Them mathayo tunaumiya sana kwaili alilolifanya Elibaliki .ona sasa mikono yenye anaenda mdumbukiza emo Anita na Naomi, angeenda kule yeye mwenyewe kulipa usaliti wake.ningemuona nimpe ata makofi mawili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣naoteaa 2 kweny nihukumiwe tena kutakuwa na wajukuu wa wakilii msomi Tomas kiwato kama c watoto wa walee mapcha cjui ilaa naisubr aisee maana ipindselo hamjatumalixia et
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mie mbavu sina Alf oen ni kama kitu kizuri anaelezea mie hawa wasimuliaji especially hizi za sahii ya peniela,, Boss wangu na queen monicah duh apana wataniuwa mie
Pole sana mahtayo
Katika hii simuliz niliumia mno Pn kumuuwa Anita nilijisikia vibaya km kweli yani❤
Peniela anagawa utupu km chai jaji kala kidogo peniela anataka kufa 😂😂😂😂😂
Kumekucha jamani shukran sana simulizi mix sukari ishaingia mchanga jajiii haya tusubiri mwamba achukue malaika wake matayo
Awoooteee
Uyu Elibaliki mshenzi sana , aliwaza akimwambiya president nisameh njo atamsameh kiraisi raisi tu. Pumbavu ya jaji
Penielaaaa
Jamani masaibu iliyo mkuta matayo na peniela najipata kuchoka lakini kazi sasa imeaja wacha tuombe munngu
Dah😢😢😢 maumivu niliyonayo jamani Judge Khelibariki umeniumiza moyo wangu Team Mathayo mmeumia kama mimi😢😢😢😢
Wanawake wajinga sana Peniela ! Ametoka fanya ujinga huko ana mkuta Judge 👨⚖️ Elibaliki anajisaidia! Sasa ana ka Sirika 🎉
Ngoma free
@@chance0709 weee kule anafanya kwa masrahi na Jude Khelibariki anampenda kweli toka ndani ya moyo lazima akasilike
Matayo ataruka kweri sijui 😄😄😄
Director umeanza!!! nn tena huyu Matayo na Peniella, haya mie nasikilizia kama hapa hakitaumana💃💃💃💃💃💃💃
Jaji mshezi kweli ivi
Huyu Jaji kayakoroga Mwehu kweli😢😢
Hawa majaji ni matahira ila jamani 😢😢😢😢
Shikamoo.mapenzi
Mackin PENIELA heshima yake yuwaivua kwa ajili ya tarifa tuh🥹🥹🥹
Ñdo maana ya upelelezi anatetea nchi yakee
Them mathayo tunaumiya sana kwaili alilolifanya Elibaliki .ona sasa mikono yenye anaenda mdumbukiza emo Anita na Naomi, angeenda kule yeye mwenyewe kulipa usaliti wake.ningemuona nimpe ata makofi mawili.
🙏🙏👍
Huyu peniela ataangukia kwa matayo naona
Jamani elibaliki nikama amechanganyikiwa
Poleni mathayo na peniela Mungu awatoe nguvu maana mmebaki pekeenu
George huaga hamalize simulizi zake anatuacha kila mara njiani kwahio hatusikilizi
Mshezi sana Jaji inibaliki ndah 😔😔😔😔kawasaliti wezie
Daaah jaji kaunguza picha
Wengine hatutaki mambo ya uzinzi simulia mkasa unaendelea
Nilijua kbs kuwa msimuliaji wa " NIHUKUMIWE TENA" lzm uwe wewe Director, Bigup sana bro👏👏👏👏👏👏👏
Nipo Oman nataka Tishet langi ya pink nyuma mniandikiee mathayo mrumbi😘😘😘
Huyu elibariki amenikera sana yaani anawasaliti wenzake pumbavu sana 😢
Huyu Jaji amenikera mpaka nahisi kichefuchefu yani
Elibariki mshenzi sana pumbafu sana
Nilijuwa 2 atakujaa kuwasalit yaani kaniudhiii kwelii
Mie ndo naja kusikiliza wadau nimechelewa ila nimefika sijari wala nini😢😅😅😅😅 asante d kwa mwendelezo❤ Peniela😜
Peniela ataangukia kwa captain matayo kila nikiona alibariki Hana chake amevunja moyo wa peniela
Pole sana mahtayo maskini😭😭😭
Daah huyu ali bariki ameniboesha kwl
Peniela awe na mathayo vyuma viumane vzr
wee OEN weee!!! kha na kweli kimeumanaaa💃💃💃💃💃💃
Nimeumia Peniela kumuacha Jaji Elibariki walai nimeumia sanaaaaaa😭😭😭😭
☺️pole dear
@@ritaisaya1424 ahsante wng 😔
@@arafakatanga6502 yaani Kuna mda naogopa Ila natamani kuendelea
@@ritaisaya1424 usiogope sweetie twende tusonga nayo japokuwa tulipo ni maumivu tupu kwa sisi time Mathayo😔😔
@@arafakatanga6502 Elibariki kaniuzi kweli japo yaani amenivunja moyo
Woow! Nimekaribia thanks Smix kwa muendelezo pamoja sana 🤝
Hummm Matayo aca ivo muteteye Edybariki 😂
Pole sana peniela
Huyu alibariki hamjui matayo vizuri
Elibariki ulaaniwe
Eli Eli Eli nakuita mala tatu utajuta kumjua mathayo😭kwa ulichokifanya
Shukran smlz mx ❤❤❤🎉
Hii kitu ni tamu Aseee Daah 🤪🤪ila oeni tunaomba Pc ya p ck bana alaa
Hee simuliz imeishia vibaya
Mimi nipo maputo Mozambique nitaipataje?
Kumekucha salama. Alhamdulillah 🙏🙏❤️❤️❤️💯
Bampa tu bampa mambo ni fire
🔥 🔥 🔥
Twende nalo thank baby d 🥰❤️❤️
D, oen sauti hiyo inatuumiza na manjonjo yako
Doe usicheke jamani
Eribariki kweli Hana akili
Nimemchukia uyo naomi kwa kuaribu furaa ya alibarik
Hata peniela hakana msimamo yani mala moja kasha muacha hajiulizi yeye anasambaza uchi wake kwa wanaume wangapi
Asanteni kwa mwendelezo
Asante
Nimewahi nimewahi leo wa nne
🤣🤣😂
😂😂😂😂Ila matayo chizi sana yani ameacha kumwambia ukweli ndaha
Jamani Nina msiba 😭 Mathayo wangu kashaondoka,Penila, Peniela,Peniela umenichukulia Mathayo wangu
😂😂😂😂😂pole Sweertie
@@arafakatanga6502 😓 Asante dear
😆😆😆😆😆😆
Tatizo lenu:
Maneno haya;
'KUWEZA', 'MAELEKEZO', 'KABBISA'
Yamekuwa ni mengi kwenye sentences zenu mpaka inakuwa kero!
Ila Peniela bwana😂😂😂
Masikini Matayo, ndio unatumbukia ktk mapenzi!!!!!
😂😂
Matayo mzee wa akili nyingi lakini Peniela kamuelewa Matayo subiri tuone
Was eagerly waiting. Thanks a lot. Always de last
Nikiomba kuandikiwa DIRECTOR itakubarika??
Nilikuwa nimejisahau jaman 🙄🤔🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣naoteaa 2 kweny nihukumiwe tena kutakuwa na wajukuu wa wakilii msomi Tomas kiwato kama c watoto wa walee mapcha cjui ilaa naisubr aisee maana ipindselo hamjatumalixia et
kha!!! utamu wa simulizi, najikuta nasikiliza bila hata kulike dah!!!!!
At mpatie anachokitaka nyie akiii Peniela pole mrembo wetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mie mbavu sina Alf oen ni kama kitu kizuri anaelezea mie hawa wasimuliaji especially hizi za sahii ya peniela,, Boss wangu na queen monicah duh apana wataniuwa mie
Akuna tisheti za mikono milefu
Namuonea huruma jaji