Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!
Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini Kweli Bwana wewe ni mwema sana Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kwa kuwa humtupi anayekutumainia Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kanuni za dunia zikavunja matumaini Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe < h i t i m i s h o> [t|b] Naimba he he, naimba leo Naimba he he, naimba mimi Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili, Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu Makusudi ili nione ukuu wako Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu Marafiki wanijali, wanisaidie Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia; [w] Utukufu ni wako milele Sifa heshima ni vyako daima Wewe peke yako unastahili Usifiwe na uhimidiwe! Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.
Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake
Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote! Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina
Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana. Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti
11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji
Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.
A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.
I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you
Yesu ni Mwema ni moja kati ya nyimbo za kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi zisizonichosha kusikiliza,maana zausifu wema wa Mungu na hakika Yesu ni mwema sana.Mungu akubariki sana mtunzi B.Mukasa na kwaya yote
Huu wimbo hunipa motisha sana kwa maisha!YESU NI MWEMA,TUJIPE MOYO TUSIHOFU KITU KAMWE,Organist naomba tu tafadhali,unigawie hiyo talanta,naomba!!!You make songs zinakua na feelings moto Waah!!tugawie na Mungu akubariki
Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music.. Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)
one of my favourite song ever...nnapofeel down daima nawaza haya yaliyoimbwa na kwaya hii ata mara ingine hufikiri kweli hapa nlpo loe isingekua Yesu wangu mpenz nisingeweza ata kidogo ata marafiki na familia ni yy amenipatia...kweli daima natembea kwa ujasiri nikijua yeye ndio fimbo na ngao yangu
Nimetafakari haya yote nashindwa kuelewa binadamu angenipaa neema kweli ningemulipa zaidi lakini wewe yesu ni mwema kwa kila jambo inanipa mvuto zaidi ili nipate kujuwa yesu ni mwema kila wakati mubarikiwe sana wimbo mtamu unatufundisha tuwe na imani na subira.
Mbarikiwe sana,naipenda sana huu wimbo,namkumbuka marehemu mama siku ya msiba tulikesha tukimshukuru Mungu kwa kuvuna alichokuwa amepanda,r.i.p Appollo
This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke
Pindi ninapo usikiliza wimbo huu,YESU NI MWEMA.na kutafakari nakuwa furaha na amani tele,endeleeni kuinjilisha kwa njia ya nyimbo na;MUNGU AWABARIKI, mt.kizito makuburi choir.
Hongera mtunzi wa kwaya hii
Who's here in 2024
Am here oooo 🙏🙏🙏
2024 bwana Yesu asifiwe
Natamani kujiunga na kwaya hii
Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!
SIFA NA UTUKUFU NI ZAKO MILELE 🙏
Nimeanza mwaka 2024 na huu wimbo, naona nina kila sababu ya kusimulia ukuu wa Mungu siku zote za maisha yangu. 🎉🎉🎉❤
Huu wimbo nasikianga ukinibariki sana
Huu wimbo sisemi k2 kabisa
It's 2024 still the song like of yesterday,can't get enough of it🙏🙏
Hata ipte miaka 100 nikiwa dunian .,,
Huu ndio wimbo wangu pendwa namba 1
Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa
Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi
Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira
Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani
Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini
Kweli Bwana wewe ni mwema sana
Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema
Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kwa kuwa humtupi anayekutumainia
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kanuni za dunia zikavunja matumaini
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
< h i t i m i s h o>
[t|b] Naimba he he, naimba leo
Naimba he he, naimba mimi
Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili,
Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho
Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu
Makusudi ili nione ukuu wako
Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu
Marafiki wanijali, wanisaidie
Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia;
[w] Utukufu ni wako milele
Sifa heshima ni vyako daima
Wewe peke yako unastahili
Usifiwe na uhimidiwe!
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante
Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Good job
wanted this thank you
Thank you very much ubarikiwe kupindukia
Bwana asifiwe na furaishwa na wimbo huyu ... from DRCongo
Miongoni mwa tungo bora zaidi kuwahi kutokea kwenye kwaya za Tanzania. Be blessed
hongereni sana twangoja vibao vingine Mungu na awajalie neema
I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.
Nasisimkwa mwili kusikilizia wimbo huu....una uvuvio wa roho Mtakatifu. Kazi nzuri kumsifu Mungu
Wanakizito hongereni...huu wimbo ata Cjui niseme nini jamani...dah!! Naupenda sana..nausikiza kila siku na c choki,Asanteni Sana,barikiweni!!!!!
Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake
asante mungu maana huu wimbo nimeutafuta nashukuru kwa kuupata . barikiwe sana kwa uwimbaji wenu . by amina nchimbi
Hata nikiwa sina chakula niusikilizapo huu mwimbo naona Amani tele moyoni na njaa haipo tena mt kizito mbarikiwe sana
Mungu ape nguvu Tena atunge nyimbo nzur Sana ubarikiwe Sana 2:54
Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote!
Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina
Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana.
Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti
Huu wimbo kila niusikiapo unakua mpya masikion mwangu haakika Mungu ni mwema
11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji
Ni, 2007 rafiki😂... so, ni miaka 16 tangia wareckord audio na ku-shoot video
NYIMBO INA MANENO MAZURI SANA KWELIMWANADAMU ANGENIPA NEEMA ANGENIDAI SIKUMOJA ILANEEMA YAKO MUNGU HAINA KIKOMO, NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUA UMENIONA
Mungu ni mwema nyimbo nzury sana mbarikiwe sana
Mbarikiwe sana hakika nafarijika sana nikisikiliza nyimbo zenu.hakika yesu ni mwema ck zote
Mungu awabariki sana
Mubarikiwe makuburi kwa nyimbo zenu
Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.
ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe ,jamani kakangu mukasa hongera saana
Yesu ni mwema kilasiku mungu awazidishie vipaji
2020 Yesu ni mwema anazidi kutupa baraka tele heri wale ote wanaomtumainia
It is truly said that "old is gold". I've always loved this song since the first time I watched it in 2013. 👏👏
It's now 2023 and the song still afresh in our play list 😀😀
Nakumbuka enzi hizo nafanya kazi iringa za ndani tulikuwa yunasikiliza kipitia redio Maria 2009- hadi leo28/ 01/2020 Yesu ni mwema
Live long Bernard Mukasa😍😍😘😋🎶🛐🛐🛐🛐🛐🛐
This man Bernard, God bless him for His own glory.God bless whoever finds comfort in this Godly inspired song, Amen
Yesu ni Mwema Yesu ni Mwema..my favourite catholic song.,getting to watch this Choir perfoming live is a real life blessing..
yesu kweli ni mwema sana mungu wetu yupo hai
Hakika Yesu ni mwema sana fadhili zake ni za milele
This song never die,me watching 2023🙌
Ni kweli Yesu ni mwema dunia nzima mpate kujua jamani any one watch with me may 14 2020
Nitasimulia nchi, Yesu mwema!!
Super! Super! Great voices and spirit!!!!
A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.
O
@@petertemu6431
Ppp
I feel much blessed with this song every time. Proud to be a Roman Catholic believer .in the name of the father the son and of the Holy spirit Amen!
yesu no mwema katika maisha ya kila mwanadamu amina
Huu wimbo naupenda sana.... the organist , the vocals....wacha tu. Mbarikiwe tena na tena.
😊 tupo apa leo
After meeting Zacharia in person i had to look for his name everywhere and im realizing you are here. My favorite song, God bless you brother
Several years down the line, but this song never grows down mtunzi alituliza kichwa akaja na sala hii be blessed.
Aaaàll. À a a a a. A à
9 eh
Fffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffgfyyyyhftfw
@@angie_dance254 kkik88kkkikkkkk8kkkik8kikkikkkkkkkkk8kkk8kkkkkikkkkk8kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkikkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
Indeed
This song doesn't get old,,I like it...the sweetness of being a catholic😍😍😍
Actually,Yesu ni mwema,kazi njema.Mbarikiwe sana.
Nyimbo nzuri Sana imenifariji sana
2023 Utukufu ni wako milele
Today I lost the Teacher Who made me know about the existence of this Hymn😢, It Will forever be special
Amen amen amen nimebarikiwa sana🙏🙏🙏🙏
Mbalikiwe San wapendw wote mnaoskiliz nyimbo za din
Mi
Hongereni kwa nyimbo zenu zenye ujumbe na majitoleo makubwa..Mungu awajarie uharisia katika myoyo yenu..uharisia wa nyimbo zenu
I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you
Yesu ni Mwema 🙏
Nabarikiwa sanaaa
Hadi raha jamani
Napenda sana kwaya mt kizito wako vizuri hasa kwenye wimbo wa yesu ni mwema mungu hawabariki
Who is here in 2023?🔥
Mungu awalinde sana, wengine mmekulia hukuhuku jamani, Mungu naomba uwabariki
i like Catholic Church for ever in my life but i like that song,be blessed all Roman catholic
kwa kweli Benard mukasa amepakwa mafuta ana kipaji cha sana cha kuandika vigongo,huwa anatubariki sana na kwaya yote,barikiwa
Naipenda San hii nyimbo jaman
Yesu ni Mwema ni moja kati ya nyimbo za kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi zisizonichosha kusikiliza,maana zausifu wema wa Mungu na hakika Yesu ni mwema sana.Mungu akubariki sana mtunzi B.Mukasa na kwaya yote
Mungu ongoza jahazi l ako wasikate taamaa
Uwiiii imeimbwa Leo kanisani wote tumesimama na kucheza hakika yesu ni mwema
I thought it was a new song kumbe it's this old ❤
Dah! Tusife moyo tu jamani,.....Ni Mwema kweli.
11 yrs ago and still rocking.....I can only recognize two singers who are still active in this choir to date. May God bless them and KMK at large🙏
Kwani wengine walienda wapi??
mtunzi alipata ufunuo hata akatunga nyimbo hii amenigusa tumshukuru MUNGU
Huu wimbo hunipa motisha sana kwa maisha!YESU NI MWEMA,TUJIPE MOYO TUSIHOFU KITU KAMWE,Organist naomba tu tafadhali,unigawie hiyo talanta,naomba!!!You make songs zinakua na feelings moto Waah!!tugawie na Mungu akubariki
Hongera wanakwaya ya mt kizito kweli mnatisha kwa nyimbo zenu tamu
Jayne Joseph
Barikiweni jamani, Mimi ni Msabato lkn nyimbo zenu zinanibariki saana
Mimi ni mroma lakini hata za kwenu pia zinanibariki sana
I love your songs too
@@Rosette8474 😂😂😂
Esag7hf is
@@peterjamesnjoroge4842 hh
Yesu ni mwema nakupenda yesu kristu
Sawa wachangiaji ila ni 'Mungu ' badala ya 'mungu' ....Yesu badala ya 'yesu'
Muhimu sana kukumbuka hili...-Mungu- na siyo -mungu-
Good harmony .Good organist ❤❤❤❤❤❤❤
Hata sasa yesu ni mwema🙏🙏
mungu apariki kanisa letu katholiki na watunzi wetu wenye kibaji na neno LA mungu ienee kote
Huu wimbo unanisisimua hadi sijielewi. Yesu ni Mwema. Yesu ni mwema
be blessed St kizito choir I sincerely love this song I also belongs to St kizito small Christian community baragoi catholic church
Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani,...........hakina wewe ni mwema. Kizito Nawapenda, Barikiweni
Kweli Yesu ni mwema maishani mwetu. Yeye kajitoa mhanga kwa ajili ya maisha yetu. Mbarikiwe Sana.
Nipo shinyanga lkn parokia ya buhangija lakini ni shabiki sana wa hii kwaya inaimba vizuri km mmeniona ujumbe huu gonga like
Nawapenda sana makuburi kwaya
Hata sasa YESU ni mwema kwangu, sitochoka kutaja jina. Asante YESU kwa wema wako kwng. 🙏
Amina sana nyote
How I wish I were one these people!!!!!!! Your songs really uplift me spiritually.
Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music..
Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)
one of my favourite song ever...nnapofeel down daima nawaza haya yaliyoimbwa na kwaya hii ata mara ingine hufikiri kweli hapa nlpo loe isingekua Yesu wangu mpenz nisingeweza ata kidogo ata marafiki na familia ni yy amenipatia...kweli daima natembea kwa ujasiri nikijua yeye ndio fimbo na ngao yangu
Nimetafakari haya yote nashindwa kuelewa binadamu angenipaa neema kweli ningemulipa zaidi lakini wewe yesu ni mwema kwa kila jambo inanipa mvuto zaidi ili nipate kujuwa yesu ni mwema kila wakati mubarikiwe sana wimbo mtamu unatufundisha tuwe na imani na subira.
Lalumba lumba nakuona hongereni sana jamani
Mbarikiwe sana,naipenda sana huu wimbo,namkumbuka marehemu mama siku ya msiba tulikesha tukimshukuru Mungu kwa kuvuna alichokuwa amepanda,r.i.p Appollo
This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke
Mungu awabariki saaana kwa wimbo mzur.
Yaan nikisikiia hz nyimbo naona kama hakuna kfooo mungu atuszidie
Yesu ni mwema indeed,done alot for me.praises forever for Him..Kenya fully represented
Pindi ninapo usikiliza wimbo huu,YESU NI MWEMA.na kutafakari nakuwa furaha na amani tele,endeleeni kuinjilisha kwa njia ya nyimbo na;MUNGU AWABARIKI, mt.kizito makuburi choir.
thanks Jesus, nimebarikiwa sana kwa wimbo huu wa yesu ni mwema...Mungu awabariki sana wanakwaya na azidi kuwatia nguvu
Hakika Ni mwema Sana Bwana Yesu.Amina.