SHETANI SIYO LUCIFER NA DR.MWALUSAMBO I MASWALI NA MAJIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024
  • Rediscovering the Gospel Truth | Kingdom Philosophy | Wednesday Service 3 | October 09, 2024
    Unaposoma Biblia kuna maeneo unaweza usiyaelewa vizuri, kwahiyo ni vyema upate msaada wa kiuelewa.
    Hapa tuna baadhi ya maswali ambayo Dr.Mwalusambo anaenda kuyajibu
    #kingdomphilosophy
    #gospel
    #gospelmessage
    #gospel
    #bible
    #biblestudy
    #musicvideo
    #motivation
    #tanzania
    #kenya
    #africa
    #africachurch
    #usa
    #christian

Комментарии • 6

  • @deussimbeye9531
    @deussimbeye9531 15 дней назад +5

    Baba ubarikiwe nakufatiria mungu akutunze na kuiongezea miaka

  • @grantngonyani4728
    @grantngonyani4728 13 дней назад +1

    Amina Baba nashukuru sana

  • @alphaxardmugabo7848
    @alphaxardmugabo7848 14 дней назад +1

    Hapa mch. Nimekueelewa

  • @simonbundala6382
    @simonbundala6382 3 дня назад

    Ahsante kwa maelezo yako mtumishi wa MUNGU.
    Naomba kujua yafuatayo;-
    (1) Shetani ni jina au neno lililokuwa linatumika kabla ya dhambi kuingia au baada ya dhambi kuingia? Kwa mfano Yakobo baadae aliitwa Islaeri.
    (2) Je, ni kweli kwamba Shetani alimkosea Mungu? Na kama ndiyo alipewa adhabu gani na kwa sasa yupo wapi? Naomba rejea kutoka katika kwenye maaandiko matakatifu.
    Natanguliza shukrani wakati nikusubiri majibu ya maswali yangu maana mimi ni mmoja wa wengi wanaochanganyikiwa kuhusu hili.

  • @enockkilatu41
    @enockkilatu41 14 дней назад +1

    Hakika

  • @KalibaToba
    @KalibaToba 15 дней назад +1

    Dkt,,,
    Huyo Lusifa(Lucifer) ni jina la nani??? Anapatikana kwenye Biblia gani???!!!
    Mbona mnajadili mtu ambaye hajulikani!!!