🔴
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Back vocal wabovu wanaharibu sauti halisi ya legends
Style za wimbo mtoto idi ndio rap ya kisasa kama wimbo wa dunga mawe. Big up Juma
Respect sir nature noma sana 🔥🔥
Zilikuwa siku nzuri sana...old is gold
From Nairobi naikubali sana
We unayesema nature kazeeka hawezi kuimba nenda msondo ukawaone wazeee Sir nature saluti mzeeee waoneshe watoto wadogo
Francis & zuhura❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kwani Bro nikikuamkia kuna noma shikamoo bro ninacho kupendea bro wangu unaga mbambamba tangu nakujuwa kwenye radio mpaka siku nakuona live siku moja ulitinga mitaa ya home tulipariii kichizi ulipigwa mduara nikacheza ukasema irudiwe ulikuwa na mshikaji wako doctor yupo U.S.A now wewe na mwana FA nimewashika mikono ALHAMDULILLAH na mlikuwa ma super star mlikuwa mnatembea bila bodyguard na maisha yanaenda fresh tu lkn siku hizi duuh kidogo ume hit basi una watu kama 6 pembeni hivi mwenyezi Mungu akujalie afya njema ili wa funs wako tuinjoi 💪🇹🇿🇦🇪
Mazoezi mhimu Sana kwa afya uwakishe kesho
Mzuka Sana aise
It's remind me those days I was little boy , we use Caset at home
Ushauri ni muhimu kutumia instrumental za nyimbo husika hii live band na back vocal hazisimui kabisa japokuwa hongereni kwa maandalizi
Kigali Rwanda tunawakubali mia
Congratulations sir nature kiroboto...na Mr 2 Sugu..kazi nzuri sana wanangu
Sawa mlikuwa International, ila muziki wetu haukwenda kama sasa, vijana wamefanya vizuri zaidi
Hawajafanya Kaz ni utandawaz umewasaidia,😅 wivu tuuuu😅😅
Saf sn mzee sugu,gud idea!
❤🎉❤🎉 tunaoelewa uwezo wao na umri tunajua hawajatuharibia kabisaaa.
🔥🔥BONGOFLEVA 🔥🔥mm na msubili juma mchopanga JAY MOO
Jamaa alipiga bonge moja la show Mr Famous
najfunza sana.kwa.nature kupitia kr rich na dolo jamaa yuko.nao toka star nomner one mpaka leo
😮LIVE BAND NI UNYAMA SANA🤙👍👍👍
Kiyaraaaa muraaaaaaaa kubali
Mkongwe kazini welcome back Legend ❤❤❤❤kwa sanaaaaaa
Nimeikubari xana hii timu inayojaribu mitambo vijana wadogo wamefanya mambo makubwa xana❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
❣️❣️❣️
nimependa hii idea salute
❤❤❤ imeweza mzee
Yaaah hadi raha
Show yakibabe sana safi sana mwanangu kibla
Aisee kali sana
Leteee afande sele na oteni
kiki kitu kipo poa sana
Hongera sana Sugu bonge la idea nature umeamsha safi sana
Safi sana Sugu, umemuelezea poa sana Juma
Vibe Kama lote Tanga & kilimanjaro shuguli zimesimama tunawafatilia those bongo legendary to night thanks.
Big up DEIWAKA old is ........
Big up to both of LEGENDS
BIG UP SANA To You... #MR.2_SUGU A.k.A Jongwe/Taita🎧🎤🎵 na #SIR_NATURE A.k.A Kiroboto/Kiganja Cha Sokwe🎤🎧🎵 🙌🙌🙌HESHIMA KWENU VIPAJI HALISI KUTOKA BONGO LAND 🇹🇿 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥
HONGERENI WAKONGWE....REAL MUSIC
Namkubali sana Jongwe A.k.a tighter
Hongereni kazi nzuri
Namsubiria Jay Moe
Rich .afanye mazoez ...Vema...ya band ...kwa mtazamo wangu
Heshima kwako Nature
Show mbovu
So nice
Wanakuita msela ngoto
dah kiroboto ira noma
Wakongweeee kaziniiiii
HESHIMA KWAKO SUGU, SIR NATURE PEACE TO U BRO..REAL TALENT FROM TMK
Real musicians ❤❤❤❤
Kifaza zaidi safi Sana nipo south Africa Mayfair hapa. I'm watching live show is nice salute homes
Poa mpe hai chwiry na mwesi mtu m'bad
Nimependa sana, hasa sebene la tmk
Pombe imeua kipaji hana vocal zile aisee
Show kali ana yani bila kupumzika kibabe sana hip hop still a live
Wakongwe kazini we start little by little jamani..
The biography about Juma Nature is superb. Safi sana Taita_Sugu
Still to come juma mchopanga
band ilikua inazngua na.arrangement nature alitakiwa kupewa acoustic sana chorus ndio.zijazwe kwajili.hana sauti ya juu sasa
sure mzazi,,,chorus ilitakiwa zijazwe sana ili kumpa back up,,kwa kuwa hata high pitch kwa sasa,,yote kwa yote alijitahidi sana,,may be band haina uzoefu sana,,nikionana na sugu nitashauri awakodi hata wapigaji wa twanga wale wana more experience,but nature alijitahidi mno
Hajasahau bali live performance inamruhusu msanii kucheza na verse yoyote kwenye beat lolote chamsingi usitoke nje ya key so usikalili.
Show kali sana watoto wa lgbtq hawawez elewa wamekalia kudis tu mae zao
Nashangaa kuna vijana wanaopiga kelele
Dah Jongwe nimekukubali kwenye live
SUGU ni chama kubwa kama ARSENAL
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Juma nature comedy Sana
Minaona wawe wanaimba tu kupitia bit zao za studio kuliko live band wanaimba utopilo
Live band ina raha yake kwa sisi wakongwe,hizo za kuimba kupitia beat tumewachia nyie
Best idea sugu
🎶🎶🎶🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Juma nature amechanganya nyimbo kudadeki jinsi kijana verse sio hio aliyochana.....ngona ina zaid ya miaka 23..lazima asahau verse
Ya kwako inavec ngap
We mwenyewe umekosea ku type so some time is happen
Jinsi kijana mixer Sonia
Ni noma Wap LWP majitu
🔥🔥🔥
Hakuna Kama nature bongo hapa
We brother huwa ni mpana saana kihisia brother tunakushukuru
Iyo band na inarusha tu wangeachia msondo. Nature angepiga ngoma na dj wake ingekuwa ni chechee bit tu enyewe ikianza watu weeeeeeeeee
🔥🔥🔥kibabe kisatarabu 👊👊💪
Yes
Sir nature
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊✌️.
wapi baraka the king..... NILIKUWA KOROGWE TTC kipindi hicho
😎
Juma wa mitulinga 😂😂😂😂😂
Nice
Kumbe leo
Nasubiri Afande sele
Ongea kiswahili kingeredh chanini Sasa kingeredh chenyew cheusi
Blood sugu nitumie namba ya zuhura nimpe colabo
Wazee wa mpurula mpalala, dah kweli jirani hujatulia 🤣
Uwezo bado upo
Solo ulamaa tunamtaka broo plz
Kwa nyimbo zipi??
Juma nature amezeeka amechoka kuimba
😅😅😅😅😅liroho tu libaya!
Apo wanangu hana show usela mwingi
Huyu zuhura sauti yake ilikuwa inatokeza vibaya
Abadilike kwenye kuvaa yani kama sio msanii yupo kawaida ajifunze kubadilika
Punguz ushamba Yan ushakalili kua mtu ni lazm avae kichaa makolokolo Mia ndo unaamin kua Ni msanii
Hiyo ndo reality hakuna shedo wala poda ukitaka chukua usipotaka achia
Ubishoo wa kike kike pereka huko pimbi wewe
Avae za kofii au atoboepua kama mashogazenu
njia ya kurudisha wakongwe wafanye kazi vizuli radhima washirikiane naware ambao wanawaona wanyonyaji babu tare mkubwa fera kiumjula WCB kamati mzima watakua kama zamani
Huo ndio utumwa jeshi... Na ndio maan wanaishi ivyo ..coz huo ndio mfumo ulio wakandamiza..
@@muddylikwena128 hahaaaaaa dah kweri Mzee husahau kitu
Wachaaa ujinga wewe...Ni Bora ya mia Tano nzima kuliko buku mbovu mjombaa
Sema live bend halina vaibu
Mistari yenye vina na mashairi yenye hekima na kina
Baada ya Anti Virus now Deiwaka kaja kivingine so kumbe tukiungana Kwa pamoja inawezekana
Mandojo na domokaya wakiletwa mwezi huu itakuwa balaa zsidi show kali
Nyvv9
watu wanaoweza kusimamia mziki vizuli kwenye nchi hiii wanajurikana babu tare mkubwa fera
Na hao hao ndio wanao angamiza mziki.
@@sonnyr1899Muongo
@@PrettyMasha-cs8iv
Nenda RUclips andika Nyumba Za Yamoto Band kisha urudi tujadili
Umetaja waliotengeneza wasanii maskini na wenye matabaka
inaniuma sana nature ni kama yupo studio,,,,sauti ile ile,,fireeee kiblaaaaa
Hili Game Hili Game Hili Game Game Game Town
2003 Hyo
mmeshazeeka mkalee wajukuu
Jaman na wasanii wangefanya kma iv ingekuwa Raha sana
sugu Ngoma yako mwenyew mboga unasau ss au ndio uchaguzi unakaribia kichwa kimebeba uongo mwing
Hakuna mizuk
Upo wewe!