Kutoka AL FATAH charitable associassion. Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
Subhan Allah 😭😭😭🤦♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
TUBUNI NA KUIAMINI INJILI KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMETIMIA, YESU KRISTO PEKEE NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAWEZI KWE MBINGUNI ASIPOPITIA NJIA YA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU. AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYE AMINI AMEKWISHA KUHUKUMIWA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
nyie wavivu tu rekebisheni kwanza huo huo wa miti kisha watu wanapochanga unajengwa vijana wazima mnashindwa kila mtu kuja na mti mmoja mmoja kila siku
Hicho hasa ndio kinaniumiza kichwa,, waislam wavivu Allah hawapendi,, kweli hawawezi kujenga wa matofali basi kujenga vitu kwa miti wanashindwa!!? Hata kuchimba choo cha chimo sakazungusha majani hawawezi,, wanataka lazima wafadhiliwe wao hawataki fadhila za Allah,, kwakifupi waislam hawa wamelala usingizi mzito ila watakapo amka haraka watengeneze msikiti imara wa miti matofali yatawakuta siku za usoni,, wasisubiri uanguke eti wamekosa mfadhili
Kweli mjomba wana zarau hao wanakijiji mtu ingekuwa nyumba yake au maskani ya CCM washalijenga banda fresh. Mana udongo upo makuti ya mawe yapo kila mtu aje na kuti na majiti na gari ya ngombe ya mawe wanashindwa . Halafu wanamsikitia mungu na huyo mungu amewapa akili lakini maarifa madogo .tatizo hawajawa tayari ki umoja mbona kuna mabanda ya udongo mazuri to ramani yake . Hawajawa tayari
Kwa uwezo wa allah msikiti utajengwa tu
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
Innalillah wainnailaih rajuu mungu wanguu waislamu tuko WAP jamanii
Uko sehemu ngani Inshaallah🙏🙏
Allah ataleta kherii ishaallah
Ya allah nipe katika neema zako niweze kufanya kheri kama hizi.
Basloom Walid kwasote insha Allah
Hahahaaa,,,,,,neema za mungu mtihani!!!
Kweli tutakapo nusuru dini ya Allah na Allah atatunusuru ss na Allah atie wepesi nyoyo zetu ziwe na wepes wakutoa
Subhanallah
Subhana Allah. Niwapi huko?
ALLAH AKBAR
Jamani Al Fatah nataka kuchangia n mm nko mbali 🇶🇦🇶🇦Qatar ntaka kututoa kwa ajili y Allah
Bintii Omary nmba yao ipo hapo
asalam aleikum
Bintii Omary unafanya nn huko kayari kuna kz nami huko zandani
Bintii Omary naomba yako ya whatsapp
Binti Omary je ulifanikiwa kutoa sadaka yako? kama bado naomba tuwasiliane kwa namba hii +255657437007
Subhanna ALLAH.
Inshallah
Yaa RABBI tupe nasie waja wako riski za halali tupate kutoa nasie aaamiin
Yaallah wajalie waja wako wapate wafadhl tukiwemo ss
Allah karimu
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
Mashaa Allah mashaa Allah nimepapenda hiyo sehemu.
subhanaallaah, ....,
😲😲Subbuhana Allah 😭😭jmn
Subhan Allah 😭😭😭🤦♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
Ningekuwa nauwezo ningesadiya jamani wenyeueezo sadiyeni😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😥😥Allah atakulipen ALFATAH TV
msikiti upo upenja unguja
namba zakuchangia zipo wazi hapo kwenye clip
AL FATAH CHARITABLE ASSOCIATION;;NAOMBA NA JINA LA HILO JINA LITAKALO KUJA KTK HIYO NO. YA EAZSY PESA YAO.
Inasikitisha sana
Subhaan Allah,Islnsha Allah kila jmbo litanyooka
Uyu mtangazaji hata sehemu ulipo huu msikiti hataji sehemu
Mungu ataleta kherii ishaallah. ❤️
Allaahu akbar jamani tujitoleeeni ktk kuipigania dini ya aAllaah S. W na Allaah s. w atatusaidia ktk hil
Inshaallah Allah atanusuru
Subhanallah!!
Allah atajalia wepesi..mbona amukueka namba ya muhusika
Ishauwa mungu ataleta heri amina ya rabi🤔
Abeda Mohamed jazakalahu
Subhanallah...jamani viongozi tembeeni mpaka vijijini msiishie mijini😢😢😢😢😢😢Allah ataleta kheri in shaa Allah
Wanasema MASHEKH hawakai vijijini?
Masha Allah much love from uganda
Subhanallah Allah atafanyawepesi ishaallah
Mwenyenzi mungu awawezeshe ishaallah
Subhanallah.. Allah afanye wepesi inshaallah
Hello
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
Nilisho kigundua kwa sisi wsslam niwagumu sana kutoa nakuji tilea tubadilikeni jamani
Subhanallha
Subhannallah EE Mola nipe uwezo ili niupeleke mbele Uislam wetu
subhanallah,,mungu awazidishie watakaosaidia kujenga miskiti
yaalah nipe rizi ya halali nitowe japo nitakachojaaliwa nimechukua namba za cm sijui ndie ya kuchangia au tunomba mongozo AMINA yarabilala
Subhannah msiki ni mdogo na watu wanasali leo sehemu nyingine misiki mikubwa na watu wanaona tabu kwenda kufanya Ibada.
Hakika
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
Jamani hata kujitolea kwa kushirikiana hawawezi,waangeanza nna imani wangekuwa wamefikia hatua fulani ili wanaochangia waendeleze
Ww umetoa nn kwenye hicho kidogo ulichonacho ?? Unalaumu matajiri wachangie kana kwamba uliwasaidia kuzitafuta
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
Hizi. Ndizo. Dalili. .ndogo. ndogo. Alizo. Zitaja. Mtume
allah awjalie mpate msikiti mkubwa inshallah
Mungu atuwezeshe inshaallah tuweze kuchangia. Allahu Akbar.
bi iznii allah
Inshallah tutatoa tunachojaaliwa ila mji huo Uko wapi? Na pesa tutatuma kwa njia gani? Allah Akbar
Unajielewa sana ndugu yangu mwandishi, Allah akulipe kher pamoja na taasisi yako na azid kukuongoza katika kher.
Waziri Bakari inalilah wa inailah rajuun
Subhan Allah maeneo gani uko uliko huwo mskiti tufahamisheni
Inalilah wa innalilah rajiuna,waislamu tuipende dini yetu kwa wenye uwezo tuchangie walau tufanye jambo.inshaallah.
Hizo sauti zinazosikika ni muziki au nini? Kwani hamuwezi kutoa matangazo bila hizo kelele
Allah ataleta kher yake in shaallah 🤲
mungu àtanya wepesi ishalla
Lailah Ila LLAH
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
Haya ndio mambo ya kutuonyesha .Ahsant sna
Kwani mungu hakusiki mpaka uswali ndani ya msikiti.
subhanaallah inshaallah weny uwez watasaidia
Subhaana Allah
Kuna kheri nyingi ktk msikiti huo, moja ya kheri hiyo ni kuwa Hakuna kugombea sadaka hapo,,,,, !!!
nimeguswa roho
Allaah azidikuwap nguvu namaishamarefu amiin
Amin
TUBUNI NA KUIAMINI INJILI KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMETIMIA, YESU KRISTO PEKEE NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAWEZI KWE MBINGUNI ASIPOPITIA NJIA YA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU. AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYE AMINI AMEKWISHA KUHUKUMIWA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.
Wapi hapa subhanallah
Polen
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
Khamis Ame hi
Ni wapi ulipo
Subuhanallah
Allwaa karimu ishaallwaa
Tajeni majina ya hizo sehemu
سبحان الله يا ربي جعلني رزق وسع
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
يا ألله
Allah atupe wepesi. Mbona haikuelezwa huu msikti uko wapi? Shukran
Asalam alyqum warahmatullah wabaraqatuh ,ndugu yangu nomber zipo hapo zinapita chukua no upige au kutoa mchango wako kwaajili ya swaddaqatuljaria
NAAAAM
SUBHANA ALLAH.
subhanallah
SUBHANAALLAH
InshaAllah atukumbushe kwa hilo
Uko wapi huo msikiti ndugu mtangazaji
Allah nifanyie wepesi kama ulivo wafanyia wepesi wanaohitaji nani niwez kunyoosha mkoni
Salallahu alaihi wasalam
Wainalilah raajuni
Huu msikiti upon wapi na tunachangia vipi?
Angalia hapo kushoto kuna Namba zinapita Ndio za Kuchangia
Innalilahi waina ilaihi rajighuun waislam wenzangu tushikamane kuinua dini yetu hadi machozi yananitoka mlio nahali toeni
Ishallah mta pata nawaombeya duwa mpate
SubhanaAllah
Subhanallah inasikitisha Allah atalipa al fatah kwa juhudi zenu
namba zote za kuchangia ndugu zangu hipo hapo kwenye clip
namba za ndani na nje ya nchi zipo hapo msikiti upo Upenja Zanzibar
Daaaaaaa
Allah akbar
ewee Allah ñaombaa unipeee neemaa niwezee kufanya kheri zinazoendanaaaa na hiziiu
Allah Akbar
Naomba kujua tutatoaje mchango nam nichangie.
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
Yarab tujalie tufanye mema tarab
nyie wavivu tu rekebisheni kwanza huo huo wa miti kisha watu wanapochanga unajengwa vijana wazima mnashindwa kila mtu kuja na mti mmoja mmoja kila siku
Hicho hasa ndio kinaniumiza kichwa,, waislam wavivu Allah hawapendi,, kweli hawawezi kujenga wa matofali basi kujenga vitu kwa miti wanashindwa!!? Hata kuchimba choo cha chimo sakazungusha majani hawawezi,, wanataka lazima wafadhiliwe wao hawataki fadhila za Allah,, kwakifupi waislam hawa wamelala usingizi mzito ila watakapo amka haraka watengeneze msikiti imara wa miti matofali yatawakuta siku za usoni,, wasisubiri uanguke eti wamekosa mfadhili
Kweli mjomba wana zarau hao wanakijiji mtu ingekuwa nyumba yake au maskani ya CCM washalijenga banda fresh. Mana udongo upo makuti ya mawe yapo kila mtu aje na kuti na majiti na gari ya ngombe ya mawe wanashindwa . Halafu wanamsikitia mungu na huyo mungu amewapa akili lakini maarifa madogo .tatizo hawajawa tayari ki umoja mbona kuna mabanda ya udongo mazuri to ramani yake . Hawajawa tayari
Abebwae hujikaza basi hata huo wanashindwa kuukarabati na kuuweka vizuri wanaume wazima hao
Subkhaana llaah
Inshaa Llah tutafanya hivyo.
Aallahwbkar subhanalllha
Alhamdulillah,,,in shaallah bi ithnillah Naomba Number ya m pesa
SubhanaAllah naomba namba y m.pesa hiki kidogo changu nina imani kitasaidia inshaAllah