Giza linapotanda maishani Ufanyeje

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Inawezekana unapitia wakati mgumu katika maisha
    Jibu liko hapa!!!!

Комментарии • 123

  • @margrethkaserikali1458
    @margrethkaserikali1458 2 года назад +1

    Amina Pr.Mmbaga Mungu apewe sifa, kwakukubariki

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Год назад +1

    Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed

  • @kelvinpaul7062
    @kelvinpaul7062 4 года назад +2

    Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana pastor kutubariki BWANA akutie nguvu uendelee na kazi hii njema amen🙏

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 3 года назад +2

    This is a sermon of a year and over ago but it has touched me greatly. Be blessed so much pastor.

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 лет назад +5

    Amina Mafundisho matamu,na nmewashukuru kwa kumkumbuka Rais kwa maombi na naamin mungu atatenda barikiwa.

  • @queenessiekenya6869
    @queenessiekenya6869 4 года назад +3

    Asante Sana kwa mahubiri am blessed 🙏🙏🙏

  • @tabiamwamahonje9731
    @tabiamwamahonje9731 2 года назад

    Barikiwa sana Pr Mbaga. Neema ya Bwana idumu kuwa pamoja nawe ukidumu kutubariki na zaidi ya hapo Tukutane Mbinguni Bwana arudipo

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Mungu atabaki kuwa Mungu azidi kukupa nguvu na uzimaa tele aminaa🙏🙏🙏🙏

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 14 дней назад

    Asnte Mungu wangu kwako hakuna kuchelew wwe uMungu wa kila wakati namini n mm kupitia mahubiri hya umenisikia kilio changu zidi kutenda saw n mapenzi yko O Yesuu🎉😢

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 5 лет назад +4

    Nikweli ni kwa neema ya mungu mimikuwa hai hadi Leo, nimengi na machafu nilioyafanya .naamini mungu amenisamehe yote ndio mana Niko hai,Asante jehovah nitakuabudu daima, nijaze Roho wako mtakatifu,Amen

  • @dorcaskahindo8632
    @dorcaskahindo8632 2 года назад +1

    Mchungaji,wakati umeomba nimejisikia kama nimejibiwa kwa hitaji langu, Mungu akuongezeye kwa kile unacho.dorcas toka Congo,una upako wa Mungu kabisa

  • @byamasumakali2139
    @byamasumakali2139 Год назад

    Asante sana Mungu akuzidishiye nguvu mtumishi wa Mungu

  • @meilleurkitoko7487
    @meilleurkitoko7487 2 года назад +1

    Asante sana mutumishi wa Mungu nime farijiwa na neno hili na subiri matokeyo Amen👏

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    Haijalishi Ni miaka miwili iliyopita,mimi MUNGU MUUMBA wa MBINGU na ARDHI ameniona na kunibariki leo,Nimeuona mkono wa MUNGU kana kwamba huduma hii iliwekwa akiba kwa ajili yangu familia ndugu jamaa na marafikl ikiwa Ni pamoja na majirani wanaonizunguka AMEN.

  • @felixsegetse9951
    @felixsegetse9951 5 лет назад +2

    Bwana Mungu Awabariki zaidi na zaidi katika Huduma Aliyokukabidhi, japo nipo Bujumbura ipo siku katika imani tutaonana ana kwa ana.

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 5 лет назад +1

    Amina Mungu anisaidie kuishi maisha ya Toba ya kweli Daima.Mch.David Mmbaga Mungu akuongezee Nguvu%.

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 лет назад +5

    Yani we pastor cjui at nisemeje ila Mungu akubariki sana maana umenitoa mbali sana, somo la tr 19.1 sitakaa nilisahau maishani mwangu, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia

  • @magrethmkira6250
    @magrethmkira6250 5 лет назад +1

    Amen
    Hakika tunabarikiwa
    Mungu akuinue zaid kwajil ya utukuf wa jina lake

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 2 года назад

    Yani Kama mtu alikuwa kupokea Hii siku Aisee umekwisha mengi maana hiyo sehem kweli mungu alikuwako mpaka pastor mwenyewe Unaona alivyojaa roho wa bwana mpaka sauti imebadilika, Aisee napokea haijalishi ya mwaka gani mungu anafanya Kazi bado, utukufu huludi kwa Mungu alie hai hallelujah amen

  • @enockkennedy6665
    @enockkennedy6665 2 года назад +1

    thank you pastor mmbaga am enock Kennedy from Kenya Nairobi I really watch your preaching atleast every week. be blessed with your message it really uplifts my faith

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 года назад

    .. Nimeinuliwa na maubiri haya, mungu akubariki mchungaji

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад +1

    Amina sana Mungu akuinuwe zaidi🙏🙏🙏

  • @rubbenndege4379
    @rubbenndege4379 5 лет назад +5

    Kiukweli nimebadilika moyo ila matendo bado niombee postar kweli naitaji kubatizwa

  • @jamiejames6100
    @jamiejames6100 3 года назад +1

    What a powerful message 👏

  • @eustina837
    @eustina837 Год назад

    Aminaa barikiw pr Mungu akutie nguvu

  • @angelavincenti5321
    @angelavincenti5321 4 года назад

    Ameen ninabarikiwa kwamafundishu mazul MUNGU akubark mtumish

  • @ngendahayongenasamuel2903
    @ngendahayongenasamuel2903 5 лет назад +1

    Unavyompenda Paulo ndivyo nimpendavyo zaidi, hata niliamini hakuna anayenizidi kumpenda. Barikiwa sana mchungaji.

  • @jamesmwai515
    @jamesmwai515 Год назад

    Pastor you have been blessing to me

  • @atupakisyekyando890
    @atupakisyekyando890 Год назад

    Amina mtumishi wa Mungu barikiwa Sana

  • @chibugamedia7313
    @chibugamedia7313 3 года назад +1

    😢😢😭😭 najiona mdhambi sana eeeeh Mungu nisaidie

  • @pauloyona829
    @pauloyona829 4 года назад

    Kwakweli nimebarikiwa vyakutosha nahii huduma Mungu akupiganie muchungaji amen.

  • @ivanfaustin9717
    @ivanfaustin9717 3 года назад

    Amen amen amen naamin nitasimama

  • @condradanyoni6556
    @condradanyoni6556 5 месяцев назад

    Asante Yesu maana yote yanatoka kwako

  • @loycemgonja2634
    @loycemgonja2634 5 лет назад +2

    Mchungaji unanibariki Bwana akulinde mendelee kutuponya kwa neno

  • @Pendomabula
    @Pendomabula 3 года назад

    Pr Mungu akupe maisha marefu yenye kubariki watu.

  • @yvonneamekakaombeniwimbomu8312
    @yvonneamekakaombeniwimbomu8312 5 лет назад

    Yesu azidi kuku wezesha mutumishi wa Mungu kazi unayo yifanya ina tupa tumaini na nguvu.

  • @bobog9732
    @bobog9732 5 лет назад +1

    hakika ndani ya Yesu pako raha yaajabu Mchungaji Mungu akupe maisha marefu

  • @ericsonsteven4094
    @ericsonsteven4094 4 года назад

    Ubarikiwe sana, na mwenyezi Mungu azidi kuabariki kwa kazi.

  • @nyachigobobulemo7153
    @nyachigobobulemo7153 5 лет назад +3

    Amina.Nabarikiwa sana.

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 6 месяцев назад

    Hallelujah Amen 🙏 🎉🎉🎉🎉

  • @sabrinakenya2353
    @sabrinakenya2353 5 лет назад

    Mchungaji barikiwa sana mahubiri yako huwa yananisongesa karibu na Mungu.

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 года назад

    Amen I have been blessed Soo much

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    AMINA mchungaji 🙏😎.

  • @justinapaul3880
    @justinapaul3880 5 лет назад +1

    Mch umekua faraja yangu unanipa moyo ktk magumu ninayo yapitia

  • @rachaelndege5641
    @rachaelndege5641 5 лет назад

    Mwenyezi Mungu akubariki umenibariki sana mchungaji hakika nimekutana na yesy

  • @kigulamwambene4164
    @kigulamwambene4164 5 лет назад

    Nakushuku mungu kunifundisha masomo haya ombi langu kuu fungua akili zangu kiloho na kimwili nikafulahi pamoja na watakatifu

  • @zaitunmeshak4147
    @zaitunmeshak4147 5 лет назад +1

    Amen barkiwa sn

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 Год назад

    ubarikiwe HILI SOMO LINGALI LIKO HAI HATA SASA

  • @fatomaeid6639
    @fatomaeid6639 5 лет назад +1

    Mchungaji nikirudi tz lazima nitakutafuta barikiwa sana na akupe nguvu

  • @danielpaul9296
    @danielpaul9296 5 лет назад

    Sifa na utukufu vimrudie MUNGU MUUMBA wa mbingu na nchi kwani anakutumia kutufikishia ujumbe wake,ubarikiwe Sana pr

  • @pendomarwa1690
    @pendomarwa1690 5 лет назад

    Pasta mbaga huwa ananibariki Sana,Mungu azidi kukutunza

  • @ivanfaustin9717
    @ivanfaustin9717 3 года назад

    Ni kwa neema tu2

  • @triphonitemba7485
    @triphonitemba7485 4 года назад +1

    Yes

  • @johnsakai3040
    @johnsakai3040 2 года назад

    Mchungaji nina mdogo wangu anaumwa na kiarusi mguu na mkono umepooza anaitwa Monika nahitaji maombi yako

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 5 лет назад

    Barikiwa sn mtumishi kwa neno ziri.

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian7970 5 лет назад

    Amina napokea katika Jina la YESU

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 3 года назад

    Amen

  • @dominikamwajombe5759
    @dominikamwajombe5759 5 лет назад +1

    Amina mtumishi

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 3 года назад

    Amen 🙏🙏

  • @jonasmnyone4791
    @jonasmnyone4791 3 года назад +1

    Somo hili limegusa moyowangu na limenipatia uponyaji.

  • @deborahurassa4339
    @deborahurassa4339 5 лет назад

    Nimebarikiwa sana sana Mungu akylinde

  • @fatomaeid6639
    @fatomaeid6639 5 лет назад

    Na Mungu akupe nguvu zaidi

  • @samwelsimon9278
    @samwelsimon9278 4 года назад

    Pastor usiogope kukemea sheria kandamizi na viongozi wanafiki wakilitaja bure jina LA Mungu Kwakuwa watukamahao wamelaaniwa vikali na Yesu.

  • @saidsoudy3140
    @saidsoudy3140 4 года назад +1

    Baba mchungaji mahubili yako hayajawahi kuniacha hivi HIV
    Yesu akutunze baba

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 5 лет назад

    Mbaga natamani nikuone mbinguni umenibariki Sana nimeptia mengi

  • @kelvingallo8262
    @kelvingallo8262 5 лет назад

    Barkiwe sana Mchungaji

  • @georgettetulinabo9428
    @georgettetulinabo9428 5 лет назад +1

    Amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

    • @paulokaiza2900
      @paulokaiza2900 5 лет назад

      Mungu awe nawe daims, akuepshe na vishawishi vya dunia hii, udumu katika kumtumikia yeye tu.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 8 месяцев назад

    Amins

  • @frankphilemon9333
    @frankphilemon9333 5 лет назад

    ahsante mjoli

  • @habaritv6364
    @habaritv6364 5 лет назад +1

    Mungu ni mwema

    • @neemadaud234
      @neemadaud234 5 лет назад

      Asante PR umenitia moyo sana, kuna mambo yananichanganya ila nimeskiliza ujumbe huu nimpatatumaini lingine

    • @josephineabedi4086
      @josephineabedi4086 5 лет назад +1

      Mungu akulinde na akuongezeye hekima na ujasiri.

    • @bayroneboniphace289
      @bayroneboniphace289 3 года назад

      God is love 💖💖💖

  • @paulrobert1546
    @paulrobert1546 5 лет назад +1

    hakika BWANA anatenda, ✋✋✋

  • @mariamngumbao783
    @mariamngumbao783 5 лет назад

    Mungu ndie mukuu

  • @milkerjuma6525
    @milkerjuma6525 5 лет назад +2

    MUNGU akubariki mchungaji

    • @sprinathomas8292
      @sprinathomas8292 4 года назад

      Ninapokuwa najihisi nmeshindwa katika sehem fulan nkisikilza neno la Mungu kutoka kwa pastor mmbaga huwa napata nguvu za kunyanyuka upya na iman inaongezeka, Barkiwa sana mchungaji

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 5 лет назад

    Amina pastor

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    Unaongea na bin Adam mchungaji.

  • @roseebenny5437
    @roseebenny5437 5 лет назад

    Sifa Na utukufu ni wa bwana.sauti iki chini

  • @seenoiirene9639
    @seenoiirene9639 5 лет назад +1

    Amen!

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 5 лет назад +1

    Amina

  • @lightmoshi3131
    @lightmoshi3131 4 года назад

    👏👏

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 2 месяца назад

    NIKIKUKATAA KUWA RAFIKI YANGU NI KWAMBA WEWE SI MBAYA ISIPOKUWA HATUPELEKANI

  • @neemadaud234
    @neemadaud234 5 лет назад

    PR umenitia moyo sana sana kuna mambo yananitatiza ktk famila yangu, kila mradi unagonga mwamba, ila kwa neno la BWANA ulilosema naanza kuona miujiza yake ikinitembelea. Ila nimetoa machozi sana, nilikuwa nimekata tamaaa, kumbe MUNGU hajaniacha PR zidi kutuombea sana, naomba no. Yako

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 5 лет назад

      Neema Daud Amen

    • @neemadaud234
      @neemadaud234 5 лет назад

      PR mbaga hakuna mahubiri niliyowahi kumlilia MUNGU kama Leo, amekutuma kuganga moyo wangu ulioyo na vidonda& maumivu makali

    • @jeremiahmhangwa3645
      @jeremiahmhangwa3645 5 лет назад

      Balikiwa na bwana pt,

  • @abiuds.b8518
    @abiuds.b8518 5 лет назад

    amen mtumish

  • @tumainingonyani3226
    @tumainingonyani3226 5 лет назад

    Pr nabarikiwa sana masomo yako ubarikiwe lkn nna swali moja tuu iv kwann Mungu bible inasema hana upendeleoo lakn alimpendelea rusifa na ndio kiburi cha kujiona yeye n bola kuliko malaika wengine kiburi kikainuka juu yakee j? nikwel Mungu hana upendeleoo

  • @nelsonemmanuel8539
    @nelsonemmanuel8539 5 лет назад

    naomba mtu yeyote aliye na mawasiliano yoyote na pastor Mbaga naombeni jamani

  • @timotheojoel1828
    @timotheojoel1828 5 лет назад +1

    MUNGU akubaliki mtumxh dah mchungaji nabalikiwaga sanaaa

    • @brunokamuzora9563
      @brunokamuzora9563 5 лет назад

      jaman m2 wa Mungu siku hizi hatukusikii lakin uko vizuri endelea kum2Kia Mungu

    • @glorymanento2470
      @glorymanento2470 4 года назад

      Amen ubarikiwe sana Pr Mungu anaendelea kukutumia

    • @alicenyaboke4305
      @alicenyaboke4305 4 года назад

      Let God be praise , this teaching is like firefly in our hearts

    • @grasemugaya5268
      @grasemugaya5268 4 года назад

      Kweli mchungaji ni kwaneema tu

  • @mussasengeka8111
    @mussasengeka8111 5 лет назад

    0768745942 nitafute pastor sina number yako ninashida sana Mtumishi

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    AMINA mchungaji 🙏😎.

  • @damarisfavour5799
    @damarisfavour5799 5 лет назад +1

    Amen

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 5 лет назад

    Amina

  • @asteriaalex1314
    @asteriaalex1314 5 лет назад

    Amen

  • @rewardmnyone9722
    @rewardmnyone9722 5 лет назад

    Amen

  • @amossamwel2266
    @amossamwel2266 5 лет назад

    Amina

  • @roseindekhwa7637
    @roseindekhwa7637 5 лет назад

    Amina

  • @priscakihengu4620
    @priscakihengu4620 5 лет назад

    Amina