NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO SEH 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 янв 2018
  • JIFUNZE KWA WAZEE WA IMANI...
    PATA KITABU CHA SIRI YA MAOMBI YALIYOJIBIWA
    DAR ES SALAM PIGA 0758 820 060
    MWANZA PIGA 0767 516 567
    MBEYA 0754 885 342

Комментарии • 57

  • @NeemaaliceK2546
    @NeemaaliceK2546 2 месяца назад

    Amen pastor mahubiri yako yananitia nguvu sana, Mungu mwenyewe aliyekupaka mafuta akuongezee hekima na maarifa zaidi

  • @markomis-yj4bu
    @markomis-yj4bu 5 месяцев назад

    Mungu akusahidiye sana ili kwamba uzidi kutowa mafundisho kama ayo

  • @sikanastima8754
    @sikanastima8754 4 года назад +2

    Narejesha madhabahu ya Mungu kwanza. Leo Nimefunga na kuomba Nashukuru Mungu nimepata majibu

  • @naomumutula7034
    @naomumutula7034 2 года назад

    Nimejifunza Mambo mengi ambayu sikukuwa na fahamu atika mahubiri Yako.mungu akubariki pastor.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 года назад +2

    Amina sana nabarikiwa na masomo mazuri

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 3 года назад +1

    nabarikwa baba asante sana mungu aku hepushe na mitihani ya dunia

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 3 года назад +4

    Amen God bless you pastor

  • @queenessiekenya6869
    @queenessiekenya6869 5 лет назад +4

    😭😭😭😭😭Hii imenugusa sana eeeh Yahweh mungu wa Eliya ninyeshee mvua nakuhitaji sana eeeh Mungu mwenye nguvu

  • @naomumutula7034
    @naomumutula7034 2 года назад

    Mungu akubariki pastor

  • @florenceboniface4639
    @florenceboniface4639 4 года назад +2

    Hallelujah hallelujah hakika nmebarikiwa

  • @nkwembacharles8676
    @nkwembacharles8676 4 года назад +2

    Ahimidiwe bwana wa majeshi litukuzwe jina lake

  • @atinaminzani1372
    @atinaminzani1372 6 лет назад +3

    Amina sana mtumishi wa Baba aliye mbinguni, kiukweli unatubariki na wewe ubarikiwe sana.

  • @user-xg4mr4gs6j
    @user-xg4mr4gs6j 3 года назад

    Asante sana Mchungaji ubarikiwe sana

  • @rosemarywawira3580
    @rosemarywawira3580 3 года назад +1

    Amina.umenipaliki Sana mchunganji umekuwa wa baraka kwangu na jamii yangu.Bwana Yesu akubariki sana pamoja na jamii yako.

  • @roselyneminayo9585
    @roselyneminayo9585 Год назад

    Ameeeeeeeen be blessed pastor

  • @kaloutrayetv8654
    @kaloutrayetv8654 6 лет назад +2

    40. Lakini namna ya Mungu inabaki ile ile. Musa ndiye alianzisha ukuhani wakati wake. Na kama uko mtumishi ya kweli ya Mungu, uta kuja ngambu ya Musa kama Jéthro, kuani ya Madian. Yohana Mbatizaji aliwachagua mitume na wafwasi wake. Bwana Yesu Kristo ndiye aliwachagua mitume na wafwasi wake. Ni Paulo aliyewachagua mitume na wafwasi wake. Na Mungu atakapotuma nabii duniani itakuwa tu hivyo hivyo. Na hili ndilo jambo moja tu linalo kubaliwa na Mungu. Huduma ni uchaguzi wa uungu, silo jambo la akili au la pesa au la upako. Ninajua kufundisha halafu mimi ni hiki au kile. Nina upako mkubwa, ninafanya miujiza kwa hiyo mimi ni hiki au kile. Yote ile ni shetani toka mwanzo hadi mwisho. Na kama Israeli, jambo lile lile lilipitika upande huu.

  • @babydragonfogo7393
    @babydragonfogo7393 3 года назад

    Amina mtumishi

  • @jamilamahsein4324
    @jamilamahsein4324 Год назад

    Amina

  • @gospolmwanahawa7384
    @gospolmwanahawa7384 4 года назад +3

    mchungaji naomba ufafanuzi ntajengaje madhabau ya bwana,

  • @musaijulius6544
    @musaijulius6544 5 лет назад +1

    nashukuru mchungaji kuwaelekeza watoto wa MUNGU ~natamani kukua kiroho nataman sana nimoja kubwa sana ya lengo langu lakini NAAMINI nitaibofya batani yakukua kiroho kwausahihi naifanyia imani mazoezi

  • @rusimombeo7273
    @rusimombeo7273 2 года назад

    Amen pastor ,maombi yangu kwa Mungu ni kuniongezea imani .

  • @mipawatambu7146
    @mipawatambu7146 6 лет назад +2

    ubarikiwe pastor

  • @chachamagige8095
    @chachamagige8095 6 лет назад +2

    Amina mtumishi wa Baba

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 5 лет назад +2

    Barikiwe sana pr kwa ukweli wa Biblia naona shetani na jeshi lake anatetemeka mpaka tunaonyeshwa blog humu humu.

  • @sabbathyusto5943
    @sabbathyusto5943 5 лет назад +1

    amina mtumishi wa mungu

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 6 лет назад +1

    Amen nimebarikiwa mno, mungu azidi kukutunza mtumishi

    • @nouratana6463
      @nouratana6463 6 лет назад

      Nasieku Tarishi Wewe ni Wakristo? Wote unasema ni nzuri lakini wewe ni Wakristo? Kwa sababu leo, kama unamkataa nabii Kacou Philippe basi ni Shetani kwamba umemwita Yesu Kristo na kuabudu bila kujua.
      goo. gl/ s1X3WY

  • @BLESSINGHYMNSTV
    @BLESSINGHYMNSTV 2 года назад

    Ameeen

  • @nancypretty7576
    @nancypretty7576 6 лет назад +2

    Watching online i feel so blessed Amen

  • @lameckmwita6287
    @lameckmwita6287 4 года назад +3

    Full Enjoyment to live in Jesus hope.

  • @waridayangadamu174
    @waridayangadamu174 3 года назад +1

    Amen

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d 9 месяцев назад

    Amen 🇰🇪

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад

    Amen nice message , GOD 🙏 bless u pastor .

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад +3

    Amen Amen be blessed pastor

  • @muokidavid4534
    @muokidavid4534 5 лет назад +2

    AMEN

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +1

    AMEN🙏

  • @eliphasecatherizawadi974
    @eliphasecatherizawadi974 5 лет назад +2

    Nini maana ya kujenga madhabahu? Naomba Nisaidie

  • @linetokuku5390
    @linetokuku5390 Год назад

    Amina link ya part 2

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 5 лет назад +1

    Ubarikiwe pr Mmbaga-Tz, Ulisema unakuja nakuru na Nairobi Kenya??? Welcome we mtu wa maana,,,Niko Nairobi Kenya Westland Kangemi SDA Church 0711192114

  • @hasanmagawa1581
    @hasanmagawa1581 6 лет назад +3

    amin

  • @Afrohousex
    @Afrohousex 6 лет назад +1

    Amen sana

  • @neemaezekiel199
    @neemaezekiel199 6 лет назад +1

    napenda sana mafundisho yako kwann ukuhubiri na kwenye maisha hatimaye??

  • @davidmdee559
    @davidmdee559 3 года назад +1

    👏

  • @nadiakida5885
    @nadiakida5885 6 лет назад +2

    Sasa tunaishi sehemu ya maana sana ya uamsho wa Kanisa la mataifa, kwa kuwa uamsho Ni kwanza Neno, kisha ishara zakuja kwa kuthibitisha Neno. Tupo tunasikia yale Kelele ya usiku wa manane ilisema. Ni Kelele hii ndiyo wateule walikuwa wakingojea.
    goo.gl/s1X3WY

  • @aichatoukone4097
    @aichatoukone4097 6 лет назад +3

    8. Baada ya mageuzi, Martin Lutheri, Ulrich Zwingli, Farel, Yoani Kalvini, John Wesley na wengine walipo fariki, makanisa yakasonga Kanisa la kweli. Mungu akapandisha sasa malaika wa tatu, mjumbe wa tatu pamoja na Ujumbe ya unabii kwa watu wote wa dunia. Mungu hapandishi kamwe kanisa au kundi la watu kwa kuleta au kurudisha Ukweli duniani bali nabii-mjumbe. Kumkataa huyu nabii, ni kumkataa Mungu, kwa kuwa nabii ni kinywa cha Mungu, msemaji wa Mungu, anaye kuja na Ujumbe ya Mungu, anayetumwa na Mungu, siyo mtu anayeleta maneno ya ujuzi au mtu anayeangusha watu katika makutano ya maombi pamoja na maajabu na ufunuo ya udanganyifu, hata kama hizo ufunuo zinakuwa kila mara kweli… [Ndl: Kusanyiko linasema: Amina!].
    goo.gl/s1X3WY

  • @nouratana6463
    @nouratana6463 6 лет назад +4

    Yesu Kristo ndiye Mungu Mwenye Nguvu na Kacou Philippe ndiye nabii peke yake hapa duniani katika kizazi hiki.
    www. philippekacou. Org

  • @francomukumu
    @francomukumu 3 года назад

    @Mahubiri Tv I cant locate part two

  • @francomukumu
    @francomukumu 3 года назад

    link to part two please

  • @hakizimanabelyse3213
    @hakizimanabelyse3213 5 лет назад +2

    Nimebalikiwa Sana'a nilikua napenda munitie mu group+06560438366

  • @jeanbertrandphilippe586
    @jeanbertrandphilippe586 6 лет назад +1

    9. Wakati adhabu inakuja juu ya inchi, ni hasa dhidi ya makanisa ndipo hiyo adhabu ina anguka kama vile zamani juu ya miungu ya Misri. Mnaona ? Mimi Kacou Philippe, mtumwa wa Yesu Kristo, siwakate tamaa lakini ni kwa bure munaomba. Mungu amejifanyia watumishi kwa kutimiza hukumu kama vile alivyo fanya mtumishi wake Nebukadreza dhidi ya Israeli katika siku za kale. Je ! Sio Mungu anayeamuru yote yanayotokea duniani ? [Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "].
    www.philippekacou.org

  • @happylaizer3792
    @happylaizer3792 2 года назад

    Amina

  • @judithgmukagihana4379
    @judithgmukagihana4379 6 лет назад +3

    Amen