AY, MWANA FA WADONDOSHA SHOW KALI USIKU WA HESHIMA YA BONGO FLAVA
HTML-код
- Опубликовано: 25 апр 2024
- AY, MWANA FA WADONDOSHA SHOW KALI USIKU WA HESHIMA YA BONGO FLAVA
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania - Развлечения
FA pumzi ndogo, ana sahau lyrics and he runs out of energy sooner than expected. AY is fit, energetic and more alive on stage hazugi na story nyingi. Kwenye live performance na style AY ✔️ ila uandishi FA. Love to see them both, respect
Ingependeza sana Grazy JK angetokea kama Suprise
Obviously, Ay was so talented tongue twisted 🙌🏿🙌🏿
Huwa naanzaga na AY niulizwapo kuusu wasaniii more respect brother 🇹🇿
Mara pah! Sikumoja FA ..prezdar 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥afu tunaruka nae kwenye heshima ya bongo flava ya kwanza 😂😂😂😂😂
Yani we huna akili hahaha
Yanawezekana Sana tu Ni Kudra za Mungu tu na suala lawakat sahihi kifika
Unyama kaka wote
Elimu inaluhusu
Pumbavu kbs
Hizi ndio show sasa. Wasanii wa bongo wanakwambiaa Sema woooooyo woooo wooo
Ni cousiiiiine😹😹 sio mazeeee
Show Kali nimeipenda
Big up brother FA na AY Mungu awajaze upendo
BONGO FLAVA HONOURS inazidi kuwa ya moto tu...
Yeeees jamaaa walipiga Collabo Ile Song ya MTAZAMO , Afande Sele, Prof J na Solo Thang jamaaa waliua vibaya.
Inapaswa kuwa ya east africa
Wakachukue Hela hapo Kenya zije nchini
Show imekuwa modern, Waliomo ndani ya hiyo show, i wish wangejua vile we enjoyed during those days when those songs were hitting. We had no coin to buy alcohol, but we enjoyed fully. Habari ndiyo hiyo. Peace.
Show babu kubwa. Show ingekuwa moto tungeleta wasani wengine wa Bongo Flava. I miss you all. Long Live Bongo Flava. Peace.
Show nzuri sana halafu ni live, i real appreciate this, bigup to AY and MWANA FA
Tulio rudia mara nyingi Ku priview hii video tujuane kwenye like pls🤞
Ma rapper wenye hela🎉
eshima inarudi mimi congo Rdc na wapenda sana nini wa falme wa bongo fleva ❤❤
Habari ndioiyooo😂😂 mazeee naskia arufu yaankala😂😂 wee noma aisee👑
🔥🔥
Respect AY AND FA FOR A GOOD PAFORMANCE ONTHE STAGE
Mngemuweka na GK pandenoga sanaaaa
Big up sana Wazee
Mnamtenga sn Gk sijapenda kabisa
Wow mbarikiwe❤❤❤❤
Sanaa ya Bongo iko level ya juu sana. You can only relate this show with those of akina Dr Dre and Snoop Dogg
waziri usiku ulizidi mpaka mistari ikapotea😂..ila show kubwa🔥🔥
Ay 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Kwenye live ni international level
Supere✊🏾
FA saiv anaanza kupoteza pumzi ya kuimba sio kama zaman saiv amebweteka sana😂
Heshima kubwa Kwa Sugu aka Jongwe kipenzi Cha Wana Mbeya na Tz nzima Kwa ujumla
Igeni mifano watu wa Gospel sound inakelele kama mnataka live sension wajifunze kwa watu wa Gospel ndugu zangu
Leo nikikuona more respect ,we are together broo,tukuyu too far
EFM nashauri MJIONGEE kwenye kuchukua VIDEO NA SAUTI, Show nzuri il , sauti na video MBAYA😥
ZAMANI BUANA MZIKI ULIKUWA UNAHESHIMA SAAAANA HATA UGOMVI KUBWA ULIKUWA UNAISHA MAPEMA SIO MPAKA MIAKA 10 PIA INAONYESHA MISTAR YAO ITADUM MILELEL SANAAA
Siasa na muziki😂😂😂samia ndyo nn jukwa la muziki
Hii ndio show yangu ya mwaka
Jamaa kama Sean Kingston Ay Noma Sana mwamba💪
True friends I love I this
Wapi King Crazy GK,,, yuko wapi huyu jamaa
Live band Bongo Bado saaaaaaaaana....
Kunahitajika kuongeza vifa vya kazi kweli
Unadhani. Waongeze kitu gani ili kufikia mahali pazuri?
@@amosmwangela1878
Speaker nzuri na microfone zenye uwezo mzuri. Kwenye Sound bado tunasuwasuwa
Haaaaaa, haaaaaaaaaa, Habari ndiyo. I miss and it reminds me my days. If you have time, please enjoy fully. Peace.
Noma sana
Ana pumzi A.Y
Mbona sijaelewa kabisa apo ni mahali ya show sia kuongelea abari ya serikali 😂😂
huyo ni waziri hajaenda kama msanii sana sana kaenda kama waziri
Marafiki w kweliii ndo hawa😊
Two proud 🦾🦾🦾
nimesikia BEAT ya Easy skanking YA Bob Marley tu.....hayo mengine nawaachia
Huyu Scooby na cap yake ya kijani 😂😂😂 Huwa yupo Kila party na show 🙌
pesa haijaenda bure🙌🙌🙌sio ukut wamnaz pga kelelee
Hiz ndivyo namna inatakiwa kufanya show live guys waambieni wale Kina dai
Kwani lazima kwenye kila kitu mumtaje Samia? Sasa hapo samia kahusikaje wakati show imeandaliwa na sugu? Hapo sugu ndo wa kupewa maua
Samia ndo raisi wewe, atatajwa kila Mahali hadi upumulie juu
Ni unafiki wa kitanzania na tamaduni za kipumbavu za kulinda matumbo
Watanzania wanafiki na kujipendeza
@@ferouzkeis6994 😂😂😂😂aloo nimecheka japo nami siungi mkono ccm. Hapo Samia lazima atajwe maana FA popote alipo ni kwa hisani ya Mhe. Rais
Exact unakuta kila kitu mama samia hii nchi kwa uchawa haiwezekani
Hii ilikuwa collabo Kali kuliko!! Halafu kulikuwa na prof J,Afande sele na Solo thang. Halafu Kuna Ile ya wahuni wa temeke.
Hizo ni balaaa ni best hiphop collabo of all time
@@mugadimon3563 yaani zile ngoma za kuanzia 2000-2004,zikipigwa Leo ni balaa hazichuji.
Oya mziki zamani ulikuwa mtamu sana ndomana mpaka leo ngoma zao zikipingwa aziishi amu
@@ZakahModise wanamuziki wengi wa zamani ni very talented kuliko wa sasa
Appreciation for Musician
Duhhh nooma sana Bongoflava honours
Tanzania legend
Only PROF JAY, AY, FA, FID and CHID ndo wanafanya hiphop show in a pro form, and not only hiphop bjt every genre
HAWA NDIO WASANII AISEE , VICHWA HIVI HUWA VINAPOTEAJE KUANZIA WAPI
Kukosekana kwa GK 😢😢😢cyo pow
Nawapachika majina Mwana FA j,z AY paff dady
Dah hawa watu ni marafiki jamani
Daa hiki kizazi ni hatari sana kwa mziki ,mnatukumbusha mbali sana yaani .sio ujinga wa sasa wa mziki hakuna hata meseji. hicho kilikuwa kizazi cha mziki kweli kweli.
Ay heshima kwako. Sugu heshima kwako.
Legends of the game 🎉🎉🎉
Video sio nzuri na sauti ipo low quality 🤔🤔🤔 but show qariii
Nakubalii maniga funiko
🎉🎉🎉❤
Mheshimiwa anazingua pumzi imekata kwa pesa za wananchi
Yupo geji mheshimiwa kapiga viglass
Masta zee
Olol
Natamani sana ndoto hii itimie wawili hawa kuingi ktk uwaziri 2025. Hakika itatimia
Lol mentality za kibongo ovyo Sana Yaani badala ya Wewe kutokuwa na dream zako unatamani dream za wenzio only in Africa 😂😂😂
Nooumah sana
Gk..sikuizi haonekani...kwani yupo wapi..?? By Mr okay 1time
Sema mwanetu katisha snaa mwana fa
🔥🔥🔥
Ay katisha sna
🔥🔥🔥🔥
Respect sana
Show kali haina fujo!
I love Hip-hop
17:25-18:10, 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌👑
Big up
Trust me bongo flava haijawahi tokea colabo ya kutisha zaidi ya AY & FA na sidhani kama itatokea tena SIJUI
SIKUBALIANI NA WEWE KUMBUKA PROFESSOR JAY FT AFANDE SELE NA SOLO THANG NGOMA YAO MTAZAMO THIS SUPER MANAGER FROM KIGALI RWANDA NAFUATILIA MZIKI MZURI WA WAKONGWE
Labda amemaanisha kundi la watu wawili.
Hii show siku izi iko Efm
Inapaswa kufanya East Africa Tour
Hao ndo wasanii wangu
Amekosa king gk
Hatari cna..... Au and fa
Unyaaama tupu vitu live
Msituuzie nchi yetu kwa waarabu.. na kuhamisha wamasai kwa nguvu..!
Sa hv haicmamiwi na wasafi
Suguuuuuuuuuuuuuuuuuuu waheshimishe wanaaaaaaaaa..........wape mashavu
Scooby ni noma
Gk Yuko wap
Yan sio FA na sio AY Hili ni neno AFYA Yan Hawa watu ndio bongo flever yenyee
YAANI UKIWAANGALIA FA NA AY UNAJUA URAFIKI WAO NI WA DHATI
Wapi Gk
Mwana Fa kama vile anamslow down mwenzie hivi
Kalewa
FA kasahau lyrics 😝
Hii ni kubwa kuliko
Yuko wapi crazy Gk
Whenever family calls you, you show up that's whats FA DID
ENTERTAINMENT SHOW WEWE UNALETA MAMBO YA SIASA? POLITICS DIVIDED SOMETIMES LET THE FANS ENJOYS AY STOR OF SUCCESS NOTHING MORE.
MY HONEST OPINION. ................
KACHEMKA PAKUBWA SANA HADI NOMA NAONA MIMI