MBWADUKE: CAF HAWAOGOPI? DRAW HII KUNA SIKU SIMBA WATAPIGA MTU NYINGI/ OKEJEPHA, MUTALE, MUKWALA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    UFAFANUZI
    Kwa utaratibu wa CAf msimu huu, timu 5 hazitashiriki hatua ya awali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa ((1st preliminary round) na badala yake zitaanza kushiriki katika hatua ya awali ya pili (raundi ya pili). Pia timu 12 zimepewa unafuu wa kutoshiriki hatua hiyo ya awali ya kwanza katika Kombe la Shirikisho bali zitaanzia hatua ya awali ya pili (2nd preliminary round).

Комментарии • 40

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni Месяц назад +7

    KRAMO atawashangaza dunia mwaka huu simba

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 Месяц назад +5

    MBWADUKE Mchumbuzi wangu Bora No 1 wa sku zote mzee wa data base zenye weledi wa FIFA❤❤❤

  • @ismailkhamis-ks8gp
    @ismailkhamis-ks8gp Месяц назад +2

    Iigi sii anze tu tujipigie mtu kumi na nusu Simba nguvu moja❤

  • @sulejmandj7582
    @sulejmandj7582 4 дня назад

    Unajua blood

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos Месяц назад +2

    Mchambuz bora 😅😅😅 anaupiga mwingi sana huyu ndo the best hap tz

    • @user-vb8ki3jo9t
      @user-vb8ki3jo9t Месяц назад

      Simba hawana deni kwani yanga ndiyo walikuwa wanalipa deni simba walishafika fainali

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj Месяц назад

    Hakika unajua kazi yako upo vizuri sana❤

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Месяц назад

    Mzee mwaduke ww ndo mchambuzi wangu namba moja

  • @victamsemwa3651
    @victamsemwa3651 Месяц назад

    nakukubali sana blaza unajua san

  • @user-cz1mk1ob9m
    @user-cz1mk1ob9m Месяц назад

    Mwamba anajuaa sana mwaduke

  • @EzekielNdunguye
    @EzekielNdunguye 28 дней назад

    Shirikisho sio pa kubeza

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j Месяц назад

    Mbwaduke ginius🎉

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo Месяц назад +8

    Kuna zamalek, berkane, Aseck memosa,usm alger siowakuwabeza kabisa

    • @ZachariaMwita-bu7rw
      @ZachariaMwita-bu7rw Месяц назад +4

      Tunaruka na yeyote

    • @kirapadiherbalstv9953
      @kirapadiherbalstv9953 Месяц назад +3

      Hao ni watoto saana kwa Simba😂😂 Tabu iko palepale😊

    • @user-dy2mg7qg3t
      @user-dy2mg7qg3t Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @flova7022
      @flova7022 Месяц назад

      Labdaa berkane

    • @Lameckmichael-h2m
      @Lameckmichael-h2m Месяц назад +1

      Kaka atawao wanasema ivoivo kuhusu Sumba. Wakimkumuka waidad alikandwa waje kwa hiloya waangalie joangalax akala 6 nawaohuko wanatetemeka bwana

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 Месяц назад

    Uwakika mwanaduke mchambuzi anaijua boli sana

  • @mgundaGoba
    @mgundaGoba 27 дней назад

    🦁💪

  • @princerwamugira644
    @princerwamugira644 Месяц назад

    Mchambuzi hodari anachambua kama mchambuzi hodari

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Месяц назад

    Simba wawalinde wachezaji wetu na wachawi wa majini fs

  • @VehaelMmari
    @VehaelMmari Месяц назад

    Hamuonekani vizuri boresheni ubora wa picha

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c Месяц назад

    Uhakika simba yangu

  • @shafiiRajabu-x2l
    @shafiiRajabu-x2l 17 дней назад

    Mh camera imekaa kaaje hata ww

  • @IsabelaChacha
    @IsabelaChacha Месяц назад

    mambo

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Месяц назад

    Huyu dada hakuelew fainal Simba ndio yakwanza kucheza

  • @elkanangosha9588
    @elkanangosha9588 Месяц назад

    Tulikuwa na mamruki hawakutaka kufunga.

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp Месяц назад

    Nikweli sana tutaua mtu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад +1

    Mchambuz msema kweli ajae hana makandokando

  • @sadih5333
    @sadih5333 Месяц назад

    Wapili ni mimi

  • @johnkiwanga3081
    @johnkiwanga3081 Месяц назад +2

    Wakwanza

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Месяц назад

    Mkwala ni mtu makina sana tutajua hapa

  • @user-fw4db2mx7h
    @user-fw4db2mx7h Месяц назад

    ❤❤😂

  • @BarakaPatrick-qe6se
    @BarakaPatrick-qe6se Месяц назад +1

    Dada mbona kama shabiki vile

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 Месяц назад

    Mnatumia camera gani??

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh... ndiyo hilo balaa. Kumradhi Mkuu!

    • @user-fw4db2mx7h
      @user-fw4db2mx7h Месяц назад

      Tuko pamoja sana ❤❤❤​@@MbwadukeStats