FULL VIDEO: AY AKIPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA (LEGEND) 👑

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • FULL VIDEO: AY AKIPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA (LEGEND) 👑
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    efmtanzania
    TWITTER:
    efmtanzania
    FACEBOOK:
    efmtanzania

Комментарии • 46

  • @VascoSayota
    @VascoSayota 5 месяцев назад

    Ay nakubari sana we mwamba we ndio maana harisi ya mziki bg up sana master

  • @VascoSayota
    @VascoSayota 5 месяцев назад

    Mimi ni shabik wako ay toka nikiwa mdogo nakumbuka Nisha wahi kuandika na rangi home kwetu ukutan ay wa komesho aseee naenjoy sana naposkiliza nyimbo zako masta

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 5 месяцев назад

    Kutoka kwa a y nakukubali sana mwanangu yaan nyinyi mijitu ww na fa ni watu wangu nikimdogo miaka ya 2004 nilikua nikija upanga kwa ajil ya kumuona a y tu au fa nikiwa na wajomba zangu idarus an badrin watto wa sster wangu magomen mapipa to upanga east coast team is my chama kitambo ay like u bro fa like u bro big up kwa kutufikisha hapa tulipo thanks good show lovely more

  • @AyubHaji-j9b
    @AyubHaji-j9b 5 месяцев назад +2

    Jamaa hata live band anacheza na mikito A.Y ni professional asee salute sana master

  • @edwinmmari634
    @edwinmmari634 5 месяцев назад

    Wakati mwana FA anamkabidhi tuzo AY unapata picha jinsi walivyotoka hawa jamaa wawili walipotoka mpaka sasa walipofika na kikubwa zaidi mwana FA ni waziri sasa,hawa jamaa ni watu wa mfano wa kuigwa maana mziki wa Bongo fleva wa leo usingekua hapo ulipo kama sio kazi zao ukijumlisha na Mr.2.....Salute kwa hawa majembe watatu!!

  • @AyubHaji-j9b
    @AyubHaji-j9b 5 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kwa kuchana kwa hapa bongo hakuna yyte aliwahi kufika level hizi huyo sio wa bongo kabisa salute mzee wa comecial

  • @andrewsteven994
    @andrewsteven994 5 месяцев назад

    A Y NI NOMA SANA 🔥 🔥

  • @zimboj5278
    @zimboj5278 5 месяцев назад

    Heshima Sana Kwa Sugu ambae aliamua kuwapa heshima wasanii WA kongwe

  • @awadhi5946
    @awadhi5946 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥

  • @BabuuErick
    @BabuuErick 5 месяцев назад

    Unyama sanaa yan

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 5 месяцев назад

    Sikudai AY 👌🙌🙌

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 5 месяцев назад

    Ay 🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedmillah8577
    @mohamedmillah8577 5 месяцев назад

    Oooh! masta kauwa sana kaonesha show inavyofanywa

  • @barakaalmas-ns6be
    @barakaalmas-ns6be 5 месяцев назад +1

    Huyo msela back vocal anaitwa nani Yuko vizuri aisee

    • @lodvee1717
      @lodvee1717 5 месяцев назад

      Anaitwa SHEDDY WAKANDA ni one of the super talents in our industry

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 5 месяцев назад

    Dah,! Hii kipande na Stereo ni 🔥🔥🔥

  • @johnnycynaite8226
    @johnnycynaite8226 5 месяцев назад

    Ni nomaaa
    Masters

  • @westcijosh
    @westcijosh 4 месяца назад

    jambo zuri apewe maua yake mapema

  • @cyprianpeter8770
    @cyprianpeter8770 5 месяцев назад

    Classic

  • @hamadikondo8817
    @hamadikondo8817 5 месяцев назад

    Noma wako vizuri sana Hawa watu

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 5 месяцев назад

    Much respect A to the Y

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 5 месяцев назад

    Classic musician classic performance classic audience

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 5 месяцев назад

    GOOD JOB BROTHER...IT'S LASTING LONGER ❤

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🙌

  • @omarymdoe5836
    @omarymdoe5836 5 месяцев назад

    MASTAAAAAAA

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 5 месяцев назад

    AY ndio maana harisi ya real MC

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic4426 5 месяцев назад

    Hawa ndio wenye vitu vyao🔥🔥🔥🔥

  • @mahamudhashim746
    @mahamudhashim746 5 месяцев назад

    Wahuni eeeee

  • @OMARKOMBO.9984
    @OMARKOMBO.9984 5 месяцев назад

    Noma

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 5 месяцев назад

    Anaenda na beat ya live band

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 5 месяцев назад

    Ay nimsanii wakwanza kuimba kolabo za kimataifa au kuimba na wasanii nje ya east afrika,mwaka 2008 Ay aliimba na Square na akazid kuendelea kutoa nyimbo za kimataifa na mwaka 2011 akimba Mrs trinity na mwaka 2012 akaimba na Romeo, halfu Leo hii watu wanamsifu diamond ati kafungua Milango ya kimataifa. Ay ataendelea kuwa msanii wakwanza kuimba nyimbo za kimataifa, Ila Ay amekosa bahati Leo hii kama sio bahat yake kuwa mbaya, sio diamond wa kutajwa Ay ndo wa kuzungumziwa ama kutajwa Kila kona

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 5 месяцев назад

      😂😂😂 huyo anayebisha Hilo inabidi tumuulize umri wake kwanza

  • @luandangwiki1756
    @luandangwiki1756 5 месяцев назад +2

    Mzee wa commercial kauwa sanaaa kaumiza mnoo halafu hakuna makelele ni u just enyoying the good music.mashangazi na wajomba wa 2000 sijui wanaelewaa😀

  • @issackshayo7423
    @issackshayo7423 5 месяцев назад

    Show ya kiwango cha juu sana AY mkali sana. Inaniuma sikuiona live,, Irudiwe hii aisee hata kwa kiingilio cha 1m tutaingia kwa kukopa.

  • @wisdomkeen3914
    @wisdomkeen3914 5 месяцев назад

    5stars

  • @AbeidMohammed-vh8yj
    @AbeidMohammed-vh8yj 5 месяцев назад

    noma sana

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 месяцев назад +1

    baada ya banana zoro hii ni Mark nyingine imewekwa
    banana aliweka kiwango kwa waimbaji
    Toyoyo kaweka kiwango kwa watu wa hip hop😂😂😂😂

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 5 месяцев назад

    Show ya AY hupaswi kuikosa kabisa maana hakuna makelele .Huyu mwamba akipiga show lazima ticket ziishe

  • @meshackngaboss1236
    @meshackngaboss1236 5 месяцев назад

    AY ni Master kweli kama anyojiita ✋✋

  • @mutaji5454
    @mutaji5454 5 месяцев назад

    Mzee wa Commercial

  • @jovincecharles
    @jovincecharles 5 месяцев назад

    Respect🫡

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 5 месяцев назад

    Mwamba anaweza piga show alone kabisa

  • @andrewsteven994
    @andrewsteven994 5 месяцев назад

    A Y NI NOMA SANA 🔥 🔥