🔴
HTML-код
- Опубликовано: 25 янв 2024
- 🔴#LIVE: SHOW NZIMA YA MR NICE NDANI YA ALLIANCE FRANCAISE DSM - BONGO FLEVA HONNORS
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
nomaa hizo ngoma unaweza tokwa na machozi keep the good music alive
really this man he is still alive am so much happy to see him may God bless you mr nice am from zambia 🇿🇲
Sugu huyo jamaa mpeleke akapige show Malawi au zambia atapiga hela maana wanamuulizia mpaka leo
To God be the glory,kwa vipawa alivyoweka kwa watu wake....
Tunatambua na kuuenzi mchango wa Mr.Nice kny muziki wa bongo fleva.
Big up sana Joseph Mbilinyi for this event.
Jirani yangu bado ako na vibe na energy ya kutawala jukwaa. God is great 🔥
Nice Lucas Mkenda .. True Legend ❤❤❤❤
Bonge la show ! Uhalisia na nyimbo zenye mantiki. Mr. Nice ni legend.
Kweli kabisa Mr nice songs zake nazikumbuka sana nyumbani uvira DRC.he was a real deal on his time.mr nice,na lady Jayd hao ma legend kabisa.🇨🇩🇨🇩🇨🇩kila MTU na demu wake,rafiki, mama, mbona umeniacha mama,kidalipo.
Anajua aiseee hii live ni nzuri anasikika vzuri sauti ina nguvu he is real talented
Olld is Gold Mr Nice uko sawa sana bro bonge la show.Kwa hakika hiyo ime kubalika haina mjadala komaa nao bro Big Up
Ilike the way rayvany give support to others. Yani rayvany is selfless
show nzuri sana. toka zianze hizi honors sikuwahi kutazama ila leo nimetenga muda kwa sababu ya MR NICE
58:47 ❤
Hapo watoto wa 2000 wanaona chenga tu😅
👍
💥💥💥💥...KAMA KAWA....BIG UP SANA MR.NICE..... #KIONGOZI....💯💯💯💯💯💥💥💥
Saafi SANA MUNGU MWENYEZI AWAZISISHIE MARA DUFU AKINA SUGU NA WOTE WALIOANDAA TAMASHA HILI LA KUMUINUA MWAMBA HUYU LEGEND
Nmekumbuka mbali sana 2003 nkiwa darasa la 4 kukukapanda baskel😂😂 TID kanogesha pia Chui,🔥🔥
Namkubali sana Mr nice msanii wangu ninayempenda mmenikumbusha mbali sana
Ukisikia bongo fleva ndio hii nyimbo zimetulia
Sugu hiii bongo fleva honor ni kutwa sana kaka makubwa may God Bless u
Mbona kama nimemuelewa Mr Nice kwenye live Band kuliko hata record jamaa bado ana energy ya kutosha
Show nzuri sana ..mr nice arudie maana nyimbo nyingi hajaiziimba😅
Mr nice and chameleone ndio wasanii walifanya nipende mziki 2000-2009 like zangu jamani ❤❤
Sugu bonge la MC aboi yani 🎉❤
Listening hizi nyimbo za nice then najaribu kukumbuka hizo miaka na wenye tumewapoteza tukiwa tunasikiza hizo nyimbo 😢umenikumbusha mbali
Mr nice Burundi tunamupenda sana
Am your best Fan from Goma DRC ❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Msanii wangu npaka leo mumgu akupe maisha malefu
Vibe kama lote respect brother nice
The definition of True legends 🎉🎉🎉🎉🎉
Robby Awesome was 2024
Great show....Old is Gold
Jamaa bado Yuko na energy yakutosha kabisa
Machoz yananitoka rafiki😢
dah nime enjoy show..,basi tu acha siku ziende
I am watching the real meaning of heavy weight performance
Kazi nzuri sugu
Nipo shule ya msingi much love brother
Sugu nakuomba, ikifika nafasi ya prof jay, naomba niwe back vocal Wake mana nyimbo zake zote nazifaham kuzichana, ninampenda sn
KITU KIZURI KUINUANA KIVIPAJI KWANI KUNA ZAMA NA ZAMA ZAKE NI VIZURI KUENZI YA KALE . YA KALE NI DHAHABU “ OLD IS GOLD”
Huyo nimwanaume kabisa naomba sugu umusaidiye huyo nimukari kimuziki❤
Mwamba bado ana energy ya kutosha❤❤
Umeinspery watoto wengi sana lucas very talented
Show show home boy tarakea moja
Amazing Mr nice it was nice
Mr nice Jose cami lion ❤️❤️🔥🔥🔥
Ukijua unajua tu,good performance👏
Shoo inaeleweka, vocal on point
Jamaa sauti ipo vilevile noma sana mr Nice mi ni msabiki wako hadi naondoka hapa duniani
Da Friday night ❤
Irudiweeeeeee❤❤❤❤
Big show 2024 bravoooooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Kidalipo,hiyo wimbo ununirudisha mbali nikimaliza shule wa 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Watoto wadogo jifunzeni... Hahaha😂😂😂
Hilo Friday night ni ngoma yamoto sana
Sugu anajua kumbe iseeh
Ngoma kar ila bado band ina kit cha ziad cha kuongeza temper iongezwee kdgo
Best performance hii
Hakika Jongwe!
Friday night noma 🎉
Nice wa niwamoto sana
Mr. Nice unajuwa
Ako sawa strong health
Huyo dada sarut
This is So Big...❤❤❤❤
Mr nice 💐🙏
Ongezeni back voco wawe wa kutosha
Bonge moja la shoo
Tunashukuru kwakumuona Mr nice ila mpelekeni zambia
Nice show
Hii ndiyo maana halisi ya show hata ukitoa kiingilio laki ni haki
Mr. Nice bonge la show
Mr Nice 🎉🎉
Mm napendaga ile kuku kapanda baiskel
Mr nice Noma
Mm napenda bwana mwenye shamba
Legend
Napendaa sana ugunduzi wakoo Kaka suguu kwa kuwaishimisha wagonjwee kweri wewe muasisi wa bongo freva apaa Tanzania maombi yangu musiwekee raivu bend munapozaa razaa yaa mimbo
Liveband ndio mpango mzima kwa wasanii kama ni msanii lazima ujue namna ya kuzifanya.Mambo ya piga kelele halafu hatusikii mashairi yako.
Hutak live??? Kwel nmeamini wwe ni mtoto wa 2000
🔥🔥
Dada noma ana imba balaaa
👍😹😹😹🤣🤣🤗🥰🥰🤩🤩😍😍❤❤❤❤Mr.Nice...Fagiliaaaaaa❤❤❤❤
Mr nice❤
❤
Namkubali Sana mwambaa
Wale wanaosemaga wachaga hawajui muziki,haya mtoto wa ukoo wa mkenda ndio huyo sasa mkatae wenyewe.
show noma unyama mwingi
Sugu noma
Nimetamani kulia jamanii😂
Live show hapo Sasa
Nlikua sijawahi kumskia huyu mwamba ila leo nmemkubali
Huyu mwamba enzi hizo Miaka ya 2000 ndio diamond wa zamani
Kaisha huyu hana lake tena
Kuku kapanda basikeli ni 🔥😂😂
Hakuna matusi Wala mapenzi hapo nyimbo zenye mafundisho yake nyimbo xilikuwa zamani bwana sio sasa hivi wakongwe tujuane
Uwezo upo vile vile
But how the F did this metomorphosis happen.. from misery in Kenya to all of a sudden big shows and accolades by big artists like Ray and Cover by wasafi media , na kwa haya yote Mwanadamu hana la kujifunza? Hamuoni Jambo la ajabu?.. Nice Lucas Mkenda .. Mimi shabiki mkuu na ulitunice.. Ila jitahidi ujinasue toka nguvu hizo za Giza .. najua unaumia Ila hao wajenzi huru watakupoteza .. Fa ‘ mchezo nguvu za Freemason ? Haina haja upate mali tele na kulia mwishowe .. bora ule ugali kidagaa kwa furaha kuliko minofu kwa maumivu wameimba konde .. mungu tunusuru .. ni nyakati za Hatari hizi.. Ila Mungu na mwanawe Yesu Kristo atatunusuru
Bonge la show sijapata ona.
Nipo kigali lwanda namkubali xnaa mwamba
Kioo
Mwamba Huyu Hapa
Ayubu
TID Anaongea mpaka anaboa choko mmoja wewe