SHETANI SIYO LUCIFER NA DR.MWALUSAMBO I MASWALI NA MAJIBU
HTML-код
- Опубликовано: 25 окт 2024
- Rediscovering the Gospel Truth | Kingdom Philosophy | Wednesday Service 3 | October 09, 2024
Unaposoma Biblia kuna maeneo unaweza usiyaelewa vizuri, kwahiyo ni vyema upate msaada wa kiuelewa.
Hapa tuna baadhi ya maswali ambayo Dr.Mwalusambo anaenda kuyajibu
#kingdomphilosophy
#gospel
#gospelmessage
#gospel
#bible
#biblestudy
#musicvideo
#motivation
#tanzania
#kenya
#africa
#africachurch
#usa
#christian
Baba ubarikiwe nakufatiria mungu akutunze na kuiongezea miaka
Amina Baba nashukuru sana
Hapa mch. Nimekueelewa
Ahsante kwa maelezo yako mtumishi wa MUNGU.
Naomba kujua yafuatayo;-
(1) Shetani ni jina au neno lililokuwa linatumika kabla ya dhambi kuingia au baada ya dhambi kuingia? Kwa mfano Yakobo baadae aliitwa Islaeri.
(2) Je, ni kweli kwamba Shetani alimkosea Mungu? Na kama ndiyo alipewa adhabu gani na kwa sasa yupo wapi? Naomba rejea kutoka katika kwenye maaandiko matakatifu.
Natanguliza shukrani wakati nikusubiri majibu ya maswali yangu maana mimi ni mmoja wa wengi wanaochanganyikiwa kuhusu hili.
Hakika
Dkt,,,
Huyo Lusifa(Lucifer) ni jina la nani??? Anapatikana kwenye Biblia gani???!!!
Mbona mnajadili mtu ambaye hajulikani!!!