Ogopa vita vya mapenzi maana havina tiba zaidi tiba yake maumivu yalio Makalu zaidi ya majeraha ya Moto wa tindi Kali namwisho mkubwa rahisi kuishia kaburini shukrani Lukas na mtunzi Haseleen kwaufahamu huu
Jamani mapenzi ni mazuri watu wakitunza nadhiri na kuziheshimu. Zinapoamua kuvunjwa maumivu yake ni makali na Watu wanaharibikiwa Kabisa. Kijana alivunja kabisa ona drama zilizofuata. Pole sana ndugu
Jmn hii simulizi imeniliza hapo mwisho mbona jmn binadamu tunamaamuzi mabaya namna hii kweli mtu kabla yakuchukua maamuzi anafaa kufikiri mara 2 yaani kifo ya huyu dada na wtt mmh sijapenda
Ila wanaume nyie mtapewa nn mlidhike😁😁,ama imefika pale mnasema ata King Solomon alioa wanawake Mia saba(700) na bado alikuwa anatoka inje ya ndoa na wanawake Mia 300 .🤣🤣
Kwasababu ni Lukas lumbasi nzuri sana🎉🎉🎉
Pole Joyce msamehe hans
Bwege wee kijana huyo dada ako si dada kibwengo
Ogopa vita vya mapenzi maana havina tiba zaidi tiba yake maumivu yalio Makalu zaidi ya majeraha ya Moto wa tindi Kali namwisho mkubwa rahisi kuishia kaburini shukrani Lukas na mtunzi Haseleen kwaufahamu huu
Wow mambo ndo hayo Sasa,,tuende nayo
Shukraan kwa simulizi tamuu nasikiliza kwanza baadae nitakoment tena 🥰🥰🥰🥰
Jamani mapenzi ni mazuri watu wakitunza nadhiri na kuziheshimu. Zinapoamua kuvunjwa maumivu yake ni makali na Watu wanaharibikiwa Kabisa. Kijana alivunja kabisa ona drama zilizofuata. Pole sana ndugu
Kweli kuna wanaume wasenge wewe kaka pole hujielewi hufai 😢😢😢
Haaa na Leo wakwanza mim
❤❤❤❤
Jmn hii simulizi imeniliza hapo mwisho mbona jmn binadamu tunamaamuzi mabaya namna hii kweli mtu kabla yakuchukua maamuzi anafaa kufikiri mara 2 yaani kifo ya huyu dada na wtt mmh sijapenda
Kiukweli mm napemda simulizi asimulie d oen wote wanajua ila huyu anasherehesha poa kweli..
Yaan d oen na huyu Lucas lumbasi wanajua hatar sana
Woow! Thanks Smix 🙏🏻I'm no.1
9l
Joyce ungekaa kimya tu,, kweny mapenzi kuna mda uongo inabidi utumike tu ili ,kulinda mahusiano, uongo unanafas kubwa mno
Ila wanaume nyie mtapewa nn mlidhike😁😁,ama imefika pale mnasema ata King Solomon alioa wanawake Mia saba(700) na bado alikuwa anatoka inje ya ndoa na wanawake Mia 300 .🤣🤣
❤️❤️❤️
☝️ look ju
Wow