WAISLAM SHUHUDIENI MTIHANI HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июл 2019
  • Kutoka AL FATAH charitable associassion.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal
    Alfatah tv online
    kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490

Комментарии • 278

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z 2 месяца назад +1

    Kwa uwezo wa allah msikiti utajengwa tu

  • @user-mf7mt9zq6c
    @user-mf7mt9zq6c Месяц назад

    Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 года назад +3

    Innalillah wainnailaih rajuu mungu wanguu waislamu tuko WAP jamanii

  • @nikitamarley3933
    @nikitamarley3933 4 года назад +7

    Uko sehemu ngani Inshaallah🙏🙏

  • @jamyrarashidy4078
    @jamyrarashidy4078 4 года назад +2

    Allah ataleta kherii ishaallah

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 4 года назад +49

    Ya allah nipe katika neema zako niweze kufanya kheri kama hizi.

    • @sashaamir0019
      @sashaamir0019 4 года назад +1

      Basloom Walid kwasote insha Allah

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад +1

      Hahahaaa,,,,,,neema za mungu mtihani!!!

  • @ibraringi8072
    @ibraringi8072 4 года назад +8

    Kweli tutakapo nusuru dini ya Allah na Allah atatunusuru ss na Allah atie wepesi nyoyo zetu ziwe na wepes wakutoa

  • @aminambaruku9453
    @aminambaruku9453 4 года назад

    Subhanallah

  • @mcoastcoast2033
    @mcoastcoast2033 4 года назад +4

    Subhana Allah. Niwapi huko?

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 года назад

    ALLAH AKBAR

  • @bintiiomary9500
    @bintiiomary9500 4 года назад +11

    Jamani Al Fatah nataka kuchangia n mm nko mbali 🇶🇦🇶🇦Qatar ntaka kututoa kwa ajili y Allah

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 года назад +4

    Subhanna ALLAH.

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 года назад +3

    Inshallah

  • @nassorhamad8556
    @nassorhamad8556 4 года назад +5

    Yaa RABBI tupe nasie waja wako riski za halali tupate kutoa nasie aaamiin

  • @lutfiamattar5302
    @lutfiamattar5302 4 года назад +4

    Yaallah wajalie waja wako wapate wafadhl tukiwemo ss

  • @lailapandu1169
    @lailapandu1169 4 года назад +2

    Allah karimu

  • @kyayangirehamdan5633
    @kyayangirehamdan5633 4 года назад +3

    Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 4 года назад +4

    Mashaa Allah mashaa Allah nimepapenda hiyo sehemu.

  • @aishamohamed4727
    @aishamohamed4727 4 года назад +5

    subhanaallaah, ....,

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 года назад +2

    😲😲Subbuhana Allah 😭😭jmn

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +2

    Subhan Allah 😭😭😭🤦‍♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 4 года назад +14

    Ningekuwa nauwezo ningesadiya jamani wenyeueezo sadiyeni😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @omarjoombi8802
    @omarjoombi8802 4 года назад +11

    😥😥Allah atakulipen ALFATAH TV

  • @musabiram1525
    @musabiram1525 4 года назад

    Inasikitisha sana

  • @rowenamabulay4452
    @rowenamabulay4452 4 года назад +2

    Subhaan Allah,Islnsha Allah kila jmbo litanyooka

  • @yahyafakih5190
    @yahyafakih5190 4 года назад +6

    Uyu mtangazaji hata sehemu ulipo huu msikiti hataji sehemu

  • @mamyrahima6913
    @mamyrahima6913 4 года назад +2

    Mungu ataleta kherii ishaallah. ❤️

  • @wanusuleiman169
    @wanusuleiman169 Год назад

    Allaahu akbar jamani tujitoleeeni ktk kuipigania dini ya aAllaah S. W na Allaah s. w atatusaidia ktk hil

  • @joakimcyprian5198
    @joakimcyprian5198 4 года назад +1

    Inshaallah Allah atanusuru

  • @musabiram1525
    @musabiram1525 4 года назад +1

    Subhanallah!!

  • @mwanakombojabiri6263
    @mwanakombojabiri6263 4 года назад +5

    Allah atajalia wepesi..mbona amukueka namba ya muhusika

  • @abedamohamed2336
    @abedamohamed2336 4 года назад +8

    Ishauwa mungu ataleta heri amina ya rabi🤔

  • @user-qg2sw9bj2i
    @user-qg2sw9bj2i 4 года назад +5

    Subhanallah...jamani viongozi tembeeni mpaka vijijini msiishie mijini😢😢😢😢😢😢Allah ataleta kheri in shaa Allah

  • @zulihanani7355
    @zulihanani7355 4 года назад +1

    Masha Allah much love from uganda

  • @alibadi6323
    @alibadi6323 Год назад

    Subhanallah Allah atafanyawepesi ishaallah

  • @chuseruna5344
    @chuseruna5344 4 года назад +1

    Mwenyenzi mungu awawezeshe ishaallah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 года назад +4

    Subhanallah.. Allah afanye wepesi inshaallah

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 4 года назад +1

    Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto

  • @athumanipalamba3003
    @athumanipalamba3003 4 года назад +2

    Nilisho kigundua kwa sisi wsslam niwagumu sana kutoa nakuji tilea tubadilikeni jamani

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 4 года назад +1

    Subhanallha

  • @babailu2133
    @babailu2133 4 года назад

    Subhannallah EE Mola nipe uwezo ili niupeleke mbele Uislam wetu

  • @shamsahassan2586
    @shamsahassan2586 4 года назад +1

    subhanallah,,mungu awazidishie watakaosaidia kujenga miskiti

  • @zainabusaid2222
    @zainabusaid2222 4 года назад +9

    yaalah nipe rizi ya halali nitowe japo nitakachojaaliwa nimechukua namba za cm sijui ndie ya kuchangia au tunomba mongozo AMINA yarabilala

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 4 года назад +5

    Subhannah msiki ni mdogo na watu wanasali leo sehemu nyingine misiki mikubwa na watu wanaona tabu kwenda kufanya Ibada.

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly9686 4 года назад +10

    Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 4 года назад +4

      sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 4 года назад +1

      Jamani hata kujitolea kwa kushirikiana hawawezi,waangeanza nna imani wangekuwa wamefikia hatua fulani ili wanaochangia waendeleze

    • @michaelboniphace3685
      @michaelboniphace3685 4 года назад

      Ww umetoa nn kwenye hicho kidogo ulichonacho ?? Unalaumu matajiri wachangie kana kwamba uliwasaidia kuzitafuta

    • @fatmaaly9686
      @fatmaaly9686 4 года назад

      @@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu

    • @zahara.mtingita5740
      @zahara.mtingita5740 4 года назад

      Hizi. Ndizo. Dalili. .ndogo. ndogo. Alizo. Zitaja. Mtume

  • @jumaaidi3024
    @jumaaidi3024 11 месяцев назад

    allah awjalie mpate msikiti mkubwa inshallah

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 4 года назад

    Mungu atuwezeshe inshaallah tuweze kuchangia. Allahu Akbar.

  • @halkhaji4288
    @halkhaji4288 4 года назад +1

    bi iznii allah

  • @sumaiyaibrahim429
    @sumaiyaibrahim429 4 года назад +1

    Inshallah tutatoa tunachojaaliwa ila mji huo Uko wapi? Na pesa tutatuma kwa njia gani? Allah Akbar

  • @waziribakari6543
    @waziribakari6543 4 года назад +8

    Unajielewa sana ndugu yangu mwandishi, Allah akulipe kher pamoja na taasisi yako na azid kukuongoza katika kher.

    • @allymayani4436
      @allymayani4436 4 года назад +1

      Waziri Bakari inalilah wa inailah rajuun

  • @tawakalwamakaru8605
    @tawakalwamakaru8605 4 года назад

    Subhan Allah maeneo gani uko uliko huwo mskiti tufahamisheni

  • @zaitunijumanne6618
    @zaitunijumanne6618 4 года назад

    Inalilah wa innalilah rajiuna,waislamu tuipende dini yetu kwa wenye uwezo tuchangie walau tufanye jambo.inshaallah.

    • @Wastara001
      @Wastara001 4 года назад

      Hizo sauti zinazosikika ni muziki au nini? Kwani hamuwezi kutoa matangazo bila hizo kelele

  • @msfatma946
    @msfatma946 4 года назад +3

    Allah ataleta kher yake in shaallah 🤲

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 года назад

    Lailah Ila LLAH

  • @mithasari3030
    @mithasari3030 4 года назад

    Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah

  • @aminamfaume4244
    @aminamfaume4244 4 года назад

    Haya ndio mambo ya kutuonyesha .Ahsant sna

  • @dannkoyzakoyza8521
    @dannkoyzakoyza8521 4 года назад +1

    Kwani mungu hakusiki mpaka uswali ndani ya msikiti.

  • @kickermerakakaman7437
    @kickermerakakaman7437 4 года назад

    subhanaallah inshaallah weny uwez watasaidia

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 4 года назад +1

    Subhaana Allah

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +1

    Kuna kheri nyingi ktk msikiti huo, moja ya kheri hiyo ni kuwa Hakuna kugombea sadaka hapo,,,,, !!!

  • @hamzarajabomari5408
    @hamzarajabomari5408 4 года назад +1

    nimeguswa roho

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад +1

    Allaah azidikuwap nguvu namaishamarefu amiin

  • @mariasimon7545
    @mariasimon7545 4 года назад

    TUBUNI NA KUIAMINI INJILI KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMETIMIA, YESU KRISTO PEKEE NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAWEZI KWE MBINGUNI ASIPOPITIA NJIA YA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU. AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYE AMINI AMEKWISHA KUHUKUMIWA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 4 года назад

    Wapi hapa subhanallah

  • @marcomathias8099
    @marcomathias8099 4 года назад

    Polen

  • @khamisame4732
    @khamisame4732 4 года назад +9

    Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah

  • @halimahussein4752
    @halimahussein4752 4 года назад

    Ni wapi ulipo

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 4 года назад +1

    Subuhanallah

  • @ftoomamh7873
    @ftoomamh7873 4 года назад

    Allwaa karimu ishaallwaa

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 4 года назад +4

    Tajeni majina ya hizo sehemu

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 4 года назад +1

    سبحان الله يا ربي جعلني رزق وسع

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 2 месяца назад

      Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 года назад

    يا ألله

  • @firdausrashid3069
    @firdausrashid3069 4 года назад +13

    Allah atupe wepesi. Mbona haikuelezwa huu msikti uko wapi? Shukran

    • @aymanabdallah9225
      @aymanabdallah9225 4 года назад +2

      Asalam alyqum warahmatullah wabaraqatuh ,ndugu yangu nomber zipo hapo zinapita chukua no upige au kutoa mchango wako kwaajili ya swaddaqatuljaria

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +2

    NAAAAM

  • @jimjam4162
    @jimjam4162 4 года назад +1

    SUBHANA ALLAH.

  • @sadasadiki3768
    @sadasadiki3768 4 года назад

    subhanallah

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 4 года назад

    SUBHANAALLAH

  • @dickmlwilo3020
    @dickmlwilo3020 4 года назад

    InshaAllah atukumbushe kwa hilo

  • @asadjuma3497
    @asadjuma3497 4 года назад +1

    Uko wapi huo msikiti ndugu mtangazaji

  • @halimamlili7427
    @halimamlili7427 4 года назад

    Allah nifanyie wepesi kama ulivo wafanyia wepesi wanaohitaji nani niwez kunyoosha mkoni

  • @salmaalkyumi2270
    @salmaalkyumi2270 4 года назад

    Salallahu alaihi wasalam

  • @saidkilima811
    @saidkilima811 4 года назад

    Wainalilah raajuni

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 4 года назад +5

    Huu msikiti upon wapi na tunachangia vipi?

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 4 года назад

      Angalia hapo kushoto kuna Namba zinapita Ndio za Kuchangia

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 года назад

    Innalilahi waina ilaihi rajighuun waislam wenzangu tushikamane kuinua dini yetu hadi machozi yananitoka mlio nahali toeni

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 4 года назад

    Ishallah mta pata nawaombeya duwa mpate

  • @welezilibero7650
    @welezilibero7650 4 года назад

    SubhanaAllah

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 4 года назад

    Subhanallah inasikitisha Allah atalipa al fatah kwa juhudi zenu

  • @chaubajaj5272
    @chaubajaj5272 4 года назад

    Daaaaaaa

  • @kalimuulongo9943
    @kalimuulongo9943 4 года назад

    Allah akbar

  • @rashidbeleiko153
    @rashidbeleiko153 4 года назад

    ewee Allah ñaombaa unipeee neemaa niwezee kufanya kheri zinazoendanaaaa na hiziiu

  • @ismailadan9110
    @ismailadan9110 4 года назад

    Allah Akbar

  • @mwanalimateusi888
    @mwanalimateusi888 4 года назад

    Naomba kujua tutatoaje mchango nam nichangie.

  • @frankmandaya4141
    @frankmandaya4141 4 года назад

    Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu

  • @aminaomary3947
    @aminaomary3947 4 года назад

    Yarab tujalie tufanye mema tarab

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk7482 4 года назад +3

    nyie wavivu tu rekebisheni kwanza huo huo wa miti kisha watu wanapochanga unajengwa vijana wazima mnashindwa kila mtu kuja na mti mmoja mmoja kila siku

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 4 года назад +2

      Hicho hasa ndio kinaniumiza kichwa,, waislam wavivu Allah hawapendi,, kweli hawawezi kujenga wa matofali basi kujenga vitu kwa miti wanashindwa!!? Hata kuchimba choo cha chimo sakazungusha majani hawawezi,, wanataka lazima wafadhiliwe wao hawataki fadhila za Allah,, kwakifupi waislam hawa wamelala usingizi mzito ila watakapo amka haraka watengeneze msikiti imara wa miti matofali yatawakuta siku za usoni,, wasisubiri uanguke eti wamekosa mfadhili

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 4 года назад

      Kweli mjomba wana zarau hao wanakijiji mtu ingekuwa nyumba yake au maskani ya CCM washalijenga banda fresh. Mana udongo upo makuti ya mawe yapo kila mtu aje na kuti na majiti na gari ya ngombe ya mawe wanashindwa . Halafu wanamsikitia mungu na huyo mungu amewapa akili lakini maarifa madogo .tatizo hawajawa tayari ki umoja mbona kuna mabanda ya udongo mazuri to ramani yake . Hawajawa tayari

  • @aminirashid2833
    @aminirashid2833 Год назад

    Abebwae hujikaza basi hata huo wanashindwa kuukarabati na kuuweka vizuri wanaume wazima hao

  • @zainabuomary3957
    @zainabuomary3957 4 года назад

    Subkhaana llaah

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 4 года назад

    Inshaa Llah tutafanya hivyo.

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 4 года назад

    Aallahwbkar subhanalllha

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 года назад +2

    Alhamdulillah,,,in shaallah bi ithnillah Naomba Number ya m pesa

    • @halinishmachache2515
      @halinishmachache2515 4 года назад +1

      SubhanaAllah naomba namba y m.pesa hiki kidogo changu nina imani kitasaidia inshaAllah