NISAMEHE (PENDO LENYE MAUMIVU PART 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 20

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 10 месяцев назад +2

    Kwasababu ni Lukas lumbasi nzuri sana🎉🎉🎉

  • @nachoalinachoali4117
    @nachoalinachoali4117 2 года назад +1

    Pole Joyce msamehe hans

  • @JawahirMadar
    @JawahirMadar Год назад +1

    Bwege wee kijana huyo dada ako si dada kibwengo

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 2 года назад +1

    Ogopa vita vya mapenzi maana havina tiba zaidi tiba yake maumivu yalio Makalu zaidi ya majeraha ya Moto wa tindi Kali namwisho mkubwa rahisi kuishia kaburini shukrani Lukas na mtunzi Haseleen kwaufahamu huu

  • @reenreen7031
    @reenreen7031 2 года назад +1

    Wow mambo ndo hayo Sasa,,tuende nayo

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 года назад +1

    Shukraan kwa simulizi tamuu nasikiliza kwanza baadae nitakoment tena 🥰🥰🥰🥰

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 года назад

    Jamani mapenzi ni mazuri watu wakitunza nadhiri na kuziheshimu. Zinapoamua kuvunjwa maumivu yake ni makali na Watu wanaharibikiwa Kabisa. Kijana alivunja kabisa ona drama zilizofuata. Pole sana ndugu

  • @JawahirMadar
    @JawahirMadar Год назад

    Kweli kuna wanaume wasenge wewe kaka pole hujielewi hufai 😢😢😢

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we 2 года назад +1

    Haaa na Leo wakwanza mim

  • @ElizaSada
    @ElizaSada 3 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 2 года назад

    Jmn hii simulizi imeniliza hapo mwisho mbona jmn binadamu tunamaamuzi mabaya namna hii kweli mtu kabla yakuchukua maamuzi anafaa kufikiri mara 2 yaani kifo ya huyu dada na wtt mmh sijapenda

  • @safiyahaji9682
    @safiyahaji9682 2 года назад +1

    Kiukweli mm napemda simulizi asimulie d oen wote wanajua ila huyu anasherehesha poa kweli..

    • @scollamwanisisi2739
      @scollamwanisisi2739 10 месяцев назад

      Yaan d oen na huyu Lucas lumbasi wanajua hatar sana

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 2 года назад +2

    Woow! Thanks Smix 🙏🏻I'm no.1

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 10 месяцев назад

    Joyce ungekaa kimya tu,, kweny mapenzi kuna mda uongo inabidi utumike tu ili ,kulinda mahusiano, uongo unanafas kubwa mno

  • @vero756
    @vero756 2 года назад

    Ila wanaume nyie mtapewa nn mlidhike😁😁,ama imefika pale mnasema ata King Solomon alioa wanawake Mia saba(700) na bado alikuwa anatoka inje ya ndoa na wanawake Mia 300 .🤣🤣

  • @asiamodriq2933
    @asiamodriq2933 2 года назад

    ❤️❤️❤️

  • @haneefakamal9233
    @haneefakamal9233 2 года назад

    ☝️ look ju

  • @janethalbert2636
    @janethalbert2636 2 года назад

    Wow