PENIELA - 7 NA 8/10 season III SIMULIZI ZA UPELELEZI NA MAPIGANO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 74

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +4

    Tumesha ingia asanteni kwa mwendelezo team Matayo 🇰🇪👍

  • @msafirimwenetombwe8819
    @msafirimwenetombwe8819 Месяц назад

    Mathayo Salut Sana

  • @nassirmagoss3802
    @nassirmagoss3802 Год назад +2

    Kazi nzur simuliz mix

  • @ckvictor7737
    @ckvictor7737 Год назад +1

    Peniela jameni. The former president is in too? Awesome work done by Patrick CK, Simulizi mix and Director Oen ambaye anazingatia vigezo vyote vya simulizi. Bravo sana.

  • @nassirmagoss3802
    @nassirmagoss3802 Год назад +5

    Asanten sa naipat nikiw ndan ya oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @bintimrope
    @bintimrope Год назад +3

    Shukrani sana simulizi mix ❤️❤️❤️💯

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +3

    Nimekaribia thanks Smix pamoja sana na Peniela wetu 👍🏻

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Год назад +2

    Waaah ni moto🔥wa kupotea mbali moto juu ya fire😍🥰 Shukran za dhati kwenu nyote Mwandishi, msimuliaji D'Oen na Simulizi Mix yote kwa ujumla big up kwenu nyote sana tumeenjoy, tumelearn na kysisimka sana

  • @omanal373
    @omanal373 Год назад +2

    Peniela ni 🔥

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Год назад +2

    Mambo yanazidi kuwa 🔥🔥🔥 shukran sana simulizi mix

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 Год назад +1

    ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ matayo mm nakupenda sn hatakam wakat watu vidole mm sijali hayo 😄 🤣 😂 😆 tisht mm jamni mwanitiya kiroho roho tuu yani 😔 😔 😔

  • @damarisabdueli3604
    @damarisabdueli3604 Год назад +3

    Asante sana kwakutulitea muendelezo lakini tunaomba hadi mwisho tahadhari usije ishia njiani

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +1

    Shukran sana simulizi mix kazi iendelee

  • @sellenasellena5475
    @sellenasellena5475 Год назад +1

    Jaman imeishia patam kweli hii simulizi ni 🔥🔥🔥 wa kuotea mbali

  • @beatriceshadrack9020
    @beatriceshadrack9020 Год назад +8

    Nawapenda wote wapenzi wa simulix mix❤️♥️🥂😂🤣

  • @janethmagema8062
    @janethmagema8062 Год назад

    Safi sana Anita kwa kumuonya matayo juu ya peni

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    Ki2 hko ❤️❤️❤️👌

  • @fainesimathiasi179
    @fainesimathiasi179 Год назад

    Mathayo mrumbi plz baby usije mtamani peniela nakupenda sanaaa nipo tayali kujutolea mahali😍😍😍😍😍😍😍💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

  • @munalove450
    @munalove450 Год назад +1

    Shuran sana d oen😘😘

  • @diddahjay2185
    @diddahjay2185 Год назад +1

    Peniela km peniela habar yke si ya kitoto hadi mwamba matayo ameamza kudata

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Год назад +2

    Shukran smlz mx ❤❤🎉

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 Год назад +2

    Tuna enjoy sana wana familia 🥰❤❤

  • @saragh1243
    @saragh1243 Год назад

    Niatari kweli D oen umetukatli sana

  • @aimanmohamed5885
    @aimanmohamed5885 Год назад

    Mbarikiwe sana simulizi mix

  • @hazilaumaysa6958
    @hazilaumaysa6958 Год назад +1

    Wawooh matayo nakuona

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +2

    Nadani ya Nyumba kubwa Simulizi Miz ❤❤❤❤ nafika nikiwa mpoleeeeee maana nimechelewa😌😌

  • @christinenamwamba9152
    @christinenamwamba9152 Год назад +1

    Shukrani sana 💕🙏

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 Год назад +1

    Shukran saanaa😘😍😘😍

  • @ayshaomarymunga3543
    @ayshaomarymunga3543 Год назад +1

    nimewahi leo mambo ni motoooo

  • @جميلهخميس-ط5ث
    @جميلهخميس-ط5ث Год назад +2

    🙏🙏❤️❤️

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +1

    Dhaaa huyu naomi simuelewi kabisa

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +2

    Rose ni wale wale wakina bela

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Год назад +1

    Nice

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +1

    Jaji pole sana

  • @bintdoman7752
    @bintdoman7752 Год назад

    Jamn daah nainjoy sana😂😂

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Год назад

    Mambo 🔥🔥🔥😁😁

  • @jamaaamina296
    @jamaaamina296 Год назад +1

    Thanks

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Год назад +1

    Nko chonjo sana

  • @shamsiarashid4015
    @shamsiarashid4015 Год назад +1

    Asante

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +1

    Malaika mchanganya watu peniela

  • @gladysmkamburi5001
    @gladysmkamburi5001 Год назад +3

    Kama ni shirt ningechukua ya scandal nameipenda sana hio simulizi ,pamoja sana mathayo , gosigosi na rubi

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    Asate sana simlizi mix d oen

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +3

    😂😂😂😂😂Jaji I inibaliki kapatikana namtu alie naukame

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +1

    Watu mnalala humu

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Ila peniela kiboko jamani khaa anaingia anga za smart boy matayo haya langu jicho tu

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +3

    😂😂😂😂Kwann yeye matayo anamchungulia

  • @salmaedwin5641
    @salmaedwin5641 Год назад +1

    Nimewahi kidogo leo

  • @msimhassan
    @msimhassan Год назад

    🔥🔥🔥👌

  • @gladysmkamburi5001
    @gladysmkamburi5001 Год назад +2

    Sema kungoja kwa hamu😂

  • @YussufYussuf-g6t
    @YussufYussuf-g6t Год назад

    🎉🎉🎉

  • @chantalmavandu4950
    @chantalmavandu4950 Год назад +1

    Mambo moto moto tunaburudika

  • @euniceumazi5143
    @euniceumazi5143 Год назад

    Aaaaaiiiiiii jamaaaaaniiii

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Год назад

    Hii simulizi huwaga inaniacha hoi😔😔😔ikifikia mahali kwamba panakiu ndo inakatika ,tanajiachia director Oen nyuma ya 🎤tuko p1 🫡

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    Chesooo mpaka Deus jmn peniela walai utauwa wanaume mpaka wababaz😄😄😄😄 pumbavu lzm utuambie tunacho hitaji

  • @hidayaothumani7056
    @hidayaothumani7056 Год назад

    Pa tamu hapo

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад

    Wee OEN weee!!!! mbona Matayo hatosalimika ha pa kwa Peniella!!!!,

  • @atuganilemwakasangam2018
    @atuganilemwakasangam2018 Год назад

    Utasema tu . Rose

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +1

    Nyie huyu Rose anajiamini nini 😅😅😅😅 pamoja na hayo mateso hataki kueleza ukweli😂

  • @aaq9812Bintksaim
    @aaq9812Bintksaim Год назад

    😘😘😘😘😘

  • @jamilanahimana-wc4nd
    @jamilanahimana-wc4nd Год назад

    Yani uyu naomi anamganda jaji wetu

  • @damarisabdueli3604
    @damarisabdueli3604 Год назад

    Sasa mbona hakuna maelekezo jamani tafadhali tunaomba muendelezo tafadhali

  • @zenabp536
    @zenabp536 Год назад

    Munakata hamu zangu jamani

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 Год назад

    Wanaume.mtafika.mbinguni.ata.kuongea hamuwezi maana.hamna.imani.ata.kidogo

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Год назад

    Hiii foren marehem noa 2 imempitaa jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 apumzikee kwa amani huko aliko maana matayo tiary tushampotezaa tiary nahic eli bark atakuwa na Naomi mezaa inapindukaa kibabee uwiiii

    • @katalamohamed4305
      @katalamohamed4305 Год назад

      Sijaelewa mpendwa Nora kafanyaje na MATAYO tumempoteza vipi

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 Год назад

      @@katalamohamed4305 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mm namaanisha peniela anavo pita pitaa na mwanaume kila anae kuwa mbele yake yy anapita nae 2 asaiv kamtengaa matayo mdaa wote atapitaa nae 2 maana matayo nae kashaanzaa kumuwanzaa kila wakat

  • @zaytoona2215
    @zaytoona2215 Год назад

    🤣🤣🤣🤣😂😂 dah umemalzia kwa utam kwann lkn

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Год назад

    Wacha partrick at wambie nn iko

  • @upendojohnson-iu1vm
    @upendojohnson-iu1vm Год назад

    Matayo ni hate san

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 Год назад

    Eeeh Naomie muwace Elibariki 😂😂

  • @midibeatrice8650
    @midibeatrice8650 Год назад +1

    Asante