NENO DOGO SANA - BMM Yombo Vituka (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2021
- WIMBO HUU NI ZAWADI KWA ASKOFU MPYA WA JIMBO LA HOMA BAY, ASKOFU MICHAEL OTIENO ODIWA.
Mwenyezi Mungu azidi kumuangazia Nuru ya uso wake ili azidi kuwa nuru kwa mataifa. AMINA.
KWAYA: BIKIRA MARIA MAMA WA MUNGU (BMMM)
PAROKIA: YOHANE WA MUNGU - YOMBO VITUKA
WIMBO: NENO DOGO SANA
MTUNZI: MPEKIS K. SIMBA
KINANDA: GERMANUS MTEMELE
AUDIO: BANALLY RECORDS
VIDEO: STUDIO iRIS PRO
___________________________________________________
On behalf of the African community of Adelaide (South Australia), this song is dedicated to the new Bishop of Homa Bay Diocese, Bishop Michael Otieno ODIWA.
The African community wishes you all the best in your new ministry and this enormous responsibility.
Love your people like you loved us. Видеоклипы
Hongera kwa kazi bora zaidi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu Mtakatifu aliyeweka vipaji hivi ndani yetu atukuzwe katika uimbaji wenu na wanadamu waokolewe 🙏
Hili neno dogo sana
Amina naam hili neno dogo sana
Hongereni. Kazi zenu zi bado nzuri, Mungu awalinde na +kuwabariki katika utume wenu.🙏❤️
Wimbo umetulia, waimbaji wametulia, mpiga kinanda katulia,
sura zimekubaliana na Kamera.
Hongera kwa mwalimu na waimbaji.
Tunategemea mazuri zaidi kutoka kwenu.
Amina sana asante kwa kuendelea kutuamini na daima hatutakuangusha
Wimbo mzuri Sana, Mungu atukuzwe kupitia BMM hamjawahi kukosea
Amina sana asante kwa kutuendelea kutuamini na hatuta kuangusha kamwe
wimbo mzuri sana
Hongereni sanaaaa
Shukrani sana
Kazi ya Bwana idumu daima milele.
Amina sana barikiwa
Mnaimbaa vizuri sana mungu awabariki katika kipaji Chenu cha uiambaji
Hongereni sana Watoto wa Mama kazi nzur sana. Mungu azidi kuwaongoza
Amina sana Gracelidya barikiwa
🔥🔥Kazi nzuri sana
Asante KMDS BOMBAMBILI
Hongeren sana Kazi nzuri💪🏻
Shukrani sana
Kazi ya Bwana
Daima inasongele asante kwa kutuamini Mkubwa Zebby uzidi barikiwa karibu Bmm
Barikiwen familia ya mungu
Amina sana barikiwa nawe
Amina dear
hamjawahi kosea mbarikiwe
Amina mtumishi
Mungu atukuzwe
Milele na milele Loveness uzidi barikiwa
Mungu ni mwema
Kila wakati Mungu ni mwema shukrani sana
Kazi nzuri 👏👏
Shukrani sana
Nyimbo mbovu sana
Ni nzuri kwa Bwana MUNGU
Tunashukuru Mungu kwa hilo
Mawazo yako yanaheshimiwa 🙏🙏
"Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana".
Kwenye masikio ya Mungu ni nzuri sana sio lazima iwe nzur kwako Kwa Mungu inatosha ndio mkabiliaj wa Kila kitu
Mungu anakupenda
Hongeren sana Kazi nzuri 💪🏻
Amina sana shukran
Mungu ni mwema
Kila wakati shukran sana mpendwa
Kila wakati shukran kwa support yako mpendwa barikiwa sana