LIVE FULL SHOW! FEROOZ NA DAZ BABA BONGOFLEVA HONOURS "DAZ NUNDAZ....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • 🔔 Usisahau KUSUBSCRIBE kwa habari zote mpya na za kusisimua!
    👍 Bonyeza LIKE kama umefurahia video hii!
    💬 Toa maoni yako kuhusu tukio hili kwenye sehemu ya maoni hapa chini.
    📢 Shiriki video hii na marafiki zako ili waweze kupata habari hizi moto moto!
    Asante kwa kutazama na endelea kufuatilia channel yetu kwa habari na matukio ya kusisimua zaidi!
    #daznundaz #dazbaba #ferooz
    .........................................................................
    Contact Us: 0673 715 207
    ..........................................................................
    Instagram / bongopods
    ...........................................................................
    Facebook / bongopods
    ...........................................................................
    Keep Watching Bongopods Media 📺
    Copyrights ©2024 Bongopods Media.All Rights Reserved.
    #bongopods

Комментарии • 22

  • @JimmyKwakweli
    @JimmyKwakweli Месяц назад +4

    Show kali

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 Месяц назад +3

    Old is gold mmetukumbusha mbali sana wahenga wenzenu daah bless up friends 😭❤️❤️🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾

    • @bongopods
      @bongopods  Месяц назад

      Thanks for the comment...

  • @Dimoraizer
    @Dimoraizer Месяц назад +2

    Bigup sana Mr sugu Kwa kutuletea malegend waasisi Wa bongo fleva tumeinjoi sana na mzk mzuri kutoka kwao tunaomba iyo live show Yao irudiwe tena nazani hao jamaa wakpata tena nafasi watauwa zaidi ya hapo 🙏 Kaz nzuriiiii nmekumbushwa V2 vyambal sana na hao jamaa

  • @Modo-jrtv
    @Modo-jrtv Месяц назад +3

    Kazi nzur

  • @tgeofrey
    @tgeofrey Месяц назад +4

    Wapi Nipe tano

  • @ChenxonJombiii
    @ChenxonJombiii Месяц назад +2

    Nakubalii kinyamaaa ma br

    • @bongopods
      @bongopods  Месяц назад

      Thanks for the comment...

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage2523 Месяц назад +4

    Mic mbovu utadhani wanaimba kwenye Holly

    • @Philosophy219
      @Philosophy219 Месяц назад +1

      Hapana sound Engineers ndo hatajafanya settings vizuri alafu Cha pili anaye record hiyo video anachukua sauti ambayo tayari imeisha sambaa kwenye ukumbi

  • @davidmunkyala8768
    @davidmunkyala8768 Месяц назад

    The real meaning of talent

  • @MkilemaPantaleo
    @MkilemaPantaleo Месяц назад

    sound haipo sawa imezidi bass halafu sauti za vyombo zipo juu kuliko wasanii wetu

  • @hansonlz
    @hansonlz Месяц назад

    band hatariii

  • @ahmedkambona663
    @ahmedkambona663 Месяц назад

    Bonge la Show 🔥🔥🔥

  • @StrongD-zd6bl
    @StrongD-zd6bl Месяц назад

    Ongezeni umakini kwenye sauti kazi nzuri

  • @salimmwinyihaji7172
    @salimmwinyihaji7172 Месяц назад +2

    Unakosea apo kwa headline, umetaja watu wawili pekee, ungeandika Bongo honors Daz Nundaz

    • @bongopods
      @bongopods  Месяц назад

      Tunalifanyia kazi hilo...

  • @BarakaIbihya
    @BarakaIbihya Месяц назад +2

    nimependa mavazi yao wamejistiri

    • @bongopods
      @bongopods  Месяц назад

      Thanks for the comment...

  • @lwambofrancomakiadi9888
    @lwambofrancomakiadi9888 Месяц назад

    oooh hatari sana, huu ndo mziki halisi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Месяц назад

    Sauti hazisikiki,nadhani vyombo ni tatizo

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 Месяц назад

      Aliyerekodi ndio aliharibu sound quality. Ila ukumbini dundo lilikua baab kubwa