Mjue Rais Mpya wa Burundi Anaemrithi Nkurunziza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Uchaguzi wa nchini wa Burundi umekamilika kwa nchi hiyo kupata Rais mpya ambaye ni Evariste Ndayishimiye. Makala hii ya uchambuzi inamuelezea kwa kirefu kama ilivyoandaliwa na Mbarouk Khan

Комментарии • 101

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 4 года назад +16

    Naona barakoa chache sana! Ni dalili tosha kwamba Mungu anaendelea kutulinda we Africans.

    • @lutulalihim1585
      @lutulalihim1585 4 года назад

      Na league ya Soccer kama kawaida na mashabiki kibao.

    • @geraldlaurent7465
      @geraldlaurent7465 4 года назад

      Nikweli Mungu anatupenda Sana Africa

  • @shebbylove3140
    @shebbylove3140 4 года назад +18

    Kwa mara yakwanza inci yangu kufanya ucaguzi bila shida mungu aibariki

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 4 года назад

      Husein Radjabu atakuja kuwapiga masasii si mlimuuwa Adolphe

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 года назад +5

    Daaah Hivi kwa nini vyama pinzani vyote vinatabia moja jamani?? Kuiba mpaka mwishooo! Daah pole sana mzee *Agathon Rwasa*

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 4 года назад +14

    Clouds Tv ongera sana.Ongera sana TANZANIA kwa uwasiliano mzuri na BURUNDI

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 4 года назад +11

    Hongereni Sana wa rundi kwaku maliza uchaguzi kwa amani chapeni kz.

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Uchaguzi gani umejawa na wizi??

    • @iga2023
      @iga2023 4 года назад

      @@officialmrtop1018 wizi gani ?

  • @bepalilogathbepali9547
    @bepalilogathbepali9547 4 года назад +5

    Mwenyezi mungu ni mwema ongereni majirani

  • @mtumwaharunaally7255
    @mtumwaharunaally7255 4 года назад +1

    Safi sana warundi chapeni kazi sasa

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 4 года назад +5

    Kuwepo kwa watu wengi kwenye kampeni haina maana watu hao wote watakwenda kukupigia kura.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 4 года назад +3

    A. Rwasa Kashinda kwa kweli, ila kama warundi, tumesha choka na Marumbano na Vurugu!
    Bora Amani,ukimbizi hatutaki Tena. kila jambo lina Mwisho! Iko Siku !
    ✊🏾🇧🇮

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 4 года назад +3

    jamani nahic kabisa waandishi wa habari wanachangia sana uvunjifu wa amani katika nchi za kiafrika, uchaguzi umeisha choko choko kibao, dah!!!

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 4 года назад +6

    Uchaguzi umekwisha tuangalie maendeleo

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 4 года назад +3

    Kwanikuvutiya,njo kuchaguwa mjinga sana uyo emmanuel makundi anaechaguwa ni yule anae ingia ndani njo anajua atacho chaguwa

  • @gervasinjawi1639
    @gervasinjawi1639 4 года назад +5

    Mimi nawashangaa sana wanaosema kushinda kwa viama tawala afrika ni kubanwa kwa demokrasia, ivi demokrasia maanayake nini? Anae shinda anashinda kidemokrasia uchagu ni sela na na mapokeo kwa jamii husika apana kulalamika ovyo ongereni wanaburundi kwa uchaguzi wa amani asiekubali kushindwa si mshindani,

  • @kingjameskj111
    @kingjameskj111 4 года назад +2

    BURUNDI tunaamani aduwi wetu Ni Rwanda ila Burundi tuko imala wasubutu tutawashambuliya mpaka Kigali

    • @zulfahhussein505
      @zulfahhussein505 4 года назад

      Burundi yetu toka 1972 hadi leo kuna ubanguzi sasa rwanda sio tatizo zaidi ya huyo Peter ndio anakazania kusema rwanda ndio anduwi hadi wanaichi wamekubali hayoo

    • @kingjameskj111
      @kingjameskj111 4 года назад +1

      Ukiangalia Katika Pembe zote za Selekali ya Burundi makabila yote utayakuta ndani
      Ebu niambie kuhusu rwanda si Kagame tu nawenzake

    • @zulfahhussein505
      @zulfahhussein505 4 года назад +1

      @@kingjameskj111 wewe umesema rwanda ndio anduwi

    • @kigememugeni2267
      @kigememugeni2267 4 года назад

      Well said!!!!!!!!!!!! BARUNDI UNITE!!!

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 4 года назад +2

    jaman

  • @Ntambwe4040
    @Ntambwe4040 4 года назад

    ☆☆☆ Tanzania ni inchi nzuri tena jirani wema tunawapenda sana wa Tanzania☆☆☆

  • @aronimyamusholegwa4998
    @aronimyamusholegwa4998 4 года назад

    Namtakia rais mpya was Burundi uongozi wenye haki

  • @oookkk3965
    @oookkk3965 4 года назад +1

    Hawaja mtendea haki Agatho Rwasa

  • @mamboeliazery8196
    @mamboeliazery8196 4 года назад +6

    democrasia halis ipo kw Mungu xio dunian especially Africa hp soon watazichap

  • @ndayushimiyeskitu1032
    @ndayushimiyeskitu1032 4 года назад

    Wakitaka Rwanda ibaki inafungwa hatuhitaji kitu kutoka Rwanda

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

    Tuombe pia wawe na maelewano na majirani zao vita tushachoka na vita

  • @broene1373
    @broene1373 4 года назад +1

    Huu ni muda mzuri sasa wa Kurunzinza kwenda kujikita kwenye maswala ya kanisa/dini maana huko ndipo alipoitiwa zaidi kuliko siasa.Mda ukifika watu watashangaa!!!

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад +2

    Kwahyo inaonesha Nkurunzinza kaweka mtu wakeee

  • @karimshaban6887
    @karimshaban6887 4 года назад +6

    Rwanda njocanzo cauhusiano mbaya

  • @tatiya6883
    @tatiya6883 4 года назад +4

    Rwanda wanaubaguzi sana ndiomana haitotokea kungana huonikweli tena raisi wa Rwanda unaubaguzi wakabira anawa chukia kabira rakihutu mpaka leo lakini Burundi hatuna ujingahuo

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 4 года назад +5

    Evariste ndayishimiye alias NEVER ongera sana

  • @kinanamorisho3263
    @kinanamorisho3263 4 года назад +1

    naam ndugu mtangazaji nikweli uchaguzi ulikua niwakwanza Latina nchi hii kuwa wa kihistoria,lakini miaka yote maana ya upinzani nikupinga kibaya so kizuri kitacho tendwa na alieshika mpini
    sasa hili chama cndd fdd ni mlima na hakuna anaeweza uusukuma

  • @jastinpaul2510
    @jastinpaul2510 4 года назад +1

    Hakuna nini wala nini uchaguzi uliisha

  • @njugunakariuki3787
    @njugunakariuki3787 4 года назад

    Boss's acha kupumua Sana kwenye microphone si vyema kwa utangazaji

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 4 года назад +3

    Hatutaki mazoea na Rwanda, wapumbavu tuu

  • @saidhamis5956
    @saidhamis5956 4 года назад +2

    Sijawahi kuona au kusikia kua uchaguzi wowote duniani kua uchaguzi utakua wa uhuru na haku. Sasa nauliza ili uchaguzi uwe huru na haki anatakiwa ashinde Nani?

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 4 года назад

    Huyu pia ni munyarwanda na si vizuri wanyarwanda kuongoza Uganda, Congo, Burundi, itakuwaje chama kuua na kuteza watu alafu eti kimeshinda?

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 4 года назад +6

    Nchi za kiafrica bana kukitoa chama tawala sio Kaz ndogo democrasia yetu ipo ndogo sana

    • @venancephilbert9397
      @venancephilbert9397 4 года назад +1

      democracy is just an adoption from west isn't our mode of leadership ...isijali

    • @rajabujuma7872
      @rajabujuma7872 4 года назад +1

      Chama tawala kikishinda mnasema democrasia hakuna

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 4 года назад

      @@rajabujuma7872 ndio ukweli ulivyo kbs yani

    • @makambatvshow
      @makambatvshow 4 года назад

      Bastard

    • @danielmasolwa3931
      @danielmasolwa3931 4 года назад

      Brother nchi zilizotuletea democracy zina vyama viwili tu sie tuna vyama ishirini..ebu tufikirie kidogo na sisi tusifikirishwe na wazungu kila mara

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 4 года назад +2

    mtangazaji una sauti nzuri haichoshi ukiisikiliza

  • @karimshaban6887
    @karimshaban6887 4 года назад +1

    Nimeamini watangazaji Weusi wakisha fika ulaya utugeuka Sisiote wanaichi

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 4 года назад

    Kwani hivi mataifa ya inche ndo walipiga kula? Waafrika tuheshimiwe na sisi waafrika tuheshimiane, Mheshimiwa PIERRE NGURUNZISZA aliweza kuleta amani nchini BURUNDI. hawa mataifa wakome kuweka mapua kwa inchi za wenyewe jamani

  • @tatiya6883
    @tatiya6883 4 года назад

    kirarenye mwanzo linamwishoe kama kunawizi urifanyika mjue wizi hauna lafiki iba leo ilakumbuka isabu ni akhera utajibu nini siku yaesabu mbele za Allah

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 4 года назад +1

    Matokeo n mazuri ayo mambo ya watu wa nje hayawahusu kwan wao nao wanakwao

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 4 года назад +2

    Emmanuel makundi wewe ni mpumbavu tena muuwaji

  • @ndigimunaziri3575
    @ndigimunaziri3575 4 года назад +4

    Vyama vya upinzani kuweni makini navyo saana yaani ni mabeberu tu

  • @salumuwimanimpaye2308
    @salumuwimanimpaye2308 4 года назад +5

    CNDD FDD wameibia matora waizi sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад

    Iyo ndio afirika baana

  • @Ba63828
    @Ba63828 4 года назад

    ASANTE Kwa TAARIFA

  • @bonifasbonara9323
    @bonifasbonara9323 4 года назад +3

    Uchaguzi wa ki ccm tz huo akuna tume huru kama tz

  • @maitrefrancois1523
    @maitrefrancois1523 4 года назад

    Nyimbo mupya ya Raisi Magufuli iwa bariki ingiya kwenye RUclips andika MOISE CHOMBO Magufuli ninyimbo nzuri sana

  • @saidatyashraf5126
    @saidatyashraf5126 4 года назад

    Atumtaki evariste awe Rais tunamtaka rwasa pekeyaje

    • @kigememugeni2267
      @kigememugeni2267 4 года назад

      Saidaty Ashraf Niggah , too late‼️‼️‼️‼️‼️‼️

  • @allyselemani7302
    @allyselemani7302 4 года назад

    Acheni ujinga nyinyi waburundi

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 года назад +3

    Bado wanaendelea na mitawala ya KIJESHI kiinimacho