LIVE FULL SHOW! FEROOZ NA DAZ BABA BONGOFLEVA HONOURS "DAZ NUNDAZ....
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- 🔔 Usisahau KUSUBSCRIBE kwa habari zote mpya na za kusisimua!
👍 Bonyeza LIKE kama umefurahia video hii!
💬 Toa maoni yako kuhusu tukio hili kwenye sehemu ya maoni hapa chini.
📢 Shiriki video hii na marafiki zako ili waweze kupata habari hizi moto moto!
Asante kwa kutazama na endelea kufuatilia channel yetu kwa habari na matukio ya kusisimua zaidi!
#daznundaz #dazbaba #ferooz
.........................................................................
Contact Us: 0673 715 207
..........................................................................
Instagram / bongopods
...........................................................................
Facebook / bongopods
...........................................................................
Keep Watching Bongopods Media 📺
Copyrights ©2024 Bongopods Media.All Rights Reserved.
#bongopods
Show kali
Old is gold mmetukumbusha mbali sana wahenga wenzenu daah bless up friends 😭❤️❤️🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾
Thanks for the comment...
Bigup sana Mr sugu Kwa kutuletea malegend waasisi Wa bongo fleva tumeinjoi sana na mzk mzuri kutoka kwao tunaomba iyo live show Yao irudiwe tena nazani hao jamaa wakpata tena nafasi watauwa zaidi ya hapo 🙏 Kaz nzuriiiii nmekumbushwa V2 vyambal sana na hao jamaa
Kazi nzur
Wapi Nipe tano
Nakubalii kinyamaaa ma br
Thanks for the comment...
Mic mbovu utadhani wanaimba kwenye Holly
Hapana sound Engineers ndo hatajafanya settings vizuri alafu Cha pili anaye record hiyo video anachukua sauti ambayo tayari imeisha sambaa kwenye ukumbi
The real meaning of talent
sound haipo sawa imezidi bass halafu sauti za vyombo zipo juu kuliko wasanii wetu
band hatariii
Bonge la Show 🔥🔥🔥
Ongezeni umakini kwenye sauti kazi nzuri
Unakosea apo kwa headline, umetaja watu wawili pekee, ungeandika Bongo honors Daz Nundaz
Tunalifanyia kazi hilo...
nimependa mavazi yao wamejistiri
Thanks for the comment...
oooh hatari sana, huu ndo mziki halisi
Sauti hazisikiki,nadhani vyombo ni tatizo
Aliyerekodi ndio aliharibu sound quality. Ila ukumbini dundo lilikua baab kubwa