Mt. Don Bosco Kimanga - Tazama ilivyopanda jukwaani 𝗧𝗬𝗠-9 Impala Hall 2021 (live performance)
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- TAZAMA KWAYA YA MT DONBOSCO KIMANGA (𝗞𝗠𝗗) WALIVYOPANDA JUKWAANI 𝗧𝗬𝗠-9 #liveperformance 2021
𝗳𝗼𝗹𝗹𝗼𝘄 𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺 @𝗸𝗺𝗱_𝗸𝗶𝗺𝗮𝗻𝗴𝗮
𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸 𝗞𝗠𝗗 𝗞𝗜𝗠𝗔𝗡𝗚𝗔
Kwaya namba moja kwa sasa Tanzania #sinje mmetisha
Tunawakalibisha Thoma mtume, Goba. Mtupe baraka zaidi
Una uhakik au unaongea tu
Hii piece ya kuingilia ni superb!
Tumshukuru Mungu 👏🏼
MNATISHA MPAKA MACHOZI YANANITOKA!. HONGERENI MNO!.
MWL THOMAS JOSEPH BIG UP
Safi Sana hii
Daaaaaa!nywele zinasisimka KWA upako WA uimbaji huu
Mungu awabariki kwa utume uliotukuka donbsco kwaya
Saaafi Sanaa
TYM 10, Tunaanza na TYM CUP dhidi ya KKT KIJITONYAMA.
Karibuni Tabata Kimanga, Shule ya Wazazi.
Hongereni Donbosco kwaya yangu pendwa ya kimanga
Kwaya Mt Don Bosco nawapenda mno na mwenyezi MUNGU awabariki mno TUDUMU Katika UTUME wa uimbaji🔥🔥🔥🙏👍🥰mko JUU nawaombea.
Amina
Duuuuuuu harufu ya uwepo wa Mungu jamani!
Increedible@Kmd
Nyc1
Nawapenda bure Don Bosco....Don Bosco Safi sana
Nafurahi sana kuona kwaya tuliyoianzisha enzi za madam Restuta,sasa inawika,Mungu awabariki sana
Mmetisha sana Bwana Shemej
Niceee saaaafii saaana
Sifa kwa Mungu 🙏🏼
Safi SANA🔥🔥
Mtiribu mapigo sijui alisahau
Vibe la vocal linasisimua sana,
Mambo yalikuwa safi sana👏👏👏
Kila muda najiangalia safiiiii sanaaa
This is nice🤩🤩 Don Bosco media Safi sanaaaa👏👏💪 I'm proud of this family🙏
Moto uliwaka 🔥🔥
Baraka kama baraka @mungu akubarik organist wa product of ruaha university
Good job mwalimu Thomas
Hakika mnastahili kuwa Tz One, maana sio kwa sauti hizo zilizoshiba na zenye Afyaaaaa tele, kwa kweli Mbarikiwe Sana💯🎶🎶🎵
Waoooo my one and only family I have in this world 👏👏👏👏👏👏👏👏
Hapa una Mwal. Thom kule kwenye Mashine Mtaalamu Mashibe. Dah!
🎺🎺🎺🎺🎺🎺MUNGU atukuzwe Daima
I loved the entry style and attire. Keep it up Don Bosco, Kimanga
But thanks be to God 🙏🏼
Safi sana
Mmeimba vizuri waungwana. Mungu awabariki.
Mpaka raha ani, kunwimbia Mungu raha sana nimewapenda
barikiwa jeshi kubwa.., donbosco eeeh leo tunamuona Mungu ktk sura za wahtaj 🥰😍😍😍
✅✅✅🙏👏🏻👏🏻👏🏻
Tumshukuru Mungu kwa yote
"Ni vema kumwimbia Mungu wetu, Maana kwapendeza, kusifu ni kuzuri" zab. 147
Hongera sana DonBosco, Mungu azidi kuinuliwa na akajitukuze kupitia vinywa vyenu 🙏
Tumshukuru Mungu kwa yote 🙏🏼
Waaaaooh kazi nzurii jaman
Amasing🙌
Aweeeeeeee!!! Safi sanaaaaa
😘😘😘😘🙏
The entrance song is just woow😍😍
I love you so much guys jah bless you all
BIG
Iko poaa😘😘
Amina
TO BE CONTINUED
Safiii
Siongei kitu ase hiki nilichokiongea moyoni kinatosha tu
Tumshukuru Mungu 🙏🏼
Eti na mm nijiona hahahaha
❤❤
Bodo ya motoo