RAIS DKT. SAMIA MGENI RASMI KWENYE KILELE CHA BARAZA LA UWT TAIFA UKUMBI WA KANISA KATOLIKI BOMB…

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi kwenye Kikao cha Baraza la UWT Taifa Ukumbi wa Kanisa la Katoliki Bombambili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 28 Septemba, 2024.

Комментарии • 5

  • @IsabellaMwakabonga-gx1df
    @IsabellaMwakabonga-gx1df 17 часов назад +1

    Hongereni sana UWT motomoto ❤❤

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 18 часов назад

    Dada scollah mbona kama unahofu kwenye maombi.

  • @JordanMugirage-fz4xg
    @JordanMugirage-fz4xg 19 часов назад

    Mama yetu hongera kwa kumaliza vema ziara ya Ruvuma.Hakika umejitoa kwa Watanzania hongera Nguzo na Tumaini letu.Mungu pekee atakulipa

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 17 часов назад

    Yule dada wa mada iliyotia shada simsikii wala kumuona hapa ? Yupo wapi ?

  • @josepherjosephpaul1138
    @josepherjosephpaul1138 16 часов назад

    Hongera Rais na Mama, ila naomba unisikilize nami mdogo kabisa. Nilikuandikia barua na kuomba msaada ila hujawahi kunijibu. Kawaida wamama wanajibu watoto wao wenye shida na wadogo. Wanawasimamisha wanapotaka kutembea wanashindwa. Nisaidie Mama na Rais nisimame na watoto na vijana wako😅