🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 127

  • @honestmosha6203
    @honestmosha6203 Год назад +3

    Back vocal wabovu wanaharibu sauti halisi ya legends

  • @ExodusMarco
    @ExodusMarco Год назад +2

    Style za wimbo mtoto idi ndio rap ya kisasa kama wimbo wa dunga mawe. Big up Juma

  • @maalimgoma
    @maalimgoma Год назад +2

    Respect sir nature noma sana 🔥🔥

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 Год назад +2

    Zilikuwa siku nzuri sana...old is gold

  • @albertlilechi4906
    @albertlilechi4906 6 месяцев назад

    From Nairobi naikubali sana

  • @saidinassoro1434
    @saidinassoro1434 Год назад +2

    We unayesema nature kazeeka hawezi kuimba nenda msondo ukawaone wazeee Sir nature saluti mzeeee waoneshe watoto wadogo

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada Месяц назад

    Francis & zuhura❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Год назад +3

    Kwani Bro nikikuamkia kuna noma shikamoo bro ninacho kupendea bro wangu unaga mbambamba tangu nakujuwa kwenye radio mpaka siku nakuona live siku moja ulitinga mitaa ya home tulipariii kichizi ulipigwa mduara nikacheza ukasema irudiwe ulikuwa na mshikaji wako doctor yupo U.S.A now wewe na mwana FA nimewashika mikono ALHAMDULILLAH na mlikuwa ma super star mlikuwa mnatembea bila bodyguard na maisha yanaenda fresh tu lkn siku hizi duuh kidogo ume hit basi una watu kama 6 pembeni hivi mwenyezi Mungu akujalie afya njema ili wa funs wako tuinjoi 💪🇹🇿🇦🇪

  • @JumaSulle-hg8wl
    @JumaSulle-hg8wl Год назад

    Mazoezi mhimu Sana kwa afya uwakishe kesho

  • @noxiousmashairi
    @noxiousmashairi Год назад +1

    Mzuka Sana aise

  • @shedracelia1267
    @shedracelia1267 Год назад

    It's remind me those days I was little boy , we use Caset at home

  • @berybenya5610
    @berybenya5610 Год назад +9

    Ushauri ni muhimu kutumia instrumental za nyimbo husika hii live band na back vocal hazisimui kabisa japokuwa hongereni kwa maandalizi

  • @shyakadenis5309
    @shyakadenis5309 Год назад +2

    Kigali Rwanda tunawakubali mia

  • @Ngundafey
    @Ngundafey Год назад +5

    Congratulations sir nature kiroboto...na Mr 2 Sugu..kazi nzuri sana wanangu

  • @nakali79
    @nakali79 Год назад

    Sawa mlikuwa International, ila muziki wetu haukwenda kama sasa, vijana wamefanya vizuri zaidi

    • @DavidDanken-uf7kp
      @DavidDanken-uf7kp Год назад

      Hawajafanya Kaz ni utandawaz umewasaidia,😅 wivu tuuuu😅😅

  • @darkrhymes2927
    @darkrhymes2927 Год назад

    Saf sn mzee sugu,gud idea!

  • @samwelmurro3498
    @samwelmurro3498 Год назад +2

    ❤🎉❤🎉 tunaoelewa uwezo wao na umri tunajua hawajatuharibia kabisaaa.

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Год назад +13

    🔥🔥BONGOFLEVA 🔥🔥mm na msubili juma mchopanga JAY MOO

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 Год назад

      Jamaa alipiga bonge moja la show Mr Famous

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад +4

    najfunza sana.kwa.nature kupitia kr rich na dolo jamaa yuko.nao toka star nomner one mpaka leo

  • @nabetv8024
    @nabetv8024 Год назад +4

    😮LIVE BAND NI UNYAMA SANA🤙👍👍👍

  • @SwaumShafii-ql2ui
    @SwaumShafii-ql2ui Год назад +1

    Kiyaraaaa muraaaaaaaa kubali

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya Год назад +5

    Mkongwe kazini welcome back Legend ❤❤❤❤kwa sanaaaaaa

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada Месяц назад

    Nimeikubari xana hii timu inayojaribu mitambo vijana wadogo wamefanya mambo makubwa xana❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏

  • @winfridalyanda
    @winfridalyanda Год назад

    ❣️❣️❣️

  • @kushigang4213
    @kushigang4213 Год назад +1

    nimependa hii idea salute

  • @AdamLeli
    @AdamLeli Год назад +2

    ❤❤❤ imeweza mzee

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi Год назад +1

    Yaaah hadi raha

  • @amanisoli874
    @amanisoli874 Год назад +2

    Show yakibabe sana safi sana mwanangu kibla

  • @dundoonlinesingeli
    @dundoonlinesingeli Год назад

    Leteee afande sele na oteni

  • @husseinmwakigobe9204
    @husseinmwakigobe9204 Год назад

    kiki kitu kipo poa sana

  • @lukelobangu8961
    @lukelobangu8961 Год назад +2

    Hongera sana Sugu bonge la idea nature umeamsha safi sana

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 Год назад +3

    Safi sana Sugu, umemuelezea poa sana Juma

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Год назад

    Vibe Kama lote Tanga & kilimanjaro shuguli zimesimama tunawafatilia those bongo legendary to night thanks.

  • @liwilemahmoud32
    @liwilemahmoud32 Год назад +1

    Big up DEIWAKA old is ........

  • @teddywanjau-yx5sc
    @teddywanjau-yx5sc Год назад +4

    Big up to both of LEGENDS

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +2

    BIG UP SANA To You... #MR.2_SUGU A.k.A Jongwe/Taita🎧🎤🎵 na #SIR_NATURE A.k.A Kiroboto/Kiganja Cha Sokwe🎤🎧🎵 🙌🙌🙌HESHIMA KWENU VIPAJI HALISI KUTOKA BONGO LAND 🇹🇿 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥

  • @nzoriabdalla8790
    @nzoriabdalla8790 Год назад +2

    HONGERENI WAKONGWE....REAL MUSIC

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 Год назад

    Namkubali sana Jongwe A.k.a tighter

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Год назад

    Hongereni kazi nzuri

  • @EmmanuelMwaipopo-f4q
    @EmmanuelMwaipopo-f4q Год назад

    Namsubiria Jay Moe

  • @haidarishemahonge9357
    @haidarishemahonge9357 Год назад

    Rich .afanye mazoez ...Vema...ya band ...kwa mtazamo wangu

  • @joelmwita3592
    @joelmwita3592 Год назад +1

    Heshima kwako Nature

  • @nakali79
    @nakali79 Год назад

    Show mbovu

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад

    So nice

  • @HemedyWaziri
    @HemedyWaziri 11 месяцев назад

    Wanakuita msela ngoto

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +2

    dah kiroboto ira noma

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад +1

    Wakongweeee kaziniiiii

  • @harrykarua9238
    @harrykarua9238 Год назад +1

    HESHIMA KWAKO SUGU, SIR NATURE PEACE TO U BRO..REAL TALENT FROM TMK

  • @ismailmkame4205
    @ismailmkame4205 Год назад

    Real musicians ❤❤❤❤

  • @thomangwanyama7122
    @thomangwanyama7122 Год назад +1

    Kifaza zaidi safi Sana nipo south Africa Mayfair hapa. I'm watching live show is nice salute homes

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Год назад

    Nimependa sana, hasa sebene la tmk

  • @adammwita170
    @adammwita170 Год назад

    Pombe imeua kipaji hana vocal zile aisee

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 Год назад

    Show kali ana yani bila kupumzika kibabe sana hip hop still a live

  • @shonviabdallah5392
    @shonviabdallah5392 Год назад +3

    Wakongwe kazini we start little by little jamani..

  • @michaelmzinga4741
    @michaelmzinga4741 Год назад

    The biography about Juma Nature is superb. Safi sana Taita_Sugu

  • @elismadunsdon
    @elismadunsdon Год назад +1

    Still to come juma mchopanga

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад +1

    band ilikua inazngua na.arrangement nature alitakiwa kupewa acoustic sana chorus ndio.zijazwe kwajili.hana sauti ya juu sasa

    • @kilianraymond1862
      @kilianraymond1862 Год назад +1

      sure mzazi,,,chorus ilitakiwa zijazwe sana ili kumpa back up,,kwa kuwa hata high pitch kwa sasa,,yote kwa yote alijitahidi sana,,may be band haina uzoefu sana,,nikionana na sugu nitashauri awakodi hata wapigaji wa twanga wale wana more experience,but nature alijitahidi mno

  • @erastosheranya4556
    @erastosheranya4556 Год назад +1

    Hajasahau bali live performance inamruhusu msanii kucheza na verse yoyote kwenye beat lolote chamsingi usitoke nje ya key so usikalili.

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Год назад +1

    Show kali sana watoto wa lgbtq hawawez elewa wamekalia kudis tu mae zao

  • @EmmanuelMwaipopo-f4q
    @EmmanuelMwaipopo-f4q Год назад

    Dah Jongwe nimekukubali kwenye live

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo Год назад

    SUGU ni chama kubwa kama ARSENAL

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Juma nature comedy Sana

  • @mohamedshabani4553
    @mohamedshabani4553 Год назад +1

    Minaona wawe wanaimba tu kupitia bit zao za studio kuliko live band wanaimba utopilo

    • @bockerbocker8495
      @bockerbocker8495 Год назад

      Live band ina raha yake kwa sisi wakongwe,hizo za kuimba kupitia beat tumewachia nyie

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад

    Best idea sugu

  • @mosesnjovu1157
    @mosesnjovu1157 Год назад

    🎶🎶🎶🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @Ngundafey
    @Ngundafey Год назад +10

    Juma nature amechanganya nyimbo kudadeki jinsi kijana verse sio hio aliyochana.....ngona ina zaid ya miaka 23..lazima asahau verse

  • @geofreymasija7170
    @geofreymasija7170 Год назад +1

    🔥🔥🔥

  • @MkomwaMkomwa-fp3mc
    @MkomwaMkomwa-fp3mc Год назад

    Hakuna Kama nature bongo hapa

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад

    We brother huwa ni mpana saana kihisia brother tunakushukuru

  • @said23mghamba90
    @said23mghamba90 Год назад +1

    Iyo band na inarusha tu wangeachia msondo. Nature angepiga ngoma na dj wake ingekuwa ni chechee bit tu enyewe ikianza watu weeeeeeeeee

  • @nicomuhaya2260
    @nicomuhaya2260 Год назад

    🔥🔥🔥kibabe kisatarabu 👊👊💪

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 Год назад +1

    Yes

  • @allymahamudu9264
    @allymahamudu9264 Год назад +1

    Sir nature

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊✌️.

  • @husseinmwakigobe9204
    @husseinmwakigobe9204 Год назад

    wapi baraka the king..... NILIKUWA KOROGWE TTC kipindi hicho

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад

    😎

  • @eliaskemiti7785
    @eliaskemiti7785 Год назад

    Juma wa mitulinga 😂😂😂😂😂

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette8187 Год назад +1

    Nice

  • @kulwaausi
    @kulwaausi Год назад

    Kumbe leo

  • @Rajabumasudi-vb7gf
    @Rajabumasudi-vb7gf Год назад

    Nasubiri Afande sele

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 Год назад

    Ongea kiswahili kingeredh chanini Sasa kingeredh chenyew cheusi

  • @yohanadeusi9084
    @yohanadeusi9084 Год назад

    Blood sugu nitumie namba ya zuhura nimpe colabo

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps Год назад

    Wazee wa mpurula mpalala, dah kweli jirani hujatulia 🤣

  • @jeremiahkapela9859
    @jeremiahkapela9859 Год назад +1

    Uwezo bado upo

  • @ShabaniRamadhani-vg6sx
    @ShabaniRamadhani-vg6sx Год назад

    Solo ulamaa tunamtaka broo plz

  • @alexmarcel12
    @alexmarcel12 Год назад

    Juma nature amezeeka amechoka kuimba

  • @mohamedshabani4553
    @mohamedshabani4553 Год назад

    Apo wanangu hana show usela mwingi

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Год назад

    Huyu zuhura sauti yake ilikuwa inatokeza vibaya

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 Год назад +2

    Abadilike kwenye kuvaa yani kama sio msanii yupo kawaida ajifunze kubadilika

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding Год назад

      Punguz ushamba Yan ushakalili kua mtu ni lazm avae kichaa makolokolo Mia ndo unaamin kua Ni msanii

    • @Kukuvillagepoultrysolutions
      @Kukuvillagepoultrysolutions Год назад

      Hiyo ndo reality hakuna shedo wala poda ukitaka chukua usipotaka achia
      Ubishoo wa kike kike pereka huko pimbi wewe

    • @DaudFataki
      @DaudFataki Год назад

      Avae za kofii au atoboepua kama mashogazenu

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +1

    njia ya kurudisha wakongwe wafanye kazi vizuli radhima washirikiane naware ambao wanawaona wanyonyaji babu tare mkubwa fera kiumjula WCB kamati mzima watakua kama zamani

    • @muddylikwena128
      @muddylikwena128 Год назад +1

      Huo ndio utumwa jeshi... Na ndio maan wanaishi ivyo ..coz huo ndio mfumo ulio wakandamiza..

    • @jumannerajabu8259
      @jumannerajabu8259 Год назад

      @@muddylikwena128 hahaaaaaa dah kweri Mzee husahau kitu

    • @lubavacastory1831
      @lubavacastory1831 Год назад

      Wachaaa ujinga wewe...Ni Bora ya mia Tano nzima kuliko buku mbovu mjombaa

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Год назад

    Sema live bend halina vaibu

  • @Kukuvillagepoultrysolutions
    @Kukuvillagepoultrysolutions Год назад

    Mistari yenye vina na mashairi yenye hekima na kina

  • @babagwamaka1105
    @babagwamaka1105 Год назад +1

    Baada ya Anti Virus now Deiwaka kaja kivingine so kumbe tukiungana Kwa pamoja inawezekana

    • @mestatv7196
      @mestatv7196 Год назад

      Mandojo na domokaya wakiletwa mwezi huu itakuwa balaa zsidi show kali

  • @BlackMamba-o2e
    @BlackMamba-o2e Месяц назад

    Nyvv9

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +1

    watu wanaoweza kusimamia mziki vizuli kwenye nchi hiii wanajurikana babu tare mkubwa fera

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Год назад

      Na hao hao ndio wanao angamiza mziki.

    • @PrettyMasha-cs8iv
      @PrettyMasha-cs8iv Год назад

      ​@@sonnyr1899Muongo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Год назад +1

      @@PrettyMasha-cs8iv
      Nenda RUclips andika Nyumba Za Yamoto Band kisha urudi tujadili

    • @newbillionaire701
      @newbillionaire701 Год назад

      Umetaja waliotengeneza wasanii maskini na wenye matabaka

    • @kilianraymond1862
      @kilianraymond1862 Год назад +2

      inaniuma sana nature ni kama yupo studio,,,,sauti ile ile,,fireeee kiblaaaaa

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Год назад

    Hili Game Hili Game Hili Game Game Game Town
    2003 Hyo

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Год назад

    mmeshazeeka mkalee wajukuu

    • @fikiliibrahim9720
      @fikiliibrahim9720 Год назад

      Jaman na wasanii wangefanya kma iv ingekuwa Raha sana

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад

    sugu Ngoma yako mwenyew mboga unasau ss au ndio uchaguzi unakaribia kichwa kimebeba uongo mwing

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Год назад

    Hakuna mizuk