WAKILI OLESHANGAY AKIWASHA-SI HAKI SAMIA KUFICHA UWOVU WAKE NDANI YA UZANZIBARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024

Комментарии • 12

  • @user-gu1fu2ud9j
    @user-gu1fu2ud9j 4 дня назад

    Duuu! Tanzania hii mungu tu

  • @almasisalehe8164
    @almasisalehe8164 23 дня назад

    Huu uchambuzi wa kisayansi na makini. Umebainisha uhalisia wa kero zinazoathiri ustawi endelevu wa taifa letu. 🎉Ni chachu ya kurejea ajenda ya katiba mpya kama mwarobaini wa changamoto zilizojitokeza. Mungu Ibariki TZ

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 24 дня назад

    WE'LL SAID

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 24 дня назад

    Haya maswala yasofumbiwe macho. Kina Kizazi Kitakuja kukataa kata kata Baadhi ya raia wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wasiingie kumiliki chochote tuache unafiki tuwe wakweli kipindi ambacho sisi tunaoheshimiana na kuheshimu Muungano bado tupo!

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 23 дня назад

    Tunaumizwa sana na ccm mtaani vitu vinapanda bei unalalamika tu lkn huna namna

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 24 дня назад

    Amina Kaka uko vizuri sn kwa mtazamo wangu Mimi,nilifikilia na sis watanganyika tudai katiba yetu km watanganyika ya kutusimamia sisi watanganyika pamoja na mali zake zote, maana wazanzi bar wanayo katiba yao,ila muungano wetu nao uwe na katiba yake, Mimi nikiangalia hapo tutakuwa tumeenda vizuri, maana Kila mtu atalinda chake,kuliko hivi wanavyotumia mabavu?maana toka kitambo limekuwa ni shamba la bibi!!!

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 24 дня назад

    Kweli kabisa 🙏🇹🇿❤️

  • @sabriabdalla9562
    @sabriabdalla9562 23 дня назад

    Tanganyika ndio masterplan wa kuivamia zanzibar na kuuwa raia wake na kuilazimisha kuungana kitapeli ajab saivi muna pretend ku act victims wa muungano na kwamba ati waznz ndio watesi wenu.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 24 дня назад

    Kwanini Nyerere alifanya huu muungano?Au alimuogopa Kaburuu?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 24 дня назад

    WASIOKUWA NA AKILI NI WATANGANYIKA HADI MIAKA YA LEO HAWAJITAMBUI KAMA DUNIA INAZUNGUUKA. HUU MUNGAI NI JANGA KWA TANGANYIKA LEO? WAKATI WAZANZIBARI WAMEKALIWA KIMABAVU?!