Mjue Rais Mpya wa Burundi Anaemrithi Nkurunziza
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Uchaguzi wa nchini wa Burundi umekamilika kwa nchi hiyo kupata Rais mpya ambaye ni Evariste Ndayishimiye. Makala hii ya uchambuzi inamuelezea kwa kirefu kama ilivyoandaliwa na Mbarouk Khan
Naona barakoa chache sana! Ni dalili tosha kwamba Mungu anaendelea kutulinda we Africans.
Na league ya Soccer kama kawaida na mashabiki kibao.
Nikweli Mungu anatupenda Sana Africa
Kwa mara yakwanza inci yangu kufanya ucaguzi bila shida mungu aibariki
Husein Radjabu atakuja kuwapiga masasii si mlimuuwa Adolphe
Daaah Hivi kwa nini vyama pinzani vyote vinatabia moja jamani?? Kuiba mpaka mwishooo! Daah pole sana mzee *Agathon Rwasa*
Clouds Tv ongera sana.Ongera sana TANZANIA kwa uwasiliano mzuri na BURUNDI
Iy
Hongereni Sana wa rundi kwaku maliza uchaguzi kwa amani chapeni kz.
Uchaguzi gani umejawa na wizi??
@@officialmrtop1018 wizi gani ?
Mwenyezi mungu ni mwema ongereni majirani
Safi sana warundi chapeni kazi sasa
Kuwepo kwa watu wengi kwenye kampeni haina maana watu hao wote watakwenda kukupigia kura.
A. Rwasa Kashinda kwa kweli, ila kama warundi, tumesha choka na Marumbano na Vurugu!
Bora Amani,ukimbizi hatutaki Tena. kila jambo lina Mwisho! Iko Siku !
✊🏾🇧🇮
jamani nahic kabisa waandishi wa habari wanachangia sana uvunjifu wa amani katika nchi za kiafrika, uchaguzi umeisha choko choko kibao, dah!!!
Uchaguzi umekwisha tuangalie maendeleo
Kwanikuvutiya,njo kuchaguwa mjinga sana uyo emmanuel makundi anaechaguwa ni yule anae ingia ndani njo anajua atacho chaguwa
Mimi nawashangaa sana wanaosema kushinda kwa viama tawala afrika ni kubanwa kwa demokrasia, ivi demokrasia maanayake nini? Anae shinda anashinda kidemokrasia uchagu ni sela na na mapokeo kwa jamii husika apana kulalamika ovyo ongereni wanaburundi kwa uchaguzi wa amani asiekubali kushindwa si mshindani,
Jifunze kiswahili vzr halafu ndo utume comment kaka
Gervasi Njawi umesema vizuri bro
BURUNDI tunaamani aduwi wetu Ni Rwanda ila Burundi tuko imala wasubutu tutawashambuliya mpaka Kigali
Burundi yetu toka 1972 hadi leo kuna ubanguzi sasa rwanda sio tatizo zaidi ya huyo Peter ndio anakazania kusema rwanda ndio anduwi hadi wanaichi wamekubali hayoo
Ukiangalia Katika Pembe zote za Selekali ya Burundi makabila yote utayakuta ndani
Ebu niambie kuhusu rwanda si Kagame tu nawenzake
@@kingjameskj111 wewe umesema rwanda ndio anduwi
Well said!!!!!!!!!!!! BARUNDI UNITE!!!
jaman
☆☆☆ Tanzania ni inchi nzuri tena jirani wema tunawapenda sana wa Tanzania☆☆☆
Namtakia rais mpya was Burundi uongozi wenye haki
Hawaja mtendea haki Agatho Rwasa
democrasia halis ipo kw Mungu xio dunian especially Africa hp soon watazichap
Mambo Eliazery haturudi nyuma kamwe
Wakitaka Rwanda ibaki inafungwa hatuhitaji kitu kutoka Rwanda
Tuombe pia wawe na maelewano na majirani zao vita tushachoka na vita
Huu ni muda mzuri sasa wa Kurunzinza kwenda kujikita kwenye maswala ya kanisa/dini maana huko ndipo alipoitiwa zaidi kuliko siasa.Mda ukifika watu watashangaa!!!
Kwahyo inaonesha Nkurunzinza kaweka mtu wakeee
Mathias Zakaria tulia
Rwanda njocanzo cauhusiano mbaya
Apana siyo ivo ndung
Rwanda wanaubaguzi sana ndiomana haitotokea kungana huonikweli tena raisi wa Rwanda unaubaguzi wakabira anawa chukia kabira rakihutu mpaka leo lakini Burundi hatuna ujingahuo
Evariste ndayishimiye alias NEVER ongera sana
naam ndugu mtangazaji nikweli uchaguzi ulikua niwakwanza Latina nchi hii kuwa wa kihistoria,lakini miaka yote maana ya upinzani nikupinga kibaya so kizuri kitacho tendwa na alieshika mpini
sasa hili chama cndd fdd ni mlima na hakuna anaeweza uusukuma
Hakuna nini wala nini uchaguzi uliisha
Boss's acha kupumua Sana kwenye microphone si vyema kwa utangazaji
Hatutaki mazoea na Rwanda, wapumbavu tuu
Sijawahi kuona au kusikia kua uchaguzi wowote duniani kua uchaguzi utakua wa uhuru na haku. Sasa nauliza ili uchaguzi uwe huru na haki anatakiwa ashinde Nani?
Said Hamis fact
Huyu pia ni munyarwanda na si vizuri wanyarwanda kuongoza Uganda, Congo, Burundi, itakuwaje chama kuua na kuteza watu alafu eti kimeshinda?
Nchi za kiafrica bana kukitoa chama tawala sio Kaz ndogo democrasia yetu ipo ndogo sana
democracy is just an adoption from west isn't our mode of leadership ...isijali
Chama tawala kikishinda mnasema democrasia hakuna
@@rajabujuma7872 ndio ukweli ulivyo kbs yani
Bastard
Brother nchi zilizotuletea democracy zina vyama viwili tu sie tuna vyama ishirini..ebu tufikirie kidogo na sisi tusifikirishwe na wazungu kila mara
mtangazaji una sauti nzuri haichoshi ukiisikiliza
Nimeamini watangazaji Weusi wakisha fika ulaya utugeuka Sisiote wanaichi
Umeongea ukweli
Kwani hivi mataifa ya inche ndo walipiga kula? Waafrika tuheshimiwe na sisi waafrika tuheshimiane, Mheshimiwa PIERRE NGURUNZISZA aliweza kuleta amani nchini BURUNDI. hawa mataifa wakome kuweka mapua kwa inchi za wenyewe jamani
kirarenye mwanzo linamwishoe kama kunawizi urifanyika mjue wizi hauna lafiki iba leo ilakumbuka isabu ni akhera utajibu nini siku yaesabu mbele za Allah
Matokeo n mazuri ayo mambo ya watu wa nje hayawahusu kwan wao nao wanakwao
Emmanuel makundi wewe ni mpumbavu tena muuwaji
ismail mbogo duuuhh
Vyama vya upinzani kuweni makini navyo saana yaani ni mabeberu tu
CNDD FDD wameibia matora waizi sana
Kbs
Mkundu ww unanuka mavi ww‼️‼️‼️
Iyo ndio afirika baana
ASANTE Kwa TAARIFA
Uchaguzi wa ki ccm tz huo akuna tume huru kama tz
CDD nitawi la CCM Africa Tanzania
Nyimbo mupya ya Raisi Magufuli iwa bariki ingiya kwenye RUclips andika MOISE CHOMBO Magufuli ninyimbo nzuri sana
Atumtaki evariste awe Rais tunamtaka rwasa pekeyaje
Saidaty Ashraf Niggah , too late‼️‼️‼️‼️‼️‼️
Acheni ujinga nyinyi waburundi
🙏️🙏️🙏️
Mkundu ww😄🤣😄😅😀😂😂😂😄😄
Bado wanaendelea na mitawala ya KIJESHI kiinimacho
Hindi saidi Kama kawaida