Tanzama kwaya ya BMM ilivyoimba wimbo wa MSHINDO MKUU kwenye uzinduzi wa album chuo kikuu Ardhi Dsm.
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2022
- Tar 12/06/2022 Kwaya ya BMM YOMBO VITUKA, ilipata mualiko kwenye uzinduzi ya album itwayo MPANGO WA MUNGU iliyoandaliwa na kwaya ya Mt.Theresia wa Mtoto Yesu chuo Kikuu Ardhi Dar es Salaam.
BMM ilipata wasaa wa kutumbuiza hii ni moja ya walizotumbuiza itwayo MSHINDO MKUU iliyotungwa na PIUS PAUL FUBUSA (pPF).
Wimbo: MSHINDO MKUU.
Mtunzi: PIUS PAUL FUBUSA (pPF).
Kinanda: BAHATI CLAUDIO.
Jina la kwaya: BMM (BIKIRA MARIA MAMA WA MUNGU).
Parokia: MT:YOHANE WA MUNGU YOMBO VITUKA DAR ES SALAAM.
Usisahau Ku Subscribe, Like, Share, Comment. Видеоклипы
Salute kwenu Bmm Mungu ibariki kwaya yangu bariki na waimbaji wakewote
Amina
Kamanda kasha sema nan wa kupinga 🙏🙏🙏 asante sana kaka calvin
Salamu zangu ziwafikie ndugu zangu wenyi kwaya BMM!!! Mimi ni Bienfait BASHOKWIRE toka Congo DRC. Kwa kweli nashindwa niseme nini ili furaha iliyo ndani mwangu isikilikane!! Mubarikiwe na muendelee kutangaza neno la Mungu kupitia nyimbo nzuri..... Kwa Mheshimiwa na Mwalimu wangu Pius, wewe umenishangaza kwa kipaji unacho kwa kutunga nyimbo taaaaaaaaaaamu. Pius, pius, pius, God bless maestro. I believe that one day I will also make good songs because I am following in your footsteps!!! I'm not going to get tired, I'm going to work hard!!!
Thanks
Ur welcom
Nashukuru kwa kazi njema wanna BMM, naomba kupata nambari ya mawasiliano, Kuna mziki wa mama mlioimba katika tamasha la radio Maria 2019, naomba kupata tafadhalini
Mungu aendelee kutupa nguvu 💪 🙏 mm ni merry yasin wapendwa
Nasi tunakupenda pia
Nyie nyie … mbona hatarii tyupuu 🥰😍😍saluti kwako Mungu wa wote…🙏
Amina
Mbona Mambo ni fire🔥🔥🔥🔥mambo mareshiiii bmm ni noma aisee Kaz nzur
♥️♥️♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰
Shukrani sana
Jaman jaman barikiwe familia ya bmm hakika nawapenda sana 👏👏
watu mko na siri sana aise.. kumbe kuna vity vizuri huku alafu hamtuambii wenzenu jamani.. Mshindo mkuuu ndo huu sasa
Hii siku nilitamani niwe muimbaji ghafla....yaan sikujuta kuwepo pale UDSM walipoimba kwa mshindo mkuu kwelii
Konki fire moto Bmm is my best
Shukran sana
THIS IS BMM THAT WE WANT....YOU DID WONDERS SANAA
Mungu akutunze Mwl wangu P. Fubusa, Kila la kheri BMM wangu
Hongera mwl kz nzr mikono salama umenikumbusha kwenye kongamano la dekania 🙏🙏
God is good
🥰🥰🥰perfect
🔥🔥safiii
🔥🔥🔥
Mungu atukuzwe mwanadamu atakatifuzwe
Brother Jastin my receptor ni mekumis mno ♥️
Da munatisha mno in shot I love you and i miss u so much
Mungu awabariki sana
Amina sana
Nawakubali sana nawapenda sana
Hongereni Sana Bmm kazi nzuri mnoo🔥🔥
Huu ni mshindo mkuu
Hakika
Hongera san🔥🔥
BMM mambo ni fire Mbarikiwe siku zote
Amina sana
nambari ya mawasiliano jamani
God bless BMM Choir, fantastic 🥰
Thanks
Salute ✊
Hakika BMM Nguvu ya Mungu usiogope.
❤️❤️❤️
Kwel kwa mshndo mkuu bmm no fire
Thanks
Hakika ni mshindo mkuu sifa na Utukufu ni kwake Mungu pekee aliyewezesha haya
Mshindo mkuu Yote ni kwa sifa na Utukufu wake Muumba
Amina
aisee nina shida na copy
Asante Mwl PPF kwa kazi nzuri na wanakwaya wote ...BMM juu zaidi.
God is good