MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE - USIANZISHE VITA AMBAYO MUNGU HAJASEMA ANZISHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: www.youtube.co....
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ MAFUNDISHO: www.youtube.co....
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: www.youtube.co....
    ⚫️ UCHUMI: www.youtube.co....
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: www.youtube.co....
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: www.youtube.co....
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: www.youtube.co... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....

Комментарии • 15

  • @barakaRais-ie6cb
    @barakaRais-ie6cb 10 месяцев назад +2

    Ninabalikiwa kilasiku

  • @elibarikilaizer-fh2dt
    @elibarikilaizer-fh2dt 5 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu mtumwa wa Bwana ; Bwana akupiganie Vita vyakoo

  • @lucassiwale5886
    @lucassiwale5886 2 года назад +3

    Asante Mungu kwa ujumbe huu na endelea kumtumia mtumishi wako huyu.

  • @WitnessFrank
    @WitnessFrank 5 месяцев назад

    Amina baba Mungu akubarik

  • @emanuelKarei
    @emanuelKarei 2 месяца назад

    Mungu azidi kumtumia zaidi

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Год назад +1

    Ipo nguvu kuu...

  • @Bisimwalusakanya
    @Bisimwalusakanya 5 месяцев назад

    Asante Sana kwa kutuimidha katika Safari ya kwenda mbingini . Ushukiriwe vraiment

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 Год назад +1

    Ni muhimu sana kujua mahusiano Yako na Mungu kifursa ni muhimu sana kuliko kujua namna ya kupigana vita wakati unajua kabisa Mungu hayupo upande WAKO. Glory to God.

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 2 года назад +1

    Aminaaa mtumishi wa mungu sema mtumishi huku tunapona

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 2 года назад +1

    Hallelujah 🙏

  • @simonbini2017
    @simonbini2017 Год назад

    Ameeen Mungu anibariki kupitia hili somo

  • @mercy8424
    @mercy8424 2 года назад

    Amen🙏🙏

  • @marrywema7850
    @marrywema7850 2 года назад

    Amen

  • @nicewatson6264
    @nicewatson6264 2 года назад

    Dankeschön paps🙇‍♀️🙇

  • @elviahkabikira3087
    @elviahkabikira3087 2 года назад +4

    Hivi jamani mwal mwakasege mtu anakupataje??