Huu uchambuzi wa kisayansi na makini. Umebainisha uhalisia wa kero zinazoathiri ustawi endelevu wa taifa letu. 🎉Ni chachu ya kurejea ajenda ya katiba mpya kama mwarobaini wa changamoto zilizojitokeza. Mungu Ibariki TZ
Haya maswala yasofumbiwe macho. Kina Kizazi Kitakuja kukataa kata kata Baadhi ya raia wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wasiingie kumiliki chochote tuache unafiki tuwe wakweli kipindi ambacho sisi tunaoheshimiana na kuheshimu Muungano bado tupo!
Amina Kaka uko vizuri sn kwa mtazamo wangu Mimi,nilifikilia na sis watanganyika tudai katiba yetu km watanganyika ya kutusimamia sisi watanganyika pamoja na mali zake zote, maana wazanzi bar wanayo katiba yao,ila muungano wetu nao uwe na katiba yake, Mimi nikiangalia hapo tutakuwa tumeenda vizuri, maana Kila mtu atalinda chake,kuliko hivi wanavyotumia mabavu?maana toka kitambo limekuwa ni shamba la bibi!!!
Tanganyika ndio masterplan wa kuivamia zanzibar na kuuwa raia wake na kuilazimisha kuungana kitapeli ajab saivi muna pretend ku act victims wa muungano na kwamba ati waznz ndio watesi wenu.
WASIOKUWA NA AKILI NI WATANGANYIKA HADI MIAKA YA LEO HAWAJITAMBUI KAMA DUNIA INAZUNGUUKA. HUU MUNGAI NI JANGA KWA TANGANYIKA LEO? WAKATI WAZANZIBARI WAMEKALIWA KIMABAVU?!
Duuu! Tanzania hii mungu tu
Huu uchambuzi wa kisayansi na makini. Umebainisha uhalisia wa kero zinazoathiri ustawi endelevu wa taifa letu. 🎉Ni chachu ya kurejea ajenda ya katiba mpya kama mwarobaini wa changamoto zilizojitokeza. Mungu Ibariki TZ
WE'LL SAID
Haya maswala yasofumbiwe macho. Kina Kizazi Kitakuja kukataa kata kata Baadhi ya raia wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wasiingie kumiliki chochote tuache unafiki tuwe wakweli kipindi ambacho sisi tunaoheshimiana na kuheshimu Muungano bado tupo!
Tunaumizwa sana na ccm mtaani vitu vinapanda bei unalalamika tu lkn huna namna
Amina Kaka uko vizuri sn kwa mtazamo wangu Mimi,nilifikilia na sis watanganyika tudai katiba yetu km watanganyika ya kutusimamia sisi watanganyika pamoja na mali zake zote, maana wazanzi bar wanayo katiba yao,ila muungano wetu nao uwe na katiba yake, Mimi nikiangalia hapo tutakuwa tumeenda vizuri, maana Kila mtu atalinda chake,kuliko hivi wanavyotumia mabavu?maana toka kitambo limekuwa ni shamba la bibi!!!
Kweli kabisa 🙏🇹🇿❤️
Tanganyika ndio masterplan wa kuivamia zanzibar na kuuwa raia wake na kuilazimisha kuungana kitapeli ajab saivi muna pretend ku act victims wa muungano na kwamba ati waznz ndio watesi wenu.
Kwanini Nyerere alifanya huu muungano?Au alimuogopa Kaburuu?
Nikweli, yaani hata yeye hakutaka
WASIOKUWA NA AKILI NI WATANGANYIKA HADI MIAKA YA LEO HAWAJITAMBUI KAMA DUNIA INAZUNGUUKA. HUU MUNGAI NI JANGA KWA TANGANYIKA LEO? WAKATI WAZANZIBARI WAMEKALIWA KIMABAVU?!
Huna akili wewe na ukoo wako.