufuska unaoendelea huko ndoa inavunjika sema siku hizi wanachokifanya hawaachani hadharani . Wakigundua Kuna mauzauza yanafanyika waachana moyoni kila mtu anatafuta faraja kivyake wanalea watoto.
Uko sahihi sana bro!
Lilian mwasha na hijab..
Allahuakabar.
Hicho kilemba hijab haivaliw hivo
Lillian anaongea kwa upande wa Ndoa ya Kibiblia... Wakati Joyce anaongelea ndoa ya kidunia(uanaharakati wa kimagharibi)... Ndoa ya Kibiblia haisemi mwanamke achangie maendeleo ya familia. Yeye aliambiwa atazaa kwa uchingu tu. Na mwanaume atakula kwa jasho. Sasa hayo ya kuchangia familia yanatoka wapi??.. Mwanaume usioe kama huwezi kuitunza familia yako
Embu soma mithali 31 utaona Mungu anavyo agiza mwanamke kuleta mapato kwa mme wake
Wanawake wanalaumu wanaume bila kujua kuwa wanawake nao wana mapungufu mengi.
@@fettyrashid9042 dada waza mara mbili, kama nyie wanawake mkiwa wenyewe mnakoseana, mbona ukiwa na mwanaume ujifanye malaika?
Mwanaume ni head of family , akikataa kukuruhusu kufanya jambo fulani lazima umtii(mwanamke amtii mumeo kwa mantiki hiyo ndio ipi?)km bado unasisitiza mwanaume kila mkeo anachotaka amruhusu?mwingine ana sema anaenda Dubai kumbe bosheni MTU yuko Lodge anakula bata, huku watt wanateseka, Hapana, tutafika mbinguni tumechakaa😋
Uyiu dada anonekàna kumtawala ata mumewe coz anaonekana ajui ata misingi ya kidini eiza mumewe anamvumilia tu
Joyce Kiria na huyo Lilian Mwasha ni watu wawili tofauti na wenye mitizamo miwili tofauti na tena kwa kiasi kikubwa. Ni sawa sawa na maji na mafuta. Joyce Kiria ni more logical katika mazungumzo yake na huyu mwenzangu na mimi ni so ghetto. Yani arguments zake hata hazifanani
Kama nimekusikitiza vizuti inamana kwamba huyu ulie nae sasa hajakuganya jiko lake inamana unapika nae kesho anapika, unaisha vyombo leo nae kesho zamu yake. Hii ndo inakunawilisha, hata mengine usitudanganye eti hukuandaliwa nihakiri yako mbovu ilikutuma tu ujitaware. Kwanza wewe urihalibiwa n mtandao ulitaka kugiha mambo ya ulaya
Ww una akili timamu? Na michapio yako 🤣lkn kwenye smartphone michapio ni kawaida na hiyo R kwenye L je kwa ww ndio chiz kbs km joy akili yake mbovu 😏😏😏
Da joyce habar,nataka kiatu kama chako
Mtangazaji unaongea sana bhna unakera
Lilian na joyce dunia ya leo shetani yuko ndani ya ndoa zetu na kama vize alivyo mdanganya hawa basi ni rahisi kama mnaishi kimwili mtarubuniwa na kuanguka sana mkiwa kiroho mtadumu milele pia
Nyie mbna mnaongea mbali mara uturuki mara Dubai sema temeke tuu hairuhusiwi
Joyce mbona kama wewe ni mwanamke mbishi af pia unafosi mambo
Eewe Joyce bint yangu. Unataka kila unachobuni wewe mwanaume akubali? Unaweza kuwa huelewi madhara yaliyoko mbele yako yeye anajua akakushauri uache. Kwanini ung'ang'anie? Utii wako uko wapi?
Acha upotoshaji unasomea biblia gesti eti, Mungu hakuumba mwanamke kwa mfano wake aliumba Mwanaume usipotoshe watu kwa upunguwani wako, biblia hairuhusu kuvunja ndoa unaishi na mwanamke na kutoa tendo bila ndoa halafu unasema Mungu.
Personal attack 😂😂
@@josephinenamigadde5518 kwani uongo au na wewe unaungana nae kwamba Mungu alimuumba mwanamke, au kuna andiko linasapoti kuvunja ndoa?
@@josephinenamigadde5518acha ushabiki dada angu kuwa makini na huyu anayosema jamaa ni kwel kabsa hapa anapotosha....huyu yuko more masculine hii energy yake atamipotosha mana hvyo vitu haviwezi kukaa pamoja na masculine energy nyengine.
Ukisoma Biblia kama story huwez kumwelewa Joyce...
Mwanzo 5:2
mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
Kama mwanamke hakuumbwa na Mungu alitoka wapi na Mungu ndio aliumba kila kitu kuanzia mwanzo?
Wewe ni Dhahabu🔥🔥🔥ipo cku wanaokupinga watafunguka macho,Nilikata tamaa nilipauka,Nimefitafuta kupitia wewe,
Umeboa makucha ya bandia
Mm naona kama mahusiano yanakudidimiza kiafya, kiuchumi au kiakili ni bora kuachana, haijalishi ni ndoa au vinginevyo, dada mwasha unasemaje mumeo akisema hapana inabidi utii, umesema ni dini naomba unielekeze huo mstari kwenye biblia please
This is ridiculous,eti tuwe na mfumo wa elimu wa kufundisha ndoa? mashuleni au wapi? What is this woman talking about? help
Lilian Mwasha una akili sana yaani unambana huyo hadi akili inamruka if men say no you have to accept with no any doubt, ukitaka kuwza huru baki single maana hata mtoto hufata malezi ya mzazi kuna watoto wako na talent ya mziki lakini kwa vile wazee walikataa leo ni walimu au manesi kila kitu kina itaratibu wewe joyce tulia heshimu maandiko na malezi ya wazazi usifanye kivyako.
Thank you darling
Yani bro its pain to watch, this modern feminism inaenda kuharibu jamii zaidi wanawake wanatakiwa wawe makini.