Mt. Kizito Makuburi-YESU NI MWEMA, (official music video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 май 2011
  • Wimbo huu ni utunzi wa Bernard Mukasa, ulirekodiwa na kuimbea na Kmk Makuburi katika album ya Nyumba ya Roho

Комментарии • 784

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei Месяц назад +4

    Hongera mtunzi wa kwaya hii

  • @beatriceloyang
    @beatriceloyang 2 месяца назад +26

    Who's here in 2024

  • @pattypatty9315
    @pattypatty9315 2 месяца назад +8

    2024 bwana Yesu asifiwe

  • @SiloRosy-oz1lw
    @SiloRosy-oz1lw 11 месяцев назад +6

    Natamani kujiunga na kwaya hii

  • @immanicoikonko5287
    @immanicoikonko5287 4 месяца назад +23

    Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!

  • @FraiscaNestory
    @FraiscaNestory Месяц назад +3

    SIFA NA UTUKUFU NI ZAKO MILELE 🙏

  • @mauruskomba9187
    @mauruskomba9187 6 месяцев назад +20

    Nimeanza mwaka 2024 na huu wimbo, naona nina kila sababu ya kusimulia ukuu wa Mungu siku zote za maisha yangu. 🎉🎉🎉❤

  • @JeremiahMatuku-wb3fi
    @JeremiahMatuku-wb3fi 2 месяца назад +5

    Huu wimbo nasikianga ukinibariki sana

  • @shukuranizawadi
    @shukuranizawadi Год назад +5

    Huu wimbo sisemi k2 kabisa

  • @PerisMokeira
    @PerisMokeira 5 месяцев назад +5

    It's 2024 still the song like of yesterday,can't get enough of it🙏🙏

  • @Ellybeny
    @Ellybeny Год назад +12

    Hata ipte miaka 100 nikiwa dunian .,,
    Huu ndio wimbo wangu pendwa namba 1

  • @winniem8115
    @winniem8115 4 года назад +44

    Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa
    Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi
    Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira
    Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani
    Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini
    Kweli Bwana wewe ni mwema sana
    Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema
    Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Kwa kuwa humtupi anayekutumainia
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Kanuni za dunia zikavunja matumaini
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    < h i t i m i s h o>
    [t|b] Naimba he he, naimba leo
    Naimba he he, naimba mimi
    Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili,
    Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho
    Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu
    Makusudi ili nione ukuu wako
    Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu
    Marafiki wanijali, wanisaidie
    Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia;
    [w] Utukufu ni wako milele
    Sifa heshima ni vyako daima
    Wewe peke yako unastahili
    Usifiwe na uhimidiwe!
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
    Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante
    Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante

  • @benoitwaziri2004
    @benoitwaziri2004 4 года назад +6

    Bwana asifiwe na furaishwa na wimbo huyu ... from DRCongo

  • @pasiensiabel7278
    @pasiensiabel7278 Год назад +4

    Miongoni mwa tungo bora zaidi kuwahi kutokea kwenye kwaya za Tanzania. Be blessed

  • @taracisiogikonyo9989
    @taracisiogikonyo9989 5 лет назад +3

    hongereni sana twangoja vibao vingine Mungu na awajalie neema

  • @aggreyotieno
    @aggreyotieno 8 месяцев назад +5

    I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 3 года назад +2

    Nasisimkwa mwili kusikilizia wimbo huu....una uvuvio wa roho Mtakatifu. Kazi nzuri kumsifu Mungu

  • @antonynganga4186
    @antonynganga4186 4 года назад +11

    Wanakizito hongereni...huu wimbo ata Cjui niseme nini jamani...dah!! Naupenda sana..nausikiza kila siku na c choki,Asanteni Sana,barikiweni!!!!!

  • @khairatzinzibar1434
    @khairatzinzibar1434 5 лет назад +2

    Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake

  • @nelsonnchimbi5869
    @nelsonnchimbi5869 5 лет назад +2

    asante mungu maana huu wimbo nimeutafuta nashukuru kwa kuupata . barikiwe sana kwa uwimbaji wenu . by amina nchimbi

  • @veronicamgimba5964
    @veronicamgimba5964 Год назад +2

    Hata nikiwa sina chakula niusikilizapo huu mwimbo naona Amani tele moyoni na njaa haipo tena mt kizito mbarikiwe sana

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz Год назад +4

    Mungu ape nguvu Tena atunge nyimbo nzur Sana ubarikiwe Sana 2:54

  • @anatolyandrew7777
    @anatolyandrew7777 4 года назад +2

    Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote!
    Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina

  • @georgelucas8031
    @georgelucas8031 4 года назад +3

    Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana.
    Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti

  • @TibyondimuJooo
    @TibyondimuJooo 3 месяца назад +1

    Huu wimbo kila niusikiapo unakua mpya masikion mwangu haakika Mungu ni mwema

  • @metrinenasimiyu7588
    @metrinenasimiyu7588 Год назад +2

    11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji

    • @magdalenakulwa4802
      @magdalenakulwa4802 Год назад +1

      Ni, 2007 rafiki😂... so, ni miaka 16 tangia wareckord audio na ku-shoot video

  • @Martha4422
    @Martha4422 13 лет назад +3

    NYIMBO INA MANENO MAZURI SANA KWELIMWANADAMU ANGENIPA NEEMA ANGENIDAI SIKUMOJA ILANEEMA YAKO MUNGU HAINA KIKOMO, NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUA UMENIONA

  • @peterevalest-gp7md
    @peterevalest-gp7md Год назад +2

    Mungu ni mwema nyimbo nzury sana mbarikiwe sana

  • @rahelmanyama6338
    @rahelmanyama6338 6 лет назад +2

    Mbarikiwe sana hakika nafarijika sana nikisikiliza nyimbo zenu.hakika yesu ni mwema ck zote

  • @user-in6me1mx5p
    @user-in6me1mx5p Год назад +5

    Mungu awabariki sana

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 Год назад +2

    Mubarikiwe makuburi kwa nyimbo zenu

  • @whiteirambona5544
    @whiteirambona5544 4 года назад +2

    Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.

  • @neemasaringe3307
    @neemasaringe3307 6 лет назад +1

    ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe ,jamani kakangu mukasa hongera saana

  • @fedhakamili942
    @fedhakamili942 5 лет назад +2

    Yesu ni mwema kilasiku mungu awazidishie vipaji

  • @justinemaingu1460
    @justinemaingu1460 4 года назад +2

    2020 Yesu ni mwema anazidi kutupa baraka tele heri wale ote wanaomtumainia

  • @PaulineNzioka-tc7iy
    @PaulineNzioka-tc7iy 6 месяцев назад +2

    It is truly said that "old is gold". I've always loved this song since the first time I watched it in 2013. 👏👏

  • @eplisbackchannel2358
    @eplisbackchannel2358 Год назад +6

    It's now 2023 and the song still afresh in our play list 😀😀

  • @NeemaKmussa
    @NeemaKmussa 4 года назад +3

    Nakumbuka enzi hizo nafanya kazi iringa za ndani tulikuwa yunasikiliza kipitia redio Maria 2009- hadi leo28/ 01/2020 Yesu ni mwema

  • @dannjoroge2002
    @dannjoroge2002 Год назад +3

    Live long Bernard Mukasa😍😍😘😋🎶🛐🛐🛐🛐🛐🛐

    • @esthernzioka8988
      @esthernzioka8988 29 дней назад

      This man Bernard, God bless him for His own glory.God bless whoever finds comfort in this Godly inspired song, Amen

  • @benmshongi3411
    @benmshongi3411 2 года назад +16

    Yesu ni Mwema Yesu ni Mwema..my favourite catholic song.,getting to watch this Choir perfoming live is a real life blessing..

  • @petermbinga3128
    @petermbinga3128 5 лет назад +2

    yesu kweli ni mwema sana mungu wetu yupo hai

  • @mvellahanibarick3388
    @mvellahanibarick3388 2 года назад +1

    Hakika Yesu ni mwema sana fadhili zake ni za milele

  • @alexblazi4678
    @alexblazi4678 Год назад +2

    This song never die,me watching 2023🙌

  • @tasharosre6026
    @tasharosre6026 4 года назад +2

    Ni kweli Yesu ni mwema dunia nzima mpate kujua jamani any one watch with me may 14 2020

  • @jacklinechepkoech1865
    @jacklinechepkoech1865 4 года назад +8

    Nitasimulia nchi, Yesu mwema!!
    Super! Super! Great voices and spirit!!!!

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 5 лет назад +49

    A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.

  • @martinmuthuititotitomuthui3383
    @martinmuthuititotitomuthui3383 4 года назад +18

    I feel much blessed with this song every time. Proud to be a Roman Catholic believer .in the name of the father the son and of the Holy spirit Amen!

  • @alexminde3129
    @alexminde3129 7 лет назад +1

    yesu no mwema katika maisha ya kila mwanadamu amina

  • @martinodhiambo1639
    @martinodhiambo1639 Год назад +3

    Huu wimbo naupenda sana.... the organist , the vocals....wacha tu. Mbarikiwe tena na tena.

  • @mercychepkorir656
    @mercychepkorir656 2 месяца назад +1

    After meeting Zacharia in person i had to look for his name everywhere and im realizing you are here. My favorite song, God bless you brother

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 5 лет назад +53

    Several years down the line, but this song never grows down mtunzi alituliza kichwa akaja na sala hii be blessed.

    • @philiposungu8035
      @philiposungu8035 3 года назад

      Aaaàll. À a a a a. A à

    • @angie_dance254
      @angie_dance254 2 года назад

      9 eh

    • @nyamohangamahemba534
      @nyamohangamahemba534 Год назад

      Fffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffgfyyyyhftfw

    • @puritywanjiku181
      @puritywanjiku181 Год назад

      @@angie_dance254 kkik88kkkikkkkk8kkkik8kikkikkkkkkkkk8kkk8kkkkkikkkkk8kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkikkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk

    • @julianakitinde7913
      @julianakitinde7913 Год назад +1

      Indeed

  • @veronicasyombua6193
    @veronicasyombua6193 2 года назад +15

    This song doesn't get old,,I like it...the sweetness of being a catholic😍😍😍

  • @fadhilawashiku7
    @fadhilawashiku7 3 года назад +2

    Actually,Yesu ni mwema,kazi njema.Mbarikiwe sana.

  • @HappyJaakim
    @HappyJaakim 23 дня назад +1

    Nyimbo nzuri Sana imenifariji sana

  • @abelkaka9266
    @abelkaka9266 Год назад +6

    2023 Utukufu ni wako milele

  • @Cilouh_Music
    @Cilouh_Music 8 месяцев назад +7

    Today I lost the Teacher Who made me know about the existence of this Hymn😢, It Will forever be special

  • @polinesagina-ut1rs
    @polinesagina-ut1rs Год назад +2

    Amen amen amen nimebarikiwa sana🙏🙏🙏🙏

  • @lilianpatrick3990
    @lilianpatrick3990 4 года назад +4

    Mbalikiwe San wapendw wote mnaoskiliz nyimbo za din

  • @anthonygambishi5580
    @anthonygambishi5580 6 лет назад +1

    Hongereni kwa nyimbo zenu zenye ujumbe na majitoleo makubwa..Mungu awajarie uharisia katika myoyo yenu..uharisia wa nyimbo zenu

  • @emmanuelsadiki7160
    @emmanuelsadiki7160 8 лет назад +38

    I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you

  • @floramarco255
    @floramarco255 Год назад +3

    Yesu ni Mwema 🙏

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei Месяц назад +2

    Nabarikiwa sanaaa

  • @zinedinezidane2129
    @zinedinezidane2129 Год назад +3

    Hadi raha jamani

  • @angelkaiyula6980
    @angelkaiyula6980 6 лет назад +1

    Napenda sana kwaya mt kizito wako vizuri hasa kwenye wimbo wa yesu ni mwema mungu hawabariki

  • @josephkhanyereri9405
    @josephkhanyereri9405 Год назад +5

    Who is here in 2023?🔥

  • @dominashirima873
    @dominashirima873 4 года назад +1

    Mungu awalinde sana, wengine mmekulia hukuhuku jamani, Mungu naomba uwabariki

  • @restitutamartin7455
    @restitutamartin7455 8 лет назад +93

    i like Catholic Church for ever in my life but i like that song,be blessed all Roman catholic

    • @jeanmubemba1204
      @jeanmubemba1204 5 лет назад +2

      kwa kweli Benard mukasa amepakwa mafuta ana kipaji cha sana cha kuandika vigongo,huwa anatubariki sana na kwaya yote,barikiwa

  • @witinessnombo4717
    @witinessnombo4717 5 лет назад +2

    Naipenda San hii nyimbo jaman

  • @jamesmwasambili381
    @jamesmwasambili381 8 лет назад +15

    Yesu ni Mwema ni moja kati ya nyimbo za kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi zisizonichosha kusikiliza,maana zausifu wema wa Mungu na hakika Yesu ni mwema sana.Mungu akubariki sana mtunzi B.Mukasa na kwaya yote

    • @fredmsemwa9671
      @fredmsemwa9671 5 лет назад

      Mungu ongoza jahazi l ako wasikate taamaa

  • @rosepiere1857
    @rosepiere1857 3 года назад

    Uwiiii imeimbwa Leo kanisani wote tumesimama na kucheza hakika yesu ni mwema

  • @tarryfahy4317
    @tarryfahy4317 6 месяцев назад +3

    I thought it was a new song kumbe it's this old ❤

  • @deogratiussweke5007
    @deogratiussweke5007 4 года назад +1

    Dah! Tusife moyo tu jamani,.....Ni Mwema kweli.

  • @marymimina
    @marymimina Год назад +13

    11 yrs ago and still rocking.....I can only recognize two singers who are still active in this choir to date. May God bless them and KMK at large🙏

  • @emanuelmgana7066
    @emanuelmgana7066 9 лет назад +8

    mtunzi alipata ufunuo hata akatunga nyimbo hii amenigusa tumshukuru MUNGU

  • @raphaelomwenga5436
    @raphaelomwenga5436 5 лет назад +1

    Huu wimbo hunipa motisha sana kwa maisha!YESU NI MWEMA,TUJIPE MOYO TUSIHOFU KITU KAMWE,Organist naomba tu tafadhali,unigawie hiyo talanta,naomba!!!You make songs zinakua na feelings moto Waah!!tugawie na Mungu akubariki

  • @jaynejoseph8368
    @jaynejoseph8368 9 лет назад +10

    Hongera wanakwaya ya mt kizito kweli mnatisha kwa nyimbo zenu tamu

  • @jaelmgassa3332
    @jaelmgassa3332 7 лет назад +99

    Barikiweni jamani, Mimi ni Msabato lkn nyimbo zenu zinanibariki saana

  • @lelo3106
    @lelo3106 Год назад +1

    Yesu ni mwema nakupenda yesu kristu

  • @mkobapoli915
    @mkobapoli915 7 лет назад +2

    Sawa wachangiaji ila ni 'Mungu ' badala ya 'mungu' ....Yesu badala ya 'yesu'

  • @ogerotheibelius8028
    @ogerotheibelius8028 Год назад +2

    Good harmony .Good organist ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei 2 месяца назад +1

    Hata sasa yesu ni mwema🙏🙏

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 5 лет назад +1

    mungu apariki kanisa letu katholiki na watunzi wetu wenye kibaji na neno LA mungu ienee kote

  • @bonatasha176
    @bonatasha176 5 лет назад +1

    Huu wimbo unanisisimua hadi sijielewi. Yesu ni Mwema. Yesu ni mwema

  • @kuwomdaniel1982
    @kuwomdaniel1982 6 лет назад +8

    be blessed St kizito choir I sincerely love this song I also belongs to St kizito small Christian community baragoi catholic church

  • @kabusinjaanselimi392
    @kabusinjaanselimi392 7 лет назад

    Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani,...........hakina wewe ni mwema. Kizito Nawapenda, Barikiweni

  • @robertmose2428
    @robertmose2428 2 года назад +1

    Kweli Yesu ni mwema maishani mwetu. Yeye kajitoa mhanga kwa ajili ya maisha yetu. Mbarikiwe Sana.

  • @sojinkuba4746
    @sojinkuba4746 4 года назад +16

    Nipo shinyanga lkn parokia ya buhangija lakini ni shabiki sana wa hii kwaya inaimba vizuri km mmeniona ujumbe huu gonga like

  • @tryphonemkolokoti7734
    @tryphonemkolokoti7734 5 лет назад +1

    Nawapenda sana makuburi kwaya

  • @mamelitangemela5967
    @mamelitangemela5967 3 года назад

    Hata sasa YESU ni mwema kwangu, sitochoka kutaja jina. Asante YESU kwa wema wako kwng. 🙏

  • @georgemercy5779
    @georgemercy5779 7 лет назад +18

    How I wish I were one these people!!!!!!! Your songs really uplift me spiritually.

  • @zachariagerald
    @zachariagerald  11 лет назад +6

    Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music..
    Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)

  • @graciouzbae8106
    @graciouzbae8106 8 лет назад +2

    one of my favourite song ever...nnapofeel down daima nawaza haya yaliyoimbwa na kwaya hii ata mara ingine hufikiri kweli hapa nlpo loe isingekua Yesu wangu mpenz nisingeweza ata kidogo ata marafiki na familia ni yy amenipatia...kweli daima natembea kwa ujasiri nikijua yeye ndio fimbo na ngao yangu

  • @catherinenaliaka1125
    @catherinenaliaka1125 7 лет назад +11

    Nimetafakari haya yote nashindwa kuelewa binadamu angenipaa neema kweli ningemulipa zaidi lakini wewe yesu ni mwema kwa kila jambo inanipa mvuto zaidi ili nipate kujuwa yesu ni mwema kila wakati mubarikiwe sana wimbo mtamu unatufundisha tuwe na imani na subira.

    • @annakalihamwe8385
      @annakalihamwe8385 4 года назад

      Lalumba lumba nakuona hongereni sana jamani

    • @annakalihamwe8385
      @annakalihamwe8385 4 года назад

      Mbarikiwe sana,naipenda sana huu wimbo,namkumbuka marehemu mama siku ya msiba tulikesha tukimshukuru Mungu kwa kuvuna alichokuwa amepanda,r.i.p Appollo

  • @natashajunior4500
    @natashajunior4500 5 лет назад +7

    This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke

  • @gracekisinde6476
    @gracekisinde6476 4 года назад +1

    Mungu awabariki saaana kwa wimbo mzur.

  • @izackgarimoshi6828
    @izackgarimoshi6828 4 года назад

    Yaan nikisikiia hz nyimbo naona kama hakuna kfooo mungu atuszidie

  • @carolinechelangat9011
    @carolinechelangat9011 Год назад +1

    Yesu ni mwema indeed,done alot for me.praises forever for Him..Kenya fully represented

  • @alexnicholaus9974
    @alexnicholaus9974 11 лет назад +1

    Pindi ninapo usikiliza wimbo huu,YESU NI MWEMA.na kutafakari nakuwa furaha na amani tele,endeleeni kuinjilisha kwa njia ya nyimbo na;MUNGU AWABARIKI, mt.kizito makuburi choir.

  • @monicafranky7115
    @monicafranky7115 7 лет назад +6

    thanks Jesus, nimebarikiwa sana kwa wimbo huu wa yesu ni mwema...Mungu awabariki sana wanakwaya na azidi kuwatia nguvu

  • @johnsakala.9442
    @johnsakala.9442 5 месяцев назад

    Hakika Ni mwema Sana Bwana Yesu.Amina.