Afya Na Kazi | Ibada ya Jumapili | 23 Jun 2024 | Rev. Dr. Eliona Kimaro
HTML-код
- Опубликовано: 22 июн 2024
- IBADA YA JUMAPILI (IBADA YA KWANZA)
23/ 06/ 2024
UJUMBE WA LEO: AFYA NA KAZI
Mathayo 8 : 14 - 17
14 Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani hawezi homa.
15 Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.
16 Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa hawawezi,
17 ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Ahsante kwa chakula cha kiroho
Jamani.mchungaji Kimario Mungu nakubariki sana napenda namna unavyoifafanua Biblia hakika i mwalimu mkuu Bwana awe nawe daima endelea kutuimarisha kiimani 🙏🙏
Mungu akutunze baba umefanyika baraka kwa wengi
Mungu akubariki saaana kwa mafundisho Amen 🙏🙏
Nashukuru mungu nimelelewa na bibi ingawa marehemu bali naendelea kutunza dadazake
Ubarikiwe saaana mtumishi wa Mungu
Nashukuru sana mahubiri ni mazuri. Naumia sana ikiwa napenda furaha na amani kwenye familia lakini ndo natuhumiwa uchawi na kutengwa nifanyeje
Amen 🙏🙏
Kweli somo nimelielewa ubarikiwe mtumisshi
Mungu akujalie uzima mtumishi unahuduma ya kipee hakika unatugusa moyo baba
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri yanayo tusii tusiwasikilize manabii wachonganishi barikiwa mtu wa Mungu
Amen Amen 🙏🙏
Amina
Nabirikiwa sanaa mchugaji nikiwa Kenya na mafundisho Yako. Barikiwa sanaa. Umenifungua macho kuhusu tabiri chonganishi
Namie nipone magonywa yoote katika jina la yesu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nabarikiwa sana na mahubiri yako pastor
Ubarikiwe sana mchungaji Kimaro kwa mahubiri yenye uhai ndani yake.
Amina.MUNGU.akubariki.mchungaji.nimebarikiwa.sana
Amen nimebarikiwa nikiwa🇸🇦
Mchungaji umeongea kwa hisia huku mtaani ninayaona Sana unakuta mtu ana tabia mbaya harafu anaenda kwenye hayo makanisa yao akiludi anaanza kusema analodwa kajazwa upepo wa sumu ya maneno najiuliza mtu anapata wapi kusema Mimi nabii
Nimebalikiwa sana mtumishi
Ameeen
Baba, Iko sahihi kabisa, MTOTO wangu wa chuo kikuu, Kila mwezi bibi yake huwa anatumiwa pocket money na bibi yake.
Amee
Amen 🙏 🙏
Amen
Amen 😊
Baaba! DR ELIONA KIMARO UMEFUNDISHA VIZURI MNOO JAMBO HILI LA KAZI NA AFYA, UBARIKIWE SAANA. 1971 KCMC ILIZINDULIWA, NAMI NATIBIWA PALE! NA FAMILIA YANGU, JUZI NILIINGIA KANISANI HAPO KUOMBA UPONYAJI.😊
😮😮😮😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen 🙏🙏🙏