FULL VIDEO: AY AKIPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA (LEGEND) 👑
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- FULL VIDEO: AY AKIPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA (LEGEND) 👑
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Ay nakubari sana we mwamba we ndio maana harisi ya mziki bg up sana master
Mimi ni shabik wako ay toka nikiwa mdogo nakumbuka Nisha wahi kuandika na rangi home kwetu ukutan ay wa komesho aseee naenjoy sana naposkiliza nyimbo zako masta
Kutoka kwa a y nakukubali sana mwanangu yaan nyinyi mijitu ww na fa ni watu wangu nikimdogo miaka ya 2004 nilikua nikija upanga kwa ajil ya kumuona a y tu au fa nikiwa na wajomba zangu idarus an badrin watto wa sster wangu magomen mapipa to upanga east coast team is my chama kitambo ay like u bro fa like u bro big up kwa kutufikisha hapa tulipo thanks good show lovely more
Jamaa hata live band anacheza na mikito A.Y ni professional asee salute sana master
Wakati mwana FA anamkabidhi tuzo AY unapata picha jinsi walivyotoka hawa jamaa wawili walipotoka mpaka sasa walipofika na kikubwa zaidi mwana FA ni waziri sasa,hawa jamaa ni watu wa mfano wa kuigwa maana mziki wa Bongo fleva wa leo usingekua hapo ulipo kama sio kazi zao ukijumlisha na Mr.2.....Salute kwa hawa majembe watatu!!
Huyu jamaa kwa kuchana kwa hapa bongo hakuna yyte aliwahi kufika level hizi huyo sio wa bongo kabisa salute mzee wa comecial
A Y NI NOMA SANA 🔥 🔥
Heshima Sana Kwa Sugu ambae aliamua kuwapa heshima wasanii WA kongwe
🔥🔥🔥
Unyama sanaa yan
Sikudai AY 👌🙌🙌
Ay 🎉🎉🎉🎉
Oooh! masta kauwa sana kaonesha show inavyofanywa
Huyo msela back vocal anaitwa nani Yuko vizuri aisee
Anaitwa SHEDDY WAKANDA ni one of the super talents in our industry
Dah,! Hii kipande na Stereo ni 🔥🔥🔥
Ni nomaaa
Masters
jambo zuri apewe maua yake mapema
Classic
Noma wako vizuri sana Hawa watu
Much respect A to the Y
🔥🔥🔥🔥🔥
Classic musician classic performance classic audience
GOOD JOB BROTHER...IT'S LASTING LONGER ❤
🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
MASTAAAAAAA
AY ndio maana harisi ya real MC
Hawa ndio wenye vitu vyao🔥🔥🔥🔥
Wahuni eeeee
Noma
Anaenda na beat ya live band
Ay nimsanii wakwanza kuimba kolabo za kimataifa au kuimba na wasanii nje ya east afrika,mwaka 2008 Ay aliimba na Square na akazid kuendelea kutoa nyimbo za kimataifa na mwaka 2011 akimba Mrs trinity na mwaka 2012 akaimba na Romeo, halfu Leo hii watu wanamsifu diamond ati kafungua Milango ya kimataifa. Ay ataendelea kuwa msanii wakwanza kuimba nyimbo za kimataifa, Ila Ay amekosa bahati Leo hii kama sio bahat yake kuwa mbaya, sio diamond wa kutajwa Ay ndo wa kuzungumziwa ama kutajwa Kila kona
😂😂😂 huyo anayebisha Hilo inabidi tumuulize umri wake kwanza
Mzee wa commercial kauwa sanaaa kaumiza mnoo halafu hakuna makelele ni u just enyoying the good music.mashangazi na wajomba wa 2000 sijui wanaelewaa😀
Show ya kiwango cha juu sana AY mkali sana. Inaniuma sikuiona live,, Irudiwe hii aisee hata kwa kiingilio cha 1m tutaingia kwa kukopa.
5stars
noma sana
baada ya banana zoro hii ni Mark nyingine imewekwa
banana aliweka kiwango kwa waimbaji
Toyoyo kaweka kiwango kwa watu wa hip hop😂😂😂😂
Show ya AY hupaswi kuikosa kabisa maana hakuna makelele .Huyu mwamba akipiga show lazima ticket ziishe
AY ni Master kweli kama anyojiita ✋✋
Mzee wa Commercial
Respect🫡
Mwamba anaweza piga show alone kabisa
A Y NI NOMA SANA 🔥 🔥