Uko vzr Sana mwenezi unamaono pia pasua natumai wamekuelewa mama piga kz Yuko Bega Kwa Bega na ww Mungu akujalie afya njema ili utuongoze ktk kipindi kingine cha miaka 5 na Mungu wetu atajalia hilo sioni kabisa MTU yyte anayeweza kushindana na ww njia nyeupe mama atakaye subutu atayeyuka km mshumaa mwisho Mwenyezi Mungu ajalie ujumbe huu
Mama kazi iendelee I love mama from my heart
Makonda uko vyema ❤ mungu akuinue akuwekejuu mpendwa wangu IRA nikuombe kitu mungu akikuinua wasaidie watanzania Kwa moyo
Chalamila afai kuwa kiongozi anafata upepo hata kesho mama samia akitoka nae atamsema mabaya tu
Maendeleo ni kodi zetu
Uko vzr Sana mwenezi unamaono pia pasua natumai wamekuelewa mama piga kz Yuko Bega Kwa Bega na ww Mungu akujalie afya njema ili utuongoze ktk kipindi kingine cha miaka 5 na Mungu wetu atajalia hilo sioni kabisa MTU yyte anayeweza kushindana na ww njia nyeupe mama atakaye subutu atayeyuka km mshumaa mwisho Mwenyezi Mungu ajalie ujumbe huu
Mbona salaam zake hajasema CCM hoyee anajisahau sana Makonda
Mpeni urais muone kirakachotokea hamtasahau
Chawa utamjua tu
Kwa Kodi za watanganyika
Uchawa tu, kumtaja sio issue ni ile kila siku imekuwa kama ni sara vile
Hicho Kidole kitakatwa,unasubutu mumnyooashea Majaliwa kidole!!!!!!?!!!?,hutaka ujaribu tena.Umetuuzi sana,hata Mzee warioba ulishamzarau.Sasa mwisho.
Mmeridhika na hotuba hiyo?
IKO Vzr na imetulia