EXCLUSIVE; MWANAMKE ALIYEMPIGA MWANAMKE MWENZIE BAADA YA KUMFUMANIA HUYU HAPA AELEZA MAZITO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #Fumanizi #Moshi #Kipigo
    Timu ya wanawake live bado ipo ndani ya mkoa wa kilimanjaro kwaajili ya kuendelea kufuatilia tukio zima la fumanizi lililotokea kwa mwanamke anaeitwa vena ambae anadaiwa kukutwa ndani na mwanaume mmoja anaejulikana kwa jina la vicent mallya na kujikuta akichezea kipigo cha mbwa mwizi kwa mwanamke aliyetambulika kama mke wa vicent.
    Na baada ya kuchezea kipigo hicho mwanamke huyo alipeleka malalamiko yake polisi na kupatiwa PF3 kisha kufungua kesi ya kupigwa na kuporwa pesa zake kiasi cha shilingi laki tisa na shilingi elfu 5.
    Timu yetu ilifuatilia kwa umakini tukio hili na kuongea vizuri na vena ambae aliendelea kushikilia msimamo wake wa kupigwa na kuporwa pesa zake ambazo alidai alienda nazo kwaajili ya biashara katika eneo hilo hii ilikua upande wa kwanza wa shilingi,
    upande wa pili wa shilingi ilikua ni kuupata ukweli kwa mke wa vicent pamoja na vicent mwenyewe ambao baada ya tukio lenyewe walitokomea kusikojulikana.
    Ilituchukua siku kadhaa kuwapata wahusika hawa ambao kutokana na maelezo yao hawakutoroka pamoja bali kila mtu alitorokea alikokujua yeye mwenyewe na baada ya kuwapata wameeleza mengi kuhusiana na tukio hilo huku mhusika mkuu vicent ambae aliweza kueleza kuhusu mahusiano yake yeye na Vena ambae alipigwa na mke wake bwana vicent mallya.
    Wawili hao wameelezea tukio zima lilivyokuwa. kufahamu yote haya tizama video hii na kisha utuachie maoni yako katika ukumbi wa maoni ama comment

Комментарии • 7 тыс.

  • @lovenessmfinanga5623
    @lovenessmfinanga5623 4 года назад +30

    Sura mbayaaaaa.kama umeona mama anasema ongo gonga like

  • @rehemakitara9978
    @rehemakitara9978 4 года назад +27

    Mke wa ndoa hongera sna ila wanaume mkome na hii tabia ya uhuni ona unavyodhalilika ss!! Watoto wanakuonaje, nimempenda mke wa ndoa Ubarikiwe sna

    • @zainabumpeje6954
      @zainabumpeje6954 2 года назад

      Naungana na ww vimada wakome na iyo ndio dawa yao pumbavu awa

  • @shahamemalenga4838
    @shahamemalenga4838 4 года назад +143

    Ogopa Mwanamke anaependa kutamka Yesu kila mda mana imeandikwa Usimtaje Bwana mungu wako bila sababu za msingi

    • @slayingtee6044
      @slayingtee6044 4 года назад +5

      Sio mwanamke tu hata wanaume

    • @rebeccamaduka6118
      @rebeccamaduka6118 4 года назад +4

      Pumbavu sana wewe mama, ndiyo maana mnafugwa wote wewe na mumeo na watoto, matapeli wakubwa. Sura zimewashuka kama ushuzi wa ngomani. Mrudishieni mama wa watu pesa zake. Tapeli wakubwa nyie😡😡

    • @shahamemalenga4838
      @shahamemalenga4838 4 года назад

      Slaying Tee Ni kweli ila wanawake wengi wanaficha kwenye Yesu

    • @mamuomary7189
      @mamuomary7189 4 года назад

      Acheni uogo nyie

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 года назад +7

      Anadai mlango ulivunjwa mbona siku ya kwanza yule dada aliyepigwa mlango ulikuwa mzima kabisa hata ukingalia kwenye video ya kwanza mlango uko sawa na wao walikimbia mbona mlango mzima ule

  • @peterjaphet882
    @peterjaphet882 4 года назад +106

    Nan ameyaona haya n matapeli kama mimi nipeni like zangu

    • @shamijuma7259
      @shamijuma7259 4 года назад

      Umesikia alivyosema fumanizi limetokea saa saba usiku,yani hawa watu waongo sana

  • @bahajajuma5947
    @bahajajuma5947 4 года назад +20

    Akili za wanaume wa moshi wanazijua wenyewe🙌bb ni kauzu♨️....hongera kwako mama mpambanaji💪...hakunaga mwanamke wa moshi kishoia🤣🤣💃

  • @magrethdaniel8111
    @magrethdaniel8111 4 года назад +28

    Diwani ana akili nyingi Kama Mimi big up diwani🇹🇿🇹🇿🙏

  • @abbykina3039
    @abbykina3039 4 года назад +13

    Kilicho kuwa na mwazo .... Kina mwisho GOD is good all the time 🤗

  • @vicentgibore8679
    @vicentgibore8679 4 года назад +26

    Kama umeskia mlango kuvunjwa mara mwanaume kafungua mlango akapushiwa gonga like twende pamoja. Wezihawa mzee namkewe

    • @zamdamtasha8199
      @zamdamtasha8199 4 года назад

      Kumbe kweli walipanga kumwibia mara kamtuma mtoto afate funguo kwa shangazi yake mara akaomba namba ya wifi yake alikuwa hana hata mawasiliano ya wifi mbwa hawa wamekubaliana na mumewe eti dada alikuwa anamchanganya mbele ya mkewe sijui niwarukie humu kwenye cm

    • @miriamkhaji4363
      @miriamkhaji4363 4 года назад +1

      @@zamdamtasha8199 yani hawa, ni wakurukia kabisa

    • @zamdamtasha8199
      @zamdamtasha8199 4 года назад

      @@miriamkhaji4363 Hivi mi Mme wangu anaanzaje kusema eti yule ni dem wangu ananichanganya mbona waandishi wa habari wangezima camera

    • @miriamkhaji4363
      @miriamkhaji4363 4 года назад

      Yani hawa walipanga, na ingekua ni mimi, nawafungulia kesi ya utapeli kabisa, maana wanaonekana ni matapeli wazoefu.

    • @happypa2027
      @happypa2027 3 года назад

      @@zamdamtasha8199 ndakusaidiya

  • @samiahsaidy822
    @samiahsaidy822 4 года назад +18

    Mmh waongo jamn mmh dunia hii boraa tuchomwe moto au vp jmn kama mtu hanakubaliana na mm gonga like

  • @mariabenedict328
    @mariabenedict328 4 года назад +15

    Dada joyce💪💪umefatilia mpk tumewaona matapeli hahah mwaka huu tutaona mengi wallah....

    • @godwindiana6288
      @godwindiana6288 4 года назад +2

      Maria Benedict ka ya utapeli,hao wamejipanga na kukubaliana kipi waongee,hata siku moja mwanaume aliyepewa limbwata hawezi kujitambua kiivi amepangwa aseme hvyo kuokoa jahazi

    • @aishapapp2384
      @aishapapp2384 4 года назад

      waongo wote

  • @maryglady2901
    @maryglady2901 4 года назад +175

    Nmemuelewa Diwani tu😂😂😂,,Waliomuelewa Diwan peke yake mko wap like zenu

    • @olivervalentino728
      @olivervalentino728 4 года назад

      Tupo😂😂

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 4 года назад +5

      Wamepanga hao na mme wake matapeli wakubwa hawa.

    • @slayingtee6044
      @slayingtee6044 4 года назад +3

      Sasa wewe hapo hujaelewa nini???,,,,Wote Mume na mke wote wameongea vzr

    • @maimunahamisi6081
      @maimunahamisi6081 4 года назад +2

      Wewe slaying tee ndo haujaelewa tafuta video waliyomrekodi wakati wanampiga utagundua ni waongo

    • @tintz3157
      @tintz3157 4 года назад +7

      Mke anasema mume alinipushi
      Na mume anasema mke alinipushi,hiv mmeelewa hapo wadau?

  • @ramahawai7056
    @ramahawai7056 4 года назад +9

    Tusilaumu wanamke tu. Mwanaume naye alaumiwe; yeye ndio alitakiwa apate kipigo.

  • @ramadhanishehoza5729
    @ramadhanishehoza5729 4 года назад +29

    Hapa kuna mchezo haiwezekani mwanaume unakubali kilahisi hivi nakataaaaaaaa tena kwa sauti kubwa kuna mchezo hapa

    • @princeemmamunda4286
      @princeemmamunda4286 4 года назад +2

      Kuna mchezo wa wazi kabisa hata maongezi yao wanajichanganya wenyewe msikilize mwanaume anasema walikuwa na boda boda 5 mwanamke anasema walikuwa na boda boda ngoja nitajaribu kumtafuta joyce nimsikie mawazo yake

    • @wardajoseph6909
      @wardajoseph6909 4 года назад

      Umeonaeee Naaam mchezo upo sio kweli maneno yao hawa nyuso zao zaonyesha ingekuwa hivyo kwa nini walikimbia

    • @lukassebastian335
      @lukassebastian335 4 года назад

      Hapa kunakitu kimepangwa. Kunakitu hapa

    • @bnkazoza9972
      @bnkazoza9972 4 года назад

      Mchezo kabisa

    • @gediusgervase2731
      @gediusgervase2731 4 года назад

      Dah,ni kweli kabisa kuna uongo hapa wamepanga kukwepa kesi

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 года назад +30

    Kama ulikuwa na shauku kubwa ya kuwaona Vincent na Agnes kama Mimi, weka like yako hapa

    • @dotojapheti5788
      @dotojapheti5788 4 года назад

      Acha usenge ww mama, lipa pesa ya watu acha kuleta injili mbwaa mkubwa, uongo mtupu hamna hata cha maana nilichokielewa hapo

    • @dotojapheti5788
      @dotojapheti5788 4 года назад

      Mwanaume mwenyew si wakopa wala shupaza ovyoooo tu, kamtie mumeo kwenye dasbini unaemuona wa maana sana 😱😱

    • @dotojapheti5788
      @dotojapheti5788 4 года назад

      Mwanaume mwenyew si wakopa wala shupaza ovyoooo tu, kamtie mumeo kwenye dasbini unaemuona wa maana sana 😱😱

  • @frbm1729
    @frbm1729 4 года назад +14

    Mama wewe ni shujaa uko sawa tu ila wazinifu wote lazima wakushambulie Sana. Hongera umetoa fundisho.

    • @geofreyrweyemamu9733
      @geofreyrweyemamu9733 4 года назад +2

      Hawa wadangaji wanakera wanasumbua ndoa na matusi na uchawi ulioshindikana Mimi ni mhanga na mi juzi Niko na Malaya Kama vero mahakamani nikomeshe matusi

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 4 года назад

      Wanaume hawatosheki mama,utapiga wangapi??? Kwa maumbile ya wanaume walivyoumbwa utauwa bureee!!!

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 4 года назад

      Wapenzi wa zamani hawaachanagi.weee mme Muongo.hukujipanga vizuri,vero ni mpenzi wako kwakua umefumaniwa usimkashifu.

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 4 года назад

      Asante baba kwa kukiri,nasisi wanawake tutenge muda wa kubembeleza waume zetu na kuwapa mahitaji yao ya unyumba kikamilifu nasio kuwaza kusakapesa tyuu kwatabia zakichaga mapenzi hakuna nibifu naubize tyuu.mapenzi mbelee wachanga.

    • @luhekelondelwa9714
      @luhekelondelwa9714 4 года назад

      Kweli kabisa mama yupo sahh

  • @gabrielgodwin7465
    @gabrielgodwin7465 4 года назад +13

    Kama umegundua Hapa kwenye Comments Makahaba wanatetea kahaba mwenzie, na wale wenye ndoa Wana tetea mama mwenyewe ndoa yake .......Gonga like😎😎🤣🤣🤣🤣

    • @rosekhamis3511
      @rosekhamis3511 4 года назад +1

      Hujielewi ww

    • @tida3727
      @tida3727 4 года назад

      Usiseme hivo sisi wengine tumeolewa na ni Bibi wa Kwanza labda wengine Waja sijui, Lakini kukomaa mwili na akili muhimu...huu ni upubavu , very immature woman

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      😅😅😅😅😅

    • @happypa2027
      @happypa2027 3 года назад +1

      @@tida3727 kabisa

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe3036 4 года назад +15

    SUBHANALLAH POLE SANA
    DADANGU ,NA HONGERA
    KWA KUMSHIRIKISHA
    MUNGU ALLAH AZIDI KUKUPIGANIA.

    • @anicianjoki3353
      @anicianjoki3353 4 года назад +1

      Hilo mmetunga kabisa hata kuongea kwenu inaonyesha kabisa ni uongo,unamrusha mwanamke mwezako kwenye fb hata haya huna nyoooooo,nimekudharau sana we Agnes

    • @mussajoseph2042
      @mussajoseph2042 4 года назад

      hivi kama CM ulikuwa Kwenye vyablesheni itasikikaje mlio

    • @mussajoseph2042
      @mussajoseph2042 4 года назад

      Uongo huo muchoro WA mke na mme

    • @joycetesha6964
      @joycetesha6964 4 года назад

      @@anicianjoki3353 hahaaaaa

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 года назад +15

    Mwandishi unaangaika kuhuliza maswali mengi.si simu zipo.?omba message wakuonyeshe kwa ushaidi zaidi

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 года назад +12

    Hahahaaaa muongo huyu daaah!!! Hebu jaribu kumpa mumeo chakula ashibe ana njaa kwanza

  • @aronnyboy_tz7785
    @aronnyboy_tz7785 4 года назад +5

    Kama unakubali huyu jamaa na mkewake niwasenge gonga like

  • @suzanamlelwa6352
    @suzanamlelwa6352 4 года назад +46

    Aligundua hapa ile laki tisa na elfu tana inakwepa kulipwa gonga like hapa

  • @handbagsquality9835
    @handbagsquality9835 4 года назад +27

    Nimesikiliza hii interview vizuri sana kuna kitu kikubwa nimekigundua hapo, mke na mume wote ni waongo baada ya kuona serikali imeingilia kati. Sawa alituma sms kwa mumewe tunataka ushahidi wa kisheria wa sms zote hapo , sheria uchukuwe mkondo wake. Huyo mwanamke anajichanganya na uongo.kama kweli anamjua huyo Vero mbona alikuwa anamuuliza ulianza lini na mume wangu? Na kutaka kujua No zake za simu? Kama ni kweli hayo anayoyasema huyo mwanamke mbona hakumshambulia na kumwambia nilikuonya zaidi ya mara mbili uachane na mume wangu ila hukusikia? Lakini huyo mama alikuwa anamshambulia kwa kumuuliza maswali umeanza lini mahusiano na mume wangu? Hapa mimi nina mashaka..haki itendeke

    • @zaitunizainabu9517
      @zaitunizainabu9517 4 года назад

      Tapeli mkubwa were na mine wako rudisheni pesa zs watu unajifanya baunsa iko Sikh utapatikana

    • @queenmwasanguti2370
      @queenmwasanguti2370 4 года назад

      Mimi nashagaa mnao kataa, hugo dada amevuna alichopanda.

    • @mayatione6
      @mayatione6 4 года назад

      Kabisa kabisa dada

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 4 года назад +25

    Kwa mtizamo wangu wote ni wa kweli. Huyu Baba ni mkweli na huyu mama kweli yamemtokea. Hasira za huyo mama mwanamke yoyote aliyewahi kupitia haya akimsikiliza atajua ni ukweli. Mungu awasaidie.

  • @alphonsinaraphael4316
    @alphonsinaraphael4316 3 года назад +4

    Aliesikia boda boda 5 kwa sitaa gongaa likeee😂😂😂😂

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +116

    Wewe dada Ni muongooo,Nakumbuka kwenye ile Video ulimuuliza yule dada,umeanza Lini kutembea na Mume wangu wakati ulimjua Na tayari ulimuonya si zaidi Ya Mara moja,Kuna uongo Hapo umetengenezwa

  • @officialamris7954
    @officialamris7954 4 года назад +19

    Hapa kuna Vitu zaidi ya kimoja
    1:cm inavabrate.
    Cm inatoaje sauti ukituma sms
    2: milango mbona Huja onekana kama umevunjwa siku ile ambayo alihojiwa pale nyumbani walipofumwa
    3: maelezo ya mwanaume mbona mixing kama ya kupanga.
    😂😂😂😂😂😂😂😂Wanawake huwa ampendani hata kama mnasaidiana

    • @reymaabintabdillah3727
      @reymaabintabdillah3727 4 года назад

      official Amris SMS inasaut kupiga inavaibrate wakome malaya

    • @salhanassor5201
      @salhanassor5201 4 года назад

      Official Amris upo sahih kabisa..maelezo yahuyu bwana yanaogongana..napia ni ushamba kumfumania mumeo halafu ukampiga mwanamke mwenzako..kwa sabbu kitendo cha mwanamke kumkuta ndani namumeo tena ndani kwako bc faham kuwa kuna baraka za mumeo hapo...kwaio mkosaji mkuu ni mumeo hapo

    • @tryphinarichard7336
      @tryphinarichard7336 4 года назад

      mme pia anatakiwa kushitakiwa.
      kosa la kwanza kwann aende na mtu na kwa maelezo yule mwanamke kule ni mgeni alfu amtelekeze huko baada ya kumuona mke wake? kwann hakukaa akaongea na mke wake labda haya yasinge tokea.
      wote wawili sheria ifanye kazi yake.
      wana sheria wawe makini kwa ili

  • @momo4de144
    @momo4de144 4 года назад +56

    Yaaani anayoongea unaelewa Kabisa ni hadithi imepangwa mpka anasahau vitu vya muhimu mbuzi hiii

    • @AaAa-kr9nb
      @AaAa-kr9nb 4 года назад +3

      tena sana walienda kupanga tu.na iki kizee sura mbovu kwa nini mlikimbia nyote mbuzi nyinyi.wallah wakiachwa hawa tz aina sheria na ingekua mm billah ata ningewatafutia majambazi wakatolewa izo roho zao ngombe awa

    • @elizabethchawinga9674
      @elizabethchawinga9674 4 года назад +1

      Acha kumtaja Mungu kwenye Ujinga wako

    • @veronicakidolezi6822
      @veronicakidolezi6822 4 года назад +1

      Acha ujinga wewe.

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 4 года назад +2

      Tapeli we mwanamke. ,huoni haya

    • @fatumaally3266
      @fatumaally3266 4 года назад +3

      Umepangwa kabisa huu sababu mbona kwenye ile clip alivyo kuwa akimpiga yule dada mbona alikuwa ana muuliza wewe ndo mwenye namba 36 huu niuongo mshenz kabisa huyu baba wamepangana niushenzi mumlipe huyo dada pesa yake wangese nyinyi uwongo huujuwi

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 4 года назад +4

    Vero ni Daktari wa mapenzi .😂😂😂😂

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter5651 4 года назад +13

    Usilitaje jina la Bwana Mungu wako bure,kama Mungu alikujibu ungeshukuru kwa kumwitia police sio kujichukulia hatua mikononi. Hapo Mungu amekukimbia dada

    • @edwardouma1630
      @edwardouma1630 2 года назад

      Ungekuwa ni wewe bwana ungekualiii tuache masihara kwenye ndoa za atu

  • @najma3268
    @najma3268 4 года назад +46

    Baba huyu kachoka anaonekana kashachezea vitasa vya kutosha hapo kwenyewe anaongopa kapangwa na mkewake ole wake avurunde yaan mwili wake to unaonekana hawezi kuzipanga Na mkewake, khaaa wallah 🤣🤣🤣

    • @chikuabdallah9950
      @chikuabdallah9950 4 года назад +2

      Lipipen hela za huyoo Dada kuma nyie

    • @prittypritty5561
      @prittypritty5561 4 года назад

      Haha haha haha haha haha

    • @ashuraussein7582
      @ashuraussein7582 4 года назад +1

      @@chikuabdallah9950 🤣🤣🤣inauma mumewamtu sumu

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад +1

      Hahaha umenichekesha, eti hawezi kuzipanga na mkewe akileta za kuleta anatwangwa tu hhhh Najma 3

    • @nusaebahkeis6774
      @nusaebahkeis6774 4 года назад

      Vitasa

  • @isaac0g5
    @isaac0g5 4 года назад +70

    Kama kuna mtu ameona hayo masikio ya mwanaume gonga like😅😅😂😂

  • @ليلىفاكي
    @ليلىفاكي 4 года назад +1

    Hongera mama wanaumme wanatumiza sana

  • @lailamohammed320
    @lailamohammed320 4 года назад +36

    Huyo baba nae chiz ona sikio lilivyomsimama kwa uongo wee na mke wako mmepanga mumtapeli dada wa watu kilichokukimbiza

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 года назад +33

    Duh mme mwenyewe ndoo huyo.jmn kituko 🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @leyreenhard3233
    @leyreenhard3233 4 года назад +8

    Waongo Mke amedai mume amempushii na mume anadai alikuwa anamzuwia mke asimpige yule dada mbwa Hawa

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao15 4 года назад +4

    Diwani oyeeeeee👏👏👏👏👏👏👏

  • @wenderoserie1538
    @wenderoserie1538 4 года назад +19

    There is always two sides of a story. Logic dictates never to pass judgement after hearing one side of the story. The beaten lady made me cry. But she wasn't an innocent victim, nevertheless, I don't condone violence. God will surely judge her. Marriage is God's institution. God will heal the wife and the family unit in Jesus Christ of Nazareth Name. Amen

    • @sharonke7442
      @sharonke7442 4 года назад +1

      yes and these side chicks they're worse

    • @josephinekariuki567
      @josephinekariuki567 4 года назад +1

      You just dont see this pple are liers...they have sit down and plan what to say...listen very well...the hubby fears the wife...and acording to the 1st video it doesnt seem she knows her or even warned her

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 4 года назад

      But whatever may seem to be, she was assaulted and before the eyes of law all that they stated will never stand as a defence.

    • @slayingtee6044
      @slayingtee6044 4 года назад

      The other side of the side chick it's on another video on this channel wanawake live tz , she has spoken as well

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад +34

    Sasa usiishie hapo’ Cha kufanya hapo wakutanishe wote WATATU tuwasikie ‘ .....Tutajua tu nani MUONGO....!

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 4 года назад

      We ni mwalimu lakini kichwani una akili.uwezi kumzalilisha mmeo kiasi icho.acha kumtaja mungu bure ukishindana na mwanaume unaumia

    • @aishasaid5702
      @aishasaid5702 4 года назад

      Naam waitwe wote tujue ukweli haki itendeke

    • @esthermoraa6648
      @esthermoraa6648 4 года назад

      Kwel

    • @tinnahshayo3700
      @tinnahshayo3700 4 года назад

      Kabisaaaa tujue ukwel

    • @bibiemohamed6044
      @bibiemohamed6044 4 года назад

      Sawasawa wakutane tuone ukweli uko wp na huwezi kuskiliza upande mmoja lazima usikie kote ndo upate uhakika wa jambo wanasema msema pwekee

  • @jamesimanuel8998
    @jamesimanuel8998 4 года назад +54

    Braza ulikosea kuoa mwanamke anaeongea kupitiliza!!! Mwanamke kama mhubiri bhana, anaongea kama kameza betri aisee

  • @wilbrodyteophano1408
    @wilbrodyteophano1408 4 года назад +1

    Safi Mama. Ningekwepo na mm ningekusaidia kupiga aiseeeee .

  • @dorrywillium5984
    @dorrywillium5984 4 года назад +21

    Michepuko kuna cha kujifunza Hapa! Leo Hii wanandoa wamekuwa kitu kimoja 😀 Wameungana kumuangamiza

  • @veronickabruno8726
    @veronickabruno8726 4 года назад +10

    Mungu ndiye ajuae ukwl wote sisi tutakuwa tu tunahisi kwa kuangalia maelezo yao ila nani mkwl ni hatutajua ila ipo siku ukweli Mungu atauziilisha

    • @dayanashoo5233
      @dayanashoo5233 4 года назад +1

      Hata muongo unaweza kudhani ndiye mkweli na wengi mkamuamini.

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 4 года назад +39

    Hiyo sio kweli kama unamjua na ulishamuonya mbona ulimuuliza namba zake zinaishia na 26 na akakujibu inaishia 13 jmn ww muongo sana kumbuka mumeo hana m2 mmja pambana na yy sio yule dada

    • @fatmakigula8634
      @fatmakigula8634 4 года назад

      Kweli

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад +1

      Inaeza kuta kabadili namba

    • @mariammwachibako3096
      @mariammwachibako3096 4 года назад +2

      Ajielewi uyu mwanamke kwa mume gani basi shombooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumuumiza mwezio bure

    • @NyotaBalolane.
      @NyotaBalolane. 4 года назад

      Wewe toka Apo na message zako za ujinga uyo mwana mke hawezi sema uongo

    • @fanilaakimana6653
      @fanilaakimana6653 4 года назад

      @@mariammwachibako3096 😆😆😆😆😆mbavu zang

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo1679 4 года назад +12

    Mimi nimemuelewa Sana uyo mama,Yani shida nikwamba uyo baba simuelewi kabisa
    Ila uyo mama nimemuelewa Sana Sana.
    Na mama anaonekana hataki ujinga

    • @mozesmsuya
      @mozesmsuya 4 года назад +1

      Mama anaongea ukweli kabisa

    • @fisaituli7038
      @fisaituli7038 4 года назад

      Ndio maana mwanaume kakubali kuongea uongo

    • @emmyandrew8670
      @emmyandrew8670 4 года назад

      Mwanaume sura.mbaya

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 4 года назад +31

    Bonge la mama!
    Mama hakukosea kupambana, kutetea haki yake! Jamaa alitekwa!

    • @elizaeliza2435
      @elizaeliza2435 4 года назад +1

      Unavyompiga ulisema umjui na ulisema namba yako inaishia 26

    • @MrPongwe
      @MrPongwe 4 года назад

      Katekwa na nani yeye mwenyewe mbona ajampiga mume wake

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 года назад

      Huyu mama muongo sheria hasa nawewe lazima aje akuoige na akuvue chupi nyooo huna haya mwanamke mwenzio unazalilisha mbona hujampiga mumeo Malaya wa kiume huyo

    • @bonvivant3704
      @bonvivant3704 4 года назад

      Athuman Pongwe si ndo hapo🙄

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 4 года назад

      Mume anasema ,alitekwa na kimada ,
      Mke anasema alipambana kutetea ndoa yake! Sasa wameyamaliza na maisha yanaendelea! Ubawa upo wapi hapo?!

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 года назад +35

    ANi huyu ndio mume alofanya mpigane🙄🙄🙄🙄mungu nisamehe jmn wanawake sometimes tujiongeze kha

    • @maimunamsungi8678
      @maimunamsungi8678 4 года назад

      Hahahahahaha

    • @anitamwehonge8287
      @anitamwehonge8287 4 года назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂haki ni vituko

    • @violettemitchel6772
      @violettemitchel6772 4 года назад +2

      Sisi wajinga sana. Unampiga mwenzio si upige mumeo au umuache....

    • @zainabsaid8983
      @zainabsaid8983 4 года назад +4

      Hahaha daa wanawake noma kijanamme kenyewe misikio walu uuwii kweli utamu kolea

    • @clarawella2636
      @clarawella2636 4 года назад

      Violette Mitchel i agree he will cheat again with another chic , problem not solved wanasemaga it takes two to break the two

  • @halimamwajuma9208
    @halimamwajuma9208 4 года назад +20

    Huyo mama almpiga mwenzake akamwambia iwefundisho kwa wengine ila nae amekuwafundisho kwa wengine 🏃‍♀️

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 4 года назад

    Pole sana dada weee MUNGU. ATAKULIPIA

  • @davidshahrukh6
    @davidshahrukh6 4 года назад +34

    Mke mzuri kuliko Hawara!!!!

  • @ruthkinyanjui9015
    @ruthkinyanjui9015 4 года назад +9

    Very wise advice, husbands needs to Man up🙏🏽

    • @mariamkulwa9826
      @mariamkulwa9826 3 года назад

      Pole sana dada lkn wewe sema ukweli kuwa mulijipanga jinsi yakuongea hapo hakuna ukweli wowote

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 года назад +16

    Muongo ww mbona video ya kitandani ujaiyonyesha matapeli sura mbaya kama kandambili za chooni

  • @edomkali3378
    @edomkali3378 4 года назад

    Dah Joyce umenenepa kwel maisha ni hatar hongera kwa kaz nzur

  • @sentaraexavery1652
    @sentaraexavery1652 4 года назад +10

    Kam umeona neno Mungu Mara 100# gonga like

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 года назад +33

    Baba mwenyewe sura imemshuka kama matako ya mbwa mzee.

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 4 года назад +16

    Muongo Huyu eti aliwakuta ndani kwa bed hmm Ili lishasukwaa .Rudisheni pesa ya watu

    • @zawadinchimbi3569
      @zawadinchimbi3569 4 года назад

      Ivi wewe uoni Kama niuongo, wewe unaweza ukatembea naela zote izo kwani cmu auna, tg pesa, eater maney, Kama alipoteza lakini sio laki tisa

  • @veronicamandepo245
    @veronicamandepo245 4 года назад

    Kweli unauma. Pole sana na safii sana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +21

    Kama umesikia leo " mungu kavaa bukta ,hajavaa suruali " tujuane hapa 😂😂😂😂

  • @hawgeja3851
    @hawgeja3851 4 года назад +60

    Mipango imesha pangwa mtu na mkewe wezi mludishe pesa za watu na mlipe shanga za watu ulizo kata kenge nyie

    • @richardntigwa8517
      @richardntigwa8517 4 года назад

      @@gracemsalila2761 😁😁😁

    • @evarestatarimo2953
      @evarestatarimo2953 4 года назад +1

      Ni wezi hao tena wakubwa sana

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 года назад +7

      Huyo changu bana akitaka kubomoa nyumba ya mwenzi ni Malaya huyo km alishakatanzwa aachane na huyo mume ndani ya maana mitano hakusikia mwache akungutwe amemkamata Sana huyo baba wamama wengi wasio na wanaume wako hivyo hasa km ni wauza baa kweli wana dharau hana laki tisa huyo ni kiki alitengenenza I'll alipwe hela tena kamdanganya mkuu wa mkoa achukuliwe hatua sasa unaona baba karudi kwa mama watoto wake pia nashauri wawekwe kiti moto wote watatu wajielenze tujue ila huyo kahaba itakula kwake

    • @lucyshula5669
      @lucyshula5669 4 года назад

      Wezi nyie

    • @lucyshula5669
      @lucyshula5669 4 года назад +5

      Aaa sasa ulimpigia nini ungemuonya mume wako sio kumpiga mke wenzio wanaume wenyewe wachache kwanza wanaume wanapenda vipande2

  • @amossbuyamba3269
    @amossbuyamba3269 4 года назад +38

    We Mama mjinga kwel eti namjua😂mbona ulikuw unamhoji kuhusu no. Mbona ulikuwa unamuuliza unakaa wpi? We mama tako kweli🙈.half ww mzee mwenye maskio kama panzi anataka kwenda angani kama ulikuwa na vitu vyote hivyo kwhyo vero alikuwa anavimeza vizima🙉halfu we mzee mwehu kweli eti huwez kuibiwa sa7 alafu ushtaki kesho kwhyo angewezaje kushtaki wakti tayri mkeo mnene utafikli chatu kameza tembo alikuwa amemvuruga hakili.mama na Baba wote mambwa kweli.eti ww ni mtu wa mungu kwahyo mungu alikuwapa kazi ya kupiga watu

    • @neemawilliam5422
      @neemawilliam5422 4 года назад +3

      Haaahaaaaa haahaHsaaaaaaaa,comment yako kobokoa

    • @allysanga1435
      @allysanga1435 4 года назад +1

      hahahhaha kama panz anataka kwenda angan

    • @sofinajuma9284
      @sofinajuma9284 4 года назад +1

      hawa wamepanga ili waonekan wana haki lao moja yeye kama anamjuwa mbona aliumuuliza namba yake inashia hiv

    • @victorpeter7990
      @victorpeter7990 4 года назад

      jinga Sana

    • @farahanafarer7588
      @farahanafarer7588 4 года назад

      Amoss Buyamba na nadhani hamjui kabisa alikuwa anamujoji kabisa. Nashangaa anamuita mume wake eti huyu dhu huyu nani

  • @aminamsuya3641
    @aminamsuya3641 4 года назад +4

    uwiiii.. hahahahaaa uwiiii jamani hongera kwa hyo dada veroo, yaaaani mtu mmoja amefilisi eskudo, pikipiki 6, nyumba ya kulala aseeee jamani jamani.... mimi mwongo lakin hapa nimenyanyua mikono, sasa mbn kweny kipigo alikuwa anamuuliza kuw ni mar yangapi? mbn hatukuskia neno "NILIKUKANYA MARA NGAPI..."

    • @hawarajab5597
      @hawarajab5597 4 года назад +2

      Yaani mazee mazima maongo hatar hahahaa

    • @teclarobert6701
      @teclarobert6701 4 года назад

      Kweri mpenzi ni mapichapicha tuuu

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 4 года назад +21

    Mm nimemwamin yule dada aliyepigwa waongo hawa Joyce
    Walipanga
    Hawawez hata kujieleza
    Na pia mwanaume hawez kukubal kirahis hvy
    Pia nakumbka huyu mama alimuuliza yule dada namb yako inashia 13 yule dada alikataa
    Hawa watu wafatiliwe hii kitu walipanga
    Warudishe hela ya dada wa watu waache uhuni

    • @violethmeja1848
      @violethmeja1848 4 года назад

      Kabisa hawezi kukubari kirahisi ivyo

    • @sylviaqatarqatar8361
      @sylviaqatarqatar8361 4 года назад

      Hili jibaba halijielewi moyo wake uko kwapani atapigwa

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 года назад

      Muongo hajaibiwa kaona kadhalilika

    • @remikimola9557
      @remikimola9557 4 года назад

      Cjawahi kuona mtu anunue gar piki piki na nabado anaishi kwa shemeji nyie watu mungu anawaona

    • @emanuelfrancis7171
      @emanuelfrancis7171 4 года назад

      Acha kutetea dhambi wewe,,

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 года назад +35

    Hii sio interview bali ni maongeži yaliyopangwa kunusuru jahazi.
    Interview ya uchunguzi haifanywi na watuhumiwa wakiwa sehemu moja bali inafanywa kwa kumtafuta mtu mmoja mmoja ili uone maelezo yao yanavyopishana au yanavyofanana.
    Unamhojije mtuhumiwa wa 1 na wakati mtuhumiwa wa 2 yupo hapa hapa?hii ni interview ya kipumbavu sana @wanawakelive

    • @mrsrachelkisaka2988
      @mrsrachelkisaka2988 4 года назад

      uyu so mtuhumiwa

    • @samwelmhehe617
      @samwelmhehe617 4 года назад

      Kweli kabisa kiongozi

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 4 года назад

      Alivyo hojiwa yule kahaba mwanzoni huyu mama alikuwepo? Hii ndo mara ya kwanza huyu mama anahojiwa baada ya mengi kuongelewa huu ndo upande wa pili unaskilizwa

    • @estherkisegenya5561
      @estherkisegenya5561 4 года назад +2

      Huyo mwanamke kama alishamkamata Mara tatu mbona alikuwa hajui anapokaa akamuuliza unaishi wapi akajibiwa Mwanza,halafu huyo babu no Zombie au?

    • @amishgal4103
      @amishgal4103 4 года назад

      That's true wameungana kumkomoa Yule mama but wako na hatia wote

  • @lynderkennie5608
    @lynderkennie5608 4 года назад +17

    Aliesikia huyu mama akisema alileta shamzi tujuane apa 😂😂😂😂ana hasira na Mungu kamsaidia asira zimeisha wakat anaongea na Joyce

  • @neemashauri5320
    @neemashauri5320 4 года назад

    Mama hongera kazi nzuri hiyo

  • @seciliarabson2247
    @seciliarabson2247 4 года назад +29

    Mlio wa SMS unausikia ila muito ni vibration kama sijaelewa hivi

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 4 года назад +10

    Waongo sana hawa mke story tofauti mme story tofauti wamepanga kuongea uongo

    • @sophialaurent2876
      @sophialaurent2876 4 года назад

      Kumbe umeona hawa watu wamepanga cha kuongea

    • @IreneMacha-g8o
      @IreneMacha-g8o 5 месяцев назад

      Sasa mnavyosema make na mume story tofaut kwan kila mtu si alikuwa kivyake jamniii...lazima story ziwe tofaut tu

  • @fatumadonath2068
    @fatumadonath2068 4 года назад +8

    Mbona ulikuwa unamuhoji maswali anaishi wapi pmj n namber ya simu it mean ulikuwa humjui n ndo ulimjulia pale kwenye fumanizi

  • @rehemamagere8602
    @rehemamagere8602 4 года назад +22

    Aiseeee kidume chenyewe ndo icho kumbe haahaahaha ndo uyu anafanya hivo kumuoji mwenzake eti baba nani nani ndo wakutembea na mwanamke kama huyu khaaa nikadhani ni bonge la kidume kumbe ni kababu kabisaaa hahaha muacheni mdada wa watu mmeo ndo ajatulia huyo mmama wa imani unatetelekea na mapenzi kweli mhmmmm aiseeeee

    • @shancyskitchen3044
      @shancyskitchen3044 4 года назад

      😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤸kababu kama kababu🏃

    • @miriumthomas1682
      @miriumthomas1682 4 года назад +1

      Umeona ee

    • @alfredinafelix836
      @alfredinafelix836 4 года назад

      🤣🤣🤣mwenyewe nilipokumbuka Vincent ndio wakutembea na mtu kama huyu nikapata shauku yakumuona huyo asoweza kutoka na yule dada...🤣🤣🤣🤣 vice mwenyewe kama mbu🤣kawaida sana tu mbona....hii kesi inashida...wamejipanga...ukisikiliza kunaurongo...na dada kule anaurongo...police najua haiwashindi hii labda waipuuze tu.

    • @kishkwambi255
      @kishkwambi255 4 года назад

      Mirium Thomas 😂😂😂 vice kafanya mambo makubwa mpaka nimepamisi hometown fundi wangu wa kidaz kama ni kiki hii ni ya xr😂😂😂

    • @getrudabenjamin714
      @getrudabenjamin714 4 года назад

      Hata sigusiiiiiiiiiiiii mbayaaaaaaaaaaa

  • @emmymaleshi2
    @emmymaleshi2 4 года назад +10

    Tumuachie Mungu ndio anajua ukwely wa haya mambo ,me nimeshindwa kuelewa

  • @sulujuma8108
    @sulujuma8108 4 года назад +57

    Mke anasema alivunja mlango ..mme anasema alifungua mlango ..mme anasema bodaboda 5 mke anasema bodaboda 6 ..yaan huu Ni uongo wa kiwango cha lami

    • @oloojohn5309
      @oloojohn5309 4 года назад +2

      Hawakupanga hapo mume anajitetea tu

    • @richardntigwa8517
      @richardntigwa8517 4 года назад +1

      Wamepanga huyu mazaa hana lolote

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад +3

      Mzeee mwenyewe kachoka na maisha hana cha bdbd wala nini uzushi tu..... Ukimhendo mume wako na kumyenyekea wala asingetoka nje.

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 4 года назад +3

      Nami nimejiuliza huyu kasema bodaboda 5 mwingine 6.Mke anasema alivunja mlango mume anàsema alifungua.

    • @liliandioniz7291
      @liliandioniz7291 4 года назад

      🤣🤣🤣

  • @athumansuleiman6279
    @athumansuleiman6279 4 года назад +14

    Achakuongea sana uwongo mpeni hela zake wezi wakubwa nyie mungu ulimuona wapi kavaa bukta labda mugu huyo wa utapeli wenu

  • @rahabmwaura3105
    @rahabmwaura3105 4 года назад +7

    Huyu mwaume mwongo, this story does not add up at all.. 🤣🤣🤣

  • @aishayasin5400
    @aishayasin5400 4 года назад +27

    Kwa huyo mama jinsi alivyo hata Kama mm ndo ningekuwa mume ningetimua mimbioo co ya nchi hii haki vile

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад +1

      Umeona eee ww husikii anasema alimzuia mke wake akamwambia kimbia na yy akala kikumbo alafu kuna Bibi mmoja alihojiwa akasema alipigwa ngwara akaanguka .

    • @aishayasin5400
      @aishayasin5400 4 года назад +2

      Gwala Kama gwala Sasa ebu vuta PC huyo mama akulishe mtama inakuwaje mi na msifu brother alijiongeza akaona nikikaa hapa ntakufa bure akala chochoroo ndefuu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад

      @@aishayasin5400 anajua timbwili la mkewe si ndio maana akatoka nduki

    • @godwindiana6288
      @godwindiana6288 4 года назад +1

      Frida kisiri kama bondia yuko serious kama hakimu mkazi😬

    • @babyhamisi5331
      @babyhamisi5331 4 года назад

      Nimecheka

  • @babyangel7519
    @babyangel7519 4 года назад +30

    Duuh jaman me ata sielewi ... Huyo baba anasema alifungua mlango na huyo mama anasema alivunja mlango .. Sijui nan muongo???

  • @zaitunmulji1502
    @zaitunmulji1502 4 года назад +10

    Mmmmmhhh😷wameamua kumgandamiza dada wawatu liangalieni hili

  • @mammasud991
    @mammasud991 4 года назад +3

    Waongo hawa, kwenye video anamuuliza namba yako inaishia na ngapi alf hapo wanasema anamjua siku nyingi

  • @teonilamwalongo7156
    @teonilamwalongo7156 4 года назад +23

    Mungu w2 kavaaa bukta duuuh jmn siku zote muongo huzungumzia San kuhus mungu ili aonekane mwema

  • @godfreymlimbila2770
    @godfreymlimbila2770 4 года назад +29

    Hawa waongo kabisa, hivi mwanaume na akili zako kweli upangiwe sehemu ya kulala na mwanamke kweli 😂😂

    • @shangazpetty7657
      @shangazpetty7657 4 года назад +3

      Yaaani mke kamsomesha mumewe aseme hivyo kuogopa sheria kuchukua mkondo wake

    • @aminasalum1954
      @aminasalum1954 4 года назад +1

      Matapeli wa kichaga hawa

    • @mozamrope8770
      @mozamrope8770 4 года назад +1

      hahahaaaaaaaaa!!! labda alizidiwa nguvu..

  • @victoria5839
    @victoria5839 4 года назад +65

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nani ameona huyu mama akitingisha kichwa 😂😂

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 4 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @priscallawendy4063
      @priscallawendy4063 4 года назад

      Ahaaaah

    • @serunkumbolugisa2601
      @serunkumbolugisa2601 4 года назад +2

      Nimeona inaonekana ni njama kwanini wamekutania nyumbani wote wawili nawakati mke anasema kila mtu amekimbia kivyake? Then kuna sehemu mke amesema hivi hata Chupi yake imetoboka katikati balaaaa😄😄😄😄😄😄😄

    • @Amidangirente
      @Amidangirente 4 года назад

      @@serunkumbolugisa2601 si ndoo

    • @Amidangirente
      @Amidangirente 4 года назад +1

      @@serunkumbolugisa2601 ni watapeli tu wamurudishiye hela vinginevyo ni wuongo tupu

  • @michaelmdoe9368
    @michaelmdoe9368 4 года назад +1

    Kunakipindi Moshi mlilalamika wamama hampati vizuri huduma za kitandani. mpaka ikasemekana mnawakodi wakenya mshua kaonyedha uwezo. Kama umeelewa like japo 💯 tu

    • @janethevance2606
      @janethevance2606 4 года назад

      Safi sana dadangu iwe fundisho kwa wengine na huyo Vero ajifunze mume kaungana na mkeo

  • @juliusfelister894
    @juliusfelister894 4 года назад +16

    msg zinatoa sauti ila ulivyopiga imetoa vabration🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽

    • @januarykapinga8014
      @januarykapinga8014 4 года назад +1

      Ndiyo unaweza ukaruhusu mlio kwenye msg au call ikawa vibration

    • @transiamuro16
      @transiamuro16 4 года назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @faridahamis3354
      @faridahamis3354 4 года назад

      Umeonaeeee uongo mtupuu

    • @rosechuwa5084
      @rosechuwa5084 4 года назад

      Hhhhhhhhhhh jmn we umetisha

    • @aminamusa6531
      @aminamusa6531 4 года назад

      Hawa n waongo na wanajichanganya sanaa ila wataumbuka 2

  • @zakiaramadhani1125
    @zakiaramadhani1125 4 года назад +37

    Mwanaume muongo mwanamke muongo pumbavu ninyi afu wee mwanamke unaonekana bondia mumeo anawanawake wengi umechemka humridhishi mumeo pambana na hali yako

  • @ungwakalenga1556
    @ungwakalenga1556 4 года назад +33

    Aliyesikiya chupi imetoboka katikati gonga like twendesawa

    • @akwiliniqawoga.w3690
      @akwiliniqawoga.w3690 4 года назад +1

      Hakika HUYU mama jizi.simwelewi.anamasikio ya ajabu mpaka vibrations anasikia kupitia ukuta wa matofali ya blocks.

    • @akwiliniqawoga.w3690
      @akwiliniqawoga.w3690 4 года назад

      Diwani nakuelewa sana.una busara sana na unastahili kuwa mbunge wetu.🔎🔍

    • @hulkamgenihulka2645
      @hulkamgenihulka2645 4 года назад

      Alimuomba mumewe ampe namba ya wifi ili amletee ufunguo..siku zote umeolewa namba ya wifi yako una?....Uongo huu

    • @zainabuhatibu4373
      @zainabuhatibu4373 4 года назад

      😆😆😆😆

  • @estherdavic8521
    @estherdavic8521 4 года назад

    Hongera mama iwe fundisho kwa makahaba wavunja ndoa za watu mi mbona nilikupongeza toka siku ile nilivyoiona ile video Mungu akuongezee Ubaunsa uendelee kuwafundisha hawa wanyama

  • @veronicamollel7002
    @veronicamollel7002 4 года назад +9

    Et mungu kavaa bukta hajavaa suruali wew umemchungulia mungu lini acha uongo wew

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 4 года назад +29

    Huyu mwanaume amefunzwa kusema kwa AJILI yeye mwenyewe ameolewa na mwanamke,atakaliwa sana na atapigwa zaidi na huyo bounser wake

    • @e.j.starelia5672
      @e.j.starelia5672 4 года назад

      Ni kweli kbs

    • @e.j.starelia5672
      @e.j.starelia5672 4 года назад +1

      But wote hawa ni wezi haya maneno wameyatunga tuu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 4 года назад

      🤣🤣🤣✔️🤣🤣🤣

    • @annembenda3750
      @annembenda3750 4 года назад

      Kabisa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 4 года назад

      @@estermatindo8730 Atapata kipigo cha mbwa mwizi si ajabu huyo mume anatafuta pa kukimbilia masikini lakini hajafanikiwa bibie kamzidi nguvu. Atakoma.

  • @amonamos8278
    @amonamos8278 4 года назад +13

    Hawa watu walimuundia mbinu( mme na mke ) wote wanajua walichokifanya juu ya huyo dada Vero.
    Sheria ichukue mkondo wake maana hasira ya huyo mama haiondoi wala kulegeza sheria

    • @gladyscharles4086
      @gladyscharles4086 4 года назад

      Kabisa

    • @Isayashick
      @Isayashick 4 года назад

      Daaah hali sio hali

    • @gosplevibetvtz
      @gosplevibetvtz 4 года назад

      HI VIDEO LAZMA IKUTOE JASHO BILA KUJALI UMRI NAMNA MWANAMKE ANAVYOTAKIWA KULIA WAKATI WA TENDO LA NDOA bonyezaa link hii kutazama video ruclips.net/video/vmte2p7YWdw/видео.html

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 4 года назад +7

    Ngoja mme kasema bodaboda 3 mke bodaboda 6 mmmh weu nyie.

  • @anethjoseph355
    @anethjoseph355 4 года назад +42

    Kwendraaaa eti akagoma we Kwan ni mtoto we Malaya tu baba kila ktu unajifanya ulilazimishwa sheinzzzy wote wazinzi tu

    • @wewe3394
      @wewe3394 4 года назад +1

      Huyu bb nimuongo kbs anachanganya changanya maneno mfungwe wewe nahuyo muke wako wajinga wakubwa wezi wakubwa

    • @slayingtee6044
      @slayingtee6044 4 года назад

      Kweli kabisa

    • @estermarco112
      @estermarco112 4 года назад

      ety alinilazimisha na kugoma kwenda nyumbani kwake kwani alimfata huko alikokuwa?asingeenda tuone km yule dada angemfata ety alinilazimisha kwani we mtoo nyoooo!lipeni hela za dada wa watu

    • @festonjoyo8533
      @festonjoyo8533 4 года назад

      Huyu mzee noma sanaa

  • @jamalkimbililo9127
    @jamalkimbililo9127 4 года назад +29

    Ukamuombe msamaha na yule Dada kwa sbb ww ndo ulimtongoza kuma weeee

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 4 года назад +15

    Mwenye makosa mumeo mshenzi usibweke bure hapa mkontrol mumeo bwege

  • @rosemmassy1739
    @rosemmassy1739 4 года назад

    Aliyeskia mungu amevaaa bukta, hajavaa suruwali , like hapo juu

  • @mariajuma7457
    @mariajuma7457 4 года назад +14

    Da Joyce iyo intev imekosewa kwanini waojiwe wakiwa wote ilitakiwa ahojiwe mmoja mmoja ndo wangejing'ata vizuri matapeli hao

    • @njuka3515
      @njuka3515 4 года назад

      Hàjakosea wanatakiwa wawepo wote Kama walivyokuwepo

    • @nirimndeme5932
      @nirimndeme5932 4 года назад

      Ilitakiwa wahojiwe mbalimbali then baadae wasikilize clip ndo ingenoga.
      Hata polisini hawatahojiwa pamoja,kila mtu ataandika statement yake

    • @floramolel4283
      @floramolel4283 4 года назад

      Huyo ni tapeli hakuna mwanaume anaye ongea upuuzi eti ananichanganya chamsingi mrudishieni huyo dada hela zake

    • @pilimaji7651
      @pilimaji7651 4 года назад

      Hakuna uhakika matapeli hao.

  • @ednasichalwe2465
    @ednasichalwe2465 4 года назад +39

    Kama anamfahamu siku nyingi na aliwahi kumuonya mbona kwenye ile video alikuwa anamuuliza alianza lini na mume wake?

    • @saidmiteya7945
      @saidmiteya7945 4 года назад +3

      Liongo sana ilo limama pamoja na lidiwani pumbavu kabisa

    • @danieljackson6655
      @danieljackson6655 4 года назад +3

      Wamefundishwa kusema

    • @faridahamis3354
      @faridahamis3354 4 года назад

      Umeonaeeé.uongo mtupu wanaongea Hawa watu.Nababa anavosema ajanyangwanywa ata Mia alijuaje naaliondoka akaacha msala

    • @takdirkhan9408
      @takdirkhan9408 4 года назад

      Hapo sasa waongo wamekariri ili kujiepusha na msala

    • @aishahela1735
      @aishahela1735 4 года назад

      Umeona uwongo mtupu

  • @consolatalopa3263
    @consolatalopa3263 4 года назад +17

    😂😂😂aliyesikia mungu ameshughulika nae agonge like hapa.kwa hyo mungu alimpiga ile mijikofi na kumkatia cheni huyu mungu wa wapi Dada angu usimshirikishe mungu kwa uovu wako khaaa🤣🤣🤣🤣🤣halafu unasema mung kavaa Nini😂😂😂

    • @happynessnyange9151
      @happynessnyange9151 4 года назад +1

      Da sio kwa uongo huo yaani unavunja mlango watu wamelala wamekuwa wajinga kiasi ganii na ww baba unajidai umelogwa mh

    • @nuruchidisa3946
      @nuruchidisa3946 4 года назад +2

      Me selew mara mevunja mlango mume kakimbia, mwasnaume aseme wammekutwa wamelala Duuuh! Huyu mungu kwanini mnamtania hivyo, na ungekua na mungu hata hicho kipigo ucngempiga huyo dada, mtu Mwenye hofu ya mungu hafanyi Hivyo hata Kama ni hasira bt cjawah ona mrokole anae hukumu

  • @silviafabian7758
    @silviafabian7758 4 года назад

    pole sana dada yangu anayejua ukweli ni Mungu tuu nimejaribu kukuelewa kama mwanamke mwenzio ila naona wengi wanakuhukumu na unaonekana unajielewa ila Mungu na awe muamuzi kati yenu

  • @glorysimon775
    @glorysimon775 4 года назад +32

    Wewe ni muongo ulikuwa humjui huyu Dada mpaka namba yake huna ulikuwa unamuhoji kama humjui kabisa Leo unajifanya unamjua

    • @thomasponera6018
      @thomasponera6018 4 года назад +3

      Kabisa ni muongo, ngoja atakutana na wazee wa kazi watampiga maswali mpaka ataongea Ukweli. Anadhani Mambo ni rahisi hivyo, s
      Siku ya tukio dhairi alikuwa anaonesha hamjui kabisa Leo hii anatuaminisha kwamba walikuwa wanajuana

    • @pamelarombo7940
      @pamelarombo7940 4 года назад +2

      Vile alikua anamchapa, akisema yote iko mtandaoni hawa waongo watakutwa washikwe wawekwe ndani

    • @annembenda3750
      @annembenda3750 4 года назад +1

      Wamepangaaa sana hawa

    • @kipolaina
      @kipolaina 4 года назад +6

      @Flora Paul with draw your statement wadangaji kwio kwani mumeo sikumuuba kaja mwenyewe na ni wako akiwa kwako. Akitoka nje so wako tutabanana tu na ndoa ishamshinda huyo.

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 4 года назад

      Glory mchongo huo ndugu yangu

  • @stevenkalandi6186
    @stevenkalandi6186 4 года назад +62

    hawa wanandoa wamepanga kuongea hivi ili kunusuru ndoa yao ila katika uhalisia wa mazingira yaliyotokea ni wazi kwamba hawa wamepangwa na kupewa shule ukimwona mwanaume tuu maelezo yake yanaonyesha wazi amepangwa 😂 mlango wenyewe uliovunjwa ni upi, mwanaume kaolewa inabidi afate order kutoka upande wa pili

    • @godwindiana6288
      @godwindiana6288 4 года назад +2

      steven kalandi hamna mtu anayepewa juju akajitambua kirahisi hv🙆🏻‍♀️
      haki wamejipanga waitwe wote kwa pamoja wasikilizwe

    • @marysonda1674
      @marysonda1674 4 года назад

      Hawa wamepanga kweli

    • @floridamasawe6346
      @floridamasawe6346 4 года назад

      Maongo haayo wamlipe hela zake majizi nyii

    • @veronicakidolezi6822
      @veronicakidolezi6822 4 года назад +1

      Acheni ujinga.huyo mwanamke Ni kweli kamfilisi mwanamke mwenzake. Hapo hakuna haha ya kumtetea.

    • @ashahemed5657
      @ashahemed5657 4 года назад

      Maneno ya kupangwa mengine unayasahau. Huyo yesu atajwae huona chozi la kila mmoja.

  • @janekikoti2179
    @janekikoti2179 4 года назад +16

    Ulimzalilisha mno yule mwanamke mwenzio akaomba msamaha ulizidi kumpiga tu laki 9 rudisheni acheni chenga zenu.

    • @zulfahalily6095
      @zulfahalily6095 4 года назад

      Yan Aya maelezo yao n ushahid tosha .... maaana wanasema hakua na pesa na pale kwenye clip ya kipigo ilionesha yule mama anasema cjui unashingap Apo cjui unakula pesa za mme wng nachukua na iv pesa

  • @kastokyando5347
    @kastokyando5347 4 года назад

    Pole sana Mungu ndiye shahidi wa kweli