Namna ya Kupambana na adui mwenye hasira

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Katika maisha kila mtu ana changamoto zake. Unaposhambuliwa upambane namna gani?

Комментарии • 71

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 6 месяцев назад

    Eeeeee Mungu ninakuomba uniinulie Jonathan kati ka maisha yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Asante Mungu kwakunifanya nimfahamu mtumishi wako David mmbaga🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @NyamariFaith-qu1jm
    @NyamariFaith-qu1jm 8 месяцев назад

    😢😢may God of Jonathan save me from my enemies,am strong again through this word of God.God bless you pastor in Jesus name 🙏🙏

  • @samlethvee5968
    @samlethvee5968 4 года назад +1

    As if your talking with me pastor
    Thank yuh Lord be blessed pastor
    Saa imefika nivalishe vazi lako Bwana
    Ameen

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 3 года назад

    Amina nimekuelewa saaana ubarikiwe Mtu wa Mungu

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 года назад

    Amen ubarikiwe Pastor

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад

    Asante kwa somo nimeelewa Sana ni saa ya ufunuo na uzima

  • @ruthwambui5292
    @ruthwambui5292 5 лет назад +1

    umbarikiwe sana kwa uchumbe wako na uendelee hivyo AMEN

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 года назад

    Amina sana pastor somo zuri sana

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 года назад

    Aimeeen Mungu akubariki

  • @metuschelahniyubuntu343
    @metuschelahniyubuntu343 6 лет назад +1

    Amina Mch. Mbaga hata sisi tunakufuata hapa Burundi-Bujumbura Mungu akulinde.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  6 лет назад

      metuschelah niyubuntu Mungu awabariki sana. Wajulishe watu wengi hapo Bujumbura

    • @metuschelahniyubuntu343
      @metuschelahniyubuntu343 6 лет назад

      Mahubiri Kiswahili Tv asante sana roho mtakatifu awajaze mengi

  • @davidkatondo545
    @davidkatondo545 6 лет назад +1

    Tunabarikiwa sana na maneno yako mazuri PR ,David

  • @modesterboniphace9038
    @modesterboniphace9038 6 лет назад +1

    naendelea kubarkiwa saana kwa mafundisho yako PR, kwa hakikaa mafundisho yako kila cku inanibrkii.

  • @jano254jayc4
    @jano254jayc4 6 лет назад +1

    Barikiwa sana PR David mafundisho mazuri sana..

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 5 лет назад

    So uplifting massage..blessings Pr

  • @hakaphone3634
    @hakaphone3634 5 лет назад

    Barikiwa sana mtumishi neno hili limeniinua na kunigusa

  • @dominicmotindi6806
    @dominicmotindi6806 6 лет назад +1

    Maina Christine kutoka Kenya tunakupata vizuri sana

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 2 года назад

    Asant Sana Pr

  • @pendomtaki9642
    @pendomtaki9642 5 лет назад

    Asante sana maubiri yako yananifundisha mambo mengi ktk maisha. Barikiwa sana

  • @evaanthony8106
    @evaanthony8106 7 лет назад +4

    Mungu akubariki kila cku,binafsi nabarikiwa na mafundisho yako PR David

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  7 лет назад

      ubarikiwe zaidiiiii

    • @emmanuelmogela5871
      @emmanuelmogela5871 5 лет назад

      Asante nimepata tiba

    • @marianapaulo55
      @marianapaulo55 3 года назад

      Pasta mungu akubariki ila pasta nataman sana nikuone lakin iko siku tutakutana maana masomo yako yananigusa

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 7 лет назад +1

    Unatubariki sana pr endelea kutusaidia kupata mahubiri mengi.

  • @sadickmponyamili7070
    @sadickmponyamili7070 7 лет назад +2

    Pr naomba unisaidie kuyapata mahubiri ya Pr mbwana ya mwaka 2015 >>Uadilifu n.k yote kabsaaaa
    TUNABARIKIWA SANA WATUMISHI WA MUNGU MUBARIKIWE SAAANAAA

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 7 лет назад +1

      sadick mponyamili tafadhali fika magomeni mwembe chai kwenye ofisi ya bulengela

  • @anyelwisyemwakitalima2710
    @anyelwisyemwakitalima2710 6 лет назад +1

    Amina.....,,,...

  • @beechazzy5175
    @beechazzy5175 3 года назад

    Amina

  • @frankphilemon9333
    @frankphilemon9333 5 лет назад +1

    AMEN

  • @abdonbwiro2574
    @abdonbwiro2574 5 лет назад

    Ubarikiwe Mchungaji Mmbaga

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +4

    AMEN🙏 nmejihisi wepesi moyon hata mapigo ya moyo wangu yametulia thanks alot barikiwa hadi ushangae

  • @metuschelahniyubuntu343
    @metuschelahniyubuntu343 5 лет назад +1

    Asante

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 6 лет назад +1

    Amen

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 7 лет назад +1

    Sabato njema

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd 2 года назад

    Niko nje yaNchi nasumbuka sn namaboss zangu

  • @anethkimanga2317
    @anethkimanga2317 6 лет назад

    Nna barikiwa sana mchungaji mungu aku bariki

    • @masalageorge8612
      @masalageorge8612 5 лет назад

      Mungu akubariki sana nazdi kubarikiwa na mafundisho haya

  • @linuxsirili3928
    @linuxsirili3928 6 лет назад

    ubarikiwe mchungaji

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd 2 года назад

    Mniombee ndugu zangu napitia hya

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 года назад

    Si kwa mahangaiko haya

  • @babyjanny2956
    @babyjanny2956 6 лет назад

    mimi hapa man of God

  • @henokisakayo8782
    @henokisakayo8782 3 года назад

    1219

  • @livingwaterofthevalleyinte4186
    @livingwaterofthevalleyinte4186 7 лет назад

    Amen emen emen

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 7 лет назад

    nikweli

    • @telezakapama5631
      @telezakapama5631 7 лет назад +1

      modekai msabato namshukuru Sana mngu kwa kunipa ujasri wa kuyakubar majaribu magum niliyo nayo kwenye ndoa yang

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 года назад +1

    Nikombolewe kwa jina la yesuu

  • @sae3dalsaifi211
    @sae3dalsaifi211 6 лет назад +1

    Amen

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 2 года назад

    Ooh Asante YESU WANGU KIPENZ CHANGU

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 5 лет назад +2

    Mungu akubariki mchungaji. Amina

  • @isayamichael
    @isayamichael 2 года назад

    Nabarikiwa na mahubiri yako Mungu azidi kukutumia Amina

  • @janethjepkirui1828
    @janethjepkirui1828 Год назад

    Very powerful message,Ubarikiwe pastor🙏🙏🙏

  • @ashelyabel3008
    @ashelyabel3008 4 года назад +2

    Injili kama hizi ndio tunahitaji ili tupone, ubarikiwe Baba mchungaji Mungu akurinde dhidi ya adui

  • @innokusain8068
    @innokusain8068 5 лет назад +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 2 месяца назад

    Amen

  • @magdamgalla6638
    @magdamgalla6638 5 лет назад +1

    kaugonjwa hako ss pr kakutokubali kukosolewa

  • @mosesaliy6098
    @mosesaliy6098 3 года назад

    H

  • @neemaedga7714
    @neemaedga7714 5 лет назад +1

    hakika umenitibu ubarikiwe sana

  • @samiibrahim6931
    @samiibrahim6931 6 лет назад +1

    mungu akubariki ww upo tanzania au

  • @kaloutrayetv8654
    @kaloutrayetv8654 6 лет назад

    40. Lakini namna ya Mungu inabaki ile ile. Musa ndiye alianzisha ukuhani wakati wake. Na kama uko mtumishi ya kweli ya Mungu, uta kuja ngambu ya Musa kama Jéthro, kuani ya Madian. Yohana Mbatizaji aliwachagua mitume na wafwasi wake. Bwana Yesu Kristo ndiye aliwachagua mitume na wafwasi wake. Ni Paulo aliyewachagua mitume na wafwasi wake. Na Mungu atakapotuma nabii duniani itakuwa tu hivyo hivyo. Na hili ndilo jambo moja tu linalo kubaliwa na Mungu. Huduma ni uchaguzi wa uungu, silo jambo la akili au la pesa au la upako. Ninajua kufundisha halafu mimi ni hiki au kile. Nina upako mkubwa, ninafanya miujiza kwa hiyo mimi ni hiki au kile. Yote ile ni shetani toka mwanzo hadi mwisho. Na kama Israeli, jambo lile lile lilipitika upande huu.
    Goo.gl /s1x3Wy

  • @donaldsamwel683
    @donaldsamwel683 6 лет назад +1

    Pr.ubarikiwe sana kwa somo zuri.

  • @babyjanny2956
    @babyjanny2956 6 лет назад +1

    amen man of God

  • @danielpianist9960
    @danielpianist9960 5 лет назад

    Wewe ni mtumishi wa Mungu wa baraka.ni na elimika kwa mafundisho.

  • @ezekielsinyaro7482
    @ezekielsinyaro7482 6 лет назад

    Mungu akubarki Pr ili uendelee kutubariki