ASKOFU MWANAMAPINDUZI ADAI KILCHOMPONZA MAKONDA "KIDOLE ALICHOMNYOOSHEA MAJALIWA AIRPORT KIMEMPONZA"
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- ASKOFU MWANAMAPINDUZI ADAI KILCHOMPONZA MAKONDA "KIDOLE ALICHOMNYOOSHEA MAJALIWA AIRPORT KIMEMPONZA"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Uko sahihi sana mchungaji meana mapinduzi
Ikumbukwe pia hata Makonda ni kiongozi muhimu katika serikali. Kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Bado ni nafasi na nyeti katika. Arusha ni jiji muhimu sana katika nchi yetu na kimataifa. Tumwombee Kwa Mungu azidi kumsaidia afanye vizuri. Kumtamkia mabaya siyo jambo zuri hata kidogo. Mimi namwombea Neema ya Mungu itakayomwezesha kuongoza mkoa wa Arusha Kwa Jina la Yesu Kristo! Wewe unayeniunga mkono sema Amina!
Muhimu upi
Amina
Unamfahamu vizuri hata huyo mungu unayemtaja? huku ukiendelea kumsifu jini makonda?
Sikilizeni nyinyi watu wa kupinga mama ongoza nchi kifua mbele nasi tuko nawe hawa wanao sema na kukosoa uteuzi mimi nawaona wao hawawezi kuongoza hata kitongoji nawaomba watanzania tupendao amani na umoja tusimamie amani na heshima ya nchi yetu mungu ibariki tanzania na watu wake ammen
mimi nankubali poul makond❤
Hayo ni maoni tu ya Bishop ila Makonda CCM imeona wasimchoshe kabla ya uchunguzi wa 2025... Makonda ndio atasimamia kampen ya Samia 2025.
Naheshimu maoni yake, lakini asichokijua bishop ni kwamba Makonda ni kiongozi special, imara na potentially ni hazina. Ana ubora ambao hata bishop hana kabisa.
Jamani wachache ndio wenye haki.sio wananchi walio wengi.asante nawewe tunakuombea.yanayo tukuta yataikuta familia yako acha tulie tu mungu yupooo
Msitukane matusi ,leteni hoja bali msitukane. Mama Samia Sululu anaendesha nchi kwa amani hakuna matusi ninyi watoto hamfuati mifano? Toeni maoni sio matusi,mtu hata kama una akili ila ukiwa huna adabu kwa wakubwa basi akili yako haina maana wala faida kwa Taifa.Tujadiliane kwa hoja na sio matusi.Peace and Love,Tunu ya Tanzania.
Hao wanaosema hajui kitu wao wanahoja ipi watuambie kwanini ametolewa hapo national level mapaka regional level hii ni demotion, mkonda hakuwa na sifa ya Katibu mwnenzi. viongozi ni kama Nchimbi anautulive akiongea unajua someone is talking
Kweli kabisa
Samia hakemi ufisadi unao tajwa kila mwaka. Umemsikia nani kashitakiwa. Matrilyoni yapo uchina nani aliye yapeleka huko?
Huyo ni mwehu hata anaowahubili. Inawezekana hawamjui kwamba hafai anamponda makonda mjinga sana huyo.
Point of correction: Kennai Kihongosi hakuwa kuwa Katibu mwenezi wa CCM. Ni Abdu Shaka ndo alikuwa katibu mwenezi Kabla ya Sofia Mjema
Ww ni mnafiki ubaya wa makonda nn? Au kusema ukweli acha unafiki makonda alikuwa msema kweli kwa hiyo hayo unayosema sio kweli makonda kwa mda aliopewa kuwa mwenezi kafanya kazi kubwa Sana tuomeona na macho yetu usitudangane ww msaka tonge
Du siasa za Africa ukizifatilia sana utaumiza moyo wako bule😢😢😢
Namshauri mama amteuwe Makongoro Nyerere akisaidia chama ampatie hiyo nafasi vinginevyo kimepotea japo jeshi na Katiba mbovu kitaendelea kuninginia
Kwani si angepelekwa basi darasani kupewa maelekezo ya kazi hiyo nyeti kama ilikuwa lazma MTUMISHI wa Mungu. ASANTE
Ni msomi kweli huyu Mchungaji maana Kenani Kihongosi hakuwa mwenezi wa ccm alikuwa katibu wa umoja wa jumuiya ya vijana wa ccm (uv-ccm) nadhani correction ni Shaka Hamdu Shaka.
Baada ya kumsikiliza kwa umakini mchungaji huyo na kukubali kuendelea kuyajibu maswali ya kipuuzi sana ya mwandishi huyo aliyekuwa anamtega mchungaji apoteze mwelekeo ili kupotosha ukweli kwa jamii (anayopaswa kuelimisha badala ya kupotosha) dhidi ya makonda na uhovyo wake wote, lakini mwandishi huyo akiwa anaonekana kumbeba kwenye mbeleko ya kinafiki makondo na uchafu wake wa kutisha tangu akiwa kijana wa mtaani akimpiga makofi mzee wa heshima kama warioba (Makamu wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu), hata akiwa Mkuu wa wilaya na hadi ushetani alioufanya akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar hakika hata kuzimu haumkubali makonda, ninampongeza sana askofu kwa busara aliyomvumilia mwandishi huyo mpuuzi wa uhakika.
Na wewe mchungaji mnafiki kila mtu hakosi mapungafu kwani makonda alifaa sana
Ndio makonda wangemuacha angepitisha wengi tena
Wewe mchungaji hufai kalale hupendi watu watendewe haki haha
Mwongo sana wamarekani aligusa ushoga ndio maana wamarekani walikuja juu
Hapo kweli,wamarekani wamekataa Makonda kwa ajili ya kupinga ushoga.Lakini Amerika sio mbinguni,sio lazima kwenda Marekani.
Mchungaji ajitafakali elimu na maarifa ni vitu viwili tofauti kwahiyo pia ujitafakari Kwa meneo Yako ya ueleweshaji wako Sion tija ndani yake mungu akulehem
Polepole hakushindwa
Mwacheni pole pole acheni kusengenya
Pole pole ndo aliweza
Ulipokosea ni hapo kwenye MAKANDE, wengine ndiyo chakula kitamu tunachokipenda zaidi, sitaki kukusikiliza tena maana hujui usemalo👿
Mchungaji, chama gani kikubwa zaidi Afrika kuzidi CCM.
Shaka alikuwa ni nani??
Kenani alikuwa mwenezi wa chama gani?? Mchungaji uwe mkweli Mungu anakuona. Mchungaji wewe ni dhehebu gani?
Mchungaji heshimu sana uchungaji, mchungaji umekikosea sana CCM?
Huyu siyo mchungaji ni jina tu.anaongea vitu ambavyo vinatoka kwa kwanasiasa ambao ni propaganda. Huyu hana uchungaji wala hana habari zaukweli,habari zake nizakuokoteza halafu zawongo.
Huyu niyule aliebarki pombe
Wapinzani wamefrahi sana kwasababu wanamwogopa
Wapinzani wamefrahi kutolewa kwasababu alikuwa anawamaliza walikosa hoja,lakn bado hawajafrahi kupelekwa arusha
Yaani kweli hili Baba Askofu nimejifunza kitu . Hakika kwa hili Mungu wa Mbinguni alikufunulia.
Ni kweli!
Askofu, kwa kumbukumbu sahihi aliyefuata baada ya Polepole alikuwa Shaka Hamdu Shaka siyo Kenani Kihongosi. Huyu hajawahi hata kuwa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo ila alikuwa Katibu Mkuu UVCCM Taifa.
😢Kumbe sasa turekebishe sheria ya vyama vya siasa iliyoleta jina la vyama vya upinzani badala yake viitwe vyama vyenye sera mbadala.
Katika msukuma mpumbavu ni hili chungaji linatuaibisha wasukuma
Mchanji amevuta bangi,mara alisema makonda hafai leo anamsifia.chungaji kichaa
Mh
Wasukuma wote wako hivyo, kuondoa. Magufuli tu.
Hana jipya huyo utopolo juu ya utopolo mpuuzi 😮😮
Hiyo wala siyo sababu kagombana na ndugu wa GSM habari zote tunazijua tena Coco bearch na wakati kuna mtu ana hisa humo GSM kiongozi mkubwa tu mstaafu
Fake habari kuhusu makonda.makonda ni jembe
@@emmanuelmlowe-ew7gx Jembe kweli kweli mwanangu tatizo humo ndani kuna Makundi yamezidi
Chadema mnamiliki nakumilikisha watu habari feki Tanzania
Hata GSM ni nini hujui ila umesikia
@@emmanuelmlowe-ew7gx Nitafute nikwambie kuna siri sirini
Yaani mnashindwa kuingia hata shambani mnakalia kusema mamboyamakonda kafanye kazi huko niunafiki tu mchungaji unamuingiza zambini bule mkonda atakuja kupanda cheo zaidi ya mnavyojadili
Leo chalamila ndio amekua bos wake sasa na yeye ataambiwa kimbia uje hapa😅
Makonda ametoka kwenye chama sasa yuko serikalini kazi kwako ,amepanda au ameshuka
Huyu atuombe radhi Wapare kwa kudharau chakula chetu kikuu - makande. 😊😅
Upo sawaa.Makonda roho ya Magufuli imemponza.
Uko sawa
Si fikiri wapinzani wamefurahi kuondolewa Makonda kama mwenezi wa CCM,ila wamesikitika maana angeendelea basi wangepata mwanya mzuri wa kuonesha maovu yake katika kampeni za uchaguzi mkuu 2025
Yaani wabinafsi happening nahawatampenda.wananchi hawamuelewi.makonda.nimsukuma.nakama.mwenda zake kauli zake.arekebishwe ulimi wake.hilo tu
Huyo sio bishop huyo ni pumba za kibongo nchi ya wapigaji hakuna mwana siasa bora kama makonda bongo ni nchi ya wapigaji
Interview ya Moto hii
Hao uliowataja wote mlio wataja hapo ni maadui wa magufuli sasa iweje leo wampende makonda???makonda hii inchi anaiweza sana tena anapambana sana makonda
Huyu mchungaji mjinga sana tena mavi yamemjaa kichwani na siyo ubongo , anasifia marekani kumnyima makonda kwenda marekani wakati huo marekani imetuharibia Dunia na ushoga na usagaji , kwani hajui marekani walimchukia baada ya kugusa mashoga au hilo hujui mchungaji au na ww ni walewale
Bwana kelvini nakukubali sana Toka enzi za radio ushindi
Kwanza hawa wachungaji wanajiwa wanacho kifanya. Ndiyo maana ni wapinzani wa makonda.
Hivi amekuwa promoted au amekuwa demoted?
Domoted, hana tena ubavu wa kutoa kauli za AMRI kwa Mawaziri. Atapokea maelezo ya UTEKELEZAJI kutoka Waziri wa TAMISEMI.
Totally demoted
YAANI MAKONDA ANAMPIGA BABU WARIOBA NA CCM WANAMTUKUZA👁️👁️ YAANI MTOTO ANAMPIGA BABA??
kama makonda ni jini,basi ni jini lililookoka,hakuna jini anaweza saidia wanyonge,mbona viongozi wapo tu na wananchi wanakimbilia kupata msada kwa jini makonda,sema makonda alikuwa mwiba kwa wakubwa lakini ipo siku hata kama si kesho MAKONDA ni rais ajae
Hili kweli boya kenani lini alikua mwenezi wa chama
Kimsingi Makonda kwenye nafasi uenezi kwanza alikuwa na mvuto,nimuwazi,nimtetezi wa chama,(wanyonge)ni mtu vyama vya upinzani walikuwa tayali ya kupata hofu kwambinu alizo kuwa anatumia kwa maana ya kudhohofisha kwa nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu. "MuHIMU"Kila mtu anamadhahifu aliye sahihi tu ni Mwenyezi MUNGU na Malaika wake tu Kila mtu nahisia yake kama binadamu Hana roho ya jiwe ana roho ya nyama kama tulivyo sote.alitakiwa kuitwa na viongozi waandamixi na kumusihi,/kumuonya maana nijana damu inavhemka
Ww mpumbavu sana ww mwenyeo ni mbovu huna ishu makonda kaleta heshima kubwa katika chama
Niongezee watu wenye haki na wenye kuelewa
Makonda kachape kazi mdogo wangu. Usivunjike moyo mama yuko pamoja nawewe.ispokuwa kazungukwa na watu wasioitakia nchi hii pamoja na rais wetu hayo majitu hayamtakii mema rais wetu.kamsaidie bila kinyongo tunakujua.tukopamoja uendako.
Unamfahamu vizuri makonda? Kaka/dada endelea kuombea nchi yako! Kama hujui kaa kimya!
Safi sana unamhoji vizuri sana huyo mchungaji makonda hawamuwezi. Watu wanamkubali sana
Fact
Hao wanafiki...makonda Safi....msimchafue makonda
Kama wachugaji wenyewe ndio hawa tutafifika mbinguni tumechoka Sana!!!!mnatia aibu unatukwaza ndio wengine tumeamua kujiombea wenyewe!!matapeli wakubwa sana
Makonda Mwenyezimungu akulinde tunakuombea sana❤
Mimi nafikir kwa maslahi zaidi ya nchi tunahitaji katiba mpya ili hayo wanayoongelea kwa ndani ndani yakawe wazi
ALIKUWEZA SANA SANA MAMA KAFINYWAA UKIWA MCHAPAKAZI LZM UPATE UPINZANI
Wewe Mch. baadhi unayoongea ni Sahihi ,CCM inatakiwa kujiangalia Sana!!!
Wachungaji kama hawa ndio Watumisho Hasa wa Mungu
Iviwewe nimchungaji ao uko mcngaji wakuzimu mtu wa Mungu ana weza kumsema mtu mwenziwe ivo, wewe sio mchungaji vuwaizonguo zauchugaji haufai,uko mchunga wakuzimu tena uko muongo unamuoneya wivu makonda
Mna uhakika huyo ni Mchungaji ?
Wananchi tunamjua vizuri sana! Ccm pana sintofahamu kubwa kuanzia awamu ya 5,na sasa inazidi kupoteza nuru na kibali kabisa jamani! Historia ya utendaji wa Makonda wanaujua kabisa lakini wametiwa upofu na kumuweka akiba na sasa amejidhihirisha tena ila bado hawaoni,wanamtoa hapa, wanampeleka kule! Kumteua aje Arusha ni sawa na kutuandalia ukuta tusivuke kuwafikia lakini hataweza kuinyamazisha isidai haki, ccm haitaweza! Wapeni Tunisia nchi yetu tuje kujuta, msisikie maonyo ya manabii lakini na sisi tupeni katiba mpya angalau hata ile pendekezwa kuliko kutugomea...
Inaonyesha hata waumini wa mchungaji wa aina hii ni wavumilivu sana kisimani maana ni mgumu sana kuelewa mambo, mfano Marekani kutomkubali ni kutokana na kupambana na ushoga n.k.
Nape tapeli aliye mtu kana magufuli Tanzania shida mfululu
Ww mchungaji ww ni mwanasiasa??ama mtumishi wa mungu?
Safi
Mchungaji elewa kwamba kwny uwajibikaji hakuna kuoneana aibu,ndo maana wachungajj m nashindwa kikemea maovu mnaheshimu watu,makonda anafanyakzi na anapendwa kwa utendaj wake,hakuna asiye na maoungufu makonda sio malaika hata ww huenda waumini wako wengine hawalipendi wanasema unakula sadaka hata kama huli
Huo ushauri kwa viitwe vyama vya ushindani hata mie naukubali kabisa. Neno upinzani limetafsiriwa tofauti hata na walengwa wenyewe. Tushauri kufanyike maboresho. Nawasilisha.
MAADUI WA SERA ZA MAGUFULI NDIO WANAMPINGA MAKONDA, MAANA HAMUONEI AIBU MTU ALIPIGA VITA SANA USHOGA
Ni mchungaji au mchawi?
Au mnasemale?🥰
Kweli nakubali maneno ya polepole kuusu chama cha ccm kunawauni kumtowa makonda pale wana jichimbia shimo
Huyu si mchambuzi bali mchang'ombe yaani huyu ni mpumbavu yeye na waumini wake sababu ni mwehu
Ccm na samia wanaigiza sana but wajuwe duniani tunapita makonda atamuumiza tena lissu
Hivi unapandisha chama kwa watu kujazana kwenda kuelezea matatizo. Chama cha CCM kinajitangaza kuwa number one kwa nini watu wana matatizo lukuki? Chama ni kutatua matatizo. Sasa kama CCM mmeshindwa kutatuwa matatizo ya watu sasa ni lini mtatatuwa matatizo ya wanainchi?
wew mchungaji unatafuta kk,auna jipya hapo umeferi😂
Watoto wa siku hizi wana akili ila hawana adabu,jitahidini sana ku control emotion zenu.
Mbona mna mifano ,mlishawahi ona Mama anatukana?Na huo ndio Uongozi hata Lowassa was not insulting people ,igeni mifano
Hivi ninyi waandishi wa habari huyu tapeli anawalipa nini mpaka mumsikilize akitapika maneno ya machafu
Alimtapeli mamako?
@@ramadhanmahongole9293yanatoka wapi hayo tote kaka weeeeeeee😮😮😮
Nikweli
Hahahahaaa mtumishi unawatambua kweli waliopitia nafasi hiyo kweli??? Kenani???????acha porojo😂😂😂😂 je wamjua Cde Shaka Hamdu acha Shaka???🙉🙉🙉
Huna lolote watumishi wengine niwehu tu .Siasa na mambo ya Mungu hayaendi .Makonda kila nafasi anayopewa anaimudu .
Mkondya wewe ni mlaanika kama kwa uchawa wa chama cha mafisadi ,kwanza nani asiye jua kuwa CCM ni majambazi na majizi ,sasa ni kwambie mwaka kesho ndo mwisho wa CCM kutawala nchi hii
@@andrewkissava9184pole baba utatawala weweeeeeee😂😂😂😂😂😂😂
Machumu acha hizo wewe ndo huna mvuto .kanisani umekoswa dili polepole nae alkuwa vzr kama makonda hanah
Kenani hajawahi kuwa mwenezi wa chama
Huyu sio mchugaji Ni muhuni tapeli kubwebweta hata ajui anaongea komentari upuuzi huna maadili yoyote waumini tutajufunza ninikwao ,?achana na Makonda Siku zote MTU wenye matunda,,,
Mwehu
Mchungaji kawanyosha,kigamboni+kunyoshea kidole waziri mkuu,lawama et,n mchungaji,walotengua n CCM c mchungaji,tutawarudisha, shuleni,lazma,ooh mchungaji,k vp,
Wew unaongea uongo Makonda kiongozi Sahihi.
Machumu na wewe buana,Rudi ukarudishe Misukule Huko kweny siasa achia wenyewe huna mvuto na siasa
Watumishi fake hawa ni hatari kwa afta ya taifa
Waloenda shule, magufuli alikanyagia,magu hakushindwa,kupa uongozi magufuli,hakujali,tutawalesha umesikia, Hiyo,kidole kw waziri mkuu,tukiwaeleza ooh jembe, Tatizo shule wa bongo,shule Mzee baba,
Sio kenali kumbe ufuatilii chama wewe unaongeatu. Kenani hajawahi kuwa mwenezi lekebisha maelezo yako
ANA CHUKI TU HUYO NAE.
Kumbe wewe ni mjinga wananchi wanamjua hivyo makonda
Mchungaji anae jihusisha na mambo ya siasa huwa simuamini koroho kwahiyo huyu mchungaji aniangalie
Hatutawaelewa jamani. Bila katiba mpya na bila tume huru ya uchaguzi, wacha Makonda, hata Manona asingeiweza Arusha.
Makonda atakiozesha CCM hata Arusha. Hana adabu. Hafai hata kwa utendaji Kijiji.
@@bonifacerobert2960ucha unafiki sijui chama Gani wewe
Mwanamapinduziiii! ni tafsili ysko tu ila hiyo ni dalili ya kukuwa kwa chama na ukomavu kisiasa sio hivyo vyama mnavyoviabudu vyenye staili ya mfalume mswati vyama ya urithi bila udugu au ukwe na mwenye chama utafukuzwa au utaungiwa zengwe alale mahalipema chachawangwe!
MTU mbaya sana wewe Tunamtaka makondaa tuuuuuu
anaongea utumbo huyo naona ametumwa na haitakii mema nchi hii yeye huyo anafurahia ujinga watu waiharibu nchi yeye kama kweli anauelewa anaona nchi inaenda sawa na mambo yanayofanyika katika nchi hii yeye haoni 😮
Makonda kkwa muda mfupi alikipandisha chama. Sasa subiri matokeo. Kwa kawaida mafisadi hawapendi kiongozi Shupavu,wanawataka viongozi Bongolala
Mchungaji ni kama kwamba ana chuki binafsi na Paul Makonda.Amelemea sana kwa hoja za upinzani.Makonda ameinua sana CCM kwa mda mfupi alipokuwa mwenezi wa chama.Hilo lipo wazi.
Nitajie alikoongeza chumvi labda kama humjui makonda
Akonda tayari amekwisha jielewa makosa, Meacheni aendelelee na Uenezi
Simuelewi kiukweli
Marekani ndo nini
Nashangaa neno Tunasubiri Sana ngapi🙄🙄
Hayo ni maoni yako twende kwa walio wengi tunamkubali makonda hakuna mkamilifu duniani siungi mkono hoja zako makonda alikuwaj anacheza mpira uwanjani wewe mtazamaji tu na pengine ungeboronga tu kwa nafasi yako hapo ulipo wamekupongeza wangapi nakupongeza mchungaji anayenena mabaya kwa ndgu yake