MAKONDA AMNYOOSHEA KIDOLE WAZIRI MKUU, AWAFYATUA WANAO MTENGANISHA MAGUFULI na RAIS SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 13

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 5 месяцев назад

    Mama kazi iendelee I love mama from my heart

  • @abdallahsidudu3438
    @abdallahsidudu3438 5 месяцев назад

    Makonda uko vyema ❤ mungu akuinue akuwekejuu mpendwa wangu IRA nikuombe kitu mungu akikuinua wasaidie watanzania Kwa moyo

  • @hassanjuma1837
    @hassanjuma1837 Месяц назад

    Chalamila afai kuwa kiongozi anafata upepo hata kesho mama samia akitoka nae atamsema mabaya tu

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 5 месяцев назад +1

    Maendeleo ni kodi zetu

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 5 месяцев назад

    Uko vzr Sana mwenezi unamaono pia pasua natumai wamekuelewa mama piga kz Yuko Bega Kwa Bega na ww Mungu akujalie afya njema ili utuongoze ktk kipindi kingine cha miaka 5 na Mungu wetu atajalia hilo sioni kabisa MTU yyte anayeweza kushindana na ww njia nyeupe mama atakaye subutu atayeyuka km mshumaa mwisho Mwenyezi Mungu ajalie ujumbe huu

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 4 месяца назад

    Mbona salaam zake hajasema CCM hoyee anajisahau sana Makonda

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q 5 месяцев назад

    Mpeni urais muone kirakachotokea hamtasahau

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 5 месяцев назад +1

    Chawa utamjua tu

  • @user-pb1em7lk2v
    @user-pb1em7lk2v 5 месяцев назад

    Kwa Kodi za watanganyika

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 5 месяцев назад

    Uchawa tu, kumtaja sio issue ni ile kila siku imekuwa kama ni sara vile

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 5 месяцев назад

    Hicho Kidole kitakatwa,unasubutu mumnyooashea Majaliwa kidole!!!!!!?!!!?,hutaka ujaribu tena.Umetuuzi sana,hata Mzee warioba ulishamzarau.Sasa mwisho.

  • @user-wc5iq1jt2t
    @user-wc5iq1jt2t 5 месяцев назад

    Mmeridhika na hotuba hiyo?