Eleza sababu za msingi serikari ni muhimu kuitii lakini swala la kisiasa serikari isilalie upande mmoja ccm ilishehelekea zanzibar haikuwa shida ACT ilishehelekea haikuwa shida iweje chadema ishehelekee pawe na shida???sababu ccm haitaki chadema ionekane inaungwa mkono na watanzania wengi
CCM. KUTEKA WATU WANAZANI NDIO DAWA KUMBE WANAWATIA USUGU NA HII NDIYO INAWALIBIA KABISA HILA NAWAPA USHAULI WA BULE CCM SASAIV WATU WANAULEWA KUHUSU DEMOKKASIA TANZANIA
Mzee wa upako, mungu akuongezee nguvu, viongozi naomba wakusikilize ushauri wako ni wakujenga.
Exactly
Eleza sababu za msingi serikari ni muhimu kuitii lakini swala la kisiasa serikari isilalie upande mmoja ccm ilishehelekea zanzibar haikuwa shida ACT ilishehelekea haikuwa shida iweje chadema ishehelekee pawe na shida???sababu ccm haitaki chadema ionekane inaungwa mkono na watanzania wengi
CDM imeshafanya mazungumzo mengi bila mafanikio, sasa ni nguvu ya umma.
Mzee wa upako tangu nimekusikiliza kwa leo nimekuelewa vizuri sana!
Nonsense
Kuhusu utekaji kwasababu yakukosoa unaongea ukweli kabisa selekali hajitambui chukua mauwa yako🎉🎉
Mzee wa upako tunakushukuru lakini serikari yetu haiwezi kusikiriza watu wake sababu wako juu ya sheria kuwaumiza wananchi
Mzee wa upako umeongea kwa akili kubwa lakini umeeleweka kwa wenye akili kubwa
Mzee nyoosha maelezo, unayumbayumba nini?
CCM haiwezi kuacha mamboz kuiba kura
GOOD!
Mzee wa mpaka una welevu na hekima kubwa sana huna upendeleo unasema ukweli unavyoonekana. Safi sana nimependa hekima zako hazina upendeleo.
Hakuna kuaminiana hapo.
Picha.huchakaakwe..abango.hakuna.alifungwa.aukutwa.marasi
Mnamdanga.mama.utumishi.wake.unekane.mbaya.chochote.msimingilie.yy.atajua.
Naona.tamisemi.mnada.upo.maneno.tu.yasiona
Ongea.sendesi.pointi.wewe.mchungaji.zenye.kufundisha.kujenga.imaraneno.la.mungu
Ninafaa.kuonya.kufundisha.ss.ww.kwenye.inchi.unatoa.kauli
Inatisha
CCM. KUTEKA WATU WANAZANI NDIO DAWA KUMBE WANAWATIA USUGU NA HII NDIYO INAWALIBIA KABISA HILA NAWAPA USHAULI WA BULE CCM SASAIV WATU WANAULEWA KUHUSU DEMOKKASIA TANZANIA
Nchi haiendeshwi kwa imani ila ni kwa sheria.
Faru john mezani
Hafai mchungaji ķujichanganya namna auni shabikiwa......
Longino mh. Kasema tayari wameisha chakata!!??
Nilijua una hoja kumbe chawa??!!
Hizi ni pumba kwelikweli...
Hello
Wewe Mzee akili yako ????
Sio mapinduzi huo ni uonevu.
Warioba butiku msuya Salim msekwa man'gura
Godoi
Akili ndogo sana aisee
Huna akili Kuna kuaminiana? Mwehu wewe embu chadema isimamie uchaguzi au act tamisemi wakae pembeni harafu tuone
Chadema hawajajipanga kuchukua nchi
Hili nalo ni lilevi tu, nalijua vizuri sana kwa hiyo hapo kashaweka k.vant au konyagi kichwani. 😅😅😅😅😅
Konyagi na maoni yake vinahusiana vep akili yako ipo kama ya mandenge na mpira
Hekima yako ni ndogo saana
Umetumwa? Una lako jambo nakwambia!!!!!
Wewe muuza sabuni. Unamfananisha yesu na ccm
Huyu mzee sijawai muelewa
Ukija kumwelewa. Utakuwa umefunguliwa akili
@@levidavid1156 siwezi kuwa na akili timamu nikimsikiliza huyu mzee wanao msikilizaga wote hawana akili timamu
@@levidavid1156 ooo Levi David mzarendo kabisa? 😂😂😂 samahani bwana, sikujua kama ni wewe kaka,.. nakukubali sana
Kabisa huyu jamaa huwa analopoka tu hamna ajualo