40. Lakini namna ya Mungu inabaki ile ile. Musa ndiye alianzisha ukuhani wakati wake. Na kama uko mtumishi ya kweli ya Mungu, uta kuja ngambu ya Musa kama Jéthro, kuani ya Madian. Yohana Mbatizaji aliwachagua mitume na wafwasi wake. Bwana Yesu Kristo ndiye aliwachagua mitume na wafwasi wake. Ni Paulo aliyewachagua mitume na wafwasi wake. Na Mungu atakapotuma nabii duniani itakuwa tu hivyo hivyo. Na hili ndilo jambo moja tu linalo kubaliwa na Mungu. Huduma ni uchaguzi wa uungu, silo jambo la akili au la pesa au la upako. Ninajua kufundisha halafu mimi ni hiki au kile. Nina upako mkubwa, ninafanya miujiza kwa hiyo mimi ni hiki au kile. Yote ile ni shetani toka mwanzo hadi mwisho. Na kama Israeli, jambo lile lile lilipitika upande huu. Goo.gl /s1x3Wy
Eeeeee Mungu ninakuomba uniinulie Jonathan kati ka maisha yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Asante Mungu kwakunifanya nimfahamu mtumishi wako David mmbaga🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
😢😢may God of Jonathan save me from my enemies,am strong again through this word of God.God bless you pastor in Jesus name 🙏🙏
As if your talking with me pastor
Thank yuh Lord be blessed pastor
Saa imefika nivalishe vazi lako Bwana
Ameen
Amina nimekuelewa saaana ubarikiwe Mtu wa Mungu
Amen ubarikiwe Pastor
Asante kwa somo nimeelewa Sana ni saa ya ufunuo na uzima
umbarikiwe sana kwa uchumbe wako na uendelee hivyo AMEN
Amina sana pastor somo zuri sana
Aimeeen Mungu akubariki
Amina Mch. Mbaga hata sisi tunakufuata hapa Burundi-Bujumbura Mungu akulinde.
metuschelah niyubuntu Mungu awabariki sana. Wajulishe watu wengi hapo Bujumbura
Mahubiri Kiswahili Tv asante sana roho mtakatifu awajaze mengi
Tunabarikiwa sana na maneno yako mazuri PR ,David
naendelea kubarkiwa saana kwa mafundisho yako PR, kwa hakikaa mafundisho yako kila cku inanibrkii.
Barikiwa sana PR David mafundisho mazuri sana..
Amen
So uplifting massage..blessings Pr
Barikiwa sana mtumishi neno hili limeniinua na kunigusa
Maina Christine kutoka Kenya tunakupata vizuri sana
Asant Sana Pr
Asante sana maubiri yako yananifundisha mambo mengi ktk maisha. Barikiwa sana
MUNGU mkuu
Mungu akubariki kila cku,binafsi nabarikiwa na mafundisho yako PR David
ubarikiwe zaidiiiii
Asante nimepata tiba
Pasta mungu akubariki ila pasta nataman sana nikuone lakin iko siku tutakutana maana masomo yako yananigusa
Unatubariki sana pr endelea kutusaidia kupata mahubiri mengi.
Pr naomba unisaidie kuyapata mahubiri ya Pr mbwana ya mwaka 2015 >>Uadilifu n.k yote kabsaaaa
TUNABARIKIWA SANA WATUMISHI WA MUNGU MUBARIKIWE SAAANAAA
sadick mponyamili tafadhali fika magomeni mwembe chai kwenye ofisi ya bulengela
Amina.....,,,...
Amina
AMEN
Ubarikiwe Mchungaji Mmbaga
Ubarikiwe mahubiri haya ya menibariki Sana.
AMEN🙏 nmejihisi wepesi moyon hata mapigo ya moyo wangu yametulia thanks alot barikiwa hadi ushangae
Asante
Amen
Sabato njema
Niko nje yaNchi nasumbuka sn namaboss zangu
Nna barikiwa sana mchungaji mungu aku bariki
Mungu akubariki sana nazdi kubarikiwa na mafundisho haya
ubarikiwe mchungaji
Mniombee ndugu zangu napitia hya
Si kwa mahangaiko haya
mimi hapa man of God
1219
Amen emen emen
Living Water Of The Valley International Church Amen
nikweli
modekai msabato namshukuru Sana mngu kwa kunipa ujasri wa kuyakubar majaribu magum niliyo nayo kwenye ndoa yang
Nikombolewe kwa jina la yesuu
Amen
I am happy to follow your scripture........pastor David be blessed
Ooh Asante YESU WANGU KIPENZ CHANGU
Mungu akubariki mchungaji. Amina
Nabarikiwa na mahubiri yako Mungu azidi kukutumia Amina
Very powerful message,Ubarikiwe pastor🙏🙏🙏
Injili kama hizi ndio tunahitaji ili tupone, ubarikiwe Baba mchungaji Mungu akurinde dhidi ya adui
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amen
kaugonjwa hako ss pr kakutokubali kukosolewa
H
hakika umenitibu ubarikiwe sana
mungu akubariki ww upo tanzania au
40. Lakini namna ya Mungu inabaki ile ile. Musa ndiye alianzisha ukuhani wakati wake. Na kama uko mtumishi ya kweli ya Mungu, uta kuja ngambu ya Musa kama Jéthro, kuani ya Madian. Yohana Mbatizaji aliwachagua mitume na wafwasi wake. Bwana Yesu Kristo ndiye aliwachagua mitume na wafwasi wake. Ni Paulo aliyewachagua mitume na wafwasi wake. Na Mungu atakapotuma nabii duniani itakuwa tu hivyo hivyo. Na hili ndilo jambo moja tu linalo kubaliwa na Mungu. Huduma ni uchaguzi wa uungu, silo jambo la akili au la pesa au la upako. Ninajua kufundisha halafu mimi ni hiki au kile. Nina upako mkubwa, ninafanya miujiza kwa hiyo mimi ni hiki au kile. Yote ile ni shetani toka mwanzo hadi mwisho. Na kama Israeli, jambo lile lile lilipitika upande huu.
Goo.gl /s1x3Wy
Pr.ubarikiwe sana kwa somo zuri.
amen man of God
Wewe ni mtumishi wa Mungu wa baraka.ni na elimika kwa mafundisho.
Mungu akubarki Pr ili uendelee kutubariki
Silii ya ushindi ktk vitaa......