Shukran sana simulizi mix kazi nzuri sana nasikiliza hii simulizi ila nnahuzuni kwa usaliti wa jaji jamani binaadamu sie mtihani kwakweli kweli anaekuangamiza ni mtu wako wa karibu jaji utalipa kwa ulicho kifanya aisw
Asante kwa mwendelezo simulizi mix mnatujari na kututhamini ila nina huzuni mkubwa mie😢😢 judge Kheribaliki umewasaliti wenzio yaan natani nikufate huko kwa dr kigomba nikuchinje shingo ona sasa parcage inauzwa kwa ujinga wako uloufanya pumba zako wewe hufai🥹😏😏😏😏
Pumbavu sana ellybariki . Mjinga mkubwa usie na akili wewe . Unafaa kufanya maana hauna msimamomo . Yaani kunamijitu iko tayari kujua watuna kwa kuangalia uhai wake wa Leo. Nilale kujua uhai wao wa kesho hajui hicho kirusi kitamua.
Joshi mwamba wetu mpya
Jaji cha moto kinamsubiri na mwenyewe analitambua hilo
😭😭😭😭 maskini anitha why all this oooh God protect this lady she is fighting for her country,,,bt all this ellybariki you will pay
Shukran sana simulizi mix kazi nzuri sana nasikiliza hii simulizi ila nnahuzuni kwa usaliti wa jaji jamani binaadamu sie mtihani kwakweli kweli anaekuangamiza ni mtu wako wa karibu jaji utalipa kwa ulicho kifanya aisw
Elibarkiiiiiiiiiiiiiiii pumbav kwel ww 😭😭😭😭😭😭 msalit mkubwa ww kwel ucmwamin Mt yyte katka maisha yako
Nimemchukia bure elibarki
Yaani Elibariki amenikera kwa kweli asiombe matayo ajue usaliti ambao amefanya atajuta kumfahamu matayo pumbavu 😮
Elibariq mshamba sana yan
I'm no.1 thanks Smix pamoja sana PENIELA twende kz 👍🏻
Eeh Mungu saindia Anita wangu
Jugje Elbarik ni msaliti tena mshenzi
Elibarki kweli wewe ni musaliti mukubwa sana
Asante kwa mwendelezo simulizi mix mnatujari na kututhamini ila nina huzuni mkubwa mie😢😢 judge Kheribaliki umewasaliti wenzio yaan natani nikufate huko kwa dr kigomba nikuchinje shingo ona sasa parcage inauzwa kwa ujinga wako uloufanya pumba zako wewe hufai🥹😏😏😏😏
Jaman hamu lali kweli yaan hata saa moja haijaisha kweli dhuu ila Asante sana kwa muendelezo nawapenda sana wana simulizi mix family wote🥰
Wow kitu ichooo mbarikiwe sana simuliz mix
Wakwanz from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Weeeeuweeeee mambo ni 🔥
Shukran sana kwenu nyote Mtunzi, Msimuliaji na Crew nzima ya Simulizi Mix kwa kutufurahisha, kutuburudisha na kutuelimisha.
I am so heartbroken with what Judge Elbarick did inauma sana😢
Elibariki n mpuuzi w mwisho msaliti wa kiwango cha mwisho
Asante simulizi mix huyu alibaki shetani mkubwa unauza inch
❤🎉❤Asante
Waoooooooo sijatoka wakwanza nawapendatuuuuuu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
daah jaji ely we snch kuliko wote chini ya jua I can't believe!!
Ninacho Shukru Mungu ni kuwa Jaji Elibarik unamjua vizur Mathayo, Subili malipo yako Sasa Mbwa wewe, 😏😏😏
Simulizi hii umenimaliza. This is the best of the best
Sin lakusem💔💔💔👌🙏💜🇧🇮
Patrick CK unajua buana 👏👏👏
Ila D'Oen wewe ni mtaalamu💪💪💪💪
Simulizi mix ❤ hamna mpinzani
.
💃💃💃🙏🙏Wakwaza jamani😂😂
❤❤❤❤🎉thanks smlz mx
Kweli nyinyi ni wakusifiwa Sana.
Duuh elybarik elybarik elybarik nakwita maratatu nakuchukia sana japo ni historia mshenzi mkubwa wewe kweli kweli yani wewe ise nakuchukia kabisa
Eribariki mjinga sana
Asanteni kwa muendelozo
Asante sana
Elinariki sheitaani rajim hafai nawaombea Matayo na Peni wapatw nguvu wawaangamize wote
🔥🔥
Namchukia
🥰🥰🥰🥰
Elibariki mbna umekuw msaliti hvyo wnzko wmejitoa kwa kla htar ww ulkuw umekaa ndan tu leo unamwaga mtama,hebu mniruhusu nimzabe hyu Elibariki
Asanteni simulizi mix
Asate sana nasubiri mwendelezo ili nijue mwisho wa huyu mpumbavu jaji ataishia wap
Wow, thanks simulizi mix
Sijuwi hata uyu Elibaliki nimpe jina gani kwa uyu usaliti wake.
🙏🙏🙏🙏
Shukran saaanaaaa😘😍
Na was was kigomba anaweza kua upande wa kina mathayo bdae
pamoja sana
Usaliti unaumizaaaaaa
Better to stay alone, I need no friend in my life,,,,,,😭😢😥😰😨😧😦🥺
Jamani leo mbona hakuna maelekezo tafadhali tunaomba muendelezo
elibarik hafai kua rais wa nchi coz frg lake haligandishi hana kifua
Thank you so much baby d 😘😘😘
❤️❤️❤️❤️❤️💯
Jaji Elbariki uliwaza nn bbangu hata ukaamua kuwasaliti wenzio
❤️❤️❤️❤️
Minaomba sehemu4 nisikie habarimbaya imemutokea musarti kama shetani avunja sirizote nasikia rohombauya macozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Maika amegeuka kua ibilisi
Kwa mara ya kwanza nimejutia MB zangu
😅😅😅😅
❤
Asate sana simlizi mix d oen
Jaji jaji jaji utalipa kwa hili
Nimemwonea Matayo na Peniella huruma
Kwa matayo walishindwa mosad miaka mitatu hakusema kitu kwailo msahau tu
Jaji so mtu haki dah
Tunasonga mbele
Inanitia asira ila nitamu sana nashidwa kuacha ebu nisikilize tu
Kila siku nitachukuw nafas ya kwanz mpk mtajut 😅😅😅😅😅😅😅😅🇹🇿🇴🇲
Jaji jaji jaji na kuita Mara Tatu utakuta kwa hili
Utajuta jaji kumfahamu matayo
Jaji nataka matayo akunywe dam
Awee nakosaje kwa mfano
Am so heart broken with Eli is this how judges think? Aki hana akili
Judge Elibariki weweee!!!!!!!!!!!!!!!!, wacha nikuone utaishia wapi na usaliti wako
Kwakweli bamba 2bamba
Source ya usaliti mwingi mapenzi 😭
Elbarik ni snitch
Elibariki umbwa wewe pumbavu zako🤕🤕🤕🤕🤕🤕🤕
Ndan ya sekund 4 ni nimewahi
Pumbavu sana ellybariki . Mjinga mkubwa usie na akili wewe . Unafaa kufanya maana hauna msimamomo . Yaani kunamijitu iko tayari kujua watuna kwa kuangalia uhai wake wa Leo. Nilale kujua uhai wao wa kesho hajui hicho kirusi kitamua.
🔥🔥🔥