Mwabukusi mahakama yenyewe ndiyo hivyo iko mfukoni. Na nyie na mahakama ni kama bunduki na risasi. Hasa mtafanyaje kazi vzr kwa mazingira haya magumu Tz
TLS na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote waungane kudai👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Awa ndio watu tunaowaitaji kwenye hii nchi god bless you mwambukusi
President of people
Sio mahojiano bali Kikeke anakula lecture hapo
Mungu akutunze mwabukusi
Mr president TLS ❤️
Kazi unaiweza Mh. Rais
Kikeke anakula shule safi kabisa
Waziri Mkuu ni kama haishi Tanzania vile
Smart Mind
tunahitaji uyu jamaa awe rais wetu
VIVA MWABUKUSI
Crown 👑 Mpo vizur
Kwann Mungu asiwape vyeo vikubwa watu kama Hawa wakina mwambukusi maana akili kubwa sana
Sio kazi yake ni yetu
We trust mr presidaa
say you trust not we.
@@ismaildavid6970 hahahah,okay
Mwambukusi MUNGU akupe maisha malefu sana,mpenda haki na amani.
TLS imepata Rais. Mzuri kuliko TZ
True. Huyu jamaa MAGUFULI WA SASA
Miongoni mwa Viongozi wa kiafrika wachache wenye AKILI #MWABUKUSI#
Akili kubwa!
Mungu bado hajatuchoka
Kikeke anamwaga cheche.
Nilikuwa najua hii nji kichwa ni Tundu mpaka nilipokutana na hichi kichwa
Mwabukusi mahakama yenyewe ndiyo hivyo iko mfukoni. Na nyie na mahakama ni kama bunduki na risasi. Hasa mtafanyaje kazi vzr kwa mazingira haya magumu Tz
Kwamba Soka amedandia basi??? Au ni mapenzi?? Au mihemko...afu mtu anapiga makofi
Rais wangu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hivi crown hampo Azam Tv
Jamaa ana akili nyingi sana huyu
🎉🎉🎉
Mwambukusi mtetezi wa haki.
interview starts at 59:00
Asante
Magu alitupa mwanga wa Mshumaa kwenye kiza kinene ila huyu jamaa ni Jua kbsa
Matamshi sahihi ni nini , wenye mamlaka au wasimamizi wa mamlaka?
Inamaana ndg yake spika akitewa nayeye atangoja taarifa iletwe nani huko bungeni.
Acheni roho mbaya,kuweni na huruma na upendo.
Hata yeye anaweza kutoa taarifa.
Kwani yeye spika anapotaka kuletewa taarifa kwa hiyo yeye sio mtanzania?mbona anatutenga wa Tanzania.
Unamajibu mazuri watamzania ni sisi ni wajinga hata tukipigwa chenga la macho tunakubali tu😊
Yaani Nihatari nabado mwakani ndo itakuwa mbaya sana
RIP Man Dojo.
TLS na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote waungane kudai👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Mwamba huyuu.